Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakini si una mapato makubwa kuliko mikoa ua bara?Inawezekanaje mkoa mdogo kuliko hata pwani ukapokea madolari mengi namna hiyo? Ndugai for presidency 2025!
Thubutuuuuuu!!!!Haina shida maadam wakati wa kulipa tutalipa wote
Sasa asilimia 20 zote za nini kwenye hako kamkoaWaziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dr Sada Mkuya amesema wamepokea dolla milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.
Dr Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.
Mapinduzi Daima!
Tukomae kwani siye punda?Hivi kwa nini mmelegea sana
Yaani Zanzibar wamepewa 20% ya pesa yote iliyokopwa Kwa kweli mama amejua kuwapendelea yaani katika 1.3 trillion Zanzibar imepelekwa 200 billion tzsh. Zanzibar ni Sawa na wilaya moja ya Tanganyika wamepewa mahela yote hayo nasema mama hastahili kuwa Rais wa hii nchi hata kidogo . Upendeleo mkubwa kuwahi kutokea tokea hii nchi ipewe Uhuru . Tena hizi pesa walipaji ni watanganyika wako wapi akina Lissu wa kulisemea hili.Waziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dr Sada Mkuya amesema wamepokea dolla milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.
Dr Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.
Mapinduzi Daima!
Inae muuma avunje muungano sio kujambajamba
Watu wa mkoani zanzibar mnadekezwa sanaTukivunja muungano mtaumia kwa kodi zetu
Duuh mahela yote hayo??
Zanzibar ni nchi kamili.
Nchi hiyo kwiooooMmekazania mkoa mkoa mkoa,,,,zanzibar ni nchi. Mmeckia lakini??
Hivi zanzibar mnadhani mkijitoa kwenye muungano tunashindwa kuijenga mafia au bagamoyo kwanza nyie ni mkoa mvivu sana kuliko mikoa yote Tzlakini si una mapato makubwa kuliko mikoa ua bara?
Waziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dr Sada Mkuya amesema wamepokea dolla milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.
Dr Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.
Mapinduzi Daima!
Chato Airport umeisahau?
Mjinga wewe watu bilioni moja kupewa milioni 200 Kuna shida Gani, bara tunatiana tupo milioni sabini Sasa Kalale