#COVID19 Kumbe Zanzibar imepata Tsh 200 bilioni tu katika ule mkopo wa COVID tofauti na inavyoelezwa na Wanasiasa uchwara!

#COVID19 Kumbe Zanzibar imepata Tsh 200 bilioni tu katika ule mkopo wa COVID tofauti na inavyoelezwa na Wanasiasa uchwara!

Ngoja nikupe hesabu.

Jumla ya mkopo 1.3trillioni

Hizi ni sawa na 1,300billioni
Nusu ya hizi imetumika kulipa mkopo

Unabaki na bilioni 650
Toa bilioni 200 za zenji unabaki na bilioni 450.

Kwa hiyo zanzibar wamepata bilioni 200 na ushee.
Bara tumepata bilioni kama 400 hivi.
Hapa ni sawa kweli?
Hii kitu sasa, ndiyo ilipaswa February kikao cha Bunge, Ayubu awaandae wabunge wajadili, siyo kuropokea huku mitaani.
Mbunge mmoja anapeleka dharura, yeye Spika anaruhusu mjadala. Bunge live wabunge wanalipuka, serikali inaambiwa ije na majibu. Wananchi tusingemkasirikia mgogo.

Everyday is Saturday...........................................😎
 
Mjinga wewe watu bilioni moja kupewa milioni 200 Kuna shida Gani, bara tunatiana tupo milioni sabini Sasa Kalale
Piga hesabu we zumbukuku unaona pesa ndgo hzo kupewa nyie watto wa ulijo hapo kila mla ulojo anaondoka na pesa yake
 
Waziri wa nchi katika ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Dkt. Sada Mkuya amesema wamepokea dola milioni 100 za kimarekani sawa na tsh billion 200 na ushee ambazo zitatumika kuimarisha miundombinu.

Dkt. Mkuya amesema watajenga madarasa na hospitali katika wilaya zote Unguja na Pemba.

Mapinduzi Daima!
Majitu yana chuki Sana na Samia,vinatafutwa visingizio vya kijinga mara anateua Waislam,mara anapendelea Zanzibar,mara Urais umemshinda,saiz wako na single mpya mara ana homa ya 2025 hajiamini ,mara serikali ya mpito.

Yaani yote haya ni wivu kwani ana wa outperform kwenye kila sekta
 
Yaani Zanzibar wamepewa 20% ya pesa yote iliyokopwa Kwa kweli mama amejua kuwapendelea yaani katika 1.3 trillion Zanzibar imepelekwa 200 billion tzsh. Zanzibar ni Sawa na wilaya moja ya Tanganyika wamepewa mahela yote hayo nasema mama hastahili kuwa Rais wa hii nchi hata kidogo . Upendeleo mkubwa kuwahi kutokea tokea hii nchi ipewe Uhuru . Tena hizi pesa walipaji ni watanganyika wako wapi akina Lissu wa kulisemea hili.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni asilimia 0.0154
 
Job Ndugai alikuepo na haja ya kuona mkopo hauna Faida yeyote Ile kwasababu pesa nyingi zimepelekwa Zanzibar. Kwanini wapinzani wa sasa wanashindwa kuwa jasiri kama marehemu Mch Christopher Mtikila alivyokuwa anazungumzia haya masuala ya jinsi Tanganyika inavyoinufaisha Zanzibar

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app

Yani asilimia 20 ya mkopo wanapewa watu million moja aiseeees
 
Aisee,,,kibilioni 200 kimewauma kishenzi 😁 je, kabla ya ujio wa mama samia znz walikuwa wanapata nini??
Mwendazake alikuwa anawadhulumu stahiki yao.

Kama wameumia wavunje Muungano kwani anautaka si ni Bara?

Mwisho , Serikalini imepata mkopo usio riba kutoka Badea til.7,, kwenye pesa hizo Zanzibar itapata til.1 sawa na 14%

Screenshot_20211212-084442.png
 
Kati ya Madeni yote aliyokopa karibu (Trillioni kumi) SSH ni alisimia ngapi zimeenda Zanzibar?

Kero za Muungano zimeondolowe,nyingi zimeisha, zimepunguzwa sana tunaambiwa.

Kwa makubaliano yapi, yalikuwa kati ya Wazenji wawili? Nini walikubaliana, tuwekewe wazi hivi vitu?

Asilimia 20 ya mkopo wa trillion 1.3 wamepewa wa zanzibari ...........
 
Ngoja nikupe hesabu.

Jumla ya mkopo 1.3trillioni

Hizi ni sawa na 1,300billioni
Nusu ya hizi imetumika kulipa mkopo

Unabaki na bilioni 650
Toa bilioni 200 za zenji unabaki na bilioni 450.

Kwa hiyo zanzibar wamepata bilioni 200 na ushee.
Bara tumepata bilioni kama 400 hivi.
Hapa ni sawa kweli?

Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hii kitu sasa, ndiyo ilipaswa February kikao cha Bunge, Ayubu awaandae wabunge wajadili, siyo kuropokea huku mitaani.
Mbunge mmoja anapeleka dharura, yeye Spika anaruhusu mjadala. Bunge live wabunge wanalipuka, serikali inaambiwa ije na majibu. Wananchi tusingemkasirikia mgogo.

Everyday is Saturday...........................................😎

Hakika !
 
Ngoja niongezee kidogo.

Baada ya kupatikana 1.3t
Zanzibar wakapewa bilioni 200 na kitu kulingana na rate ya dollar.

Zikabaki kama trilioni 1 kwa ajili ya bara, walivyoshtuka kuna madeni yana mature, ile nusu iliolipwa ilitoka kwenye mgao wa bara tu, zenji wakabaki na billion 200 zao.
 
Majitu yana chuki Sana na Samia,vinatafutwa visingizio vya kijinga mara anateua Waislam,mara anapendelea Zanzibar,mara Urais umemshinda,saiz wako na single mpya mara ana homa ya 2025 hajiamini ,mara serikali ya mpito.

Yaani yote haya ni wivu kwani ana wa outperform kwenye kila sekta

Jibu hoja kijana kama watu million moja wamepewa 200billion kutoka kwenye 1.3Trillion,Je watu 4 wanapaswa kupewa kiasi gani kutoka kwenye hiyo 1.3Trillion?
 
Back
Top Bottom