Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap nilikuwepobila shaka ulikuwepo wakati anapangiwa hicho cha kuongea..
Chadema...wamecheza karata nzuri sana kutokuepo mana pamoja na kutokuepo bado hyo ndyo imekua habari ya mjini!!
Kabisa. Na mkutano huu ulikuwa umeandaliwa rasmi kwa ajili ya kuwaingiza chaka CHADEMA. Wamefanya vizuri sana kutohudhuria. Imeleta impact kuliko wangehudhuria.This is amazing, agenda kubwa ya kikao bado Ni kuhusu Chadema!
Kabisa. Na mkutano huu ulikuwa umeandaliwa rasmi kwa ajili ya kuwaingiza chaka CHADEMA. Wamefanya vizuri sana kutohudhuria. Imeleta impact kuliko wangehudhuria.
Naona lumumba mnavyo tapatapa dadeeeki zenu nyinyibila shaka ulikuwepo wakati anapangiwa hicho cha kuongea..
Wahuni vs Kiroboto
Ndugu zetu wazareeendo wa nchi hii na wapenda amani haki na usawa.Kabisa. Na mkutano huu ulikuwa umeandaliwa rasmi kwa ajili ya kuwaingiza chaka CHADEMA. Wamefanya vizuri sana kutohudhuria. Imeleta impact kuliko wangehudhuria.
😅😅😅ili waje waseme ni kwa sababu ya Ombi la Zitto kwenye mkutanokumbe baada ya kuona jinsi kesi ya mwamba Mbowe inavyoiweka uchi serikali nzima na kuwashusha hadhi makomandoo mbele ya watz Chief Hangaya alimpatia kibaraka Zitto Kabwe maneno ya kusema ili apate namna ya kumuachia Mbowe
Katelefoni apambane na watu wa mitandao wanao fichua madude yake ya koroshowMpaka sasa hivi utapeli limekwisha wahusu wahuni.
NB: wanaoegamia kwa Mama ni wahuni. Timu hii ka-telefoni naye yupo. Pana ka ukweli humo!
Likely[emoji28][emoji28][emoji28]ili waje waseme ni kwa sababu ya Ombi la Zitto kwenye mkutano
UNGEKUWA NA AKILI UNGEJIFUNZA KITU HUONI MAMA ALIVYOBADIRIKA ALIPOKUWA ANAONGELEA HILO SUALA LA MBOWE? YAANI INAONYESHA HAPO MSAMAHA NI MDOGO KULIKO JELAkumbe baada ya kuona jinsi kesi ya mwamba Mbowe inavyoiweka uchi serikali nzima na kuwashusha hadhi makomandoo mbele ya watz Chief Hangaya alimpatia kibaraka Zitto Kabwe maneno ya kusema ili apate namna ya kumuachia Mbowe
kama walitegemea mwamba ataomba msamaha wamenoa...over !!UNGEKUWA NA AKILI UNGEJIFUNZA KITU HUONI MAMA ALIVYOBADIRIKA ALIPOKUWA ANAONGELEA HILO SUALA LA MBOWE? YAANI INAONYESHA HAPO MSAMAHA NI MDOGO KULIKO JELA
Ndo maanakekumbe baada ya kuona jinsi kesi ya mwamba Mbowe inavyoiweka uchi serikali nzima na kuwashusha hadhi makomandoo mbele ya watz Chief Hangaya alimpatia kibaraka Zitto Kabwe maneno ya kusema ili apate namna ya kumuachia Mbowe
Au nasema uwongo ndugu zangu?!Wahuni vs Kiroboto