Kumbe Zitto kapangiwa cha kusema mkutanoni

Kumbe Zitto kapangiwa cha kusema mkutanoni

kumbe baada ya kuona jinsi kesi ya mwamba Mbowe inavyoiweka uchi serikali nzima na kuwashusha hadhi makomandoo mbele ya watz Chief Hangaya alimpatia kibaraka Zitto Kabwe maneno ya kusema ili apate namna ya kumuachia Mbowe
Uchi upi hebu endeleeni jeuri uone kama mwenye kigoda wenu hajaozea jela.
 
Chadema are pathetic losers.... Wanamkakati maalum wa kumaliza Zitto political carrier kuliko hata wanavyotaka kuchukua hatma ya uongozi wa nchi.
 
kumbe baada ya kuona jinsi kesi ya mwamba Mbowe inavyoiweka uchi serikali nzima na kuwashusha hadhi makomandoo mbele ya watz Chief Hangaya alimpatia kibaraka Zitto Kabwe maneno ya kusema ili apate namna ya kumuachia Mbowe
Mwisho leo kutuandikia taarifa ya udaku.
 
Mpaka sasa hivi utapeli limekwisha wahusu wahuni.

NB: wanaoegamia kwa Mama ni wahuni. Timu hii ka-telefoni naye yupo. Pana ka ukweli humo!
Katelephone nilikuwa namkubali lakini simuelewi siku hizi
 
Yote
kumbe baada ya kuona jinsi kesi ya mwamba Mbowe inavyoiweka uchi serikali nzima na kuwashusha hadhi makomandoo mbele ya watz Chief Hangaya alimpatia kibaraka Zitto Kabwe maneno ya kusema ili apate namna ya kumuachia Mbowe
Yanawezekana. Zitto anacheza zaidi ya timu moja siku zote. Huwezi mwamini kabisaaa. Ili baadae aseme isingekuwa mimi wewe ungenyongwa nk nk
 
ALIVYOBADIRIKA ALIPOKUWA ANAONGELEA HILO SUALA LA MBOWE
tenor.gif

Kama hivi?
 
Back
Top Bottom