Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
He who feeds you will control you.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HATA AKIOMBA MSAMAHA HACHOMOKI NDOO NDIOO CHOO CHAKE MIAKA KAZAAkama walitegemea mwamba ataomba msamaha wamenoa...over !!
nyie ndiyo mnatafutwa na Mh. Polepole.HATA AKIOMBA MSAMAHA HACHOMOKI NDOO NDIOO CHOO CHAKE MIAKA KAZAA
Samahani acha utoto MkuuYap nilikuwepo
bila wewe ndiye ulimpangiakumbe baada ya kuona jinsi kesi ya mwamba Mbowe inavyoiweka uchi serikali nzima na kuwashusha hadhi makomandoo mbele ya watz Chief Hangaya alimpatia kibaraka Zitto Kabwe maneno ya kusema ili apate namna ya kumuachia Mbowe
Hakuna habari hiyo,those guys need to mature and live modern tactics and maneuversChadema...wamecheza karata nzuri sana kutokuepo mana pamoja na kutokuepo bado hyo ndyo imekua habari ya mjini!!
MANENO YA UZUSHI YASIYO NA USHAHIDI..........kumbe baada ya kuona jinsi kesi ya mwamba Mbowe inavyoiweka uchi serikali nzima na kuwashusha hadhi makomandoo mbele ya watz Chief Hangaya alimpatia kibaraka Zitto Kabwe maneno ya kusema ili apate namna ya kumuachia Mbowe
Nililiona hili kabla, kwamba Hangaya anatafuta namna flani ya kuachana na Mbowe itakayomwacha na heshima thats all.Kabisa. Na mkutano huu ulikuwa umeandaliwa rasmi kwa ajili ya kuwaingiza chaka CHADEMA. Wamefanya vizuri sana kutohudhuria. Imeleta impact kuliko wangehudhuria.
Old politics, toka mmenza kuita fulani maliti fulani katumwa jibu limewahi kupatikana?.Tatizo ni kutotaka kutumia akili kucheza game ya siasa,Siasa zinahitaji watu wenye akili ya kubadilika immediately kunapo kuwapo mabadiliko na akili kinzani iwe nje au ndani ya siasa.Viongozi wetu wa vyama siasa nao wanataka kuisha kile wanachokipinga kwa nje.For instance Wakati wa mkapa the room for democracy wa narrow,akaja kikwete akaachia goli people celebrated at least kulikua na nguvu ya hoja wakati huo akina silaa,Zitto, Kafulila nk..in the mean time walipoanza kutafuta internal changes wakaitwa wasaliti japo waliye msaliti hakuonekana, akaja mzee wa kanyaga upinzani wa ovyo 😀 😀 😀 😀 our political parties leaders never wanted to change tactis na kufikiria kesho wakataka mnyukano on the spot things went badly, amekuja Mama hana shida na mtu watu badala ya kujipanga kufanya siasa za kistaarabu kuachieve goals badala wanataka recognition na kutunisha msuli forgeting that infront of them there is a woman in power who is always defended naturally.My friend African politics are like a growing child see what is happening in Benin mtu anapigwa 10 years jela and no cares outside .Katibu mkuu wa Chadema hana mbinu,hana hoja nzito nzito na amekosa njia kukitoa chama chake kilipo kususia kila jambo ni uoga na huwezi kufanikiwa ukiwa nje ya uwanja wa vita labda uwe mwuza silaha za vita upate fedha na kujiimarisha kiuchumi.Camp ya mama imeliweka lile saliti kimkakati
Lijifanye linapiga magoti halafu mama amuachie kwa sababu hiyo
Mama amegundua maadui zake wala sio Mbowe,wapo humo humo CCM
Na hao wa ndani lazima wamtoe jasho,lazima ashindwe tu
Msamaha ni hadi Mbowe afungwe, kabla ya kufungwa ni kuachiliwa tu.UNGEKUWA NA AKILI UNGEJIFUNZA KITU HUONI MAMA ALIVYOBADIRIKA ALIPOKUWA ANAONGELEA HILO SUALA LA MBOWE? YAANI INAONYESHA HAPO MSAMAHA NI MDOGO KULIKO JELA
UNGEKUWA NA AKILI UNGEJIFUNZA KITU HUONI MAMA ALIVYOBADIRIKA ALIPOKUWA ANAONGELEA HILO SUALA LA MBOWE? YAANI INAONYESHA HAPO MSAMAHA NI MDOGO KULIKO JELA
Wewe jamaa ulitaka Chadema Wahudhurie ili kesho magazet yenu yaandike "Chadema yasalimu amri kwa CCM ". Hii ya leo Imeeleta questions kwa wadau mbalimbali kuwa kwanini Chama kikuu cha upinzani hakipo pale, hii ni tactical move kwa CDM..ukweli kuna hila ya sirikali katika kusmamia Uhuru wa upinzani katika uwanja wa Kisiasa. Ninyi mnafikili watanzania ni Wajinga??Old politics, toka mmenza kuita fulani maliti fulani katumwa jibu limewahi kupatikana?.Tatizo ni kutotaka kutumia akili kucheza game ya siasa,Siasa zinahitaji watu wenye akili ya kubadilika immediately kunapo kuwapo mabadiliko na akili kinzani iwe nje au ndani ya siasa.Viongozi wetu wa vyama siasa nao wanataka kuisha kile wanachokipinga kwa nje.For instance Wakati wa mkapa the room for democracy wa narrow,akaja kikwete akaachia goli people celebrated at least kulikua na nguvu ya hoja wakati huo akina silaa,Zitto, Kafulila nk..in the mean time walipoanza kutafuta internal changes wakaitwa wasaliti japo waliye msaliti hakuonekana, akaja mzee wa kanyaga upinzani wa ovyo 😀 😀 😀 😀 our political parties leaders never wanted to change tactis na kufikiria kesho wakataka mnyukano on the spot things went badly, amekuja Mama hana shida na mtu watu badala ya kujipanga kufanya siasa za kistaarabu kuachieve goals badala wanataka recognition na kutunisha msuli forgeting that infront of them there is a woman in power who is always defended naturally.My friend African politics are like a growing child see what is happening in Benin mtu anapigwa 10 years jela and no cares outside .Katibu mkuu wa Chadema hana mbinu,hana hoja nzito nzito na amekosa njia kukitoa chama chake kilipo kususia kila jambo ni uoga na huwezi kufanikiwa ukiwa nje ya uwanja wa vita labda uwe mwuza silaha za vita upate fedha na kujiimarisha kiuchumi.