Kumbembeleza mwanamke wakati wa kumtongoza ni kujidhalilisha uanaume wako

Mkuu kusema ukweli data sina ila me naongelea general population, anyways twende mdogo mdogo mkuu wanawake wengi wanadhani ni wavumilivu sana lakini kumbe wanaume wavumilivu pia mfano, mwanaume anaweza akadate hata na illiterate lakin mkuu nenda na darasa la nne yako kaone kama unaweza date na hata masters holder ni shughuli pevu, kimsingi wanawake ndio huwa wanatengeneza madaraja kuliko wanaume ndio mana point yangu kuu ni Mwanaume ni mwanaume na mwanamke ni mwanamke na kila mtu aplay role yake hapo maisha yataenda sawa.... Ila kimsingi Mwanaume ndio huwa anadictate relationship anayoanzisha iweje, which means its us guys who get to decide how to run that business..
 
Umeiweka vizuri mkuu...jinsi utavyomchukulia mwanamke ndivyo atarespond uko sahihi.
 
This best comment of this month ...i gonna keep it as a reference
 
Huyo mwanamke unayetaka akukubalie haraka haraka ni malaya au mdangaji na haya ndo madhara ya kuzoea kununua dada poa
Mkuu mimi naamini ukirudia kusoma ulichoandika wewe mwenyewe utajistukia.
umesema "MALAYA"
COME ON BRO!
me naomba nikupe tu tuzo umeshinda mkuu.
ninasubir award winning speech from you?
 
Vipi ulipata wa kukuzalisha mtoto? Au ulimpata ukaolewa kabisa jumla jumla

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Hata ili gari ipande mlima una ibembeleza mkuu then ikisha panda kama kawaida unaanza kuchange gear unaweka hii unaweka ile life linasonga.. na mademu ni hivyo hivyo ndugu yangu... Sasa shauri yako ila usipoteze uanaume wako
 
Siku hizi tongoza yangu iko hivi:

Mimi: mambo
Mdada: poa
Mimi: Karibu ghetto kwangu unitembelee nina movies kali tuchek/njoo ghetto unitembelee
Mdada: Siwezi kuja/sina muda/niko busy/aseme anakuja siku fulani halafu asije
Mimi: buyu la milele, simshobokei tena, hata tukikutana njiani.. namsalimia napita hivi..

Hii tongoza inaniokolea a lot of time & energy, kama mdada angekua interested..angekuja ghetto saa hiyo hiyo, au angeiambia ataangalia hlf angeendelea kunipa greenlight, au angeniambia atakuja siku fulani ghetto na aje kweli..
DeepPond Bless mom Antonnia Depal To yeye Nakadori Dakarai
 
Me hapo siji
Na utakula block
Na njiani usinisemeshe

Huwezi nitongoza kigaidi hivo
 
Utongozaji gan huo sasa...
Huo ni ubakaji kabisa
Yani unamuita mtu getto kwa kigezo cha movie kumbe nia ni kumla??
Asee upgrade utongozaji wako. Hata kama hautajaa uongo uongo lakini uwe polite kidogo. Me hivyo sitoi pochi manyoya yangu
 
Mim usingenipata....

Seems wewe ni mdogo wangu....nakufundisha.
UKIMPENDA MSICHANA NA UKITAKA USIMKOSE MWONESHE UPENDO au attention....with time slide kwenye aina nyingine ya uhusiano. KWA MFUMO HUO atakuwa wako bila kumwambia nakupenda
 
🤣🤣🤣
 
Anyway ni hivii...Ukiamuaa kunitongozaa Mimi ujuee ni Mimi na sio mwenginee...Kwan tunafanana?au mnatongozaa tuu pasipoo kuwaa na ule mvuto wa asili?..kwamba namtaka huyu na sio huyuu?...Hau mnakuwaa mnatongozaa ili mfanyeee biasharaaa ya kuuzianaa?..Anyway Mapenzi yanaitajii mabembelezooo nyiee endeleni kushupaza shingo labda Kama huwaa mnakuwaa na mission nyingineee kwenye mapenzii...
 
Hahahaha! Sema hapo "kuja getto" is a bit too far kama ni mara ya kwanza mnawasiliana.

Mimi mwanamke akiniambia "Niko busy" au kauli zinazofanana na hiyo, From that point ajue kabisa kwamba yeye ni stranger kwangu and whatever feellings i had zimeshayeyuka hahaha. Na akinifuata baada ya hapo nitamuuliza shida yake ni nini.

Mwanaume kufukuzana na wanawake ni udhaifu wa hali ya juu.
 
Mim usingenipata....

Seems wewe ni mdogo wangu....nakufundisha.
UKIMPENDA MSICHANA NA UKITAKA USIMKOSE MWONESHE UPENDO au attention....with time slide kwenye aina nyingine ya uhusiano. KWA MFUMO HUO atakuwa wako bila kumwambia nakupenda
Asipokupata ndio mwisho wa dunia? Huhuhu
 
Utongozaji gan huo sasa...
Huo ni ubakaji kabisa
Yani unamuita mtu getto kwa kigezo cha movie kumbe nia ni kumla??
Asee upgrade utongozaji wako. Hata kama hautajaa uongo uongo lakini uwe polite kidogo. Me hivyo sitoi pochi manyoya yangu
Depal Nakadori To yeye Bless mom unajua nyie wadada mnaangaliaga na mwanaume anaewatongoza, mwanaume anaweza akawa polite, mbembelezaji, akawa very nice kwenye utongozaji lakini kama huna hisia nae, yote atakayokufanyia utaona sawa na bure.

Siri nliyogundua ni kwamba mdada akivutiwa na mwanaume, anaweza hata akajibiwa kunya na bado akatoa kipochi manyoya..kuna wadada nlishawahi kuwaita malaya, bado wakanipa kipochi manyoya, kuna mdada nshaonana nae cku moja na cku na siku hiyo hiyo nkampeleka ghetto tukafanya sex, kuna wadada kwenye chatting nawaambia kuhusu anal sex, na bado waliendelea kunishobokea....yani mdada akipenda, mwanaume u get away with lots of stuff..

Ila kama mada hakutaki hata ukitumtuia sms ya hi twende nkakutoe lunch, Serena au Hyatt regency, atashikwa na hasira.. mwanaume mwengine hamfanyii chochote huyo mdada, Lakini anapelekewa papuchi bure Tena kirahisi..
 
Yeah yupo mtu unajikuta unatamani hata akusalimie tu upate amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…