Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tunajua kwahiyo unataka kusemaje.Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Amechanganikiwa sana mtoa mada sisi tunajua kusoma na kuandika.Kwahiyo unataka kusemaje.
Kuna wapenzi wake watampa kura na wale wasiokubaliana na huo uamuzi wa kumuengua mtu wao waliyempitisha vikao vya ACT wazalendo vya kamati kuu na mkutano mkuuHiyo inajulikana mapema na tume walishasema ,kwahiyo hamna kipya ACT walishaamua kuunga mkono chadema ndo maana mgombea wao urais hafanyi kampeni
Hili la CHADEMA na ACT kushirikiana limewachanganya sana hawalali.Amechanganikiwa sana mtoa mada sisi tunajua kusoma na kuandika.
Kwa sasa hawezi kuhama chama ila anaruhusiwa kujitoa kugombea au kutofanya kampeni.kuteuliwa kisha usishiriki kinyangannyiro imekaaje kisheria?
Hivi kama Membe atahama chama kwa sasa na kujiuynga Chadema anaweza kumsaidia Lisu kwenye kampeni?
Je kuhama kwake kutahisabiwa je na Tume au Msajili wa Vyama vya Sisa?
Hili la CHADEMA na ACT kushirikiana limewachanganya sana hawalali.