MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Cc: Pascal Mayalla Ruttashobolwa jingalao cocochanel