Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hii itakua kama ya jimbo la segerea mapema kabisa ushindi CCM kura zitagawanyika kwa hao wa 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmesahau ya Segerea
Sawa kabisa ila kura za ACT ni kwa Lissu.Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Kwa mfano akitangaza kujiengua itakuwaje? Mbona wa vyama vya upinzani wengine walijiengua katikati ya kampeni na wa CCM kupita bila kupingwa?Kuna wapenzi wake watampa kura na wale wasiokubaliana na huo uamuzi wa kumuengua mtu wao waliyempitisha vikao vya ACT wazalendo vya kamati kuu na mkutano mkuu
Hayo makubaliano ni ya viongozi sio wanachama wa ACT wazalendo
Mbinu kali sana wao wanaosema havitakiwi kuungana imekula kwake, wameshaungana kimya kimya tayari, miji mingine watashangaa picha ya membe watajiuliza huyu nani anapewa lissuHiyo inajulikana mapema na tume walishasema ,kwahiyo hamna kipya ACT walishaamua kuunga mkono chadema ndo maana mgombea wao urais hafanyi kampeni
Membe yupo kwa ajili ya kupunguza kura za Jiwe, Yule wanachama wengi ni CCM sio wapinzaniLisu ajiandae tu kupambana na Membe kwenye sanduku la kura
Zote zitapigwa kwa LisuTume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Hiyo picha kabandikeni chumba cha mumeo.Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Vice-versaa inawezekana piaMbinu kali sana wao wanaosema havitakiwi kuungana imekula kwake, wameshaungana kimya kimya tayari, miji mingine watashangaa picha ya membe watajiuliza huyu nani anapewa lissu
CCM ni CCM tu .......ukishasema wewe ni mpinzani ndo una la kuchagua A au BMembe yupo kwa ajili ya kupunguza kura za Jiwe, Yule wanachama wengi ni CCM sio wapinzani
Ikiwepo ina shida gani?! Mbona hata ya Lipumba utakuwepo!Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Safi Sana,nafatilia Kama atakujibu.Ndio tunajua kwahiyo unataka kusemaje.
Umeongea point kubwa Sana.Huoni kama itawaathiri CCM hiyo? Wapenzi wengi wa Membe wako CCM, Bora Magufuli aagize picha ya Membe isiwepo kabisa kwenye ballot papers!
Ameongea kwa upole utafikiri mgonjwa wa safura.Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Utaanzisha thread hadi ukome. Kila baada ya dk 10 unaanzisha thread. Ccm imebuma, imebuma. Kubaliana na hali vinginevyo jiandae kisaikolojoa.Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Kwa kijipendekeza kwako bila shaka utampigia kura mtu ambaye hajakuomba kura!Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania
Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura