Uchaguzi 2020 Kumbuka: Karatasi za kupigia kura zitakuwa na picha ya Bernard Membe kama Mgombea Urais wa ACT Wazalendo

Uchaguzi 2020 Kumbuka: Karatasi za kupigia kura zitakuwa na picha ya Bernard Membe kama Mgombea Urais wa ACT Wazalendo

Mleta mada ana point ya msingi sana. Kama watu wasipopewa elimu ya kutosha, kuna kura nyingi zitapotea kwa sababu ya watu kumpigia kura Membe kisa wameiona sura yake kwenye karatasi ya kupigia kura. Lakini pia haya mambo yasichukuliwe kimzaa, itakuwaje endapo membe atapata kura nyingi kuliko wagombea wote wa urais, je atakataa kuapishwa kisa alimuunga mkono Tundu Lissu?
Kwa Tanzania bara ACT haiwezi kupata hata kura 10,000
 
Nilipita soko la buguruni, kariakoo na tandale. Nilichogundua watanzania tuna akili nyingi zaidi ya wanavyotuwazia
2810😍🇹🇿👍tunachukua, tunaweka, waaaaa🔥🔥🔥🔥🔥
 
Hawa CHADEMA hawajui kitu,kuwepo kwa picha ya membe kwenye karatasi za kupigia kura kunaleta maana kubwa kuwa huyu mgombea lazima atapata kura,

Mwaka 2015 nikisimamia uchaguzi huko lindi ndani ndani,cha kushangaza nilikuta mgombea wa chama cha NLD kapata kura nyingi kuliko aluzopata mgombea wa CHADEMA, sasa nikajiuliza huyu kapataje ili khali hata kampeni zake kwa wilaya ya liwale hazikufika?

Hivyo ni ukweli usiopingika huyu membe lazima apate kura nyingi sana tena kumliko lissu
Hawaelewi ukisema ukweli unapewa majina ya hovyo.
Kujitoa kwa Membe ndio pona ya Chadema.
 
Safari hii option za kuchagua ni mbili tu, ama lissu ama jpm basi.
 
Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania

Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Kwa hiyo mtaiba kura kupitia Membe .............!!
 
Picha ya Membe itarahisisha watu kumjua Lisu
Katika karatasi ya kura inayofuata alfabeti kuondoa upendeleo itaanza ACT wazalendo halafu Chadema halafu CCM .Hapo ndio itakuwa shida kwani wale waliosoma kizungu na wamezeeka wanaanza kushoto kwenda kulia.
 
Hiyo inajulikana mapema na tume walishasema ,kwahiyo hamna kipya ACT walishaamua kuunga mkono chadema ndo maana mgombea wao urais hafanyi kampeni
Lakini atapigiwa kura
 
Hawa CHADEMA hawajui kitu,kuwepo kwa picha ya membe kwenye karatasi za kupigia kura kunaleta maana kubwa kuwa huyu mgombea lazima atapata kura,

Mwaka 2015 nikisimamia uchaguzi huko lindi ndani ndani,cha kushangaza nilikuta mgombea wa chama cha NLD kapata kura nyingi kuliko aluzopata mgombea wa CHADEMA, sasa nikajiuliza huyu kapataje ili khali hata kampeni zake kwa wilaya ya liwale hazikufika?

Hivyo ni ukweli usiopingika huyu membe lazima apate kura nyingi sana tena kumliko lissu
Nina hakika wewe hujawahi kufanya au kuwa sehemu ya research yani unatumia sample ya Liwale kupima siasa za Nchi????? So huyo wa NLD alimzidi lowasa?? Ivi Nyie mlisoma wapi wenzetu??? Mbona wajinga hivi???
 
Nina hakika wewe hujawahi kufanya au kuwa sehemu ya research yani unatumia sample ya Liwale kupima siasa za Nchi????? So huyo wa NLD alimzidi lowasa?? Ivi Nyie mlisoma wapi wenzetu??? Mbona wajinga hivi???
Keep calm, subiri uone lissu atakavyigalagazwa na kivuli cha membe
 
Kuna wapenzi wake watampa kura na wale wasiokubaliana na huo uamuzi wa kumuengua mtu wao waliyempitisha vikao vya ACT wazalendo vya kamati kuu na mkutano mkuu

Hayo makubaliano ni ya viongozi sio wanachama wa ACT wazalendo


Ndivyo walivyokuambia hao wapenzi wake ???
 
Tume ikishamteua mtu huwa inenda kuchapisha karatasi za kupigia kura .Hivyo kwenye karatasi za kura kutakuwa na picha ya Membe kama mgombea uraisi wa Tanzania

Sura yake mtaiona kwenye karatasi za kupigia kura
Kwa hiyo ?!!!
 
CCM mtashangaa sana, Mumeonea Watanzania mno.


WanaJamii Forums na Watanzania, hasa Wafanyakazi, Hasa Sekta binafsi.

Sheria ya Mafao ya wafanyakazi, Hasa FAO la Kujitoa.. Sheria ya Bunge Mwaka 2018...ndio Kitanzi kwa Wanyonge.

Neno Wanyonge ni tusi kwa Tanzania, tusikubali huu unafiki. Mtu anajiita mtetezi wa wanyonge halafu anasaini Sheria Kandamizi Pamoja na Ndugai.

Unemployment benefits * FAO LA KUKOSA AJIRA* ...Ni kwamba pesa zako (michango yako) hupati tena
 
Membe ndio atakabidhiwa nchi baada ya ccm kushindwa na Chadema ya Lisu!!Ili kuepuka kibano cha mabeberu!!!WENYE AKILI TUNAELEWA HILO!!!KAMA KABILA ALIVOMWACHIA TSHEKESEDI BAADA YA KATUMBI KUMSHINDA VIBAYA SANA HADI UFARANSA IKAJA JUU!!!
 
Back
Top Bottom