MICHAEL SON
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 458
- 536
Askari wanaishaHali halisi ndio Kama unavyojionea
View attachment 1447390
Dah Kiongozi hapa ni wapi?Na hapo wamechoka\wanaumwa au ni vipi?Hali halisi ndio Kama unavyojionea
View attachment 1447390
SHULE zilitangazwa wazi kua zimefungwa na hatuchapi kazi,,, atangaze na yeye yupo Caranteen,, sio kuwahimiza wengine wangamie wakati yeye kajificha,,,Kwan walimu hawalipwi mshahara?
Nikifa nitazikwa huku
Ova
😤😤😤😤😤😤
NDO MAANA CCM inakua associated na ujinga,,,hapa hoja ni JAMAA kaji caranteen halafu anahimiza wengine wafeTunaacha kujadili issues za maana tunajadili Rais hayupo ikulu?
Upinzani umekosa hoja za msingi na CCM wameshajua udhaifu huo wataendelea kututengenezea vya kujadili.
Juzi MAKONDA katutengenezea hoja akina Lissu na Zitto nao wamekuwa mazuzu - wako busy kujibizana naye.
Hivi UPINZANI huu tuseme aliyekuwaga makini ni Dr Slaa tu?
Tafuta bavicha mwenzio mbishane naye!Kama ni hivyo si angekaa huko huko Chato maisha yote ya utumishi kama Rais? wakati mwingine mnaacha ujinga. Sababu ya kujenga Ikulu ilikua ni nini? Rais akiugua hapo ghafla atapelekwa wapi? au unadhani waluojenga hospitali ya viingozi pale Makumbusho kwenye kambi ya PSU hawakua na akili.
Ujinga ndiyo inawasumbua; kwenda Manila na kufanya majukumu akiwa huko na kua Chato si kote sawa tu.
🤣 🤣🤣Anatoa ulinzi uliotukuka kwa mzee baba chato.
Mfia chama nafasi ya mbele kabisaAnaongoza akiwa hukohuko
Victoire vipi dada? mbona sikuoni mtaani? na weye imekusepesha nini?Kiongozi muoga. Empty vessels make the most noise. Leo ndo nimeamini huu msemo. Kule kukaripia viongozi wa chini yake,kuwatukana pumbavu.
Yeye leo Coronavirus imemsepesha.
Heko mama Samia na Majaliwa nyie ndo Askari imara.
Mbona hujafa kamanda. au na we umejikarantine?NDO MAANA CCM inakua associated na ujinga,,,hapa hoja ni JAMAA kaji caranteen halafu anahimiza wengine wafe
Endelea tu kuhisi hivyoMfia chama nafasi ya mbele kabisa
Muenendo wako unasadifu hivyoEndelea tu kuhisi hivyo
Wapinzani, wanafikiri ni ushamba baaada ya kwenda ulaya au marekani na kuchukua hoteli ya nyota 5 nzima, na familia yake na walinzi. Au kwenda Dubai, yeye eti anakwenda Chato!Nyumbani raha jamani ..mwacheni anajikumbushia enzi za utoto ilivyokuwa ..kwanini mteseke na wakati yupo nyumbani...
Nipo kijijini nimetulia tuli. Bakini mjini mbadilishane virus.Victoire vipi dada? mbona sikuoni mtaani? na weye imekusepesha nini?
Na wewe ni kada na mfia chama wa cdm?Muenendo wako unasadifu hivyo
Umekosea kidogo,mimi ni mfia upinzani!Yaani hata CCM wakitoka madarakani leo basi nitakuwa begwa kwa begwa nao!Na wewe ni kada na mfia chama wa cdm?
Wamfanyeje kivipi wakati ni nyumbani kwake, kwani Tocha ni nje ya nchi.Hii hasira kali dhidi ya Rais kwa kutokuwepo Dodoma imeanza kunipa wasi wasi!! Yawezekana hawa watu walikuwa na mpango wa hatari dhidi ya Rais, na walipoona njama zao zimegonga mwamba ndio sasa wanalalamika kwa nini asiwepp Dodoma!! Walitaka awepo Dodoma ili wamfanyeje? Ni vizuri wakachunguzwa!
Uchumi umekuwa kwa asilimia ngapi, je ni zaidi ya watangulizi wake?FYI rais yupo kazini 24/7. Baada ya kumaliza kazi ya mwaka mzima kata kabla ya kikao cha budget imemlazimu kupumnzika na kupanga mkakati wa 2020/21 maana kazi aliyofanya si haba. Anasubiri Bunge liishe aanze kufanya kazi ambayo inategemewa na Watanzania kusafisha waporaji na kuwawezesha Watanzania. Good work and continue to show every Tanzanian how is done.
Mfikishie ujumbe mwambie wenzie wanatafuta hapatikani cm hapokei na mssage hajibuBavicha mna kazi kweli kweli!
Jana nilimuona Mbowe akiongoza kikao cha kamati kuu kutokea sebuleni kwake sikushangaa!