Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

Unahimiza watu wachape kazi mbona wewe kazi hufanyi?... Kazi zako nyingi tuliona ukipita kufungua na kukagua Miradi ya maendeleo kama, Kupokea Madege,,,Ujenzi wa ma fly over,,ila sasa upo ,Ndani kama mwali wa kizaramo halafu una bwabwaja tu wengine wachape kazi,,,unajionaa wewe ndo mtuu sanaaa,,,,mimi nakuchana banah ,,,, Wewe JPM mwoga tu,,halafu Muongo kinoma,,Haya Endelea kujivundika,,, Una bahati upinzani Hawana candidate potential ,,vinginevyo Ungepata tabu,, Make hata huko chamani kwako hawakupendi ,,,,,,,TANZANIA NI YETU SOTE,,HAKUNA MTANZANIA ZAIDI YA MWINGINE
 
Kwan walimu hawalipwi mshahara?
Nikifa nitazikwa huku
Ova
😤😤😤😤😤😤
SHULE zilitangazwa wazi kua zimefungwa na hatuchapi kazi,,, atangaze na yeye yupo Caranteen,, sio kuwahimiza wengine wangamie wakati yeye kajificha,,,
 
Tunaacha kujadili issues za maana tunajadili Rais hayupo ikulu?
Upinzani umekosa hoja za msingi na CCM wameshajua udhaifu huo wataendelea kututengenezea vya kujadili.
Juzi MAKONDA katutengenezea hoja akina Lissu na Zitto nao wamekuwa mazuzu - wako busy kujibizana naye.
Hivi UPINZANI huu tuseme aliyekuwaga makini ni Dr Slaa tu?
NDO MAANA CCM inakua associated na ujinga,,,hapa hoja ni JAMAA kaji caranteen halafu anahimiza wengine wafe
 
Kama ni hivyo si angekaa huko huko Chato maisha yote ya utumishi kama Rais? wakati mwingine mnaacha ujinga. Sababu ya kujenga Ikulu ilikua ni nini? Rais akiugua hapo ghafla atapelekwa wapi? au unadhani waluojenga hospitali ya viingozi pale Makumbusho kwenye kambi ya PSU hawakua na akili.

Ujinga ndiyo inawasumbua; kwenda Manila na kufanya majukumu akiwa huko na kua Chato si kote sawa tu.
Tafuta bavicha mwenzio mbishane naye!
 
Kiongozi muoga. Empty vessels make the most noise. Leo ndo nimeamini huu msemo. Kule kukaripia viongozi wa chini yake,kuwatukana pumbavu.
Yeye leo Coronavirus imemsepesha.
Heko mama Samia na Majaliwa nyie ndo Askari imara.
Victoire vipi dada? mbona sikuoni mtaani? na weye imekusepesha nini?
 
Nyumbani raha jamani ..mwacheni anajikumbushia enzi za utoto ilivyokuwa ..kwanini mteseke na wakati yupo nyumbani...
Wapinzani, wanafikiri ni ushamba baaada ya kwenda ulaya au marekani na kuchukua hoteli ya nyota 5 nzima, na familia yake na walinzi. Au kwenda Dubai, yeye eti anakwenda Chato!
Wapinzani wanatamani, kama angekuwa ni rais kutoka chama chao basi awe na jumba kubwa uswizi au Dubai, siyo kuendelea kuendekeza kwenda kijijini!
Kupenda kukaa kijijini Chato, wanaona wazungu wataidharau Tanzania! Ndiyo yale yale ya kupinga: CRDB, taa za barabarani, uwanja wa ndege, bandari, vivutio vya utalii kama mbuga za wanyama na hifadhi nyingine kuwa Chato! Mawazo ya wapinzani - kwanini uhangaike kuendeleza shamba badala ya kula bata humo Dubai!?
 
Hii hasira kali dhidi ya Rais kwa kutokuwepo Dodoma imeanza kunipa wasi wasi!! Yawezekana hawa watu walikuwa na mpango wa hatari dhidi ya Rais, na walipoona njama zao zimegonga mwamba ndio sasa wanalalamika kwa nini asiwepp Dodoma!! Walitaka awepo Dodoma ili wamfanyeje? Ni vizuri wakachunguzwa!
Wamfanyeje kivipi wakati ni nyumbani kwake, kwani Tocha ni nje ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FYI rais yupo kazini 24/7. Baada ya kumaliza kazi ya mwaka mzima kata kabla ya kikao cha budget imemlazimu kupumnzika na kupanga mkakati wa 2020/21 maana kazi aliyofanya si haba. Anasubiri Bunge liishe aanze kufanya kazi ambayo inategemewa na Watanzania kusafisha waporaji na kuwawezesha Watanzania. Good work and continue to show every Tanzanian how is done.
Uchumi umekuwa kwa asilimia ngapi, je ni zaidi ya watangulizi wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom