MICHAEL SON
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 458
- 536
Unahimiza watu wachape kazi mbona wewe kazi hufanyi?... Kazi zako nyingi tuliona ukipita kufungua na kukagua Miradi ya maendeleo kama, Kupokea Madege,,,Ujenzi wa ma fly over,,ila sasa upo ,Ndani kama mwali wa kizaramo halafu una bwabwaja tu wengine wachape kazi,,,unajionaa wewe ndo mtuu sanaaa,,,,mimi nakuchana banah ,,,, Wewe JPM mwoga tu,,halafu Muongo kinoma,,Haya Endelea kujivundika,,, Una bahati upinzani Hawana candidate potential ,,vinginevyo Ungepata tabu,, Make hata huko chamani kwako hawakupendi ,,,,,,,TANZANIA NI YETU SOTE,,HAKUNA MTANZANIA ZAIDI YA MWINGINE