Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

Hii inaitwa work from home(WFH) kipindi hiki Cha corona inaruhusiwa
 
CHARITY BEGINS AT HOME.

Tofauti na viongozi wengine waliomtangulia, Mwalimu Nyerere hadi Kikwete, Mheshimiwa Rais Magufuli ni mfano wa kuigwa kwa aina ya Viongozi wanaopapenda na kupapendelea sana kwao...

Kwa mfano, leo ni Siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alipoondoka Ofisini kwake Ikulu ya Chamwino, Dodoma na kuhamia nyumbani kwake/Kwao Chato, Geita. Na anapiga kazi tu kama Kawaida tukiacha matatizo madogomadogo ya kulalamikiwa na Viongozi wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, SADC na AU kuwa hapokei simu zao.

Viva Magufuli, Viva Tanzania, Viva Afrika, Viva Chato

View attachment 1446876
Tulipoteza fedha nyingi kujenga Ikulu. tungejua tungeacha tu hadi atakapokuja Rais mwingine, mweee!
 
CHARITY BEGINS AT HOME.

Tofauti na viongozi wengine waliomtangulia, Mwalimu Nyerere hadi Kikwete, Mheshimiwa Rais Magufuli ni mfano wa kuigwa kwa aina ya Viongozi wanaopapenda na kupapendelea sana kwao...

Kwa mfano, leo ni Siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alipoondoka Ofisini kwake Ikulu ya Chamwino, Dodoma na kuhamia nyumbani kwake/Kwao Chato, Geita. Na anapiga kazi tu kama Kawaida tukiacha matatizo madogomadogo ya kulalamikiwa na Viongozi wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, SADC na AU kuwa hapokei simu zao.

Viva Magufuli, Viva Tanzania, Viva Afrika, Viva Chato
..............................

Update:

Leo ni siku ya 46...tutaendelea kumhesabia

View attachment 1446876
Matatizo madogo madogo ya kutokupokea simu kutoka kwa marais wenzake!
 
Ofisi ya rais haiko nyumbani kwake hizo kazi zinaendaje.hii ni kuipa serikali gharama zisizona msingi kwahiyo akitaka kusaini documents,kufanya ziara au kuitisha vikao anafanyia chato? Wageni wa kimataifa ,mabalozii,wawekezaji na wafanyabiashara nao wamfate chato. Hatujawahi kupata rais mapumbavu Kama huyu tangu tupate Uhuru.
Wapumbavu ni kama wewe wenye kukariri maisha, kwamba rais fulani anaishi kwa kufuata taratibu fulani basi ni lazima mwingine aishi hivyo hivyo.

Badilika kimtazamo mkuu.
 
Back
Top Bottom