KUMBUKIZI: Mada maalum ya kumuenzi Munga Tehnan na kazi zake

Siku moja niliona kwenye Gazeti la Jitambue, Munga akisema kwamba Wamachinga wa wakati huo ndio watakuwa matajri miaka ijayo, kwa vile walikuwa wamejitambua.
Fred vunja bei n the like!
 
Chief ulifanikiwa kupata?
 
Story ya yule mtoto aliyepata ajali na kupoteza wazazi wake, zote nilisoma kwenye gazeti la jitambue enzi hizo za Y2K...!

Hiyo story mpaka leo inanisisimua damu, tuliwahi ijadili hapa na ile ya yule kibaka wa Temeke
Unaweza kunitag katika hizo nyuzi?
 
Nami nilokia mnununuzi mzuri
 
Madini kama haya nimechelewa kuyapata jamaniiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…