Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mshana, nimekaa na kutafakari!! kuwa sisi ni Roho tunaeishi ndani ya miili. Hivyo kuna kipindi tunaihitaji miili kama vile vifaranga vinavyohitaji ganda la yai!!Late 90's to early 2000
Sawa mkuu, tunaweza kuwasiliana!!Mkuu kama hutajali naomba tuwasiliane tafadhali
Asante sana kwa kutoka nje ya box.... Roho ni nishati, roho ipo ilikuwepo na itakuwepo kifacho ni mwili uharibikao, kinachofanyika kwenye roho ni kubadili tu makazi (mwili) zaidi somaMkuu mshana, nimekaa na kutafakari!! kuwa sisi ni Roho tunaeishi ndani ya miili. Hivyo kuna kipindi tunaihitaji miili kama vile vifaranga vinavyohitaji ganda la yai!!
Na muda wa kifaranga ukisha isha wa kukaa ndani ya ganda, hutoka na kutokuhitaji tena ganda la yai!
Na kuna kipindi hatuhitaji hii miili, namanisha baada ya kufa. Kwahio Roho zetu huwa zinaendelea kuishi ktk mazingira mengine ambako, mwili hauhitajiki.
1 swali langu, je Roho zetu huwa zina roteti na kurudi tena dunia na kuvaa mwili mwingine??
2 je bado uumbaji wa Roho unaendelea kwa Muumba??( Namanisha Roho zinanazo kuja hapa duniani ni mpya kabisa) hazijawahi kuishi duniani?
Pia nimewahi kuota mji wa zamani kipi cha ukoloni, niliota jinsi huo mji ulivyokuwa na majengo yake yalivyokuwa!! wakati mji huu ulipikuwepo, Mimi nilikuwa sijazaliwa!! Nilipo msimulia Mama yangu kuhusu hio njozi, alinambia ni kweli! huo mji ulikuwepo!! na majengo niliyoyaona kwenye njozi ndivyo ulivyokuwa!!
Nauliza tena, Roho huwa zinarudi tena duniani??
Sawa mkuu, niendelee kusoma kwenye hii mada? au kuna vitabu vinavyofundisha zaidi??Asante sana kwa kutoka nje ya box.... Roho ni nishati, roho ipo ilikuwepo na itakuwepo kifacho ni mwili uharibikao, kinachofanyika kwenye roho ni kubadili tu makazi (mwili) zaidi soma
Sanaa ya kifo
Hii ni habari ngeni kabisa kwa wale watakaobahatika kusoma hii mada na pia wale wenye kupenda kujifunza vitu vipya ni sanaa ya kifo katika uhalisia wetu bila kuchanganya na doctrines za kiimani na kiasili. Kwenye mada nyingi tumeona uhayawani wa mwanadamu tumeona kwa sehemu kubwa jinsi kiumbe...www.jamiiforums.com
Sanaa ya kifo
Asante sana mkuu kwa upendo wa matendo!!Sawa mkuu, niendelee kusoma kwenye hii mada? au kuna vitabu vinavyofundisha zaidi??
Sawa mkuu, niendelee kusoma kwenye hii mada? au kuna vitabu vinavyofundisha zaidi??
Sina maneno mazuri ya kukwambia!! zaidi ya kusema nakushukuru sana!![emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Ngoja niendelee kuongea maarifa!!
Asante sana mkuu!! ngoja nijaze memory yangu haya maarifa!!Realm of eternity
Ndio maana kwa kutambua hilo kuna vitu naviona havina haja ya kuving'ang'anja sana. Mshana swali langu hili namuogopa sana Mungu na pia naogopa mno kufa. Why??? Ni Mimi tu au na wewe unahofu juu ya hivyo vitu.www.jamiiforums.com
Nilimpenda sana huyu jamaa.Mungu arehem huko aliko..ninayo majarida yake mpaka leo..sijui alikuwa na kipaji gani.Ukiweka ahadi lazima uitimize..Ukiweka nadhiri ni lazima uitangue la sivyo itakutesa kifikra na kudai utanguzi.
Mwaka wa jana kwenye post moja, tukiwa na mjadala, tulimjadili gwiji wa falsafa maizi Hayati Munga Tehnan na nikaahidi kuna na mada maalum kwa ajili yake kumuenzi. Naomba sasa nitangue nadhiri na ahadi yangu hii kupitia mada hii.
Kwa wengi wasiomfahamu ndio alikuwa Mmiliki wa gazeti la utambuzi liitwalo JITAMBUE na MSHAURI. Humo ndani kulijaa madini tupu ya falsafa kindakindaki, saikolijia, mambo ya kiroho kijamii hata utani na simulizi za kufurahisha sana.
Mimi ni mmoja wa shabiki na mwanafunzi wake mkubwa... Wengine ninaoweza kuwakumbuka kwa haraka ni pasco na Mtambuzi ..Natambua list ni ndefu na kila mmoja atakuja na mchango wake
Uzi utakuwa updated kutokana na kadiri maudhui yatakavyokuwa yanapatikana ili hatimaye tuwe na mada iliyoshiba kumhusu Munga Tehnan.
Naamini kati yetu kuna wanaojua historia yake, maana mtandaoni haupatikani.
Ombi kwa Moderator Kama kuna uwezekano wa kuziweka mada zake pamoja kwenye mada moja kuu, zile zenye maudhui ya kufanana.
Ombi kwa wana JF kama kuna mwenye hard copy ya kazi zake kupitia JITAMBUE pls share.
Hiki sijawahi kukiona..sijui kinapatikanaje mkuu?My favorite bookView attachment 1724004
Mkuu tunapataje hizi nakala?
Mkuu Kama Inawezekana nina uzoefu na namna ya kurudifisha vitabu.Tuandae online platform watu wawe wanasoma huko.Namfuatilia Dr Hery Waminian yule wa Chomoza ya Clouds watu wanatoka Sana kwenye vifungo vya fikra.Nafanya utaratibu
Aisee nitakutafuta the soonestMkuu Kama Inawezekana nina uzoefu na namna ya kurudifisha vitabu.Tuandae online platform watu wawe wanasoma huko.Namfuatilia Dr Hery Waminian yule wa Chomoza ya Clouds watu wanatoka Sana kwenye vifungo vya fikra.