Kumbukizi: Marehemu Horace Kolimba aliitwa ajieleze kwa kusema CCM imekosa dira, apumzike kwa amani


Paul Kistiki
 
Nimekumbuka miaka ile aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba aliposema CCM imekosa dira

Historia imejirudia,ila sasa wameitwa makatibu wakuu wawili,Makamba na Kinana wakajieleze

Mh. Kolimba alishaitwa mbele za haki, apumzike kwa amani
Ila kwa Makamba watachemka kama wakitaka kuketa miyeyusho ile waliyomletea Kolimba wataishia kumpet pet tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa matakataka yenu nyie maccm, hamjawahi kuwa na manufaa yoyote nchi hii
 
Balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…