Kumbukizi: Marehemu Horace Kolimba aliitwa ajieleze kwa kusema CCM imekosa dira, apumzike kwa amani

Kumbukizi: Marehemu Horace Kolimba aliitwa ajieleze kwa kusema CCM imekosa dira, apumzike kwa amani

Chama hiki kinaua watu makini kwasababu ya kuwakosoa

Chama hakijawahi kumuua mtu kwa kukosoa...Kolimba alikuwa anakifahamu chama ....akiwa siyo kiongozi alidhani angeweza kupambana kwa hoja dhidi ya wenzake...Alipoitwa kujieleza ndipo, nadhani, alipofahamu nguvu ya chama...Simply he couldn't cope with the pressure and also power of the organ-kamati kuu...alizoea kuwahoji wengine lakini alipowekwa kati ili ajieleze hakuchukua muda Aliomba maji na kuomba apumzike kidogo huku akitiririkwa na jasho...that was the end of him....Mungu amlaze mahali pema peponi...Ngoja tuone hawa wengine huku baadhi wakisema wanasubiri barua ya wito kwa hamu...mtakuja kuniambia ...wakiwa nje wanatamba .lakini wakiitwa kujieleza watabadilika mno ndani ya kikao...Baadhi ni lazima wataomba radhi kwa wenzao wanaowahoji...Baadhi hamjui nguvu ya vikao vile...Sisi wengine angalau kidogo tunafahamu ingawa siyo sana...Kamati kuu ya chama siyo chombo cha mchezo mchezo.....wait and see/hear...
 
Mangula atakuwa na hasira na makamba,kinana na membe, kipindi cha JK ilibidi Mangula akalime nyanya huko iringa, alitupwa nje "kinyama" sasa nadhani yuko katika revenge mood awashughulikie kabisa waliomfanya akapigika kimaisha

Sasa ndio anawashughulikia, Kaimu Katibu Mkuu, ni mpwaye Mangula,wote Iringa/Njombe
 
Aliyemshughulikia Magula ni Lowasa (akiwa PM) na Makamba kipindi hicho alikuwa Katibu Mkuu wa CCM, walipoondoka, Mzee Mangula alirudi akawa Makamu mwenyekiti.
Mangula atakuwa na hasira na makamba,kinana na membe, kipindi cha JK ilibidi Mangula akalime nyanya huko iringa, alitupwa nje "kinyama" sasa nadhani yuko katika revenge mood awashughulikie kabisa waliomfanya akapigika kimaisha

Sasa ndio anawashughulikia, Kaimu Katibu Mkuu, ni mpwaye Mangula,wote Iringa/Njombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chama hakijawahi kumuua mtu kwa kukosoa...Kolimba alikuwa anakifahamu chama ....akiwa siyo kiongozi alidhani angeweza kupambana kwa hoja dhidi ya wenzake...Alipoitwa kujieleza ndipo, nadhani, alipofahamu nguvu ya chama...Simply he couldn't cope with the pressure and also power of the organ-kamati kuu...alizoea kuwahoji wengine lakini alipowekwa kati ili ajieleze hakuchukua muda Aliomba maji na kuomba apumzike kidogo huku akitiririkwa na jasho...that was the end of him....Mungu amlaze mahali pema peponi...Ngoja tuone hawa wengine huku baadhi wakisema wanasubiri barua ya wito kwa hamu...mtakuja kuniambia ...wakiwa nje wanatamba .lakini wakiitwa kujieleza watabadilika mno ndani ya kikao...Baadhi ni lazima wataomba radhi kwa wenzao wanaowahoji...Baadhi hamjui nguvu ya vikao vile...Sisi wengine angalau kidogo tunafahamu ingawa siyo sana...Kamati kuu ya chama siyo chombo cha mchezo mchezo.....wait and see/hear...
Nakwambia watanyooka...
 
Ukanali na Uluteni wao siyo wa medani bali wakisiasa zaidi hivyo hautishi sana. Subiri kidogo utaelewa niyasemayo!
Uliyoyasema hapo sio breakingews kwangu nafahamu bwanamdogo
 
Jibu hoja mkuu nimeshasema na narudia tena Membe si Shushushu mmbobezi subiri kidogo matokeo utayapata. Ndani ya CCM wameshamaliza kazi. Nakutuma kamuulize wale watu wake alitaka kuwaigiza kwenye mfumo wa CCM alifanikiwa kuwaingiza wangapi?
Hawajui hawa miaka ya nyuma enzi za JK, membe ndio alikuwa na nguvu ila baada ya JK kutatwa miguu membe si lolote kwa uongozi wa sasa...

CCM bado ni imara zaidi ya wajuavyo, na mwakani Mh. Rais anapita kwa kishindo...

Muda utaongea...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka miaka ile aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba aliposema CCM imekosa dira

Historia imejirudia,ila sasa wameitwa makatibu wakuu wawili,Makamba na Kinana wakajieleze

Mh. Kolimba alishaitwa mbele za haki, apumzike kwa amani
Kifo cha Kolimba ni moja ya vivo vyenye utata sana na halikutolewa jibu. Kolimba aliingia kwenye ukumbi wa mahojiano akiwa na siha njema lakini akatolewa kwenye kitanda cha mwakisu (machela)! Kingekuwa ni kikao cha upinzani habari ingekuwa tofauti kwa wajumbe.
 
Back
Top Bottom