Kumbukizi: Marehemu Horace Kolimba aliitwa ajieleze kwa kusema CCM imekosa dira, apumzike kwa amani

Kumbukizi: Marehemu Horace Kolimba aliitwa ajieleze kwa kusema CCM imekosa dira, apumzike kwa amani

Habari wakuu,

Wakati kolimba alipotoa kauli ya kwamba CCM imepoteza dira aliitwa na kamati kuu ya CCM na mwisho wa yote tulikuja kuambiwa alikuwa na aneurysm ambayo ilipasuka tumboni baada ya presha kupanda baada ya hapo kilichotokea wote tulisema RIP.

Sasa naomba tujikumbushe waliokuwepo kwenye kamati kuu Ile ya kolimba, Mimi nitaanza kwa kuwataja baadhi ya wajumbe wa wakati ule ili kuweka kumbukumbu vizuri na tuwe na calculated guess ya kitakachotokea kwenye kamati kuu hii iliyowaita kinana, makamba na membe
1. Mkapa
2. Mangula etc
3.
4.
etc
Marehemu Ben Kiko (Benjamin Kikoti), aliyekuwa Muwakilishi wa Mkurugenzi wa RTD, kanda ya Kati wakati huo alinisimulia mwanzo- mwisho mkasa huo...

CCM ni ya kuiogopa mno ni heri kuikosoa ukiwa "nje" kulilo ukiendelea kuwa ndani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marehemu Ben Kiko (Benjamin Kikoti), aliyekuwa Muwakilishi wa Mkurugenzi wa RTD, kanda ya Kati wakati huo alinisimulia mwanzo- mwisho mkasa huo...

CCM ni ya kuiogopa mno ni heri kuikosoa ukiwa "nje" kulilo ukiendelea kuwa ndani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Eheee, tuletee sasa ile Kamati. Mimi nakumbuka nilikuwa Secondari nikisikikiza BBC NA DOCHOWERE nikapata hii Habari. Enzi hizo nafikiri Mrema ndio alikuwa yupo juu hatariiii. Miaka ya 90s. Leteni wengine tuweke record tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eheee, tuletee sasa ile Kamati. Mimi nakumbuka nilikuwa Secondari nikisikikiza BBC NA DOCHOWERE nikapata hii Habari. Enzi hizo nafikiri Mrema ndio alikuwa yupo juu hatariiii. Miaka ya 90s. Leteni wengine tuweke record tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ben Kiko, aliniambiwa " ..dogo Jamaa kauwawa Kwa sumu ilopakwa kwenye MIC tena cha ajabu hakuna Mwandishi wa habari alobaki ndani ya ukumbi kushuhudia kikao hicho na hata yeye alokuwa akimuwakilisha Mkurugenzi Mkuu RTD alitolewa nje ya ukumbi huo wa whitehouse, pale Dom....

Aliendelea kusema hicho ndo kilikuwa kikao cha kwanza cha Kamati Kuu ya CCM kumtaka naye atoke nje.....

Hayo ni machache kati ya mengi alonambia BEN KIKO (rip) nikiwa Ofcn kwake pale RTD Dom....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Wakati kolimba alipotoa kauli ya kwamba CCM imepoteza dira aliitwa na kamati kuu ya CCM na mwisho wa yote tulikuja kuambiwa alikuwa na aneurysm ambayo ilipasuka tumboni baada ya presha kupanda baada ya hapo kilichotokea wote tulisema RIP.

Sasa naomba tujikumbushe waliokuwepo kwenye kamati kuu Ile ya kolimba, Mimi nitaanza kwa kuwataja baadhi ya wajumbe wa wakati ule ili kuweka kumbukumbu vizuri na tuwe na calculated guess ya kitakachotokea kwenye kamati kuu hii iliyowaita kinana, makamba na membe
1. Mkapa
2. Mangula etc
3.
4.
etc
Unataka kusema nini kwa kutuletea hadithi ya Kolimba?
 
Back
Top Bottom