Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Kolimba alikuwa mtu was kawaida Sana Ila si hao uliowataja mmoja ni kanali mwingine luteni na wa mwisho jasusi mwanadamizi anaejua mbinu zote za mauwaji na pia wote hao wanamizizi iliyojichimbi tiss na mic achilia mbali wote ni mboni ya kikwete ukiwagusa hao unamgusa kikwete kitu ambacho ni kigumu Sana kwasababu jk Kwanza anapendwa Sana kwenye kamati kuu na kwenye majeshi pili kwenye majeshi pia jk Ana moles kibao.