Kumbukizi: Marehemu Horace Kolimba aliitwa ajieleze kwa kusema CCM imekosa dira, apumzike kwa amani

Kumbukizi: Marehemu Horace Kolimba aliitwa ajieleze kwa kusema CCM imekosa dira, apumzike kwa amani

Kolimba alikuwa mtu was kawaida Sana Ila si hao uliowataja mmoja ni kanali mwingine luteni na wa mwisho jasusi mwanadamizi anaejua mbinu zote za mauwaji na pia wote hao wanamizizi iliyojichimbi tiss na mic achilia mbali wote ni mboni ya kikwete ukiwagusa hao unamgusa kikwete kitu ambacho ni kigumu Sana kwasababu jk Kwanza anapendwa Sana kwenye kamati kuu na kwenye majeshi pili kwenye majeshi pia jk Ana moles kibao.
 
Habari wakuu,

Wakati kolimba alipotoa kauli ya kwamba CCM imepoteza dira aliitwa na kamati kuu ya CCM na mwisho wa yote tulikuja kuambiwa alikuwa na aneurysm ambayo ilipasuka tumboni baada ya presha kupanda baada ya hapo kilichotokea wote tulisema RIP.

Sasa naomba tujikumbushe waliokuwepo kwenye kamati kuu Ile ya kolimba, Mimi nitaanza kwa kuwataja baadhi ya wajumbe wa wakati ule ili kuweka kumbukumbu vizuri na tuwe na calculated guess ya kitakachotokea kwenye kamati kuu hii iliyowaita kinana, makamba na membe
1. Mkapa
2. Mangula etc
3.
4.
etc
 
Kolimba alikuwa mtu was kawaida Sana Ila si hao uliowataja mmoja ni kanali mwingine luteni na wa mwisho jasusi mwanadamizi anaejua mbinu zote za mauwaji na pia wote hao wanamizizi iliyojichimbi tiss na mic achilia mbali wote ni mboni ya kikwete ukiwagusa hao unamgusa kikwete kitu ambacho ni kigumu Sana kwasababu jk Kwanza anapendwa Sana kwenye kamati kuu na kwenye majeshi pili kwenye majeshi pia jk Ana moles kibao.
Mpambano wa wabobezi
 
Kolimba alikuwa mtu was kawaida Sana Ila si hao uliowataja mmoja ni kanali mwingine luteni na wa mwisho jasusi mwanadamizi anaejua mbinu zote za mauwaji na pia wote hao wanamizizi iliyojichimbi tiss na mic achilia mbali wote ni mboni ya kikwete ukiwagusa hao unamgusa kikwete kitu ambacho ni kigumu Sana kwasababu jk Kwanza anapendwa Sana kwenye kamati kuu na kwenye majeshi pili kwenye majeshi pia jk Ana moles kibao.
Hizo porojo sio kwa kipindi cha magu kila jiwe litapondwa hakuna litakalosalia juu ya jiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom