IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,578
- 7,774
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasubiri kuona aortic aneurysm?
Huwa nashangaa kumuona mzee fulani wa kanisa maarufu akiwa busy kuwasifia hawa mashetani watu.Chama hiki kinaua watu makini kwasababu ya kuwakosoa
Chadema wasije wakajichanganya wakarudia tena upumbavu walioufanya 2015 unaowagharimu hadi sasa kwa kumchukua Membe mwakani.
Kigogo ndiyo Nani?Kamati kuu ya maccm yupo kigogo
MAPEPE MAMUYE.Kigogo ndiyo Nani?
Hahahaaaaa....... Umenikumbusha alhaj Assad!Membe ameenda na vipaza sauti vyake pia maji ya kunywa katoka nayo Rondo
Chadema wasije wakajichanganya wakarudia tena upumbavu walioufanya 2015 unaowagharimu hadi sasa kwa kumchukua Membe mwakani.
Jibu hoja. CCM ni mfumo tena wa kishushushu usifikiri ni Saccos kama ilivyo Chadema! Chadema mfumo wake ni wa Kisaccos ndiyo maana siyo rahisi kuchukua dola labda wabadirishe mfumo wa chama chao.
Huwa nashangaa kumuona mzee fulani wa kanisa maarufu akiwa busy kuwasifia hawa mashetani watu.
Zaidi ya yale maji, kwani pia alienda na mic yake??Hahahaaaaa....... Umenikumbusha alhaj Assad!
Kinana na Makamba hawana effect kwenye kugombea Urais moja kwa moja ila bado Wana ushawishi...
Ila Bernad Member ndio wanamuhofia!
Wanafahamu na anafahamu bila nguvu hatoboi kwenye kula za maoni ndani ya CCM.
Kizuri nae ni shushushu mzoefu. Nafikiri kazi ipo.
Hawatom-kolimba bali wanaweza kutingisha uanachama wake
Mic ya nini kikao cha watu 10 tu mezani!
Muha!Kigogo ndiyo Nani?
Ma vampireHabari wakuu,
Wakati kolimba alipotoa kauli ya kwamba CCM imepoteza dira aliitwa na kamati kuu ya CCM na mwisho wa yote tulikuja kuambiwa alikuwa na aneurysm ambayo ilipasuka tumboni baada ya presha kupanda baada ya hapo kilichotokea wote tulisema RIP.
Sasa naomba tujikumbushe waliokuwepo kwenye kamati kuu Ile ya kolimba, Mimi nitaanza kwa kuwataja baadhi ya wajumbe wa wakati ule ili kuweka kumbukumbu vizuri na tuwe na calculated guess ya kitakachotokea kwenye kamati kuu hii iliyowaita kinana, makamba na membe
1. Mkapa
2. Mangula etc
3.
4.
etc
Pale wanayetaka kumkolimba ni membe tu wale wazee wengine ni wasindikizaji tuMa vampire
Asipoenda watamfanyeje?Pale wanayetaka kumkolimba ni membe tu wale wazee wengine ni wasindikizaji tu
Watamtumia watu wasiojulikana, kwanza sio ajabu sasa hivi yupo under saveyilensiAsipoenda watamfanyeje?