Kumbukizi: Mtifuano wa Tundu Lissu na Anna Makinda Bungeni. Nini cha kujifunza?

Kumbukizi: Mtifuano wa Tundu Lissu na Anna Makinda Bungeni. Nini cha kujifunza?

Salaam Wakuu,

Nimeangalia huu Mtifuano wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Wakili Tundu Lissu na aliyekuwa Spika wa Tanzania Anna Makinda.

Je, Wabunge na Wanasiasa wa kizazi hiki, kuna cha kujifunza?

Hili lilikuwa bunge la kumi Mkutano wa kumi na nane na kikao cha tatu wabishana kuhusu hoja ya dharura
View attachment 3186323
Enzi hizi siasa ilikuwa safi wakitoka hapo hawawindani hata muziki wana dance wote. Siasa haikuwa vita. Sasa hivi vijana wanatangaza kuua, kushambulia wanaokosoa majukwaani
 
Hawa chawa probably walikuwa wanatoka kamasi darasa la pili kule wakati simba anamuelekeza mama spika! Hawajui historia ya hili jamaa wanaona jepesi tu km kina kibajaji wao, wanachonga tu hapa jf leo hii
Lissu katokea tangu kitambu

..JK Murisho alijaribu akaachana naye. Kuhusu Magu kila mtu anajua kilichotokea.
 
Nimeangalia huu Mtifuano wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Wakili Tundu Lissu na aliyekuwa Spika wa Tanzania Anna Makinda.
Baada ya mtifuano yakafuata yaliyofuata

1735312517157.png

1735312562252.png
 
Salaam Wakuu,

Nimeangalia huu Mtifuano wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Wakili Tundu Lissu na aliyekuwa Spika wa Tanzania Anna Makinda.

Je, Wabunge na Wanasiasa wa kizazi hiki, kuna cha kujifunza?

Hili lilikuwa bunge la kumi Mkutano wa kumi na nane na kikao cha tatu wabishana kuhusu hoja ya dharura
View attachment 3186323
Mimi yangu ni hii:
View: https://youtu.be/_VL1dtxLG3k?si=ri33JiD25uJBTCxu na Hii:
View: https://youtu.be/4Yvp-8AKWgc?si=mCDN528JGyTjsveY na hii:
View: https://youtu.be/jLFnDZ2WiLo?si=fDlLxWLKbsHdLea1
 
sijawahi sema hivyo , labda kwa jokes, but not in a concrete statement. Quote me any such statement!
kuna muda hapa huwa tunaweka mautani..........
Hahahahahahahaha🤣🤣🤣🤣

Wewe uliyekua mpiga ndulu humu bashite ni muuaji, ccm ni wauaji, lissu kapivwa risasi na serikali, Ben saanane kauwawa na serikali. Leo unasema ulikua unatania tu🤣🤣🤣🤣

Kuna mtu alisema hakuna kazi ngumu kama kuwa upande wa mbowe, makamanda watakana kila kitu

Lissu shikilia hapo hapo.
 
Sasa mbona CCM wakiteteana tunasema hawana uzalendo kwa kufichiana maovu?. Kwamba kusema Mbowe kakosea A and B hivyo tumchague Lissu aweze kubadili mambo ndio kukigawa chama? Duh
Retired Leo kanifurahisha sana🤣🤣🤣🤣

Alikua anaomba ushahidi wa maneno ya Lissu, nami nikamuuliza kwa nini hakuleta ushahidi aliposemaga ccm ni wauaji, kwa nini alisema bashite ni muuaji bila kutuwekea ushahidi, kwa nini alisema serikali imempoteza na kumuua Ben saanane. Retired anasema alikua anatania tu, humu huwa Kuna utani Wala nisichukulie serious 🤣

Leo kamanda retired anamsafisha hadi bashite

Lissu akamatie hapo hapo...🤣🤣🤣🤣
 
Retired Leo kanifurahisha sana🤣🤣🤣🤣

Alikua anaomba ushahidi wa maneno ya Lissu, nami nikamuuliza kwa nini hakuleta ushahidi aliposemaga ccm ni wauaji, kwa nini alisema bashite ni muuaji bila kutuwekea ushahidi, kwa nini alisema serikali imempoteza na kumuua Ben saanane. Retired anasema alikua anatania tu, humu huwa Kuna utani Wala nisichukulie serious 🤣

Leo kamanda retired anamsafisha hadi bashite

Lissu akamatie hapo hapo...🤣🤣🤣🤣
TL ni fagio la wachuma wanafiki wote watajichuja.
 
Salaam Wakuu,

Nimeangalia huu Mtifuano wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Wakili Tundu Lissu na aliyekuwa Spika wa Tanzania Anna Makinda.

Je, Wabunge na Wanasiasa wa kizazi hiki, kuna cha kujifunza?

Hili lilikuwa bunge la kumi Mkutano wa kumi na nane na kikao cha tatu wabishana kuhusu hoja ya dharura
View attachment 3186323
Tundu Lissu kabla ya kujadili hoja anaanza kupinga muda aliopewa kujadili hoja 😂😂😂

Ila hili bunge baada ya migongano yote hiyo wakitoka nje wanaenda kucheza muziki pamoja.

images (5).jpeg
 
Back
Top Bottom