Kumbukizi: Mtifuano wa Tundu Lissu na Anna Makinda Bungeni. Nini cha kujifunza?

Enzi hizi siasa ilikuwa safi wakitoka hapo hawawindani hata muziki wana dance wote. Siasa haikuwa vita. Sasa hivi vijana wanatangaza kuua, kushambulia wanaokosoa majukwaani
 
Hawa chawa probably walikuwa wanatoka kamasi darasa la pili kule wakati simba anamuelekeza mama spika! Hawajui historia ya hili jamaa wanaona jepesi tu km kina kibajaji wao, wanachonga tu hapa jf leo hii
Lissu katokea tangu kitambu

..JK Murisho alijaribu akaachana naye. Kuhusu Magu kila mtu anajua kilichotokea.
 
Mimi yangu ni hii:
View: https://youtu.be/_VL1dtxLG3k?si=ri33JiD25uJBTCxu na Hii:
View: https://youtu.be/4Yvp-8AKWgc?si=mCDN528JGyTjsveY na hii:
View: https://youtu.be/jLFnDZ2WiLo?si=fDlLxWLKbsHdLea1
 
sijawahi sema hivyo , labda kwa jokes, but not in a concrete statement. Quote me any such statement!
kuna muda hapa huwa tunaweka mautani..........
Hahahahahahahaha🤣🤣🤣🤣

Wewe uliyekua mpiga ndulu humu bashite ni muuaji, ccm ni wauaji, lissu kapivwa risasi na serikali, Ben saanane kauwawa na serikali. Leo unasema ulikua unatania tu🤣🤣🤣🤣

Kuna mtu alisema hakuna kazi ngumu kama kuwa upande wa mbowe, makamanda watakana kila kitu

Lissu shikilia hapo hapo.
 
Sasa mbona CCM wakiteteana tunasema hawana uzalendo kwa kufichiana maovu?. Kwamba kusema Mbowe kakosea A and B hivyo tumchague Lissu aweze kubadili mambo ndio kukigawa chama? Duh
Retired Leo kanifurahisha sana🤣🤣🤣🤣

Alikua anaomba ushahidi wa maneno ya Lissu, nami nikamuuliza kwa nini hakuleta ushahidi aliposemaga ccm ni wauaji, kwa nini alisema bashite ni muuaji bila kutuwekea ushahidi, kwa nini alisema serikali imempoteza na kumuua Ben saanane. Retired anasema alikua anatania tu, humu huwa Kuna utani Wala nisichukulie serious 🤣

Leo kamanda retired anamsafisha hadi bashite

Lissu akamatie hapo hapo...🤣🤣🤣🤣
 
TL ni fagio la wachuma wanafiki wote watajichuja.
 
Tundu Lissu kabla ya kujadili hoja anaanza kupinga muda aliopewa kujadili hoja 😂😂😂

Ila hili bunge baada ya migongano yote hiyo wakitoka nje wanaenda kucheza muziki pamoja.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…