Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mgekuwa wazalendo msingeruhusu katiba ya kijinga kama hii ambayo imeruhusu mfumo kujaa majangili tupuUchumi uliporomoshwa na vita vya Kagera. Tulioshiriki vita vile runajua mengi acha kabisa. Kutoka Kagera hadi mpaka wa Sudan kwa Mguu huku tukisafisha vichaka. lshia hapo hapo dogo.
Tulikuwa wazalendo wa kweli.
Wengine ni watoto wa juzi hawajui chochote kuhusu sokoine.Kama hukumjua Sokoine kaa kimyaa
Alikuwa hana visa na mtu, hana majungu. Ukimshtakia kitu yeye anamtafuta huyo mtu hapo hapo na kumuuliza na kama kuna kosa anamsahihisha. Alikuwa straight forward Kama unavyowaona wamasai walivyo.
Alikuwa hasemi longolongo kama hawa wengine, waliomchukia ni wale hoarders wa bidhaa, na wahujumu uchumi kitu ambacho kila utawala bora ufanyavyo
We boya kweli aisee. Nyerere wakati wenzie wanajenga uchumi yeye ni kwenda kupiganisha mavita yasiyo na faida kwetu matokeo yake nchi ikamshinda akaamua kuachia ngazi unamlaumu sokoine?Uwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.
Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.
Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.
Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.
Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
Ikiwa mtu anashindwa kumudu maisha yake, anawezaje kuyamudu ya jirani yake?Hakuna nchi inaendeshwa na masikini, masikini hana faida yoyote
Hata kodi hata lipa, tusiendekeze umasikiniIkiwa mtu anashindwa kumudu maisha yake, anawezaje kuyamudu ya jirani yake?
Uwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.
Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.
Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.
Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.
Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
Akikuwa hataki longolongoKama hukumjua Sokoine kaa kimyaa
Alikuwa hana visa na mtu, hana majungu. Ukimshtakia kitu yeye anamtafuta huyo mtu hapo hapo na kumuuliza na kama kuna kosa anamsahihisha. Alikuwa straight forward Kama unavyowaona wamasai walivyo.
Alikuwa hasemi longolongo kama hawa wengine, waliomchukia ni wale hoarders wa bidhaa, na wahujumu uchumi kitu ambacho kila utawala bora ufanyavyo
Fisadi akiwekeza kwa "mcha Mungu", huyo mcha Mungu hawi fisadi!!??M
ata halali hamna shida mradi wanalipa kodi sawa sawa!
Tatizo ni wale matajiri wanaopiga Dili za kufa mtu hao ndio wanaoitwa mafisadi !!
Hakuna mtu anayeweza kumuita Bakhressa fisadi !
Na wapo wengine kama Bakhressa vile vile hawaitwi mafisadi !
naye ni Fisadi tu !Fisadi akiwekeza kwa "mcha Mungu", huyo mcha Mungu hawi fisadi!!??
1. Aliwakuta watu wanaficha bidhaa na wengine wanatupa baharini kukwepa ushahidi, akawaambia hapana msitupe hizo bidhaa ziuzeni wala msiogope akawaambia polisi waachieni wauze msiwashikeAkikuwa hataki longolongo
Ova
Alimteuaga babu yangu ndy alikuwa custodian mali zote walizokamata zlikuwa chini yake1. Aliwakuta watu wanaficha bidhaa na wengine wanatupa baharini kukwepa ushahidi, akawaambia hapana msitupe hizo bidhaa ziuzeni wala msiogope akawaambia polisi waachieni wauze msiwashike
2. Unajua Basi dała dała ilianza vipi? UDA hazikutosha, kukawa na watu binafsi na vibasi na vigari vyao wanabeba watu na kukimbia polisi. Sokoine baada ya kutembelea Posta akawa anashangaa hivi vigari vinabeba watu na kukimbia vikawa vinahatarisha maisha ya watu. Sokoine aliwafuata na kuwaambia msiogope bebeni watu kwa mpangilio. Akawaelekesa polisi dała dała wasishikwe. Wakati huo dollar shs 5. Ndiyo dała dała ikaanza rasmi.
This man was innovative
Waliokutwa na Mche wa Sabuni Kisura au mbuni walikamatwaUwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.
Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.
Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.
Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.
Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
Uko sahihi 100%. Ndo MAANA nchi kama marekani Hawa viongozi wakubwa LAZMA wawe matajiri...kiongozi aliezaliwa na kutopea ktk umaskini lazima anakuwa na Roho mbaya na matajiri wafanyabiashara ambao kimsingi ndo walioshikilia uchumiUwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.
Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.
Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.
Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.
Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
Mkuu kila siku unaimba mafisadi, mafisadi ndio kina nani??? Si uwataje tuwajue???Sokoine hakupendwa na Mafisadi kipindi kile na hata mafisadi wa sasa hawawezi kumpenda Sokoine na wala hawawezi kumpenda JPM milele. ! 😳🙌
Au nasema uongo ndugu zanguni ???!!
Hii si bahati mbaya.Sokoine alikuwa kichaa tu kama magufuli
Nchi hii tuna bahati mbaya ya kupata viongozi vijana wanaoact in negative direction badala ya positive direction
Nadhani tynayo katibabovu sana