Kumbukizi: Tupac na Yaki Kadafi enzi za utoto wao

Pac alikuwa na bifu na watu wengi Sanaa...kifupi nae pia alikuwa Mkorofi.

Kwani hata kabla ya kupigwa risasi masaa machache yaliyopita yeye na Suge Knight si walikuwa wametoka kumzibua chalii mmoja wa Gang nyingine?
Na huyo jamaa "Orlando Anderson" ndio akamlia Timing baadae barabarani na kumzimisha...
 
Unborn child bonge la dude na beat ya wacko jacko
 
Hapo mwisho wengi husema B.I.G. ana flow nzuri kushinda 2PAC ila mimi binafsi hadi leo huwa sikubali. 2PAC anamzidi kila kitu BIGGIE.

Hiyo ya flow nzuri ni kumuonea huruma tu BIGGIE ili aonekane kwenye mizani.
 
Hapo mwisho wengi husema B.I.G. ana flow nzuri kushinda 2PAC ila mimi binafsi hadi leo huwa sikubali. 2PAC anamzidi kila kitu BIGGIE.

Hiyo ya flow nzuri ni kumuonea huruma tu BIGGIE ili aonekane kwenye mizani.
Hata mi naonaga hivyo mkuu mi siionagi hiyo flow ambayo watu wanasema B.I.G anamzid Pac siioni,,. Pac alimzid Kila kitu big, sema ukiwa at the top watu watakutaftia mtu wakukushindanisha nae tu always, angalia hata game yetu ya bingofleva
 
Yes my Prince... Hip hop, Soul music, Rhythm and blues, country music, Rock music. Inshort napenda music 😍
Woow n so do I.
Movie n Music is my world.. I want to add you in the list.
Princess, music n movie is my world. Will you let me in your realm??🌹
 
That's why he's a legend
Sema kawatembezea kinoma noma wadada. Huyo ni dada ake WakoJako Janett Jackson
View attachment 2386436
Huyu mwamba Pac kwenye uchakataji wa mbususu hakuwa nyuma tembezea moto sana celebrities wa kike wa miaka hiyo. Wachakata mbususu tunamuenzi mwanachama mwenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…