Kumbukizi ya miaka 20 ya Moses Nnauye imetegua vitendawili vingi

Kumbukizi ya miaka 20 ya Moses Nnauye imetegua vitendawili vingi

Umeniwahi kuandika huu uzi. Ila kila kitu kina mwanzo na mwisho.

Wakiendeleza siasa zao za kujiona wengine hawafai kuongoza hii nchi kifuatacho ni kuwaachia chama chao.

Hii nchi inaenda kukombolewa 2025. JPM hakuwamaliza wahuni.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeniwahi kuandika huu uzi. Ila kila kitu kina mwanzo na mwisho.

Wakiendeleza siasa zao za kujiona wengine hawafai kuongoza hii nchi kifuatacho ni kuwaachia chama chao.

Hii nchi inaenda kukombolewa 2025. JPM hakuwamaliza wahuni.
 
View attachment 2035696
ABUU KAUTHAR

Tukio la kawaida la mkusanyiko wa watu kumkumbuka mpendwa wao limenifumbua akili na kuyajua mambo mengi kuhusu siasa za nchi hii na asili ya uhusiano wa karibu wa baadhi ya watu.

Nazungumzia kumbukizi ya miaka 20 tangu kufariki kwa mmoja wa viongozi mahiri wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Brigedia Jenerali Moses Nnauye, ambaye, kama cheo kinavyojieleza, pia aliwahi kuhudumu serikalini, jeshini huku akikumbukwa zaidi kwa kipawa chake cha muziki.

Ukiacha familia ya Nnauye mwenyewe (mjane na watoto), walikuwepo pia Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, na Makatibu wakuu wa CCM wastaafu Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba.

Orodha hii ikanikumbusha tukio lile enzi ya awamu ya tano ziliponaswa sauti zikimsema vibaya marehemu Rais wa Awamu ya Tano, John Pombe Magufuli. Ni wazee hawa, (ukimuondoa Kikwete) ndio waliosikika wakimsema vibaya marehemu. Pia alikuwemo Nape, ambaye katika mazungumzo na Mzee Makamba alisikika akimuita ‘baba’ kwa heshima zote.

Hawa jamaa pamoja na marehemu ambaye walijikusanya kumkumbuka, wametoka mbali na sio ajabu kwamba wanazeeka wakiwa na ukaribu mkubwa, sio wao tu bali hata familia zao! Naamini wapo sahihi watu waliosema kuwa kuna ‘family coalition’ (muungano wa familia) unaosaidiana kuhakikisha wanatawala nchi hii.
View attachment 2035631View attachment 2035693
Wote watatu niliowataja licha ya kulelewa ndani ya chama, pia walikuwa wanajeshi mahiri, enzi hizo wakati chama kimeshika utamu na hatamu zikiitangulia sio tu serikali bali hata jeshi. Kikwete, hadi anatoka jeshini alikuwa Luteni., Kinana alikuwa Kanali na Makamba alikuwa Luteni huku marehemu waliyekuwa wakimuadhimisha akiwa Brigedia Jenerali. Hii inaelezea hisia za kujiona wanastahili zaidi kukamata uongozi wa nchi wanayoona kuwa wameipigania chamani, jeshini na serikalini.

Ukiangalia historia zao, walianza kwenye chama pamoja,wakahudumua tena pamoja jeshini na kisha serikalini. Nnauye na Makamba walikuwa na mengine ya kuwaunganisha: sanaa. Wote walikuwa waimbaji enzi hizo. Kwa kweli, sikuwa najua kuwa Nnauye alikuwa ndio John Komba wa kwanza!

Hotuba ya Makamba ilifichua siri nyingi, ambapo alielezea ukaribu wake mkubwa na Nnauye kiasi kwamba bosi wake huyo wa zamani alimfia mkononi, akimsaidia kumtamkisha neno muhimu kwa Muislamu kulitamka kabla ya kifo: Laa Ilaaha Illa llah (Hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu).

Kinana alisema katika hotuba yake kuwa Nnauye aliacha mafunzo mawili makubwa: Kwanza kiongozi huandaliwa na pilli, mafanikio huja kwa kuwa na ‘organization’ nzuri katika taasisi. Kwangu, kauli hizi ni dongo kwa marehemu JPM ambaye anajulikana kama kiongozi aliyekosa malezi ya chama na ambaye hakuna na weledi katika organization ya chama na badala yake alikuwa mtu wa ‘matamko’.

Wapo watu waliotafsiri kusanyiko lile kuwa sio tu ni maadhimisho ya kumbumbuka Mzee Nnauye bali pia shukrani kwa kundi lile kwa Mwenyezi Mungu wao kwa kuwatoa kifungoni baada ya kuwekewa alama ya X na JPM. Sio siri kuondoka kwa JPM kumewapa ahueni Mzee Makamba na Kinana ya walau kufurahia uhuru na kutoishi kwa wasiwasi tena! Sio siri pia kuwa kuondoka kwa JPM kumefufua matumaini ya kupanda kisiasa kwa wakina Nape, Ridhwani na Januari.
View attachment 2035636View attachment 2035639
Ninachokiona ni kuwa hizi familia ziko ‘connected’ mno na kuna makubaliano mengi ya kifamilia. Nani alijua kuwa kumbe wakina Nape walikabidhiwa kwa Makamba awalee baada ya kufariki kwa mzee wao? Nani hajui kuwa Kikwete kambeba sana Januari na kumlea kisiasa? Kinana naye akawa karibu na Nape enzi zao chamani akimpa madini ya ‘organization’ ambayo naye alijifunza kwa Mzee Nnauye? Yapi mengine hatuyajui katika mikataba hii ya kifamilia?

Nikiangalia mustakbali wa nchi, nikirejea sauti zile zilizovuja za kumponda JPM hasira zao sitashangaa hawa wababe wakiichukua nchi baada ya Rais Samia kustaafu. Tayari kuna tetesi kuwa Rais Samia anapokea ushauri kutoka Mzee wa Chalinze, ambaye ndiye mzee wa hawa vijana.

Halafu vijana wako vizuri na wamejipanga hasa Januari ambaye anajulikana kama kipenzi cha watu wa mitandaoni hasa Twitter (Twitter darling), ingawa kwa upande mwingine sio siri rekodi yake ya utendaji haivutii, haishtui.
View attachment 2035656View attachment 2035662
Bila vikwazo vingine njiani, naiona serikali huko mbele ya Rais Januari, Waziri Mkuu Nape huku wakina Ridhwan, Bashe wakipewa majukumu kubwa katika Baraza la Mawaziri.

Tusubiri na tuone

View attachment 2035625

View attachment 2035632

View attachment 2035640

View attachment 2035653

View attachment 2035654
Ujinga tu! Kwani Nnauye ni maarufu kuliko Rashid Kawawa? Ni maarufu kuliko Oscar Kambona? Ni maarufu kuliko akina Kasela bantu. Hapa kuna kiwewe na kuandaa urithi wa madaraka. Siku hizi namuona Nape ana panic kila wakati, anaona amesahaulika. Bahati mbaya Nchimbi ambaye ni adui yake namba moja amerudishwa. Katikati kuna ndumilakuwili, Kikwete.

Ni hivi Nnauye alikuwa na nafasi kama wengine katika chama. Aliwabeba akina makamba baada ya kufukuzwa ualimu kwa kumpa mwanafunzi mimba, na leo hii hasemi ujinga wake. Walikuwepo akina kanali Mwasomola ambao leo hii hawasikiki, akina Kolimba. Mwinyi alipopata urais Kikwete alikuwa katibu wa CCM wa wilaya Masasi au Nachingwea ambako alifahamiana na Nnauye. Nnauye ndo mtu aliyemuombea uwaziri Kikwete na kwa upendeleo wa kidini ndani yake, Mwinyi akamteua kuwa Naibu waziri akitokea wilayani, siyo hata mkoani!
Leo hii Kikwete anamtukuza Nnauye siyo kwa umaarufu wa kisiasa, bali kwa kumshika mkono na kumtambulisha kwa Mwinyi. Nape naye alilindwa na Kikwete akapewa mkuu wa wilaya na kumuepusha na uadui wake na Nchimbi. Wakati huo huo Nchimbi anajiona ni raifiki sana wa Kikwete. Undumilakuwili huo!!!!
 
View attachment 2035696
ABUU KAUTHAR

Tukio la kawaida la mkusanyiko wa watu kumkumbuka mpendwa wao limenifumbua akili na kuyajua mambo mengi kuhusu siasa za nchi hii na asili ya uhusiano wa karibu wa baadhi ya watu.

Nazungumzia kumbukizi ya miaka 20 tangu kufariki kwa mmoja wa viongozi mahiri wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Brigedia Jenerali Moses Nnauye, ambaye, kama cheo kinavyojieleza, pia aliwahi kuhudumu serikalini, jeshini huku akikumbukwa zaidi kwa kipawa chake cha muziki.

Ukiacha familia ya Nnauye mwenyewe (mjane na watoto), walikuwepo pia Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, na Makatibu wakuu wa CCM wastaafu Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba.

Orodha hii ikanikumbusha tukio lile enzi ya awamu ya tano ziliponaswa sauti zikimsema vibaya marehemu Rais wa Awamu ya Tano, John Pombe Magufuli. Ni wazee hawa, (ukimuondoa Kikwete) ndio waliosikika wakimsema vibaya marehemu. Pia alikuwemo Nape, ambaye katika mazungumzo na Mzee Makamba alisikika akimuita ‘baba’ kwa heshima zote.

Hawa jamaa pamoja na marehemu ambaye walijikusanya kumkumbuka, wametoka mbali na sio ajabu kwamba wanazeeka wakiwa na ukaribu mkubwa, sio wao tu bali hata familia zao! Naamini wapo sahihi watu waliosema kuwa kuna ‘family coalition’ (muungano wa familia) unaosaidiana kuhakikisha wanatawala nchi hii.


Wote watatu niliowataja licha ya kulelewa ndani ya chama, pia walikuwa wanajeshi mahiri, enzi hizo wakati chama kimeshika utamu na hatamu zikiitangulia sio tu serikali bali hata jeshi. Kikwete, hadi anatoka jeshini alikuwa Luteni., Kinana alikuwa Kanali na Makamba alikuwa Luteni huku marehemu waliyekuwa wakimuadhimisha akiwa Brigedia Jenerali. Hii inaelezea hisia za kujiona wanastahili zaidi kukamata uongozi wa nchi wanayoona kuwa wameipigania chamani, jeshini na serikalini.

Ukiangalia historia zao, walianza kwenye chama pamoja,wakahudumua tena pamoja jeshini na kisha serikalini. Nnauye na Makamba walikuwa na mengine ya kuwaunganisha: sanaa. Wote walikuwa waimbaji enzi hizo. Kwa kweli, sikuwa najua kuwa Nnauye alikuwa ndio John Komba wa kwanza!

Hotuba ya Makamba ilifichua siri nyingi, ambapo alielezea ukaribu wake mkubwa na Nnauye kiasi kwamba bosi wake huyo wa zamani alimfia mkononi, akimsaidia kumtamkisha neno muhimu kwa Muislamu kulitamka kabla ya kifo: Laa Ilaaha Illa llah (Hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu).

Kinana alisema katika hotuba yake kuwa Nnauye aliacha mafunzo mawili makubwa: Kwanza kiongozi huandaliwa na pilli, mafanikio huja kwa kuwa na ‘organization’ nzuri katika taasisi. Kwangu, kauli hizi ni dongo kwa marehemu JPM ambaye anajulikana kama kiongozi aliyekosa malezi ya chama na ambaye hakuna na weledi katika organization ya chama na badala yake alikuwa mtu wa ‘matamko’.

Wapo watu waliotafsiri kusanyiko lile kuwa sio tu ni maadhimisho ya kumbumbuka Mzee Nnauye bali pia shukrani kwa kundi lile kwa Mwenyezi Mungu wao kwa kuwatoa kifungoni baada ya kuwekewa alama ya X na JPM. Sio siri kuondoka kwa JPM kumewapa ahueni Mzee Makamba na Kinana ya walau kufurahia uhuru na kutoishi kwa wasiwasi tena! Sio siri pia kuwa kuondoka kwa JPM kumefufua matumaini ya kupanda kisiasa kwa wakina Nape, Ridhwani na Januari.


Ninachokiona ni kuwa hizi familia ziko ‘connected’ mno na kuna makubaliano mengi ya kifamilia. Nani alijua kuwa kumbe wakina Nape walikabidhiwa kwa Makamba awalee baada ya kufariki kwa mzee wao? Nani hajui kuwa Kikwete kambeba sana Januari na kumlea kisiasa? Kinana naye akawa karibu na Nape enzi zao chamani akimpa madini ya ‘organization’ ambayo naye alijifunza kwa Mzee Nnauye? Yapi mengine hatuyajui katika mikataba hii ya kifamilia?

Nikiangalia mustakbali wa nchi, nikirejea sauti zile zilizovuja za kumponda JPM hasira zao sitashangaa hawa wababe wakiichukua nchi baada ya Rais Samia kustaafu. Tayari kuna tetesi kuwa Rais Samia anapokea ushauri kutoka Mzee wa Chalinze, ambaye ndiye mzee wa hawa vijana.

Halafu vijana wako vizuri na wamejipanga hasa Januari ambaye anajulikana kama kipenzi cha watu wa mitandaoni hasa Twitter (Twitter darling), ingawa kwa upande mwingine sio siri rekodi yake ya utendaji haivutii, haishtui.


Bila vikwazo vingine njiani, naiona serikali huko mbele ya Rais Januari, Waziri Mkuu Nape huku wakina Ridhwan, Bashe wakipewa majukumu kubwa katika Baraza la Mawaziri.

Tusubiri na tuone

Sifa kuu ya nyie watu ni kuhisi watu na kuwahukumu watu kwa hisia zenu!

Ndo mana hata huko kwenu mnaua vikongwe kwa kuwahusi ni wachawi kwa sababu tu wana macho mekundu.

Kubalini nyie ni washamba tu

Unaongelea kungamano kuwepo Kikwete, Makamba, Nape na Bashe Mbona husemi Getrude Mongela? Mbona husemi Jaji Warioba? ambao nao wote walikuwa kwenye kungamano!

Nyie watu mnajulikana mmejaa ubaguzi na roho mbaya na ukabila ni kutokana na asili yenu kuwa Rwanda na Burundi!

Kwani kumsema vibaya JPM ni nini? Ye nani asisemwe vibaya? Mnaabudu watu Kama miungu Ndo mana Mungu amewafundisha kupitia corona!

Mnajivika usukuma wakati sio Watanzania!

Wapuuzi nyie!
 
Nchi hii bila jeshi kuchukua hatua tutakuwa watumwa wa mafisadi milele!
Jeshi lichukue hatua gani kama wananchi hamto act kwanza😅! Jeshi ni la wananchi Tanzania.

Kwa ubinafsi unaoendelea na lack of solidarity tutaendelea kuminywa kende mpaka kiama chetu! Watu wachache wamejimilikisha utawala wao na familia zao ndio maana miaka nenda rudi sura ni zile zile 😅 licha ya maraisi kubadilika😅!

Atachukua January marope na kumpa Nape uwaziri mkuu ni mwendo wa kubunya tozo tu za wanyonge🤣! Trend inaendelea ni kuwapa watoto wao life na jamaa zao sie tutaota mvi na kufa 😎
 
Sifa kuu ya nyie watu ni kuhisi watu na kuwahukumu watu kwa hisia zenu!

Ndo mana hata huko kwenu mnaua vikongwe kwa kuwahusi ni wachawi kwa sababu tu wana macho mekundu.

Kubalini nyie ni washamba tu

Unaongelea kungamano kuwepo Kikwete, Makamba, Nape na Bashe Mbona husemi Getrude Mongela? Mbona husemi Jaji Warioba? ambao nao wote walikuwa kwenye kungamano!

Nyie watu mnajulikana mmejaa ubaguzi na Ila Ila na hii ni kutokana na asili yenu kuwa Rwanda na Burundi!

Mnakivika usukuma wakati sio Watanzania!

Wapuuzi nyie!
Akiwemo babaako maana ni msengerema nae😅
 
Sifa kuu ya nyie watu ni kuhisi watu na kuwahukumu watu kwa hisia zenu!

Ndo mana hata huko kwenu mnaua vikongwe kwa kuwahusi ni wachawi kwa sababu tu wana macho mekundu.

Kubalini nyie ni washamba tu

Unaongelea kungamano kuwepo Kikwete, Makamba, Nape na Bashe Mbona husemi Getrude Mongela? Mbona husemi Jaji Warioba? ambao nao wote walikuwa kwenye kungamano!

Nyie watu mnajulikana mmejaa ubaguzi na roho mbaya na ukabila ni kutokana na asili yenu kuwa Rwanda na Burundi!

Kwani kumsema vibaya JPM ni nini? Ye nani asisemwe vibaya? Mnaabudu watu Kama miungu Ndo mana Mungu amewafundisha kupitia corona!

Mnajivika usukuma wakati sio Watanzania!

Wapuuzi nyie!
Sifa kuu ya nyie watu ni kuhisi watu na kuwahukumu watu kwa hisia zenu!

Ndo mana hata huko kwenu mnaua vikongwe kwa kuwahusi ni wachawi kwa sababu tu wana macho mekundu.

Kubalini nyie ni washamba tu

Unaongelea kungamano kuwepo Kikwete, Makamba, Nape na Bashe Mbona husemi Getrude Mongela? Mbona husemi Jaji Warioba? ambao nao wote walikuwa kwenye kungamano!

Nyie watu mnajulikana mmejaa ubaguzi na roho mbaya na ukabila ni kutokana na asili yenu kuwa Rwanda na Burundi!

Kwani kumsema vibaya JPM ni nini? Ye nani asisemwe vibaya? Mnaabudu watu Kama miungu Ndo mana Mungu amewafundisha kupitia corona!

Mnajivika usukuma wakati sio Watanzania!

Wapuuzi nyie!
Hahaha ...jifunze kusoma kusoma kilichoandikwa na kuelewa. Suala sio watu waliokusanyika bali ni watu ambao historia zao zinashikana, wametoka mbali na wameungana hadi kifamilia
 
Sifa kuu ya nyie watu ni kuhisi watu na kuwahukumu watu kwa hisia zenu!

Ndo mana hata huko kwenu mnaua vikongwe kwa kuwahusi ni wachawi kwa sababu tu wana macho mekundu.

Kubalini nyie ni washamba tu

Unaongelea kungamano kuwepo Kikwete, Makamba, Nape na Bashe Mbona husemi Getrude Mongela? Mbona husemi Jaji Warioba? ambao nao wote walikuwa kwenye kungamano!

Nyie watu mnajulikana mmejaa ubaguzi na roho mbaya na ukabila ni kutokana na asili yenu kuwa Rwanda na Burundi!

Kwani kumsema vibaya JPM ni nini? Ye nani asisemwe vibaya? Mnaabudu watu Kama miungu Ndo mana Mungu amewafundisha kupitia corona!

Mnajivika usukuma wakati sio Watanzania!

Wapuuzi nyie!
Sasa wew apo umekemea Nini na mwisho umesema Nini yani mtu kutusiwa wazi wazi unaona kawaida?
 
Kila taifa kuna loyal family katika utawala ukianza Marekani kuna Rais George Bush Senior na George Bush Junior wote wametawala kwa wakati tofauti huko Kenya kuna Rais Jomo Kenyatta na Rais Uhuru Kenyatta. Si ajabu na hapa Tanzania tukapata Rais kutoka kwenye mfumo huo.
Ni kweli kabisa, mfumo wa kurithishana unakuwepo kwenye nchi nyingi hasa huko USA. Mfano wa Bush baba, Bush mtoto, na Bush mtoto mwengine alikuwa Gavana wa Florida na ndiye aliyefanya figisu wakati wa uchaguzi kumpa ushindi wa kura Bush kaka yake na ukamfanya Al Gore akashindwa uchaguzi ule.
 
Unafahamu wagombea urais wa Marekani hawapatikani kwa watu kuja kamati kuu na majina yao mfukoni?
Umewahi kujua mtoto mmojawapo wa Bush alishindwa vibaya na Trump kwa KURA ZA WANACHAMA?
Ni kweli kabisa, mfumo wa kurithishana unakuwepo kwenye nchi nyingi hasa huko USA. Mfano wa Bush baba, Bush mtoto, na Bush mtoto mwengine alikuwa Gavana wa Florida na ndiye aliyefanya figisu wakati wa uchaguzi kumpa ushindi wa kura Bush kaka yake na ukamfanya Al Gore akashindwa uchaguzi ule.
 
View attachment 2035696
ABUU KAUTHAR

Tukio la kawaida la mkusanyiko wa watu kumkumbuka mpendwa wao limenifumbua akili na kuyajua mambo mengi kuhusu siasa za nchi hii na asili ya uhusiano wa karibu wa baadhi ya watu.

Nazungumzia kumbukizi ya miaka 20 tangu kufariki kwa mmoja wa viongozi mahiri wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Brigedia Jenerali Moses Nnauye, ambaye, kama cheo kinavyojieleza, pia aliwahi kuhudumu serikalini, jeshini huku akikumbukwa zaidi kwa kipawa chake cha muziki.

Ukiacha familia ya Nnauye mwenyewe (mjane na watoto), walikuwepo pia Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, na Makatibu wakuu wa CCM wastaafu Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba.

Orodha hii ikanikumbusha tukio lile enzi ya awamu ya tano ziliponaswa sauti zikimsema vibaya marehemu Rais wa Awamu ya Tano, John Pombe Magufuli. Ni wazee hawa, (ukimuondoa Kikwete) ndio waliosikika wakimsema vibaya marehemu. Pia alikuwemo Nape, ambaye katika mazungumzo na Mzee Makamba alisikika akimuita ‘baba’ kwa heshima zote.

Hawa jamaa pamoja na marehemu ambaye walijikusanya kumkumbuka, wametoka mbali na sio ajabu kwamba wanazeeka wakiwa na ukaribu mkubwa, sio wao tu bali hata familia zao! Naamini wapo sahihi watu waliosema kuwa kuna ‘family coalition’ (muungano wa familia) unaosaidiana kuhakikisha wanatawala nchi hii.


Wote watatu niliowataja licha ya kulelewa ndani ya chama, pia walikuwa wanajeshi mahiri, enzi hizo wakati chama kimeshika utamu na hatamu zikiitangulia sio tu serikali bali hata jeshi. Kikwete, hadi anatoka jeshini alikuwa Luteni., Kinana alikuwa Kanali na Makamba alikuwa Luteni huku marehemu waliyekuwa wakimuadhimisha akiwa Brigedia Jenerali. Hii inaelezea hisia za kujiona wanastahili zaidi kukamata uongozi wa nchi wanayoona kuwa wameipigania chamani, jeshini na serikalini.

Ukiangalia historia zao, walianza kwenye chama pamoja,wakahudumua tena pamoja jeshini na kisha serikalini. Nnauye na Makamba walikuwa na mengine ya kuwaunganisha: sanaa. Wote walikuwa waimbaji enzi hizo. Kwa kweli, sikuwa najua kuwa Nnauye alikuwa ndio John Komba wa kwanza!

Hotuba ya Makamba ilifichua siri nyingi, ambapo alielezea ukaribu wake mkubwa na Nnauye kiasi kwamba bosi wake huyo wa zamani alimfia mkononi, akimsaidia kumtamkisha neno muhimu kwa Muislamu kulitamka kabla ya kifo: Laa Ilaaha Illa llah (Hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu).

Kinana alisema katika hotuba yake kuwa Nnauye aliacha mafunzo mawili makubwa: Kwanza kiongozi huandaliwa na pilli, mafanikio huja kwa kuwa na ‘organization’ nzuri katika taasisi. Kwangu, kauli hizi ni dongo kwa marehemu JPM ambaye anajulikana kama kiongozi aliyekosa malezi ya chama na ambaye hakuna na weledi katika organization ya chama na badala yake alikuwa mtu wa ‘matamko’.

Wapo watu waliotafsiri kusanyiko lile kuwa sio tu ni maadhimisho ya kumbumbuka Mzee Nnauye bali pia shukrani kwa kundi lile kwa Mwenyezi Mungu wao kwa kuwatoa kifungoni baada ya kuwekewa alama ya X na JPM. Sio siri kuondoka kwa JPM kumewapa ahueni Mzee Makamba na Kinana ya walau kufurahia uhuru na kutoishi kwa wasiwasi tena! Sio siri pia kuwa kuondoka kwa JPM kumefufua matumaini ya kupanda kisiasa kwa wakina Nape, Ridhwani na Januari.


Ninachokiona ni kuwa hizi familia ziko ‘connected’ mno na kuna makubaliano mengi ya kifamilia. Nani alijua kuwa kumbe wakina Nape walikabidhiwa kwa Makamba awalee baada ya kufariki kwa mzee wao? Nani hajui kuwa Kikwete kambeba sana Januari na kumlea kisiasa? Kinana naye akawa karibu na Nape enzi zao chamani akimpa madini ya ‘organization’ ambayo naye alijifunza kwa Mzee Nnauye? Yapi mengine hatuyajui katika mikataba hii ya kifamilia?

Nikiangalia mustakbali wa nchi, nikirejea sauti zile zilizovuja za kumponda JPM hasira zao sitashangaa hawa wababe wakiichukua nchi baada ya Rais Samia kustaafu. Tayari kuna tetesi kuwa Rais Samia anapokea ushauri kutoka Mzee wa Chalinze, ambaye ndiye mzee wa hawa vijana.

Halafu vijana wako vizuri na wamejipanga hasa Januari ambaye anajulikana kama kipenzi cha watu wa mitandaoni hasa Twitter (Twitter darling), ingawa kwa upande mwingine sio siri rekodi yake ya utendaji haivutii, haishtui.


Bila vikwazo vingine njiani, naiona serikali huko mbele ya Rais Januari, Waziri Mkuu Nape huku wakina Ridhwan, Bashe wakipewa majukumu kubwa katika Baraza la Mawaziri.

Tusubiri na tuone

Bandiko bora sana la week
Kwangu linaongoza this week's political analysis
 
Ni kweli kabisa, mfumo wa kurithishana unakuwepo kwenye nchi nyingi hasa huko USA. Mfano wa Bush baba, Bush mtoto, na Bush mtoto mwengine alikuwa Gavana wa Florida na ndiye aliyefanya figisu wakati wa uchaguzi kumpa ushindi wa kura Bush kaka yake na ukamfanya Al Gore akashindwa uchaguzi ule.
Inasaidia sana kama warithi wana akili timamu. Sasa umpe Nape au Makamba! Watu ambao hata shule iliwagomea! watupeleke wapi?
 
Back
Top Bottom