Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Hana mtoto hata wa dawa mkuuKinana watoto wake hawataki uongozi mbona hawaonekaniki
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mtoto hata wa dawa mkuuKinana watoto wake hawataki uongozi mbona hawaonekaniki
Huko mbele itakuwa hatari mkuu?Ama kweli nchi hii ni ya wenye nchi.
Sukuma gang watapukutishwa sana siku za mbeleni.
Nawaonea huruma sana sukuma gang!
Kafanikiwa kuwaficha kweli... Yule Mbunge aliekamatwa kwa ujangili sio mwanae?
Mzee alikuwa msela mavi,alimaindi sana [emoji160] na [emoji485]Ni kweli Brig. Nnauye alikufa bila nyumba?
Aliyemuombea Kikwete uwaziri kwa Mwinyi ni Wariobya sio Nnauye.Ujinga tu! Kwani Nnauye ni maarufu kuliko Rashid Kawawa? Ni maarufu kuliko Oscar Kambona? Ni maarufu kuliko akina Kasela bantu. Hapa kuna kiwewe na kuandaa urithi wa madaraka. Siku hizi namuona Nape ana panic kila wakati, anaona amesahaulika. Bahati mbaya Nchimbi ambaye ni adui yake namba moja amerudishwa. Katikati kuna ndumila kuwili, Kikwete.
Ni hivi Nnauye alikuwa na nafasi kama wengine katika chama. Aliwabeba akina makamba baada ya kufukuzwa ualimu kwa kumpa mwanafunzi mimba, na leo hii hasemi ujinga wake. Walikuwepo akina kanali Mwasomola ambao leo hii hawasikiki, akina Kolimba. Mwinyi alipopata urais Kikwete alikuwa katibu wa CCM wa wilaya Masasi au Nachingwea ambako alifahamiana na Nnauye. Nnauye ndo mtu aliyemuombea uwaziri Kikwete bna kwa upendeleo wa kidini ndani yake, Mwinyi akamteua kuwa Naibu waziri akitokea wilayani, siyo hata mkoani!
Leo hii Kikwete anamtukuza Nnauye siyo kwa umaarufu wa kisiasa, bali kwa kumshika mkono na kumtambulisha kwa Mwinyi. Nnauye naye alilindwa na Kikwete akapewa mkuu wa wilaya na kumuepusha na uadui wake na Nchimbi. Wakati huo huo Nchimbi anajiona ni raifiki sana wa Kikwete. Undumila kuwili huo!!!!
Halafu mkwere akamtuma Bashite ampige makofi warioba?Au?Haya maisha haya jamani dah!!Aliyemuombea Kikwete uwaziri kwa Mwinyi ni Wariobya sio Nnauye.
Afadhali tuongozwe na mafisadi kuliko wauwaji ambao ni mafisadi piaNchi hii bila jeshi kuchukua hatua tutakuwa watumwa wa mafisadi milele!
Kama ndo unavyowaza dah hujitambuiAiseh!tukubali yaishe!sema hawa jamaa huwa wanatujali walau kidogo!!!Kikwete na Mwinyi senior wametujali angalau!!
Jeshi lenyewe lina mafisadi kibao, unafikiri wakishika madaraka ndio ufisadi utaisha? Ufisadi ni tabia hulks malezi na nystatin mzeeNchi hii bila jeshi kuchukua hatua tutakuwa watumwa wa mafisadi milele!
Naomba nitumie kiingereza ili uelewe namaanisha nini. I meant you feel happy to be defiled. Kikwete, and co are desecrating our country yet we have people like you who feel the sweetness of their acts! What a shame!Tatizo unadhani kila mtu ana tabia kama yako...
Au umeshaacha ushoga?
Nape ni mtoto wa Prof.MwandosaKitendawili kimoja wapo ni kuwa nani hii siyo mtoto wake?
Kwani shida nini?!wakati JPM anataka "ku populate"civil service na ngazi zote za uongozi serikalini na sukuma gang,si mliona Raha!na sie hatukuwa na nongwa!!maana hata kama jamaa alikuwa anajaza kabila lake na maswaiba zake,tukasema,to hell with it,at the end of the day hata hao sukuma gang si watanzania,wacha wale nchi,kutesa kwa zamu.
Sasa hv zamu ya wengine,na nyie tulieni hivyo hivyo na Hawa wale nchi.
Kwamba alizivujisha ili aishi miaka 100? Unajua impacts za hizo clip? nenda kwenye page za wahusika ndio utajua jamii ililichukuliaje suala hiloIngawa haikusaidia maana leo yupo wapi?
Lichukue hatua mara ngapi!? Limeisha wahi kupata mtu wao ikulu, na watu wao kwenye chama unataka lifanye nini sasa! Au hukuelewa kusanyiko. Tatizo mnalitwika jeshi majukumu ambayo siyo yake! Acheni jeshi lifanye kazi za kijeshi.Nchi hii bila jeshi kuchukua hatua tutakuwa watumwa wa mafisadi milele!
Apart from hayo makundi, unadhani hakuna watanzania wengine wenye karama ya uongozi, sasa unajiita raisi ajaye alafu unaishi kwa kutegemea kudra za waliokupatia sh 100 kwenye bil walizochota then unaona wanakujaliAiseh!tukubali yaishe!sema hawa jamaa huwa wanatujali walau kidogo!!!Kikwete na Mwinyi senior wametujali angalau!!
Wakati Sukuma Gan wanapukutishwa, jiulize wewe na uzao wako mtafaidika vipi akina Nape na January wakiwa wanakula keki ya taifa?Ama kweli nchi hii ni ya wenye nchi.
Sukuma gang watapukutishwa sana siku za mbeleni.
Nawaonea huruma sana sukuma gang!