Kumbukizi ya miaka 20 ya Moses Nnauye imetegua vitendawili vingi

Apart from hayo makundi, unadhani hakuna watanzania wengine wenye karama ya uongozi, sasa unajiita raisi ajaye alafu unaishi kwa kutegemea kudra za waliokupatia sh 100 kwenye bil walizochota then unaona wanakujali
Sio lazima niwe Raisi wa Tanzania Hata Burundi,Rwanda na Congo panafaa!Nitawatumia Boys 2 men kusimikwa huko!!!
 
Hiyo kauli ya kuwashwawashwa mbona aliitoa kitambo kabla ya sauti kuvuja?
 
Umeniwahi kuandika huu uzi. Ila kila kitu kina mwanzo na mwisho.

Wakiendeleza siasa zao za kujiona wengine hawafai kuongoza hii nchi kifuatacho ni kuwaachia chama chao.

Hii nchi inaenda kukombolewa 2025. JPM hakuwamaliza wahuni.
So na nyie sasa mnataka katiba mpya? Au wahuni mtawaondoaje?
 

Nani sasa aliyewapa hati miliki ya kutawala? Tuwape watu madaraka kwa uwezo na sifa zao. Sio kurithishana
 
Katiba mpya utaipata wapi ndugu? Katiba haipatikani kwa maneno laini.

Jifunze hata kwa kuangalia nchi zote zilizofikia hatua ya kuandika katiba mpya nini kilitokea kwanza?
Walibondana hadi wale wabishi walioshika hatam walipofumuliwa 0713... ndo katiba ikapatikana
 
Uadui wa Nchimbi na Nape ulianzia wapi mkuu kama hutojari nifumbue macho wengine siasa imetupita pembeni.
 
Walibondana hadi wale wabishi walioshika hatam walipofumuliwa 0713... ndo katiba ikapatikana
Ewaaaaa! Bila hayo kufanyika hakuna katiba halisi inaweza kuandikwa. Pigia mstari neno HALISI.

Kunaweza kuandikwa katiba ya kisanii lkn Ikawa si ile inayojibu changamoto za nchi husika bali inayompendelea mtawala.
 
Sisi Sukuma Gang hatutakubali kabisa lazima turudi ulingoni tena, afe beki afe kipa,ujinga wakati wa kwenda tu,tumeshajua kila kitu walichofanya hawa Msoga Gang.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums
Genge la Wasukuma hawatafika popote, hawana uwezo wa kifedha lakini wanao wingi wa watu. Hata kipindi ya JPM walikuwa wamegawanyika na kuanza kuwa na ubaguzi wa kimaeneo.
 
Sisi Sukuma Gang hatutakubali kabisa lazima turudi ulingoni tena, afe beki afe kipa,ujinga wakati wa kwenda tu,tumeshajua kila kitu walichofanya hawa Msoga Gang.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Dawa yenu ni kuwaamsha wananchi kuwakataa wote make nia zenu si njema... mnawachezea wananchi wanafikiri ccm ni chama kumbe ni genge la kinafiki na ujambazi...
 
Katiba mpya iliyo thabiti ndio itatoa fursa sawa hata kwa mtoto wa muuza vitumbua kupenya hadi katika meza kuu yenye keki ya taifa.
Vingenevyo ni maumivu tu.
Mbona John Pombe Magufuli na Samia Suluhu Hassan wamepenya hadi hightable kwa Katiba hii mbovu
 
Ama kweli nchi hii ni ya wenye nchi.

Sukuma gang watapukutishwa sana siku za mbeleni.

Nawaonea huruma sana sukuma gang!
Kati ya vitu tunavyo weza kuja kuvijutia baadaye ni haya majina tunayo yaandika sana Sukuma gang ,Msoga gang na mengine yanayo fanana na hayo.

Nchi yetu ni ya watanzania wote bila kujari mkoa au Kijiji anacho tokea.
 
Reactions: Ame
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…