Kumbukizi ya Nyerere: Familia ya Mwalimu Nyerere yawataka wasanii kuacha kutumia jina la Baba wa Taifa kama ubin wao

Kumbukizi ya Nyerere: Familia ya Mwalimu Nyerere yawataka wasanii kuacha kutumia jina la Baba wa Taifa kama ubin wao

Mtu kama unafanya mambo mazuri katika jamii sidhani wahusika wataona aibu ukijihusisha na ubini wao.

Sasa bwana Steve naona hujakubalika na wahusika wa jina la Nyerere.

Jichunguze kuna kitu unakifanya wazi wazi au sirini hakina sifa nzuri kwa jamii.
 
Madaraka amemtolea mfano Steve Mengele maarufu kama @stevenyerere2 na kumtaka msanii huyo na waandishi wa habari kuanza kutumia jina lake halisi ili kuondoa mkanganyiko unaojitokeza kwa baadhi ya watu pamoja na familia kwa ujumla kwani na wao wana mwanafamilia aitwae Steven
Nyundo ya moto kichwani👍
 
Madaraka aache kujificha ficha aingie kwenye siasa afanye Kaz kama Baba yake, wapo watu wengi sana wa kumsaidia kutunza hizo kumbukumbu hapo...

Anagombea jimbo anaanza kutema cheche.. umri umeenda sana kuishia kutoa statements za jumla jumla .. kwani hao wasanii hawafahamiki Ili muwalime barua
Kamtaja steve
 
Siafiki hata kidogo
Kwani kuna Ubaya gani
Mbona kawaida
Wanajiita diamond ni wengi
Wengine wanajiita kondeboy
Kuna Dada huku anaitwa Ray c
Kuna akina Beyonce wengi tu
Kuna watu wanaitwa Mayele

Yote hiyo ni kuonesha upendo tu
Na riziki wanapatia humo humo
Kwanza unakataza kwa msingi gani, sheria gani
Huenda huyo waliyemtaja ana jambo jingine limejificha
 
Madaraka aache kujificha ficha aingie kwenye siasa afanye Kaz kama Baba yake, wapo watu wengi sana wa kumsaidia kutunza hizo kumbukumbu hapo...

Anagombea jimbo anaanza kutema cheche.. umri umeenda sana kuishia kutoa statements za jumla jumla .. kwani hao wasanii hawafahamiki Ili muwalime barua
alijaribu kugombea ubunge jimbo la butiama na alishindwa vibaya
 
Siafiki hata kidogo
Kwani kuna Ubaya gani
Mbona kawaida
Wanajiita diamond ni wengi
Wengine wanajiita kondeboy
Kuna Dada huku anaitwa Ray c
Kuna akina Beyonce wengi tu
Kuna watu wanaitwa Mayele

Yote hiyo ni kuonesha upendo tu
Na riziki wanapatia humo humo
Kwanza unakataza kwa msingi gani, sheria gani
Umeelewa alichokisema?hebu soma tena utaelewa,hajazungumzia majina ya bandia amezungumzia jina halisi la ukoo
 
Siafiki hata kidogo
Kwani kuna Ubaya gani
Mbona kawaida
Wanajiita diamond ni wengi
Wengine wanajiita kondeboy
Kuna Dada huku anaitwa Ray c
Kuna akina Beyonce wengi tu
Kuna watu wanaitwa Mayele

Yote hiyo ni kuonesha upendo tu
Na riziki wanapatia humo humo
Kwanza unakataza kwa msingi gani, sheria gani
Umeandika mashudu
 
Nyerere alikosea sana kuto wasomesha watoto.

Mtu kuchagua jina si ni jambo la hiyari yake ?

Kwani Nyerere wa kwanza ni huyo baba yao?

Kwani kila Nyerere ni Kambarage ?

Hakuna hatia miliki ya Jina, watu wanaojiita Yesu sembuse Nyerere.

Maendeleo hayana Chama.
 
Siafiki hata kidogo
Kwani kuna Ubaya gani
Mbona kawaida
Wanajiita diamond ni wengi
Wengine wanajiita kondeboy
Kuna Dada huku anaitwa Ray c
Kuna akina Beyonce wengi tu
Kuna watu wanaitwa Mayele

Yote hiyo ni kuonesha upendo tu
Na riziki wanapatia humo humo
Kwanza unakataza kwa msingi gani, sheria gani
Una akili ndogo, imwagilie ikue
 
Back
Top Bottom