Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mtu kama unafanya mambo mazuri katika jamii sidhani wahusika wataona aibu ukijihusisha na ubini wao.
Sasa bwana Steve naona hujakubalika na wahusika wa jina la Nyerere.
Jichunguze kuna kitu unakifanya wazi wazi au sirini hakina sifa nzuri kwa jamii.
Sasa bwana Steve naona hujakubalika na wahusika wa jina la Nyerere.
Jichunguze kuna kitu unakifanya wazi wazi au sirini hakina sifa nzuri kwa jamii.