Nyundo ya moto kichwani👍Madaraka amemtolea mfano Steve Mengele maarufu kama @stevenyerere2 na kumtaka msanii huyo na waandishi wa habari kuanza kutumia jina lake halisi ili kuondoa mkanganyiko unaojitokeza kwa baadhi ya watu pamoja na familia kwa ujumla kwani na wao wana mwanafamilia aitwae Steven
Kamtaja steveMadaraka aache kujificha ficha aingie kwenye siasa afanye Kaz kama Baba yake, wapo watu wengi sana wa kumsaidia kutunza hizo kumbukumbu hapo...
Anagombea jimbo anaanza kutema cheche.. umri umeenda sana kuishia kutoa statements za jumla jumla .. kwani hao wasanii hawafahamiki Ili muwalime barua
Huenda huyo waliyemtaja ana jambo jingine limejifichaSiafiki hata kidogo
Kwani kuna Ubaya gani
Mbona kawaida
Wanajiita diamond ni wengi
Wengine wanajiita kondeboy
Kuna Dada huku anaitwa Ray c
Kuna akina Beyonce wengi tu
Kuna watu wanaitwa Mayele
Yote hiyo ni kuonesha upendo tu
Na riziki wanapatia humo humo
Kwanza unakataza kwa msingi gani, sheria gani
alijaribu kugombea ubunge jimbo la butiama na alishindwa vibayaMadaraka aache kujificha ficha aingie kwenye siasa afanye Kaz kama Baba yake, wapo watu wengi sana wa kumsaidia kutunza hizo kumbukumbu hapo...
Anagombea jimbo anaanza kutema cheche.. umri umeenda sana kuishia kutoa statements za jumla jumla .. kwani hao wasanii hawafahamiki Ili muwalime barua
Ndiyo ni jina lake, yuko Butiama, jihadhari na maigizo.Steve Nyerere Nilijua ni jina lake.
Umeelewa alichokisema?hebu soma tena utaelewa,hajazungumzia majina ya bandia amezungumzia jina halisi la ukooSiafiki hata kidogo
Kwani kuna Ubaya gani
Mbona kawaida
Wanajiita diamond ni wengi
Wengine wanajiita kondeboy
Kuna Dada huku anaitwa Ray c
Kuna akina Beyonce wengi tu
Kuna watu wanaitwa Mayele
Yote hiyo ni kuonesha upendo tu
Na riziki wanapatia humo humo
Kwanza unakataza kwa msingi gani, sheria gani
Yeriko? 😂😂😂Na yule nyerere mwingine ni wa kwao pia?
Umeandika mashuduSiafiki hata kidogo
Kwani kuna Ubaya gani
Mbona kawaida
Wanajiita diamond ni wengi
Wengine wanajiita kondeboy
Kuna Dada huku anaitwa Ray c
Kuna akina Beyonce wengi tu
Kuna watu wanaitwa Mayele
Yote hiyo ni kuonesha upendo tu
Na riziki wanapatia humo humo
Kwanza unakataza kwa msingi gani, sheria gani
Mbona Kila siku tunasema ni Steve Mengele.Steve Nyerere Nilijua ni jina lake.
Una akili ndogo, imwagilie ikueSiafiki hata kidogo
Kwani kuna Ubaya gani
Mbona kawaida
Wanajiita diamond ni wengi
Wengine wanajiita kondeboy
Kuna Dada huku anaitwa Ray c
Kuna akina Beyonce wengi tu
Kuna watu wanaitwa Mayele
Yote hiyo ni kuonesha upendo tu
Na riziki wanapatia humo humo
Kwanza unakataza kwa msingi gani, sheria gani
Steve Mengele....aanze kukuza jina lake