Kumbukizi ya Nyerere: Familia ya Mwalimu Nyerere yawataka wasanii kuacha kutumia jina la Baba wa Taifa kama ubin wao

hivi nyerere katika nchi hii alikuwa mmoja tu?
 
Politics si ya kila mtu, na si kila mtu ana interest za kuwa politician
 
Tanzania kuna koo nyingi, kuna ukoo wa kichaga mfano Mushi na masawe, meaning nchini kuna watu wengi tu wanajiita masawe au mushi. ukienda songea kuna ngonyani, komba, ndunguru, nchimbi n.k, ndani yake kuna maelfu ya kina nduguru na nchimbi, sio ukoo unaomilikiwa na mtu mmoja.

swali nililouliza ni je? Nyerere alikuwa mmoja tu? hapakuwa na nyerere wengine toka kwenye familia tofauti na ya huyu aliyekuwa rais? kama jibu ni kwamba walikuwepo na wapo hadi leo, hawa watoto wa nyerere wanapata wapi hakimiliki ya jina hilo? na mtu akijiita nyerere, anamaanisha nyerere baba yao tu au inawezekana anamaanisha nyerere wengine tofauti na huyo baba yao?
 
Safi Sanaa
Hii imekaa Safi Sanaa.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
NISINGEKUBALI kabisa
Mtu chawa asiejielewa
Yule mtu mfupi inatakiwa abadilishe jina maana ubongo wake Una hitilafu

Mwalimu hakua chawa chawa Tu oyaoya

Sasa huyu mtu mfupi anaharibu jina la teacher
 
Huyo Madaraka kajiaibisha sana
Sikutegemea mtu mzima kuongea hayo
Mpaka malaika tumechukua majina yao itakuwa baba yake
Hatujasahau tulipokosa hata sanda za kuwazikia wapendwa wetu
 
Kinachouma zaidi picha ya baba ipo hela lkn wewe mtoto huna hizo hela😂🤣🤣
 
Huyu kunguni akome kutumia jina la mwalimu hana sifa wala maarifa yoyote na huwa kanajifanya kuwa na hekima kwenye hamna.yaani mpaka misiba kanaona ni fursa.
 
Mh ana hekima sanaaa

Amemshauri kijana kuheshimu mzazi aliemzaa kwa kutumia jina la baba yake naa ache kutumia majina ya watuw wasiomhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…