raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Unge kuwa unaweka na maana zakeKawaida sanaView attachment 3150211
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unge kuwa unaweka na maana zakeKawaida sanaView attachment 3150211
😄 duh
Waende hospital sasa....sio porojo tuAcha watu waishi kwenye science yao na kila kitu kina negative na positive impacts, Kama hayajakukuta we kausha tu. Kuna watu humu wanatibiwa na kupona mambo yaliyoshindikana kwa Manabii feki. Kama una mgonjwa wa aina yoyote iwe Kansa, Ukimwi, Presha au ugonjwa wowote nicheki. Kuna mtu humu Wazazi wake walikuwa na HIV na wanaendelea vizuri na baada ya mwezi wameambiwa wakapime
Ile amri inayosema "usiwe na miungu mingine Ila Mimi" Hii ndio miungu halisi ilyozungumziwa, na watu wengi wa dini tofauti wanaiabudu📍🔨Nilichokiona hapa, kumbe uchawi wote ni ibada za sanamu, kanatengenezwa kasanamu kwanza, pepo linaingia kwenye sanamu, halafu unaanza kuliomba na kulipa sasaka,
Ile amri inayosema "usiwe na miungu mingine Ila Mimi" Hii ndio miungu halisi ilyozungumziwa, na watu wengi wa dini tofauti wanaiabudu
Kaka mshana naomba mawasiliano yako tafadhali 🙏Kwa mahitaji na matumizi mbali mbali
Kuharibu
Kutengeneza
Kukinga
Kulinda
Kufungwa
Mvuta nk
View attachment 3149680
Ndo maana wachawi hawampendi Mwamposa, ànawaharibia mitambo yao.Nimejitahidi kufafanua kwenye uchawi na kwenye kafara.. Kwa Mfano hili ni kafara la kupata utajiriView attachment 3150239
Hakuna watu wena kama wachawi ndio maana hata hao kina Mwamposa ni wafuasi watiifu wao wachawi na nguvu zao wanazipatia huko😂Ndo maana wachawi hawampendi Mwamposa, ànawaharibia mitambo yao.
Wanamwita tapeli kumbe zile sadaka walitaka wapewe wao!
Wachawi katili sana, Mwamposa abarikiwe sana.
Mbona wachawi hawatajiriki kama Mwamposa nà kwanini wasiache uchawi wàkafanye mambo hàdharani kama Mwamposa?Hakuna watu wena kama wachawi ndio maana hata hao kina Mwamposa ni wafuasi watiifu wao wachawi na nguvu zao wanazipatia huko😂
Jamaa kaamini hiyo miguu ya kuku itamsaidia, imeshaoza haifai kwa kitoweoHakuna shida ila naomba tuwasiliane kesho jioni muda kama huu