Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikua hujalijua hilo..?Binadamu ni kiumbe wa ajabu na mkatili sana aisee
Kabisa and he phoned me this morning, kuna friend wangu alikuwa na tatizo la kuugua visigino, kumbe Walozi walichukua soksi za friend wangu wakazifanyia science ya giza halafu wakazifunga na kufuli la Solex. Wakati jamaaa yangu anamuagua alilivuta kufuri lilikuwa limezikwa makaburini Singida huko. Kufuri likaja likiwa limeifunga soksi. But there was no key to unlock the padlock, akafanya mambo ikavutwa ile funguo ikaja ni ile padlock ikawa unlocked. Friend wangu kapona kabisa visigino sasa.Duh seriously?
Mzee wa kilinge hivi hizi mbanga, mtu anaweza akampiga pin mtu asiyehusika na zikamdhuru? (Let say unamtuhumu mtu kwa utapeli ila kiuhalisia hakufanya utapeli)Unafungwa kiroho na kufuli kumi🥺🥺😭 . kufa hufi ila chamoto utakiona
View attachment 3149814
Acha watu waishi kwenye science yao na kila kitu kina negative na positive impacts, Kama hayajakukuta we kausha tu. Kuna watu humu wanatibiwa na kupona mambo yaliyoshindikana kwa Manabii feki. Kama una mgonjwa wa aina yoyote iwe Kansa, Ukimwi, Presha au ugonjwa wowote nicheki. Kuna mtu humu Wazazi wake walikuwa na HIV na wanaendelea vizuri na baada ya mwezi wameambiwa wakapime...Nguzo ya maisha ni nguzo ya imani,siku zote kuwa kuwa chanya na kuwa na imani thabiti...
Ushirikina una mwisho mmbaya.....njaa tu inapelekea watu kufanya huo uchafu.
Stuka huo ni mtego....kuna watu watanasa
Hapana nilikuwa sijaliandika tu hapa Jamii ForumsUlikua hujalijua hilo..?
Umenikumbusha huko Mahenge vijijini wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro kuna mganga mmoja, wanawake wa mjini Daslamu na Unguja wanamtumia sana kupora waume za watu. Mganga mwenyewe ni wale waganga ambao wanaua kabisa yani jina lako likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa..Umenikumbusha mbali sana miaka ya nyuma kuna jamaa tulikuwaga tunavuta naye bange kijiwe flani hivi nyuma ya chuo maarufu hapa Dodoma sasa huyu jamaa tulikuja kuzoeana sana nikaja kugundua alikuwa mgeni Dom alitokea mkoa flani ambako alikuwa na kesi ya mauaji Yaani alifumania mkewe anapigwa mboo chumbani kwake akawachoma visu wote kisha akajisalimisha police sasa Inaonekana kuna mchongo alicheza na askari akafanikiwa kutoroka kabla hajafikishwa mahakamani.
Kwa maelezo yake ni kwamba alienda mkoa flani kwa mtaalamu ambaye alikuwa babu yake akamzindika na kumpa hirizi ya kuzuia asikamatwe!
Sasa kipindi hicho alilazimika kuja kuishi Dom ili kukimbia ule msala lakini siku sio nyingi siri ikavuja kwamba yuko Dom askari wakaja kumsaka nilishuhudia siku hiyo tuko bar flani tunacheza pool table jamaa akiwa na fimbo ya pool ghafla askari hawa hapa wakatuvaa lakn cha ajabu tulijikuta tuko watatu tu na wale askari wanne ila jamaa alitoweka kimiujiza akaacha ile fimbo ya pool hapo hapo mezani bila kuonekana kapita wapi askari walikagua kila sehemu kuanzia chini ya meza, viti na maeneo yote mpaka vyooni hawakumwona na hakuonekana hata kutoka getini
Baada ya siku mbili hivi mshkaji kaja tena kijiweni pale kwa pusha ndo ikabidi nimuulize siku ile aliwezaje kutoroka wale askari waliotuvamia ghafla?
Jamaa akanitoa pembeni chocho akanionyesha hirizi kubwa hivi kama kipochi akasema hiyo ndo inampa ishara ikiwa kuna jambo baya hivyo akiingiza mkono akaifinya tu hiyo hirizi basi anapotea kwenye macho ya wabaya wake japo kiuhalisia anakuwa amekaa hapo hapo anawachora.
Hivyo hiyo picha Umenikumbusha hirizi la yule mwamba sijui atakuwa wapi siku hizi.
Hii alifanyiwa harmonise mtwara na dunia ilijua.Kafara za kiafrika. Kafara za wazi kwa ajili ya matitabu ya kirohoView attachment 3149817
Ebhanaeee hii ndio inakua na maana gani duh
Ni kama kubambikiwa kesi tu na ukahukumiwa kifungo au faini... Sometimes kuna bahati mbaya zinawatokea watu wakakanyaga madude yasiyowahusu ama kupigwa na kipapai kilichopanchiwaMzee wa kilinge hivi hizi mbanga, mtu anaweza akampiga pin mtu asiyehusika na zikamdhuru? (Let say unamtuhumu mtu kwa utapeli ila kiuhalisia hakufanya utapeli)