Kumbukizi za Kilingeni Msata: Aina mbalimbali za hirizi na makafara

Kumbukizi za Kilingeni Msata: Aina mbalimbali za hirizi na makafara

Kwa hyo kaka mshana...yaan ukinifunga na hizo kufuli zako... siwez kujinasua kwa njia ya maombi na sala?
Kilichofunga ndicho kitakachofungua.. Labda kufuli lioze
In USA❤️[(+237692925976·)]❤️RETURN~LOST LOVE SPELL.jpeg
 
Watu tuna shida kwelk na hivi vitu..mtu anakutesa weee na ni ndugu kabisa na chaajabu anajitapa kabisa mtaani"familia ile labda mimi niamue" wengine hatuna roho ngumu ya kummaliza hata kwa kisu tu. Ni kupitia njia ya kujilinda kama hizi lakini kuwapata hao wataalamu sasa ndyo tatizo
 
View attachment 3149681
Hii ni kwa ajili ya kinga mbali mbali
Umenikumbusha mbali sana miaka ya nyuma kuna jamaa tulikuwaga tunavuta naye bange kijiwe flani hivi nyuma ya chuo maarufu hapa Dodoma sasa huyu jamaa tulikuja kuzoeana sana nikaja kugundua alikuwa mgeni Dom alitokea mkoa flani ambako alikuwa na kesi ya mauaji Yaani alifumania mkewe anapigwa mboo chumbani kwake akawachoma visu wote kisha akajisalimisha police sasa Inaonekana kuna mchongo alicheza na askari akafanikiwa kutoroka kabla hajafikishwa mahakamani.
Kwa maelezo yake ni kwamba alienda mkoa flani kwa mtaalamu ambaye alikuwa babu yake akamzindika na kumpa hirizi ya kuzuia asikamatwe!
Sasa kipindi hicho alilazimika kuja kuishi Dom ili kukimbia ule msala lakini siku sio nyingi siri ikavuja kwamba yuko Dom askari wakaja kumsaka nilishuhudia siku hiyo tuko bar flani tunacheza pool table jamaa akiwa na fimbo ya pool ghafla askari hawa hapa wakatuvaa lakn cha ajabu tulijikuta tuko watatu tu na wale askari wanne ila jamaa alitoweka kimiujiza akaacha ile fimbo ya pool hapo hapo mezani bila kuonekana kapita wapi askari walikagua kila sehemu kuanzia chini ya meza, viti na maeneo yote mpaka vyooni hawakumwona na hakuonekana hata kutoka getini
Baada ya siku mbili hivi mshkaji kaja tena kijiweni pale kwa pusha ndo ikabidi nimuulize siku ile aliwezaje kutoroka wale askari waliotuvamia ghafla?
Jamaa akanitoa pembeni chocho akanionyesha hirizi kubwa hivi kama kipochi akasema hiyo ndo inampa ishara ikiwa kuna jambo baya hivyo akiingiza mkono akaifinya tu hiyo hirizi basi anapotea kwenye macho ya wabaya wake japo kiuhalisia anakuwa amekaa hapo hapo anawachora.
Hivyo hiyo picha Umenikumbusha hirizi la yule mwamba sijui atakuwa wapi siku hizi.
 
Back
Top Bottom