Meshe
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 386
- 479
Siwezi kuchagua mtu mpuuzi wala kampuni yake wala mkurugenzi wake!!
Mtu anayehamasisha vikundi vya kikabila na udini!!
Mtu aliyemtukana Mwadhama hadharani!
Mtu aliyemlaani RC wa Dar badala ya kumuombea!!
Aliyeahidi kumfufua Amina Chifupa bila mafanikio.
Aliyesema hawezi kukubali ubunge wala uraisi vile ni mtumishi wa Mungu!!
Sikubali!!
Kawe tukatae!
Pamoja tuseme Noooooooohh kwa huyu mbabaishaji!!
Mtu anayehamasisha vikundi vya kikabila na udini!!
Mtu aliyemtukana Mwadhama hadharani!
Mtu aliyemlaani RC wa Dar badala ya kumuombea!!
Aliyeahidi kumfufua Amina Chifupa bila mafanikio.
Aliyesema hawezi kukubali ubunge wala uraisi vile ni mtumishi wa Mungu!!
Sikubali!!
Kawe tukatae!
Pamoja tuseme Noooooooohh kwa huyu mbabaishaji!!