Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo hata kaburu alimpeleka sauziSisi watu wa kawe TUNACHOJUA tunamtaka Gwajima kwa ajili ya maendeleo ,hayo Mambo yenu mnayotuletea hatuyaelewi
Wewe kama mimiSiwezi kuchagua mtu mpuuzi wala kampuni yake wala mkurugenzi wake!!
Mtu anayehamasisha vikundi vya kikabila na udini!!
Mtu aliyemtukana Mwadhama hadharani!
Mtu aliyemlaani RC wa Dar badala ya kumuombea!!
Aliyeahidi kumfufua Amina Chifupa bila mafanikio.
Aliyesema hawezi kukubali ubunge wala uraisi vile ni mtumishi wa Mungu!!
Sikubali!!
Kawe tukatae!
Pamoja tuseme Noooooooohh kwa huyu mbabaishaji!!
Hakuna mtu anamchafuaHATA mkimchafua vipi Gwajima ,sisi ndo tulishampenda mnatumia Nguvu nyingi kuibua hoja ambazo hazina msingi
Zamani nilijuaga Misukule ni watu fulan hivi wachafu wachafu, hawana akili wanaishi porini kichawi na chakula chao ni Unga. Lakin nimekuja kugundua sio kweli.HATA mkimchafua vipi Gwajima ,sisi ndo tulishampenda mnatumia Nguvu nyingi kuibua hoja ambazo hazina msingi
Kawe tumeamua kwenda na Gwajima ongeeni muwezavyo hamtabadilisha msimamo wetu wanakaweNaam, ni wakati muafaka kwa wana Kawe wote kusemezana kuhusu tarehe hii muhimu sana kwetu.. [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1588452
Haka ka mjamaa ni kasanii mno, kanawapiga watu hela balaa!!Mwenye kukerwa na akerwe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shauri yako kama utampa kura ewe mkazi wa kawe
Kwi Kwi KwiMwenye kukerwa na akerwe.
Tarehe 25 hadi 27 October nitairudia kila siku ili nisisahabu
Mtu mwenye PhD anaandika "ilo alikwepeki" badala ya "hilo halikwepeki" unapata mashaka kaandika yeye au kachomekewa?
Gwajima ni mtu hatari sana kwa mshikamano wetu.Mwenye kukerwa na akerwe.
Yan na ujanja wote ulionao unashindwa kutambua account fake hiyo sio account ya Gwaji kuna mtu anaitumia na wala Gwajima hajawahi mjibu Halima kwa mitandao acha ufala wewe
Hahaha na wewe uwe na akil mda mwingine hyo sio account original ya Gwajima hyo n fake account Gwajima kwenye account yake original hajawahi mjibu HalimaMtu mwenye PhD anaandika "ilo alikwepeki" badala ya "hilo halikwepeki" unapata mashaka kaandika yeye au kachomekewa?