Haruhusiwi kupiga kura?!We sema CCM mumesameheana, endeleeni hayo hayatuhusu. Kwani Pengo ndo atapiga kura?
Sisi wakatoliki tumemsamehe ila atusamehe pia tunampigia MdeeWakatoliki tumeshamsamehe Gwajima kupitia toba aliyoifanya kwa kardinali Pengo!
Vladimir Putin ana kauli za Kibabe..βTo Forgive terrorists is up to God, to send them to him is up to me" Vladimir Putin
Haaaaa kwa kashfa Hizi KurtaNaam, ni wakati muafaka kwa wana Kawe wote kusemezana kuhusu tarehe hii muhimu sana kwetu.. πππ
View attachment 1588452
Naam, ni wakati muafaka kwa wana Kawe wote kusemezana kuhusu tarehe hii muhimu sana kwetu.. πππ
View attachment 1588452
[/QUOTE
Kuwa kashfa Hizi,Kura yangu ng'o ,kajipange vizuri
Kwani pengo ni mungu?Wakatoliki tumeshamsamehe Gwajima kupitia toba aliyoifanya kwa kardinali Pengo!
Mbunge wa Kawe. Kwa Kadri mnavyomchafua ndivyo watu watakavyomchagua kwa kishindo.Naam, ni wakati muafaka kwa wana Kawe wote kusemezana kuhusu tarehe hii muhimu sana kwetu.. πππ
View attachment 1588452
Aliyemsamehe ni pengo dhidi ya matusi aliyotukanwa yeye, kuhusu wakatoriki kututukana kuhusu Imani yetu hatujamsamehe badoWakatoliki tumeshamsamehe Gwajima kupitia toba aliyoifanya kwa kardinali Pengo!
Akina nani hao watakaomchaguaMbunge wa Kawe. Kwa Kadri mnavyomchafua ndivyo watu watakavyomchagua kwa kishindo.
Gwajima angeweza kushinda ubunge Kawe endapo tu wapiga kura wangekua ni miti na mawe.Mbunge wa Kawe. Kwa Kadri mnavyomchafua ndivyo watu watakavyomchagua kwa kishindo.
Halima Mdee anatakiwa aitumie hii kwenye kulusha matangazo ya kampeni kwa njia ya redio.Naam, ni wakati muafaka kwa wana Kawe wote kusemezana kuhusu tarehe hii muhimu sana kwetu.. πππ
View attachment 1588452
Wakatoliki tumeshamsamehe Gwajima kupitia toba aliyoifanya kwa kardinali Pengo!
[/QUOTE
Sisi waislamu tunasema Gwajima hata angegombea na mbwa sisi waislamu wa Kawe tungempigia kura mbwa
Katudhalilisha na bado amaendelea kutusimanga na visima
Hakuna chama kinafanya siasa za kidini ila huyu kafiri gwajima kauli zake ni hatariCCM, CHADEMA, ACT, CUF, NCCR wote hawapaswi kufanya siasa za udini wala ukabila kwa maana ni mbaya sana kwa mustakabali mwema wa Tanzania yetu.