Kumbukumbu Kutoka Maktaba 1989 Askofu Mkuu Marko A Mgulunde, Pd. W. Slaa na Mama Getrude Mongela

Ingependeza zaidi ukaenda kuisha Somalia.
 
HUko juu.picha zote geresha tu
Picha ya university of khartoum na mavazi yenu ni kusudio kubwa
Bal...
Mimi si mtu wa ghilba.

Niko JF kwa jina langu halisi kwa sauti na picha.

Sijajificha.

Niulize chochote kuhusu mimi nitakujibu bila hofu.
 
Hiyo picha ya Mwisho hapo University of Khartoum inaumiza ukifikiria kinachoendelea Leo huko Sudan

..inasemekana wanaofadhili vita vya Sudan ni UAE.

..UAE wamekuja kama Wakoloni mambo leo wenye nia yakuhodhi bandari na njia za usafiri ktk bara la Afrika.

..kwa Tanzania UAE wamekuja kwa jina la DP world na kugawiwa gati ktk bandari ya Dsm.

..Usije ukashangaa chama fulani cha siasa kupewa mapesa ya kampeni na UAE / DP world.

..ikionekana sanduku la kura halitasaidia chama kibaraka cha UAE / DP world musishangae wakianza kufadhili vita kama Sudan.

..
 
Mohamed Said Babu Natamani kujua machache kuhusu John Okelo field marshal .

Nini kilimkuta baada ya mapinduzi ya Zanzibar?

Kwanini hakupata wadhifa wowote baada ya mapinduzi.
Aliondoka kwa kupenda au walimtimua?

Alihongwa chochote?
Okello alitupwa mbali huko baada ya kuona kaz yake waliyompatia ya kutangaza mapinduzi imekwisha,hvo hakuwa na kaz ikabidi wampandishe ndege had kwao.

Huko kwao Iddi Amin akaanza kusema "naona Uganda sas ina field marshal wawili" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kilichomkuta okello sasa ni noma unaambiwa kazikwa km mbuzi watu wawili watatu tu na hkn kutangaza habari zake kuanzia hapo. Ndio hvo
 
Huyu mzee ni wakulindwa kwa gharama yyte ile ndgu zangu watanzania, kwa sababu anatuelimisha vijana wa kileo ili tujue ukweli wa mambo ulivo.

Sisi vijana wa zama hizi sio wadadisi ,hatuna hamu ya kujifunza vitu vipya,hatuna muamko wa kujisomea vitabu kw sababu wanasema " kusoma ni kuutafuta ukweli" sisi hilo hatuna.

Binafsi amenifundisha mengi sana kupitia mabandiko yake hapa jf.

Namuombea kwa Mungu azidi kumpa siha njema na umri mrefu ili sisi vijana tunaojielewa na kujitambuwa tuzidi kunufaika kimaarifa kutokana na yeye.

Tujivunie huyu mzee jamani wakat huu akiwa hai kwa sababu " KILA MZEE ANAEKUFA AFRIKA NI SAWA NA MAKTABA MZIMA KUTEKETEA NA MOTO"

Sasa hapa kwa mzee saidi naweza sema kuna maktaba zaidi ya mia. hvo itakuw hasara kubwa sana kwetu endapo hatujaitumia vzr library hii ikiwa hai.
 
huyu mzee anatisha tu kwa kumuona. inasemekana tanga walifanyq dua wakasema mzee ruka shimo hili. alivoruka na wazee wakasema bas mkolon kwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…