Kikwete atengewe siku ya kukumbukwa kwa lipi?
Utawafanyaje wakiweka?
Zumbukuku hata hujui chochote we bendera kufuata upepoHebu tueleze 1.5 trilion zilienda wapi , yule aliweza kudanganya wajinga wajinga tu kama wewe
World Bank waliwadanganya!!?
Awamu ya 6 yamefunguliwa, kila yakiiba yanaona kivuli cha Magufuli yanaweweseka.Mtapinga sana lakini tayari tumeshajenga Makumbusho yake hapo Chato. Hatuwasikilizi wenye vyeti fake na mafisadi tunajua aliwanyoosha sana hamuwezi kumkubali kwa kuwa aliwazuia ulaji wenu wa kiwizi.
Matapeli yaliyotumbuliwa na JPM ni makali kinoma,yana hasira hayo....
Magu day lazima iwepo mtake msitake.
Sasa Kama Karume anaenziwa pamoja na kuwa Dikteta,kwanini Magufuli asienziwe kitaifa?
Lamba ndimu za buku kwa Mangi hapo gengeni ili upunguze uchungu dhidi Marehemu Magufuli,nitalipa
Kwa sababu ni the best president ever, kama inauma sana ichomoe
Lilikuua wewe au kubali tu magufuli hata akija kesho atakua rais wa nchi hii nyota yake inawatesa mashetani kama wewe HADI sasa hamna amani
Tanzania hakuna vyama serious vya siasa hapa niunafiki na upigaji tu.
Hapa viongozi wa vyama vya siasa wakisha hakikishiwa ulaju na watawala wanatulia na kufanya maigizotu.
Bila ule ujambazi hata asilimia 30 asingepataHiyo data ya asilimia 90 uliipata wapi.? Mwaka 2015, Magufuli alipata asilimia 57 ya kura zote Tena zingine kwa wizi. Ndio maana 2020 kaamua kuharibu uchaguzi kwa hasira kwa kuogopa kushindwa na Lissu.
Ume weka rocord sawaMagufuli alikuwa na nyota?. Siku ametangazwa kufariki watu wamefanya sherehe. Ukiondoa Nyerere aliyekuwa na nyota ni kikwete. Mwaka 2005 alipata kura asilimia 81, wakati Magufuli alipata asilimia 57 mwaka 2015 ndio maana kuogopa aibu akaharibu uchaguzi wa 2020.
Jiulize, Mbona kifo Cha maalim Seif kiliwaunganisha wazanzibari wote?. Huku bara kifo Cha Magufuli kimetugawa.
Hahhaa wambie wambieVyama serious ndio Nini?. Mbona miaka Saba Sasa hmmmevifungia kufanya siasa. Yani umemkataza mtu kufanya kazi halafu unamcheka Hana pesa. Tuache unafiki, miaka Saba ni mingi Sana.
Wewe ndio hujui chochote ingawa unajifanya unajuaZumbukuku hata hujui chochote we bendera kufuata upepo
Mimi ni mweusi hadi menoVIP unaowakumbuka walifanya yote mazuri una roho nyeusi kama mkaa