Unafanya quote na kukata maneno ili ionekane nilichosema ni hicho, too low
Huyu ndiye mtu wa Cambridge ambaye tumempeleka Cambridge, te te h teh.
Hoja za katiba za TAA, AA na TANU zipo pale pale
Unadhani unachokifanya ni chema saaana, nadhani vijana wanaona mzee ulipofikia
Hapa ni hoja, jibu hoja kwa mantiki hilo ndilo lililopo mbele yetu
Uzi hautafungwa na tutaendelea kuonyesha bayana mapungufu yaliyopo
Jibu hoja kwani vijana wanakushangaa kwa hayo unayofanya! u
Una hiari endelea mimi nakutahadharisha ili kukusitiri, hakuna mtu jamvini anayefurahi kuona dhalili unayojifanyia kwa kuchafua uzi bila sababu za msingi isipokuwa kukimbia hoja, kushindwa kusimama na kutetea hoja , kushindwa kutetea maandiko yako
Nadhani wale waliokuwa na doubt kwanini tunahoji umefanikiwa kuondoa doubt hiyo
Jibu hoja, kama huna mtendee haki
Yericko Nyerere kwa kuheshimu uzi wake