Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Mashallah, 'kisu kimegusa mfupa' imekuchoma kuliko husda uliyosema ninayo
Nacheka sana nikifikiria kama vikombe na glasi zipo salama hapo nyumbani.

Yote ni heri, kilichosimama mbele na ambacho wengi wanataka kusikia majibu ni hiki
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
mzee wa ngano kakimbia!
Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.
 
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
mzee wa ngano kakimbia!
Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.
Unafanya quote na kukata maneno ili ionekane nilichosema ni hicho, too low

Huyu ndiye mtu wa Cambridge ambaye tumempeleka Cambridge, te te h teh.
Hoja za katiba za TAA, AA na TANU zipo pale pale

Unadhani unachokifanya ni chema saaana, nadhani vijana wanaona mzee ulipofikia

Hapa ni hoja, jibu hoja kwa mantiki hilo ndilo lililopo mbele yetu

Uzi hautafungwa na tutaendelea kuonyesha bayana mapungufu yaliyopo

Jibu hoja kwani vijana wanakushangaa kwa hayo unayofanya! u
Una hiari endelea mimi nakutahadharisha ili kukusitiri, hakuna mtu jamvini anayefurahi kuona dhalili unayojifanyia kwa kuchafua uzi bila sababu za msingi isipokuwa kukimbia hoja, kushindwa kusimama na kutetea hoja , kushindwa kutetea maandiko yako

Nadhani wale waliokuwa na doubt kwanini tunahoji umefanikiwa kuondoa doubt hiyo

Jibu hoja, kama huna mtendee haki Yericko Nyerere kwa kuheshimu uzi wake
 
Unafanya quote na kukata maneno ili ionekane nilichosema ni hicho, too low

Huyu ndiye mtu wa Cambridge ambaye tumempeleka Cambridge, te te h teh.
Hoja za katiba za TAA, AA na TANU zipo pale pale

Unadhani unachokifanya ni chema saaana, nadhani vijana wanaona mzee ulipofikia

Hapa ni hoja, jibu hoja kwa mantiki hilo ndilo lililopo mbele yetu

Uzi hautafungwa na tutaendelea kuonyesha bayana mapungufu yaliyopo

Jibu hoja kwani vijana wanakushangaa kwa hayo unayofanya! u
Una hiari endelea mimi nakutahadharisha ili kukusitiri, hakuna mtu jamvini anayefurahi kuona dhalili unayojifanyia kwa kuchafua uzi bila sababu za msingi isipokuwa kukimbia hoja, kushindwa kusimama na kutetea hoja , kushindwa kutetea maandiko yako

Nadhani wale waliokuwa na doubt kwanini tunahoji umefanikiwa kuondoa doubt hiyo

Jibu hoja, kama huna mtendee haki Yericko Nyerere kwa kuheshimu uzi wake

vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
mzee wa ngano kakimbia!
Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.

Huyu ndiye mtu wa Cambridge ambaye tumempeleka Cambridge, te te h teh.
 
  1. vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
  2. mzee wa ngano kakimbia!
  3. Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.
  4. Nacheka sana nikifikiria kama vikombe na glasi zipo salama hapo nyumbani.
  5. Huyu ndiye mtu wa Cambridge ambaye tumempeleka Cambridge, te te h teh.
  6. Mkuu @Mag3 , nikushuru umepita huku. Kitambo kidogo tulimwacha mzee na ngano.
AT7cy4-7UHqseSMaJJUCAClFpPFcidPRIBofKv2U-sPqc9Bj1jFyGyplOtm_DZhv2qCRJkXcg8F7FrsRvaXErBeQR6wdD_PHEqQrClcDHUU9ww-dVq2h8ZTf8HKtWTUVa2Jm1nXHNfHuhL61IFAII6jilrvLwkXUBp1m_RkToCXzqMxnM7bJWwvUtF6cW5nw2Bh2eHoQjZLdCzEfOK0Tb4W9--jxfEnGsmQEplegeB7BhvM9ORiiJbLWPf_W67vS8CucTG8t-fINz-0mtHy-A8X_qp6WR-U5DJ3yjF6zvTJnBleDVl3it59CaVoLIiufD6AtwWF9C6kGviWHnarYc86SSsJu9NRjyEYsqvYv86uF8wkEILSgqqsIMvECRM6lavRtwvEfYc3Jjqs8YqLqB4oNb-Hjq5-mqH3mEQFFLl50AjDLNL0Ap7IG5g_eRvfMV5qAJv3dJSoAEzR8mcyit4lufeybALQrmwZg8t07c7E9E_30eS64MCGek6HOJB1L8RPkp58VWWncxNQ9P3b4E5bZQNu07J-EroOwsZY5IJ5Z7zvFsuB1EwBsZiRKw3t4wR6oY8i6tBGpKQTc0zesPfuoT6sHubqf_MKcM7CHCs4UGqEjci3mzsBcsQ=w839-h629-no

Grand Central, New York

Huyu ndiye mtu wa New York ambae tumempeleka New York!
 
Nilikuwa na muda mrefu sijapita JF nimepita leo kuchungulia nimecheka sana nakutana na vioja tu.
 
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
mzee wa ngano kakimbia!
Haitakuondoa kwenye kona, sana sana unaweza kuomba taulo.
Huyu ndiye mtu wa Cambridge ambaye tumempeleka Cambridge, te te h teh.
Hii ndiyo JF mpya haya maandishi kaandika nani? Gwiji la JF?

Teh teh teh
 
Unafanya quote na kukata maneno ili ionekane nilichosema ni hicho, too low

Huyu ndiye mtu wa Cambridge ambaye tumempeleka Cambridge, te te h teh.
Hoja za katiba za TAA, AA na TANU zipo pale pale

Unadhani unachokifanya ni chema saaana, nadhani vijana wanaona mzee ulipofikia

Hapa ni hoja, jibu hoja kwa mantiki hilo ndilo lililopo mbele yetu

Uzi hautafungwa na tutaendelea kuonyesha bayana mapungufu yaliyopo

Jibu hoja kwani vijana wanakushangaa kwa hayo unayofanya! u
Una hiari endelea mimi nakutahadharisha ili kukusitiri, hakuna mtu jamvini anayefurahi kuona dhalili unayojifanyia kwa kuchafua uzi bila sababu za msingi isipokuwa kukimbia hoja, kushindwa kusimama na kutetea hoja , kushindwa kutetea maandiko yako

Nadhani wale waliokuwa na doubt kwanini tunahoji umefanikiwa kuondoa doubt hiyo

Jibu hoja, kama huna mtendee haki Yericko Nyerere kwa kuheshimu uzi wake
Naona vijana JF siku hizi wana msemaji wao daah!

Tarudi nikipata wasaa maana hali si hali huku kwetu mswahili kaondoka sasa hivi zamu yetu naenda kunywa kahawa na tende za sharja.

Alamsiki.
 
Nilikuwa na muda mrefu sijapita JF nimepita leo kuchungulia nimecheka sana nakutana na vioja tu.
Ulibahatika kukumbukwa mkuu, hongera sana, naona unatimiza tamaduni ya kiafrika yakutokupiga kelele unapokula, maana tulikuwa hatulali...
 
Yericko,
Mjadala umetoka katika ustaarabu ndiyo maana nimekaa kimya.
Hivi ndivyo tulivyofunzwa na wazee wetu.
Mbona sojaona mjadala ulipokengeuka mzee wangu? Kwaniaba yao nikuombe radhi mzee wangu, yote ni katika kujenga na kusaidia kuweka sawa historia yetu... Hivyo kwakuwe wewe mwenzetu ni msomi na msomeshaji unayetambuliwa na walimwengu wa Kembuliji tunakuomba uendelee na mjadala wetu huku ukijibu hoja au kuuliza swali...
 
Mbona sojaona mjadala ulipokengeuka mzee wangu? Kwaniaba yao nikuombe radhi mzee wangu, yote ni katika kujenga na kusaidia kuweka sawa historia yetu... Hivyo kwakuwe wewe mwenzetu ni msomi na msomeshaji unayetambuliwa na walimwengu wa Kembuliji tunakuomba uendelee na mjadala wetu huku ukijibu hoja au kuuliza swali...
Wala huna sababu ya kumuomba radhi, lugha ya Mohamed si nzuri ila ni mwepesi kweli wa kuona kaonewa

Hakuna lugha chafu, kusema '..pants down' ni msemo.
Ametumia hilo kukwepa hoja, tunamjua. 'nilimkokota' alipofika penyewe jasho chapwaa

Anachotaka ni kusikilizwa, kuhojiwa hataki hasa akitia mguu katika kigingi

Wino mwekundu ni kupoteza watu waondoke katika hoja zinazomsubiri
Aseme eti Abdul kasema basi ndio ukweli! Afiche ukweli wa katiba tumwache! si hapa
 
Ikiwa Abdul siye aliyeasisi TANU hakuna shida andikeni mueleze huyo muasisi alivyoiasisi TANU akawa na ofisi na fedha na jinsi alivyopata wanachama. Prof. Haroub alitaabika sana na hii historia ya Abdul na TANU kiasi akaenda kwa Ahmed Rashad kutaka ukweli. Ahmed Rashad akamwambia unamshangaa Abdul kwa hilo kwa nini humshangai baba yake kwa kuasisi African Association? Alichoka alipoambiwa kuwa Abdul alikuwa anakwenda Makerere 1942/43 akiwa na umri wa miaka 17 WWII ndivyo iliyomzuia kwa kuingizwa katika King's African Rifles (KAR). 1953 ikawa aende Princeton University, New Jersey hapo ndiyo yupo kashikwa na kuunda TANU na sahib yake Earle Seaton alimtaka sana Abdul aondoke. Nitakihadithia kisa hiki nikirudi ofisini.

Niweke picha niko New Jersey?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona vijana JF siku hizi wana msemaji wao daah!

Tarudi nikipata wasaa maana hali si hali huku kwetu mswahili kaondoka sasa hivi zamu yetu naenda kunywa kahawa na tende za sharja.

Alamsiki.
Si vijana tu, soma hapa chini
"Mohamed Said, post: 22755546, member: 12431"]Kifua kimejaa joto.
Joto linapofusha.Unaruka huku na huku mfereji umeuweka kati.
Hutaki.Basi andika wewe kitabu chako.Huna uwezo huu mwaka wa sita nakusihi.
Ati mie niungane na watu kukukabili wewe.Kwa ujanja upi uliokuwanao?
Ati anaandika neno la Kiingereza ananiwekea maelezo ilhali kitabu kizima nimeandika kwa lugha hiyo.Roho inakuuma kwa husda.Roho inakwenda mbiyo kwa wivu.
Zidisha hasad na kejeli.Ufungue macho na Mohamed Said.
Mimi ndiyo mwenye ufunguo uliofungua historia ya TANU inayokuchoma roho.
Andika kitabu ujanja ujanja utaishia humu humu unajitekenya na kujichekesha mwenyewe.
 
Hii ndiyo JF mpya haya maandishi kaandika nani? Gwiji la JF?

Teh teh teh
"Mohamed Said, post: 22755546, member: 12431"]Kifua kimejaa joto.
Joto linapofusha.Unaruka huku na huku mfereji umeuweka kati.
Hutaki.Basi andika wewe kitabu chako.Huna uwezo huu mwaka wa sita nakusihi.
Ati mie niungane na watu kukukabili wewe.Kwa ujanja upi uliokuwanao?
Ati anaandika neno la Kiingereza ananiwekea maelezo ilhali kitabu kizima nimeandika kwa lugha hiyo.Roho inakuuma kwa husda.Roho inakwenda mbiyo kwa wivu.
Zidisha hasad na kejeli.Ufungue macho na Mohamed Said.
Mimi ndiyo mwenye ufunguo uliofungua historia ya TANU inayokuchoma roho.
Andika kitabu ujanja ujanja utaishia humu humu unajitekenya na kujichekesha mwenyewe.
Teh teh teh
 
Ikiwa Abdul siye aliyeasisi TANU hakuna shida andikeni mueleze huyo muasisi alivyoiasisi TANU akawa na ofisi na fedha na jinsi alivyopata wanachama. Prof. Haroub alitaabika sana na hii historia ya Abdul na TANU kiasi akaenda kwa Ahmed Rashad kutaka ukweli. Ahmed Rashad akamwambia unamshangaa Abdul kwa hilo kwa nini humshangai baba yake kwa kuasisi African Association? Alichoka alipoambiwa kuwa Abdul alikuwa anakwenda Makerere 1942 vita ndivyo vilivyomzuia kwa kuingizwa katika King's African Rifles (KAR). 1953 ikawa aende Princeton University, New Jersey hapo ndiyo yupo kashikwa na kuunda TANU na sahib yake Earle Seaton alimtaka sana Abdul aondoke. Nitakihadithia kisa hiki nikirudi ofisini.
hatuzungumzii kuanzishwa TANU
Baada ya TANU kuanzishwa si iliandikwa katiba (au ilinukuliwa)? Nani alinukuu na lini
Kabla ya hapo, AA na TAA wakitumia katiba gani, iliandikwa na nani na lini na ilitumika lini

Si kweli kuwa Nyerere akichukua uongozi wa TAA kulikuwa na katiba, na kama ipo tueleze ipi, iliandikwa na nani na lini. Kwamba, Katiba imenyofolewa si kweli. Kama ilikuwepo nani aliandika, lini na ilitumika wapi
 
hatuzungumzii kuanzishwa TANU
Baada ya TANU kuanzishwa si iliandikwa katiba (au ilinukuliwa)? Nani alinukuu na lini
Kabla ya hapo, AA na TAA wakitumia katiba gani, iliandikwa na nani na lini na ilitumika lini

Si kweli kuwa Nyerere akichukua uongozi wa TAA kulikuwa na katiba, na kama ipo tueleze ipi, iliandikwa na nani na lini. Kwamba, Katiba imenyofolewa si kweli. Kama ilikuwepo nani aliandika, lini na ilitumika wapi
Mkuu Mohamed anazunguka mbuyu, AA na TAA vilikuwa hikundi vya walevi... Dr Agrey aliwapa tu ubunifu wa kuunda lakini kwa namna yoyote AA ilikuwa kikundi cha walevi na kiliundwa kwa msaada wa Gavana Sir Cameron... Yote ikiwa ni kuwafukuza watu weusi wasifike posta siku za sherehe na weekend, watu wausi walikuwa wanasumbua baa kama unavyoona mapaka ya baa za manzese leo hii ambapo ukiagiza supu tu basi yanakujaa miguuni huku yakiunguruma migongoni....

Gavana akaona isiwe tabu, undeni chama chenu na akawama usaidizi mkubwa, ambapo akawapa jengo la ofisi pale ilipo ccm leo Lumumba....


Haya Mohamed hataki kuyasema kwakuwa yupo kimkakati na akiyasema haya basi wazee wake hawatakuwemo katika historia kwa kiwango alichokusudia....
 
Font ni ndogo, weka 40
Haiondoi ukweli kuwa unataka kukimbia hoja. Yes '..pants down'

Mzee wa Cambridge, jibu hoja zilizoko mbele yako

Asilimia 98 ya halmashauri kuu ya TANU ilikuwa Waislam(mzee Mwanakijiji). Nini kilitokea asilimia 2 ikashinda asilimia 98?

Kleruu, Nyerere na wana kivukoni walisema 'kuhusu TAA ni vyama vya starehe'
Tukubali kuwa hawakuwa na ushahidi

Turudi upande wa pili, ushahidi wako kwamba vilikuwa vyama vya siasa na katiba uko wapi?

Tuanzie hao. Halafu twende kwenye AA na TAA. Kulikuwa na katiba gani na iliandikwa na nani

Kisha tumalizie kwa TANU. Nani aliandika katiba ya TANU

Mimi ni mwema sana, nilikutahadharisha mapema, kumweka Abdul Sykes na Nyerere katika mizani si jambo jema. Hawa ni watu tofauti waliotusaidia kwa namna tofauti

Abdul anasimama bila Nyerere, na ndivyo Nyerere anasimama bila Abdul

Mzee Said vijana wanafyonza elimu(spike lee), wape vitu vya kunururisha bongo zao
Jibu hoja
Mkuu Nguruvi3, mimi sitakaa sana kwenye huu mnakasha kwa sababu mambo mengi ya Mohamed Said naona ni yale yale, santuri yake ni ile ile, malengo yake ni yale yale, ngano zake ni zile zile na hadithi zake anazojaribu kuzipaka rangi zinaonekane kama za kweli ni zile zile...anachosahau, kaniki ni kaniki tu!

Hata hivyo naomba nichukue nafasi ndogo tu kuwatahadharisha wasomaji wanaomeza ngano zake bila kuzitafakari kwa kuwakumbusha huu msemo; unaweza kuwadanganya baadhi ya watu nyakati zote, unaweza kuwadanganya watu wote baadhi ya nyakati lakini katu huwezi kuwadanganya watu wote nyakati zote.

Ukweli ni kuwa Mohamed Said anapigania kuwainua wazee wake kwa kutumia mgongo wa dini na kwa namna fulani kawateka wengi. Kwa kuwa wazee wake, Wamanyema walikuwa wahamiaji tu nchini Tanganyika anatumia kila hila kuwahalalisha na kwamba nao walishiriki katika harakati za kudai uhuru.

Wahamiaji wengine anaowatumia ni Wazulu kutoka kusini mwa Afrika ambao sababu kubwa iliyowaleta Tanganyika ni kuwasaidia wakoloni wa Kijerumani kuwakandamiza wazawa. Katika vita vyote vilivyotokea nchini kupinga ukoloni, wahamiaji hawa maara zote walikuwa upande wa wakoloni dhidi yetu Watanganyika.

Mohamed Said, kwa hila tu, anafanya juhudi za kutugawa Watanganyika katika misingi ya kidini ili ionekane anawatetea Waisalaam kumbe lengo lake kubwa ni kuwatetea wahamiaji, Wamanyema kutoka Magharibi na Wazulu kutoka Kusini. Ushirikiano wao ulitokana na ukaribu wao na wakoloni hadi kuoleana.

Tunayo makabila makubwa yenye mashujaa waliopambana kweli kweli kupinga ukoloni bila kujali tofauti zao za kidini na hata katika kupigania uhuru hawakutanguliza dini zilizoletwa na wakoloni, Waarabu na Wazungu. Mohamed Said yuko radhi kuwaweka kando mashujaa wetu wa asili na kuwaenzi walowezi wageni.

Asante Yericko Nyerere kwa jitihada zako katika kujaribu kuchambua pumba na mchele.
 
Mkuu Mohamed anazunguka mbuyu, AA na TAA vilikuwa hikundi vya walevi... Dr Agrey aliwapa tu ubunifu wa kuunda lakini kwa namna yoyote AA ilikuwa kikundi cha walevi na kiliundwa kwa msaada wa Gavana Sir Cameron... Yote ikiwa ni kuwafukuza watu weusi wasifike posta siku za sherehe na weekend, watu wausi walikuwa wanasumbua baa kama unavyoona mapaka ya baa za manzese leo hii ambapo ukiagiza supu tu basi yanakujaa miguuni huku yakiunguruma migongoni....
Gavana Sir Cameroun si kwamba alitoa tu msaada wa kuundwa kwa AA, alitoa pia nyumba ya kukutania ambayo baada ya kifo cha Rais wa kwanza wa TAA Mwalimu Cecil Matola, Myao mzawa na msomi, umiliki wake ulileta utata hadi leo. AA ilikuwa chama cha starehe na madai ya Mohamed Said kuwa harakati za kisiasa zilianza wakati huo hazina ukweli wowote. Eti wahamiaji ndio waliongoza harakati za kudai uhuru kama vile Watanganyika hawakuwepo ni porojo ulioanzishwa na Mohamed Said kuhalalisha Utanganyika wao.
 
Back
Top Bottom