Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Hoja hujibiwa na hoja. Hoja ya Alama Mohamed Said ni historia ya jinsi TANU ilivyoanzishwa na akina nani.msaidie mzee mwenzako kujibu hoja wacha porojo!
Teh teh teh teh!Mlisema mtakuja na historia, mwaka wa sita huu, iko wapi?
Maneno na porojo ni myepesi sana lakini ukweli na kuandika historia ni vitu tofauti.
Tazama huyo anaejiita Yericko Nyerere utumbo aliokuja nao na kudanganya upo Amazon.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
maswali haya msaidie mzee mwenzako kujibu kakimbia!Hoja hujibiwa na hoja. Hoja ya Alama Mohamed Said ni historia ya jinsi TANU ilivyoanzishwa na akina nani.
Ukitaka kumjibu inabidi uje na hoja mbadala, mpaka sasa sijaiona naona viroja na kubwabwaja bila mpango.
Unajuwa jina la TANU lilianzia wapi na nani walilibuni?
mzee wa porojo wacha kukimbia hoja,huo unaoleta utotoism!
km maswali yamekutoa jasho funga uzi,so kurudia rudia huo msemo ambao hauna tatizo lolote na kuharibu mada!
Katiba ya TANU wame Copy kutoka Convention People's Party (CPP) chama cha kina Kwame Nkrumah's .maswali haya msaidie mzee mwenzako kujibu kakimbia!
1.Nani aliandika katiba ya TANU
2. AA au TAA zilikuwa na katiba ipi, iliandikwa na nani na mwaka gani
3. Kabla ya Nyerere nani aliandika katiba ya chama?
Teh teh teh teh.Umeshikwa na homa ya tetenasi kwenye ubongo?
Afunge uzi kwani kauanzisha yeye?
Alama Mohamed Said kuingia humu kalitawala jukwaa mpaka umechanganyikiwa. Aliyeanzisha uzi hata Cecil "aliyemtungia" uzi alikuwa haelewi kuwa ni mwanamme!
Kaingia mitini.
unarudia yale yale uliyokuwa unashangaa kweli nyani haoni kunduleTeh teh teh teh.
huo ubongo wako utakuwa unausaha,kikongwe mwenzio anaruka tu hataki kujibu maswali anaenda kutafuta pepa ya aliyosifiwa anaodai makafiri!Umeshikwa na homa ya tetenasi kwenye ubongo?
Afunge uzi kwani kauanzisha yeye?
Alama Mohamed Said kuingia humu kalitawala jukwaa mpaka umechanganyikiwa. Aliyeanzisha uzi hata Cecil "aliyemtungia" uzi alikuwa haelewi kuwa ni mwanamme!
Kaingia mitini.
Hoja ya kufunga uzi huna tena?huo ubongo wako utakuwa unausaha,kikongwe mwenzio anaruka tu hataki kujibu maswali anaenda kutafuta pepa ya aliyosifiwa anaodai makafiri!
"nguruwe haram ila mchuzi wake sio haram"
[HASHTAG]#kuruka[/HASHTAG] ruka kwa maharage ndo kuiva kwake,wacha dawa iwaingie
Teh teh teh teh!
Cecil Matola anamuita Sesilia Matola kamgeuza jinsia.
Mtanganyika ukiandika kwa namna hiyo wasomaji watakudharau hii "makafiri," inaingiaje hapa?huo ubongo wako utakuwa unausaha,kikongwe mwenzio anaruka tu hataki kujibu maswali anaenda kutafuta pepa ya aliyosifiwa anaodai makafiri!
"nguruwe haram ila mchuzi wake sio haram"
[HASHTAG]#kuruka[/HASHTAG] ruka kwa maharage ndo kuiva kwake,wacha dawa iwaingie
Katiba ya TANU wame Copy kutoka Convention People's Party (CPP) chama cha kina Kwame Nkrumah's .
Nakushauri ungetulia kwenye huu mnakasha ungejifunza vingi.
Kuliko kujifanya unajua wakati hamna kitu.
jibu maswali kama huna hoja kama mzee wa ngano endelea kupiga soga!Hoja ya kufunga uzi huna tena?
Kijana huna hekma wala maarifa.... Unapewa mwongozo na Wabobezi unaleta "Dharau"Mkuu heri nisiandike vitabu kama mtu mwenyewe ni kama huyu mzee wa soga...
wacha kuleta monopoly of knowledgeKijana huna hekma wala maarifa.... Unapewa mwongozo na Wabobezi unaleta "Dharau"
Kitabu utauza lakini sio kwa sifa ya kitabu. Mzee Mohamed Said anakupa elimu ya namna ya kuuza kitabu lakini badala ya kunyenyekea elimu hiyo wewe unaleta malumbano. Sifa ya kitabu sio kuuza hapa kwetu tu na pia sio kuuza au kununulika kwa kipindi hiki tu. Nijuavyo mimi Kitabu kinatakiwa kiishi na kusomwa zaidi ya umri wako, yaani miezi kwa miaka, kizazi kwa vizazi, miongo kwa karne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama una matusi mapya jaribu kuja matusi mapya haya matusi ya usaha mbona ya kizamani sana.huo ubongo wako utakuwa unausaha,kikongwe mwenzio anaruka tu hataki kujibu maswali anaenda kutafuta pepa ya aliyosifiwa anaodai makafiri!
"nguruwe haram ila mchuzi wake sio haram"
[HASHTAG]#kuruka[/HASHTAG] ruka kwa maharage ndo kuiva kwake,wacha dawa iwaingie
sasa usaha ni tusi?Sidhani kama una matusi mapya jaribu kuja matusi mapya haya matusi ya usaha mbona ya kizamani sana.