Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Hahaa hadi niende Amazon ndipo ntatoa conclusion
Juvenile, usipoteze bundle yako, hicho kitabu hakipo Amazon!

Mkuu Yericko Nyerere, pasipo kung'ata meno wala kumung'unya, Mzee Mohamed Said ametamka wazi kwamba hauna kitabu Amazon! Nami naweza kushuhudia hilo ili kumpunguzia mzigo juvenile davis kwenda huko kujitafutia conclusion yake!

Ya nini basi kusema hicho kitabu kinapatikana Amazon wakati hakipo? Na kwa kuangalia hiyo picha ya kitabu uliyoweka hapo juu haielekei kwamba kina ISBN (International Standard Book Number), haidhuru hata kama kinaonekana upande wa mbele peke yake!!

Hivyo basi, nami nakubaliana na maelezo ya Mohamed Said kwamba hicho kitabu hakina ISBN na kwahiyo hakipo Amazon.

Nami katika shughuli zangu za ugangaji njaa nilishawahi kupata project ya kufanya products listing kwenye e-commerce library moja. Moja ya source kuu niliyokuwa natumia kupata hizo products ni Amazon na zingine alizotaja Mohamed Said kwenye post moja wapo bila kusahau eBay!!!

Kote huko, katu huwezi kukuta kitabu ambacho hakina ISBN... never, ever!

Hapana, nisiapize! Labda niseme mimi binafsi sikuwahi kuona kitabu ambacho hakina ISBN ingawaje nilifanya outsourcing ya maelfu ya bidhaa... books and other multimedia products kv DVDs, Blu Rays, Video Games n.k! Zote hizo, lazima ziwe na identification numbers.

Sina shaka, kitabu huenda unacho lakini usichotaka ni kuonesha kwamba kinapatikana kwenye maduka ya mchangani peke yake! Ili watu wakipate popote walipo duniani, basi fuata ushauri wa Mohamed Said wa namna gani unaweza kupata ISBN.

Nyongeza yangu kwa yale aliyoshauri Mohamed Said ni hii! Kama alivyosema Mzee wetu, anaefanya ISBN application ni Publisher. However, an Author anaweza ku-act as a Publisher as well kwa case ya ISBN application. Hii hutokea pale publication costs zinapokuwa fully borne (from bear) na Author mwenyewe.

Wasiliana na ISBN National Agency kwa sababu ndie atakaehusika. Kama humfahamu, huyu hapa:

Organization: National Bibliographic Agency
Address: Director General
Tanzania Library Services Board
P.O. Box 9283
Dar es Salaam

Phone 1: (+255 22) 21500 48
Phone 2: (+255 22) 21500 49
Fax 1: (+255 22) 21511 07

Email: tlsb@africaonline.co.tz
Web: Tanzania Library Services Board - TLSB

Kama hakuna mabadiliko, contact person ni: Ms. Emily Emmanuel Meshack

Bila ISBN huwezi kuuza kitabu Amazon, Full Stop!

NOTE: Kama cost bearer ni wewe mwenyewe unaweza ku-apply ISBN wewe mwenyewe kwa sababu, usefulness ya ISBN haitakuwa na umuhimu wowote kwa publisher but to yourself!!!

Natoa hiyo tip kwa sababu Kibongo bongo watu tunakuwa nyuma kidogo na mambo jinsi yanavyoendeshwa duniani. Kutokana na hilo, unaweza kufika pale Agency na wakakukomalia kwamba ni LAZIMA Publisher (Publishing Company) ndie afanye application for ISBN.

Hata hivyo, International ISBN Agency wanatoa exceptions, na kimsingi wanaeleza ni nani hasa anayepaswa ku-apply.
 
Wewe Yericko sasa unataka kumtowa nyoka pangoni, yani waanzilishi ni makafir watupu na wazee wa Mohammed Said yupo mmoja tu mzee Sykes?

Hapo siondoki nawahi siti ya mbele kabisa namsubili mzee Mohammed Said, hapa patamu leo.
[emoji23][emoji23][emoji23]watakuja na kejeli zao hapa
 
Juvenile, ussipoteze bundle yako, hicho kitabu hakipo Amazon!

Mkuu Yericko Nyerere, pasipo kung'ata meno wala kumung'unya Mzee Mohamed Said ametamka wazi kwamba hauna kitabu Amazon! Nami naweza kushuhudia hilo ili kumpunguzia mzigo juvenile davis kwenda huko kujitafutia conclusion yake!

Ya nini basi kusema hicho kitabu kinapatikana Amazon wakati hakipo? Na kwa kuangalia hiyo picha ya kitabu uliyoweka hapo juu haielekei kwamba kina ISBN (International Standard Book Number), haidhuru hata kama kinaonekana upande wa mbele peke yake!!

Hivyo basi, nami nakubaliana na maelezo ya Mohamed Said kwamba hicho kitabu hakina ISBN na kwahiyo hakipo Amazon.

Nami katika shughuli zangu za ugangaji njaa nilishawahi kupata project ya kufanya products listing kwenye e-commerce library moja. Moja ya source kuu niliyokuwa natumia kupata hizo products ni Amazon na zingine alizotaja Mohamed Said kwenye post moja wapo bila kusahau eBay!!!

Kote huko, katu huwezi kukuta kitabu ambacho hakina ISBN... never, ever! Hapana, nisiapize! Labda niseme mimi binafsi sikuwahi kuona kitabu ambacho hakina ISBN ingawaje nilifanya outsourcing ya maelfu ya bidhaa.

Sina shaka, kitabu huenda unacho lakini usichotaka ni kuonesha kwamba kinapatikana kwenye maduka ya mchangani peke yake! Ili watu wakipate popote walipo duniani, basi fuata ushauri wa Mohamed Said wa namna gani unaweza kupata ISBN.

Nyongeza yangu kwa yale aliyoshauri Mohamed Said ni hii! Kama alivyosema Mzee wetu, anaefanya ISBN application ni Publisher. However, an Author anaweza ku-act as a Publisher as well kwa case ya ISBN na hii hutokea pale publication costs zinapokuwa fully borne (from bear) na Author mwenyewe.

Wasiliana na ISBN National Agency kwa sababu ndie atakaehusika. Kama humfahamu, huyu hapa:

Organization: National Bibliographic Agency
Address: Director General
Tanzania Library Services Board
P.O. Box 9283
Dar es Salaam

Phone 1: (+255 22) 21500 48
Phone 2: (+255 22) 21500 49
Fax 1: (+255 22) 2151107
Email: tlsb@africaonline.co.tz
Web: Tanzania Library Services Board - TLSB

Kama hakuna mabadiliko, contact person ni: Ms. Emily Emmanuel Meshack

Bila ISBN huwezi kuuza kitabu Amazon, Full Stop!

NOTE: Kama cost bearer ni wewe mwenyewe unaweza ku-apply ISBN wewe mwenyewe kwa sababu, usefulness ya ISBN haitakuwa na umuhimu wowote kwa publisher but to yourself!!!

Nasema hayo kwa sababu Kibongo bongo watu tunakuwa nyuma kidogo na mambo jinsi yanavyoendeshwa. Kutokana na hilo, unaweza kufika pale Agency na wakakukomalia kwamba ni LAZIMA Publisher (Publishing Company) ndie afanye application for ISBN.

Hata hivyo, International ISBN Agency wanatoa exceptions, na kimsingi wanaeleza ni nani hasa anayepaswa ku-apply.
Chige,
Ahsante sana kaka.
Umetoa msaada mkubwa sana kwa Yericko na mimi pia umenielimisha.
 
Mbona unahangaika sana mzee?
Mimi huwa sikubaliani na Mohammed Said kwenye udini tu, lakini nje ya hapo huna ubavu wa kuweka ligi na Mohammed Said kama vitu vidogo tu kama ISBN vimekushinda, na inakuwaje unasema kitabu kipo Amazon wakati haupo huko?

Dunia ya leo ogopa Mungu na teknolojia by Ruge Mutahaba.
 
Chige,
Yericko hana kitabu wala nini...
Kkuandika hajui ataweza kuandika kitabu?

Hebu soma hili darsa nililomzawadia huko FB:
''Bado niko na wewe Yericko. Nimekuwekea darsa zima kuhusu uandishi wa vitabu. Meza kibri chako na soma na zingatia. Umesema uko Amzon lakini ukweli ni kuwa hawakujui huko. Mimi nimeingia Amazon toka mwaka wa 1998 kwa hiyo nawajua vyema. Kuna kitu lazima ukijue pia. Amazon hujipeleki. Amazon unapelekwa na ''publishers,'' na ''booksellers'' yaani wauza vitabu. Kuna kitu kinaitwa ''blarb'' katika kitabu. Haya ni maelezo nyuma ya ''cover,'' ya kitabu. ''Blarb,'' inaandikwa na ''publisher,'' si wewe Yericko. Huu ni ushauri wa bure wenzako wanalipia fedha. Mimi nakupa bure ili ujitoe katika ujinga.''

5bDT5yK4WfHz0QFpqYKBzUNiSToufTEZZ5p4HUil4VnNM7AoRI2DPidbJp3SvJjB4tC74NS1Me9u6h_WzKik7hLuj6eQM6uKlb7jjgn-2OeZxEV7ZWVUt2N1lXfLGR3n-cjnsiif0fZH3_TyeEzV80edxUgStfIJs7gZrzdi4EFjDMRwjOYK2OnpI2ub0FdB9e1Q7-uC1uVcXDSohM3Orp2aQMp73JB023taZeWCz-M9WtJEVuxq_C7qjt68ahXqSlkX68knlzkxEapRn4dllWkiZaXT-9COMnzIqGI6jD8VWF-AY374i0m8NnAP8TU6mVRgMBc2jBLvDQypndbIEuDNrzBHId43uU07S35PFVz-iFP1h6ZTFGyA7dnVUAtPdGV_m94rgn3QyRJ8rWHWDpVF2ywH1qBSHGQH0e0vV7h2EtTUERqlkuvBxab22AHizpLrSFtxPgxBF_G57kU_4Uj35VLjlI7MPPGS0GnKsMVT1kDG0BOBNPDrvn_IFCKqi2k7SlcNVRfmO5CiOMQpAZpcHt7u9_KPzCdVMxtwkVYUvD1v2bYtDHeWGOs6J7Iu8rohqMAhLLgNhzySaThe6Yu0Z5dY_XoOBNVnqq_zNA_mf9F5au2JpQ=w335-h188-no


''Daisy baada ya kufariki baba yake mwaka wa 1968 alitaka kuandika kitabu cha maisha yake lakini mwalimu wake John Iliffe alimwambia somo hilo linataka muda haitakuwa vyema kwa yeye kufanya haraka. Daisy hakuandika kitabu kile na ikaja kuwa mimi ndiye Allah akanijaalia kukiandika kwa msaada mkubwa sana wa nyaraka za ukoo wake. Picha hiyo tumepiga April 2017 na Daisy ni huyo kashika kitabu cha maisha ya baba yake. Unaweza kumsoma Daisy katika hii, ''paper,'' yake: A.D. Sykes ‘’The Life of Kleist Sykes,’’ University of Dar es Salaam Ref. No. JAN/HIST/143/15). Inapatikana Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, East Africana.''

''Marafiki wa Mwalimu Nyerere na baadhi ya wasomi wameona ni bora baada ya mimi kuandika kitabu cha Abdul Sykes ambacho kwa namna moja au nyingine kimegusa maisha ya siasa ya Baba wa Taifa, na wao wafanye utafiti na iandikwe ''biography,'' ya Mwalimu Nyerere. Nimefanya mahojiano na wao nyumbani kwangu Magomeni Mapipa mara tatu na nimewapa nyaraka na picha nyingi sana kutoka kumbukumbu za akina Sykes. Mradi huu nadhani sasa uko mwaka wa nne. Wanaofanya utafiti huu ni Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman Yahya na Dr. Kamata.''

Chige,
Haya ndiyo yangu katika historia hii.

Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Pata nakala yako ngumu (hardcopy) kwa dola 45 tu popote ulipo duniani . Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi (Afrikaans Edition): Yericko Nyerere: 9789976993608: Amazon.com: Books
 
Sasa watanzania na watumiaji wote wa JF tununueni hiki kutabu cha Yericko Nyerere, Ni kisima cha maarifa kwetu na ni namna ya kumuunga mkono member mwenzetu
 
Yericko,
Ahsante nimeona kitabu na mengine.

Lakini hii imetajwa ni Afrikaans Edition lakini jina la kitabu limeandikwa Kiswahili si ki-Afrikaans.

Hii kidogo imenishangaza.

Si kawaida kwa mchapaji kutoa kitabu mara ya kwanza katika lugha mbili yaani kitabu kinatoka kishafasiriwa.

Sababu ni kuwa huenda kitabu kisiuzike.

Biashara ya vitabu ina ushindani mkubwa ili kitabu kiuzike ni lazima kitabu kijiuze chenyewe kwa muktadha wake na sifa za muandishi.

Publisher huwa hana pupa.

Atatoa nakala chache kulipima soko kwanza na kusubiri, "reviews," baada ya hapo ndiyo anaamua.

Pili sijaona jina la Publisher wa kitabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa watanzania na watumiaji wote wa JF tununueni hiki kutabu cha Yericko Nyerere, Ni kisima cha maarifa kwetu na ni namna ya kumuunga mkono member mwenzetu
Dragoon hakika hiki ni kitabu chetu wana Majlis lakini mmoja wetu atuandikie review ya kitabu na ichapwe hapa jamvini na kwengineko.

Hii itanyanyua usomaji ikiwa kitabu hakika ni kitabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yericko,
Ahsante nimeona kitabu na mengine.

Lakini hii imetajwa ni Afrikaans Edition lakini jina la kitabu limeandikwa Kiswahili si ki-Afrikaans.

Hii kidogo imenishangaza.

Si kawaida kwa mchapaji kutoa kitabu mara ya kwanza katika lugha mbili yaani kitabu kinatoka kishafasiriwa.

Sababu ni kuwa huenda kitabu kisiuzike.

Biashara ya vitabu ina ushindani mkubwa ili kitabu kiuzike ni lazima kitabu kijiuze chenyewe kwa muktadha wake na sifa za muandishi.

Publisher huwa hana pupa.

Atatoa nakala chache kulipima soko kwanza na kusubiri, "reviews," baada ya hapo ndiyo anaamua.

Pili sijaona jina la Publisher wa kitabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushukuru mzee wangu,

Kwabahati mbaya Kindle kwenye orodha yao ya lugha hawana lugha ya kiswahili, nimejaribu kutafuta sijapata na kwa lugha nyingine nje ya hiyo African wanakataa, hivyo nimeamua kukiruhusu kiende sokoni wakati ufumbuzi ukisubiliwa na Kendle..
 
Yerico mpotoshaji, Watanzania msinunue sumu ya historia hii.
 
Ilikuwa mwaka 1927 ndipo chama cha AA kiliundwa kwa msaada wa Gavana wa Kiingereza nchini Tanganyika Sir Roland Davidl Cameron na Dr Agrey raia wa Ghana mwenye mtaa Kariakoo ya leo, huyu Mghana alikuwa mshauri wa kisheria na kimuundo tu, kikawa kinafanyia shughuli zake nyumbani kwa Rais wa kwanza wa AA bwana Cecil Matola kutoka kabila la wayao, na miaka mitatu baadae, yaani 1930 ndipo wakapata jengo toka kwa Gavana Donald Cameron, hapo ndipo picha hii ilipigwa,

Mwaka 1933 Cecil Matola alifariki dunia, na nafasi yake ikakaimiwa na katibu mkuu wa AA Bwana Kleist Sykies (ambae baba yake mzee Platanta alikuwa ni muhamiaji haramu toka Afrika Kusini aliyefika Tanga na kuanzisha makazi huko baada ya kuwa mateka wa wajerumani vita ya kwanza ya dunia), mpaka mwaka 1948 chama kilipobadilishwa jina nakuwa TAA chini ya Rais wake Daktari Vedasto Kyaruzi (Mhaya),

Hapo Rais wake wa kwanza wa TAA akawa Daktari Vedasto Kyaruzi, na katibu akawa Abdulwahid Klest Sykies, miaka miwili baadae, Dr Kyaruzi alihamishiwa Kingolwila hivyo nafasi ya urais wa AA ikakaimiwa na Abdulwahid Kleist Sykies hadi ilipofika uchaguzi wa 1953 ambao Julius Nyerere alimshinda Abdulwahid Kleist Sykies kwakishindo na kuwa Rais wa TAA, Mwaka mmoja baadae Julius Nyerere alibadilisha jina na mrengo wa TAA nakuwa TANU ya kupigania uhuru kutoka chama cha kuratibu shughuli za starehe za weusi (chama cha walevi)

................................................................ Yote kwa urefu yamo katika kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi,

View attachment 544629

View attachment 544695
Ok

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom