Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Nashuru kwa masahihisho ewe mswahili
Yericko,
Kubwa mambo hayajakaa vyema katika kitabu chako.
Nani publisher wako?

Huna publisher ndiyo maana unafanya shughuli za
masoko mwenyewe?

Ikiwa ni ''self publishing,'' ni kuwa hakuna publisher
aliyeona kitabu chako ni kitabu.

Nani atanunua kitabu chako?

Nakuambia haya kwa kuwa naijua biashara ya vitabu
na uchapaji.

Booksellers yaani wauza vitabu hawashughuliki na
mwandishi wao mtu wao ni publisher na mapublisher
wanajualikana na aina ya vitabu wanavyochapa na
kusambaza.

Halafu bei ya kitabu kubwa mno.
Kaa ufikiri...
 
Yericko,
Kubwa mambo hayajakaa vyema katika kitabu chako.
Nani publisher wako?

Huna publisher ndiyo maana unafanya shughuli za
masoko mwenyewe?

Ikiwa ni ''self publishing,'' ni kuwa hakuna publisher
aliyeona kitabu chako ni kitabu.

Nani atanunua kitabu chako?

Nakuambia haya kwa kuwa naijua biashara ya vitabu
na uchapaji.

Booksellers yaani wauza vitabu hawashughuliki na
mwandishi wao mtu wao ni publisher na mapublisher
wanajualikana na aina ya vitabu wanavyochapa na
kusambaza.

Halafu bei ya kitabu kubwa mno.
Kaa ufikiri...
Nashukuru kwa ushauri mkuu... Kwa taarifa kidogo nikuwa kitabu kinauzika vizuri nijambo la kuongeza utafutaji wa masoko tu
 
Yericko,
Mimi naijua biashara ya vitabu...
Kitabu ili kiuzike kinahitaji mambo kadhaa.

Je kuna msomi yeyote kakifanyia, ''review?''
Huuzi kitabu bila, ''review.''
Unasemaje siuzi wakati nauza na unakiona kwa macho yako kuwa kipo sokoni?
 
Hapa kuna ushindani wa madaraja tofauti...mohamed said ni mtaaluma mbobezi na huyu mwandishi wa kitabu wa hapa nchini kama akina shigongo...kosa lake amevamia kuandika mambo ya intellectuals...yaani haya mnayozungumza na kichwa cha habari cha kitabu chenyewe tofauti kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kuna ushindani wa madaraja tofauti...mohamed said ni mtaaluma mbobezi na huyu mwandishi wa kitabu wa hapa nchini kama akina shigongo...kosa lake amevamia kuandika mambo ya intellectuals...yaani haya mnayozungumza na kichwa cha habari cha kitabu chenyewe tofauti kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, mimi nimependekeza hapo juu tukitafute hiki kitabu tukisome,
 
Unasemaje siuzi wakati nauza na unakiona kwa macho yako kuwa kipo sokoni?
Yericko,
Huwezi kuuza kitabu kwa juma moja.
Kwanza hakuna wasomaji vitabu hizi nchi zetu.

Mimi sina sababu ya kukukatisha tamaa lakini unazungumza na mtu
ambae, ''knows the trade.''

Hata Ali Mazrui hajapata kuuza kitabu kwa juma moja juu ya usomi
wake wote.
 
Yericko,
Mimi naijua biashara ya vitabu...
Kitabu ili kiuzike kinahitaji mambo kadhaa.

Je kuna msomi yeyote kakifanyia, ''review?''
Huuzi kitabu bila, ''review.''
Hapo mtabishana sana. Shughuli ya utungaji vitabu, inataka weledi na kukubali taratibu za utungaji vitabu kwa kuzingatia masharti ya upatikanaji wa International Standard Book Number (ISBN).
 
Screenshot_20170727-014059.png
 
Hongera Yericho, ila ili ufike mbali wakongwe kama akina mzee Mohamed Said jitahidi wawe upande wako. Mfano hiki kitabu chako angekipitia na kukifanyia review yeye au kukushauri ni nani hasa anafaa kukifanyia review kutokana na yale uliyoyaandika ili kikienda Sokoni inshallah kifanye vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera Yericho, ila ili ufike mbali wakongwe kama akina mzee Mohamed Said jitahidi wawe upande wako. Mfano hiki kitabu chako angekipitia na kukifanyia review yeye au kukushauri ni nani hasa anafaa kukifanyia review kutokana na yale uliyoyaandika ili kikienda Sokoni inshallah kifanye vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu heri nisiandike vitabu kama mtu mwenyewe ni kama huyu mzee wa soga...
 
Back
Top Bottom