Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

mzee wako wa ngano mpaka sasa hajajibu hata hoja moja,na wewe unazurura tu!
njia ya muongo fupi!
JF kuna vituko sana wewe naye unajiona una hoja za kujibiwa daaah!!

Nakushauri kwenye huu mnakasha ungebaki msomaji ungefaidika sana lakini kujitia unajua na unazo hoja unajipunja mengi.

Kuna minakasha imepita mingi sana hapa JF miaka ya history ya Tanganyika kuna watu walikuwa wabishi sana lakini mwisho wa siku walipiga goti wakapata elimu bure bila ihana.

Halafu mie pia naweza kuwa mzee wako ki umri.
 
JF kuna vituko sana wewe naye unajiona una hoja za kujibiwa daaah!!

Nakushauri kwenye huu mnakasha ungebaki msomaji ungefaidika sana lakini kujitia unajua na unazo hoja unajipunja mengi.

Kuna minakasha imepita mingi sana hapa JF miaka ya history ya Tanganyika kuna watu walikuwa wabishi sana lakini mwisho wa siku walipiga goti wakapata elimu bure bila ihana.

Halafu mie pia naweza kuwa mzee wako ki umri.
umuhimu si wewe una umri gani,au una mvi kiasi gani kichwani,muhimu ni wewe ndani ya saa dk na sekunde umefanya nini chenye mchango kwa taifa!
*ANGALIA MSIBA WA MUDI HUU*
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Sasa mbona kitabu chako cha jasusi kimejaa ngano daaah!
Ritz,
Mimi sishangai nisomapo humu kuona ghadhabu na mshtuko wa hawa ndugu zangu.

Hata kama mie nisingeandika, mtafiti yeyote ambae angeziona hizi nyaraka nilizoshuhudia mie lazima angeandika kitabu.

Mfikirie mtu kama Prof. Haroub Othman na kujua kwake kote akili ilikataa kuamini.

Unaanza na "kukataa," kisha baada ya muda ndipo unapofikia, "kukubali."

Prof. Haroub ndiyo chanzo leo inaandikwa historia ya TANU na historia ya uhuru wa Tanganyika na hili Jopo la Prof. Shivji watafanya kazi nzuri kwani wana "access," ya nyaraka zote.

Walipofika kuzungumza na mie walikuwa tayari washakwenda Rhodes House, Oxford kuliko na nyaraka nyingi za kikoloni.

Tusubirini kitabu hiki huenda ikatupa mengi ambayo leo baadhi ya watu hawajaamini niliyoandika.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sesilia Matola??? Please check your facts again, Ni Cecil Matola.
 
umuhimu si wewe una umri gani,au una mvi kiasi gani kichwani,muhimu ni wewe ndani ya saa dk na sekunde umefanya nini chenye mchango kwa taifa!
*ANGALIA MSIBA WA MUDI HUU*
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
Narudia tena kukwambia kasome kitabu
"The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968)": utakutana na majibu na utaachana na hizo copy and paste zako.
 
Narudia tena kukwambia kasome kitabu
"The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968)": utakutana na majibu na utaachana na hizo copy and paste zako.
hizo ngano za mudi tushasoma na huu ndo udhaifu wa ngano zake msaidie kujibu urongo wake!

Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Ritz,
Mimi sishangai nisomapo humu kuona ghadhabu na mshtuko wa hawa ndugu zangu.

Hata kama mie nisingeandika, mtafiti yeyote ambae angeziona hizi nyaraka nilizoshuhudia mie lazima angeandika kitabu.

Mfikirie mtu kama Prof. Haroub Othman na kujua kwake kote akili ilikataa kuamini.

Unaanza na "kukataa," kisha baada ya muda ndipo unapofikia, "kukubali."

Prof. Haroub ndiyo chanzo leo inaandikwa historia ya TANU na historia ya uhuru wa Tanganyika na hili Jopo la Prof. Shivji watafanya kazi nzuri kwani wana "access," ya nyaraka zote.

Walipofika kuzungumza na mie walikuwa tayari washakwenda Rhodes House, Oxford kuliko na nyaraka nyingi za kikoloni.

Tusubirini kitabu hiki huenda ikatupa mengi ambayo leo baadhi ya watu hawajaamini niliyoandika.





Sent using Jamii Forums mobile app
Sheikh Mohamed Said,
Husda ni kitu kibaya sana jicho la husda linakausha mti wa mchungwa na majani yake.
 
hizo ngano za mudi tushasoma na huu ndo udhaifu wa ngano zake msaidie kujibu urongo wake!

Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
Labda tuanze na hizo copy and paste zako Sheikh Mohamed Said, kaondoa ushiriki wa kina nani?
 
Nakuuliza tena Sheikh Mohamed Said, kaondoa ushiriki wa nani? Simple tu niambie hili nijibu hoja zako.

Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
Nakuuliza tena Sheikh Mohamed Said, kaondoa ushiriki wa nani? Simple tu niambie hili nijibu hoja zako.
 
Nakuuliza tena Sheikh Mohamed Said, kaondoa ushiriki wa nani? Simple tu niambie hili nijibu hoja zako.
kichwa sio cha kufugia nywele jibu hoja mwenyewe mudi anapita kam haon,km wewe huna hoja funga bakuli hilo!

Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Labda tuanze na hizo copy and paste zako Sheikh Mohamed Said, kaondoa ushiriki wa kina nani?
Ritz,
Nimeingia Maktaba na nimekuta hii makala ya Baba wa Taifa UNO 1955.

Naiweka hapo chini ili sote tujikumbushe tulikotoka na tuwakumbuke wale
waliofanikisha safari ile:

Mohamed Said
Historia, Siasa na Maendeleo Tanzania

MIAKA 61 IMEPITA...
TUWAKUMBUKE WAZALENDO WALIOFANIKISHA HAYA

Miaka 61 Tangu Nyerere Kwenda UNO New York Kudai Uhuru wa Tanganyika na...


Kushoto: Bi. Tatu bint Mzee wa tatu Julius Nyerere wa tano Bi. Titi Mohamed

images

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Baba wa Taifa
Alipozungumza UNO 1955

DSC00321%252520%2525281%252529.JPG

Mwandishi akisomeshwa historia ya TANU na Abbas Sykes wakifanya kipindi cha TV Imaan
 
Ritz,
Nimeingia Maktaba na nimekuta hii makala ya Baba wa Taifa UNO 1955.

Naiweka hapo chini ili sote tujikumbushe tulikotoka na tuwakumbuke wale
waliofanikisha safari ile:

Mohamed Said
Historia, Siasa na Maendeleo Tanzania

MIAKA 61 IMEPITA...
TUWAKUMBUKE WAZALENDO WALIOFANIKISHA HAYA

Miaka 61 Tangu Nyerere Kwenda UNO New York Kudai Uhuru wa Tanganyika na...


Kushoto: Bi. Tatu bint Mzee wa tatu Julius Nyerere wa tano Bi. Titi Mohamed

images

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Baba wa Taifa
Alipozungumza UNO 1955

DSC00321%252520%2525281%252529.JPG

Mwandishi akisomeshwa historia ya TANU na Abbas Sykes wakifanya kipindi cha TV Imaan
Kwanini hakwenda Abdulwahid Sykes au Abas Sykes kule UNO?

Hebu eleza kinagaubaga
 
Kwanini hakwenda Abdulwahid Sykes au Abas Sykes kule UNO?

Hebu eleza kinagaubaga
Yericko,
Swali lako umelikosea kuuliza.
Ilitakiwa uulize hivi, ''Kwa nini hakwenda Abdul au Ally?''

Wala ndugu yangu hapana haja ya wewe kuuliza swali kisha
ukaweka na masharti ya kujibiwa kuwa iwe, ''kinagaubaga.''

Nitaanza na Abbas.

Abbas alikuwa mtoto mdogo wakati ule, mtoto wa kutumwa
na kaka zake fanya hili, kalete kile kiasi hata Nyerere alipokuja
kukaa kwao baada ya kuacha kazi ya ualimu, Abbas alitolewa
chumbani kwake kumpisha Nyerere na Nyerere akimtuma
Abbas kama mdogo wake sana.

Hata siku ile ya mkutano wa kuasisi TANU 1954 Abbas alikuwa
nje pale New Street akitumwa kazi ndogo ndogo na ni yeye
aliyeagizwa kumleta mpiga picha Gomes aliyepiga ile picha
mashuhuri ya waasisi wa TANU.

Kwa nini Abdul hakwenda yeye UNO?

Abdul hakwenda yeye UNO kwa kuwa aliyetakiwa kwenda ni
rais wa TANU, Julius Nyerere.

Sasa hili si swali ambalo mtu ungeuliza na umewachagua ndugu
hawa kuuliza kwa nini hawakwenda wao wakamwachia Nyerere.

Labda ningekufahamisha kitu kuwa mwaka wa 1954 ilipokuja
Kamati ya Udhamini ya UNO aliyetoa maoni ya Waafrika kuhusu
kujitawala hakuwa Nyerere bali alikuwa Said Chamwenyewe.

1953 Abdul Sykes alipata, ''admission,'' ya Princeton University,
New Jersey.

Earle Seaton alimwandikia barua Abdul akimwambia kuwa
akifika New Jersey awe anakwenda New York, UNO kusikiliza
majadiliano ya nchi zilizo chini ya udhamini wa Waingereza.

Kutoka New York kwenda New Jersey ni masafa ya Magomeni
Mapipa na Kariakoo.

Yericko,
Nataka nikupe kitu.

Hii safari ya UNO ilikuwa katika TAA siku nyingi hata kabla
Nyerere hajafika Dar es Salaam na kuingia katika uongozi.

Huyu Seaton mtu wa Bermuda alikuwa rafiki ya Abdul na
yeye ndiye aliyemuomba kwanza awasaidie TAA Political
Subcommittee katika kuliendea suala la Mandate Territories
UNO mwaka wa 1950 na 1952 ni yeye Abdul akiwa Kaimu Rais
wa TAA ndiye aliyemuomba Seaton atengeneze, ''petition,''
ya Meru Citizens Union katika Meru Land Case chini ya uongozi
wa Japhet Kirilo kwenda UNO.

Kirilo alipokwena kuzungumza UNO mkalimani wake alikuwa
Seaton.

Nakueleza haya yote ili nikujulishe historia ya safari ya Baba
wa Taifa
UNO.

Nahitimisha kwa kukueleza kuwa mratibu wa safari hii na
mkusanyaji wa fedha za safari alikuwa Idd Faiz Mafungo
mweka hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na pia
mweka hazina wa TANU.

Hii historia ndiyo iliyomvuruga akili Prof. Haroub Othman.

Hakuwa amepatapo kuyasikia majina haya wala kuijua historia
hii.

Aliona lazima azungumze na Baba wa Taifa apate kauli yake.

Ndiyo hivi sasa kinaandikwa kitabu kueleza maisha ya Mwalimu
Nyerere
na bila shaka watapita nilipowatangulia.

Nadhani nimejibu, ''kinagaubaga,'' kama ulivyoniamrisha.

Sijataka kueleza kuwa Seaton ndiye alisaidia sana kutengeneza
mapandekezo ya katiba yaliyopelekwa kwa Gavana Twining
1950 na ''document,'' hii ikajadiliwa katika mkutano wa kuasisi
TANU 1954 na mapendekezo yake yamo katika hotuba ya
Mwalimu Nyerere UNO.

Mimi ningeambiwa niongeze majina katika yale 17 ya waaisi
wa TANU ambayo hayapo lakini yalistahili yawepo ningemweka:
Hamza Mwapachu, Ali Migeyo na Earle Seaton.

Chembelecho Maalim Faiza: ''Elimu Bila Khiyana.''

K2qfFOWen76IkbZ5mFh_mwXMrmYEnGHBS0JIGO0lAfRadlUi8X5VPWMpheVvl9SwJPrGva5ysqgVATxhCHgui4D37h8z1xL97SH7goQ332QnACbntbwgSEPAkj_wgKJIaB2dKMoVwOdQ-POXlfbUuyFPYZORG0K-PsbEKNVsdf1Xbn_f8ljVs69biH1LHxGSoItbp8d6yHzq539e3dz4ze8VtEarR6dbwoOApOAQ7gyt-QME6TxHSA1QR4QiP4FwqKijNNbz2XT8-Gt2btihUtWUJRL9IgaBH4JXflAoatmzEGPvna1JX5UFEYN6UZlGcC__-Z_DKK7eGjo0Wv6pqJE-IhVZv3rgwPONX0vtCa0CFCzEPwPi-LZMWguu0ON2w-swht9WPq_nRNo-_sYrMNeedTacvrNo8ynlwnyaZbjtWkSA0MREzVp2UAFynt1bpeCenXazEMf0eoyFUeb-N3Cq3ANHhrXKQadrEIAlHXfvYYVoiabktZKOSVjNlVk3bxhwLVCJME9ihkT7LALtLDByAeZctzz0xZBxyknZ0BeQDN6-0VnHReQFkMoX-Pa2hafNlBdCSzhNYRfq1qRpewN7LxOD96Aolwk29RLsGyF6tIuXCLvdxw=w944-h629-no


Earle Seaton na Mwalimu Nyerere baada ya uhuru
 
Yericko,
Swali lako umelikosea kuuliza.
Ilitakiwa uulize hivi, ''Kwa nini hakwenda Abdul au Ally?''

Wala ndugu yangu hapana haja ya wewe kuuliza swali kisha ukaweka
na masharti ya kujibiwa kuwa iwe, ''kinagaubaga.''

Nitaanza na Abbas.

Abbas alikuwa mtoto mdogo wakati ule, mtoto wa kutumwa na kaka
zake fanya hili, kalete kile kiasi hata Nyerere alipokuja kukaa kwao,
Abbas alitolewa chumbani kwake kumpisha Nyerere na Nyerere
akimtuma Abbas kama mdogo wake sana.

Hata siku ile ya mkutano wa kuasisi TANU 1954 Abbas alikuwa nje
pale New Street akitumwa kazi ndogo ndogo na ni yeye aliyeagizwa
kumleta mpiga picha Gomes aliyepiga ile picha mashuhuri ya waasisi
wa TANU.

Kwa nini Abdul hakwenda yeye UNO?

Abdul hakwenda yeye UNO kwa kuwa aliyetakiwa kwenda ni rais wa
TANU, Julius Nyerere.

Sasa hili si swali ambalo mtu ungeuliza na umewachagua ndugu hawa
kuuliza kwa nini hawakwenda wao wakamwachia Nyerere.

Labda ningekufahamisha kitu kuwa mwaka wa 1954 ilipokuja Kamati
ya Udhamini ya UNO aliyetoa maoni ya Waafrika kuhusu kujitawala
hakuwa Nyerere bali alikuwa Said Chamwenyewe.

1953 Abdul Sykes alipata, ''admission,'' ya Princeton University,New
Jersey.

Earle Seaton alimwandikia barua Abdul akimwambia kuwa akifika
New Jersey awe anakwenda New York, UNO kusikiliza majadiliano ya
nchi zilizo chini ya udhamini wa Waingereza.

Kutoka New York kwenda New Jersey na masafa ya Magomeni Mapipa
na Kariakoo.

Yericko,
Nataka nikupe kitu.

Hii safari ya UNO ilikuwa katika TAA siku nyingi hata kabla Nyerere
hajafika Dar es Salaam na kuingia katika uongozi.

Huyu Seaton alikuwa rafiki ya Abdul na yeye ndiye aliyemuomba
kwanza awasaidie TAA Political Subcommittee katika kuliendea suala la
Mandate Territories UNO mwaka wa 1950 na 1952 ni yeye Abdul ndiye
aliyemuomba Seaton atengeneze, ''petition,'' ya Meru Citizens Union
katika Meru Land Case chini ya uongozi wa Japhet Kirilo kwenda UNO.

Kirilo alipokwena kuzungumza UNO mkalimani wake alikuwa Seaton.

Nakueleza haya yote ili nikujulishe historia ya safari ya Baba wa Taifa
UNO.

Nahitimisha kwa kukueleza kuwa mratibu wa safari hii na mkusanyaji wa
fedha za safari alikuwa Idd Faiz Mafungo mweka hazina wa Al Jamiatul
Islamiyya fi Tanganyika na pia mweka hazina wa TANU.

Hii historia ndiyo iliyomvuruga akili Prof. Haroub Othman.
Hakuwa amepatapo kuyasikia majina haya wala kuijua historia hii.

Aliona lazima azungumze na Baba wa Taifa apate kauli yake.

Ndiyo hivi sasa kinaandikwa kitabu kueleza maisha ya Mwalimu Nyerere
na bila shaka watapita nilipowatangulia.

Nadhani nimejibu, ''kinagaubaga,'' kama ulivyoniamrisha.
Chembelecho Maalim Faiza: ''Elimu Bila Khiyana.''

K2qfFOWen76IkbZ5mFh_mwXMrmYEnGHBS0JIGO0lAfRadlUi8X5VPWMpheVvl9SwJPrGva5ysqgVATxhCHgui4D37h8z1xL97SH7goQ332QnACbntbwgSEPAkj_wgKJIaB2dKMoVwOdQ-POXlfbUuyFPYZORG0K-PsbEKNVsdf1Xbn_f8ljVs69biH1LHxGSoItbp8d6yHzq539e3dz4ze8VtEarR6dbwoOApOAQ7gyt-QME6TxHSA1QR4QiP4FwqKijNNbz2XT8-Gt2btihUtWUJRL9IgaBH4JXflAoatmzEGPvna1JX5UFEYN6UZlGcC__-Z_DKK7eGjo0Wv6pqJE-IhVZv3rgwPONX0vtCa0CFCzEPwPi-LZMWguu0ON2w-swht9WPq_nRNo-_sYrMNeedTacvrNo8ynlwnyaZbjtWkSA0MREzVp2UAFynt1bpeCenXazEMf0eoyFUeb-N3Cq3ANHhrXKQadrEIAlHXfvYYVoiabktZKOSVjNlVk3bxhwLVCJME9ihkT7LALtLDByAeZctzz0xZBxyknZ0BeQDN6-0VnHReQFkMoX-Pa2hafNlBdCSzhNYRfq1qRpewN7LxOD96Aolwk29RLsGyF6tIuXCLvdxw=w944-h629-no


Earle Seaton na Mwalimu Nyerere baada ya uhuru
 
Back
Top Bottom