Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola


Yericko,
Swali lako umelikosea kuuliza.
Ilitakiwa uulize hivi, ''Kwa nini hakwenda Abdul au Ally?''

Wala ndugu yangu hapana haja ya wewe kuuliza swali kisha
ukaweka na masharti ya kujibiwa kuwa iwe, ''kinagaubaga.''

Nitaanza na Abbas.

Abbas alikuwa mtoto mdogo wakati ule, mtoto wa kutumwa
na kaka zake fanya hili, kalete kile kiasi hata Nyerere alipokuja
kukaa kwao baada ya kuacha kazi ya ualimu, Abbas alitolewa
chumbani kwake kumpisha Nyerere na Nyerere akimtuma
Abbas kama mdogo wake sana.

Hata siku ile ya mkutano wa kuasisi TANU 1954 Abbas alikuwa
nje pale New Street akitumwa kazi ndogo ndogo na ni yeye
aliyeagizwa kumleta mpiga picha Gomes aliyepiga ile picha
mashuhuri ya waasisi wa TANU.

Kwa nini Abdul hakwenda yeye UNO?

Abdul hakwenda yeye UNO kwa kuwa aliyetakiwa kwenda ni
rais wa TANU, Julius Nyerere.

Sasa hili si swali ambalo mtu ungeuliza na umewachagua ndugu
hawa kuuliza kwa nini hawakwenda wao wakamwachia Nyerere.

Labda ningekufahamisha kitu kuwa mwaka wa 1954 ilipokuja
Kamati ya Udhamini ya UNO aliyetoa maoni ya Waafrika kuhusu
kujitawala hakuwa Nyerere bali alikuwa Said Chamwenyewe.

1953 Abdul Sykes alipata, ''admission,'' ya Princeton University,
New Jersey.

Earle Seaton alimwandikia barua Abdul akimwambia kuwa
akifika New Jersey awe anakwenda New York, UNO kusikiliza
majadiliano ya nchi zilizo chini ya udhamini wa Waingereza.

Kutoka New York kwenda New Jersey ni masafa ya Magomeni
Mapipa na Kariakoo.

Yericko,
Nataka nikupe kitu.

Hii safari ya UNO ilikuwa katika TAA siku nyingi hata kabla
Nyerere hajafika Dar es Salaam na kuingia katika uongozi.

Huyu Seaton mtu wa Bermuda alikuwa rafiki ya Abdul na
yeye ndiye aliyemuomba kwanza awasaidie TAA Political
Subcommittee katika kuliendea suala la Mandate Territories
UNO mwaka wa 1950 na 1952 ni yeye Abdul akiwa Kaimu Rais
wa TAA ndiye aliyemuomba Seaton atengeneze, ''petition,''
ya Meru Citizens Union katika Meru Land Case chini ya uongozi
wa Japhet Kirilo kwenda UNO.

Kirilo alipokwena kuzungumza UNO mkalimani wake alikuwa
Seaton.

Nakueleza haya yote ili nikujulishe historia ya safari ya Baba
wa Taifa
UNO.

Nahitimisha kwa kukueleza kuwa mratibu wa safari hii na
mkusanyaji wa fedha za safari alikuwa Idd Faiz Mafungo
mweka hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na pia
mweka hazina wa TANU.

Hii historia ndiyo iliyomvuruga akili Prof. Haroub Othman.

Hakuwa amepatapo kuyasikia majina haya wala kuijua historia
hii.

Aliona lazima azungumze na Baba wa Taifa apate kauli yake.

Ndiyo hivi sasa kinaandikwa kitabu kueleza maisha ya Mwalimu
Nyerere
na bila shaka watapita nilipowatangulia.

Nadhani nimejibu, ''kinagaubaga,'' kama ulivyoniamrisha.

Sijataka kueleza kuwa Seaton ndiye alisaidia sana kutengeneza
mapandekezo ya katiba yaliyopelekwa kwa Gavana Twining
1950 na ''document,'' hii ikajadiliwa katika mkutano wa kuasisi
TANU 1954 na mapendekezo yake yamo katika hotuba ya
Mwalimu Nyerere UNO.

Mimi ningeambiwa niongeze majina katika yale 17 ya waaisi
wa TANU ambayo hayapo lakini yalistahili yawepo ningemweka:
Hamza Mwapachu, Ali Migeyo na Earle Seaton.

Chembelecho Maalim Faiza: ''Elimu Bila Khiyana.''

K2qfFOWen76IkbZ5mFh_mwXMrmYEnGHBS0JIGO0lAfRadlUi8X5VPWMpheVvl9SwJPrGva5ysqgVATxhCHgui4D37h8z1xL97SH7goQ332QnACbntbwgSEPAkj_wgKJIaB2dKMoVwOdQ-POXlfbUuyFPYZORG0K-PsbEKNVsdf1Xbn_f8ljVs69biH1LHxGSoItbp8d6yHzq539e3dz4ze8VtEarR6dbwoOApOAQ7gyt-QME6TxHSA1QR4QiP4FwqKijNNbz2XT8-Gt2btihUtWUJRL9IgaBH4JXflAoatmzEGPvna1JX5UFEYN6UZlGcC__-Z_DKK7eGjo0Wv6pqJE-IhVZv3rgwPONX0vtCa0CFCzEPwPi-LZMWguu0ON2w-swht9WPq_nRNo-_sYrMNeedTacvrNo8ynlwnyaZbjtWkSA0MREzVp2UAFynt1bpeCenXazEMf0eoyFUeb-N3Cq3ANHhrXKQadrEIAlHXfvYYVoiabktZKOSVjNlVk3bxhwLVCJME9ihkT7LALtLDByAeZctzz0xZBxyknZ0BeQDN6-0VnHReQFkMoX-Pa2hafNlBdCSzhNYRfq1qRpewN7LxOD96Aolwk29RLsGyF6tIuXCLvdxw=w944-h629-no


Earle Seaton na Mwalimu Nyerere baada ya uhuru


Earle Seaton alikuwa mkalimani wa Kililo toka lugha ipi kwenda lugha ipi?
 



Earle Seaton alikuwa mkalimani wa Kililo toka lugha ipi kwenda lugha ipi?
Mnabuduhe,
Earle Seaton
alikuwa anafasiri kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza.
''Kirilo.''

1UDhO8CEb1mPK-mMAa4-BvVBRnKr0STiAIaGVh-EZCFzItmMGsQTDjJ0EV246g1wEblx0dsnw0HCIFBQ5CoGsE0aVncgQPQQzeNse3U2V8WYCprN1vQSMCvqoNIC_zmfCOdC4zesJAIhl2oLx3KYhxBFpzIZ96hEXHr1elcrsx8WCJHKXUWfLFJeCGkkilpKaLwlMgmimq9LyJP8WtQF0Us8zVAtDUtJdbXFtvN3CDX4XY0eYv2niXkbXm7uUCP16I7fUtqrkaUVkVFAzYbeBjB85isrVbmKfcOTNeBASdjZd0-9Ry9BedEBZ6vCEC_gpGPuUusQjxU0EMFgdsLFHVdNw_egRIE-Hgg2FklIvFFZDzsKXRpo2i6NopEylzC6ebwb0YLfEmfSvCfRsyXkUm5vb3C-WrD4vdvRgqmONRqLfYRpzL9unO3XpTE0p-CXAxtlT7bN9GGE6pmel2sRnU5rlYMn3gdERR03ibob3FYm7iBdiPIN0_sUxFBH7OrAZ2jsWkxmj-GY4zZfsKydSH-kqwJHqnI1UoEOMA9tXAB6j1asdIgqvi0OIvO33JRznKHBzvoq3WT3PfMSaAHd5ROpJSk8OZDyUHRW57yLaQc_R2sowCMurQ=w839-h629-no


Kushoto: Abdulwahid Ally Sykes na Mwandishi, nje ya nyumba ya Japhet Kirilo
USA River, Arusha 1989.
 
Yericko,
Swali lako umelikosea kuuliza.
Ilitakiwa uulize hivi, ''Kwa nini hakwenda Abdul au Ally?''

Wala ndugu yangu hapana haja ya wewe kuuliza swali kisha
ukaweka na masharti ya kujibiwa kuwa iwe, ''kinagaubaga.''

Nitaanza na Abbas.

Abbas alikuwa mtoto mdogo wakati ule, mtoto wa kutumwa
na kaka zake fanya hili, kalete kile kiasi hata Nyerere alipokuja
kukaa kwao baada ya kuacha kazi ya ualimu, Abbas alitolewa
chumbani kwake kumpisha Nyerere na Nyerere akimtuma
Abbas kama mdogo wake sana.

Hata siku ile ya mkutano wa kuasisi TANU 1954 Abbas alikuwa
nje pale New Street akitumwa kazi ndogo ndogo na ni yeye
aliyeagizwa kumleta mpiga picha Gomes aliyepiga ile picha
mashuhuri ya waasisi wa TANU.

Kwa nini Abdul hakwenda yeye UNO?

Abdul hakwenda yeye UNO kwa kuwa aliyetakiwa kwenda ni
rais wa TANU, Julius Nyerere.

Sasa hili si swali ambalo mtu ungeuliza na umewachagua ndugu
hawa kuuliza kwa nini hawakwenda wao wakamwachia Nyerere.

Labda ningekufahamisha kitu kuwa mwaka wa 1954 ilipokuja
Kamati ya Udhamini ya UNO aliyetoa maoni ya Waafrika kuhusu
kujitawala hakuwa Nyerere bali alikuwa Said Chamwenyewe.

1953 Abdul Sykes alipata, ''admission,'' ya Princeton University,
New Jersey.

Earle Seaton alimwandikia barua Abdul akimwambia kuwa
akifika New Jersey awe anakwenda New York, UNO kusikiliza
majadiliano ya nchi zilizo chini ya udhamini wa Waingereza.

Kutoka New York kwenda New Jersey ni masafa ya Magomeni
Mapipa na Kariakoo.

Yericko,
Nataka nikupe kitu.

Hii safari ya UNO ilikuwa katika TAA siku nyingi hata kabla
Nyerere hajafika Dar es Salaam na kuingia katika uongozi.

Huyu Seaton mtu wa Bermuda alikuwa rafiki ya Abdul na
yeye ndiye aliyemuomba kwanza awasaidie TAA Political
Subcommittee katika kuliendea suala la Mandate Territories
UNO mwaka wa 1950 na 1952 ni yeye Abdul akiwa Kaimu Rais
wa TAA ndiye aliyemuomba Seaton atengeneze, ''petition,''
ya Meru Citizens Union katika Meru Land Case chini ya uongozi
wa Japhet Kirilo kwenda UNO.

Kirilo alipokwena kuzungumza UNO mkalimani wake alikuwa
Seaton.

Nakueleza haya yote ili nikujulishe historia ya safari ya Baba
wa Taifa
UNO.

Nahitimisha kwa kukueleza kuwa mratibu wa safari hii na
mkusanyaji wa fedha za safari alikuwa Idd Faiz Mafungo
mweka hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na pia
mweka hazina wa TANU.

Hii historia ndiyo iliyomvuruga akili Prof. Haroub Othman.

Hakuwa amepatapo kuyasikia majina haya wala kuijua historia
hii.

Aliona lazima azungumze na Baba wa Taifa apate kauli yake.

Ndiyo hivi sasa kinaandikwa kitabu kueleza maisha ya Mwalimu
Nyerere
na bila shaka watapita nilipowatangulia.

Nadhani nimejibu, ''kinagaubaga,'' kama ulivyoniamrisha.

Sijataka kueleza kuwa Seaton ndiye alisaidia sana kutengeneza
mapandekezo ya katiba yaliyopelekwa kwa Gavana Twining
1950 na ''document,'' hii ikajadiliwa katika mkutano wa kuasisi
TANU 1954 na mapendekezo yake yamo katika hotuba ya
Mwalimu Nyerere UNO.

Mimi ningeambiwa niongeze majina katika yale 17 ya waaisi
wa TANU ambayo hayapo lakini yalistahili yawepo ningemweka:
Hamza Mwapachu, Ali Migeyo na Earle Seaton.

Chembelecho Maalim Faiza: ''Elimu Bila Khiyana.''

K2qfFOWen76IkbZ5mFh_mwXMrmYEnGHBS0JIGO0lAfRadlUi8X5VPWMpheVvl9SwJPrGva5ysqgVATxhCHgui4D37h8z1xL97SH7goQ332QnACbntbwgSEPAkj_wgKJIaB2dKMoVwOdQ-POXlfbUuyFPYZORG0K-PsbEKNVsdf1Xbn_f8ljVs69biH1LHxGSoItbp8d6yHzq539e3dz4ze8VtEarR6dbwoOApOAQ7gyt-QME6TxHSA1QR4QiP4FwqKijNNbz2XT8-Gt2btihUtWUJRL9IgaBH4JXflAoatmzEGPvna1JX5UFEYN6UZlGcC__-Z_DKK7eGjo0Wv6pqJE-IhVZv3rgwPONX0vtCa0CFCzEPwPi-LZMWguu0ON2w-swht9WPq_nRNo-_sYrMNeedTacvrNo8ynlwnyaZbjtWkSA0MREzVp2UAFynt1bpeCenXazEMf0eoyFUeb-N3Cq3ANHhrXKQadrEIAlHXfvYYVoiabktZKOSVjNlVk3bxhwLVCJME9ihkT7LALtLDByAeZctzz0xZBxyknZ0BeQDN6-0VnHReQFkMoX-Pa2hafNlBdCSzhNYRfq1qRpewN7LxOD96Aolwk29RLsGyF6tIuXCLvdxw=w944-h629-no


Earle Seaton na Mwalimu Nyerere baada ya uhuru
Nakushukuru sana kwa maelezo mazuri na marefu,

Kwakukusahihisha tu, safari ya kwanza ya Mwalimu Julius K. Nyerere kwenda UNO 1955 iligharimiwa na Kanisa katoliki chini ya shirika la Maryknol Sisters, hivyo Idi Mafingo na TANU walimchangia hela ya juice tu...
 
Mzee Mohamed,

Hebu msome huyu hapa chini...

________________________________________________

Thank you for organizing this site.

I was a student at Arusha School in l955 for the January term. Being the only American at the time, I was called Hank.

My family lived only 12 miles east of Arusha in the heart of Meru country on the old German Lutheran mission estate at Makumira, so I was a day student, often riding my bike home on the tarmac after hockey practise.

My father, Anton Nelson, a Californian, was hired by Meru Cooperative Union, a group of some 4000 African coffee growers. This unusual arrangement came about at the instigation of Kirilo Japhet, one of these Meru farmers. He is mentioned elsewhere on the site in connection with the Meru Lands Case. My father had met Kirilo and his lawyer Earle Seaton at the United Nations in New York City.

Our European neighbors were the two with homes on the rim of Lake Duluti crater, the Fosbrookes and Gladys Rydon, both mentioned elsewhere on this site. Gladys was an Australian coffee estate owner and her home in view of Mt. Meru was ringed with a most beautiful flower garden. I have a photo her pouring tea on the veranda. I remember one tea in which Kirilo was in attendance. Kirilo by that time had become a rising star on the political firmament in Tanganyika. Both these strong personalities were the epitome of gracious interaction.

At Arusha School I remember fellow students Ian Fosbrooke, John Coutividis, Mary Wechsler and her brother Stephan, all mentioned in the l955 school magazine lists.

It would be fun to see a list of teachers, some of whom I've forgotten names. There was 'Lanky' Johnson, Nature Study, Mr. Morgan, algebra, Mr. Jones, French (taught this American to say 'Yes, sir'), a lovely young lady in music class who taught us to sing 'The British Grenadiers'.

I took piano lessons from Mrs. Brewster and played in the end of term recital with Carolyn Pearson.

I was on top of Mt. Meru with Mr. Morgan and the other Arusha School children.

I was in Tanganyika for 7 years, before independence.

After Arusha School I was at American schools for missionary children.
 
Nakushukuru sana kwa maelezo mazuri na marefu,

Kwakukusahihisha tu, safari ya kwanza ya Mwalimu Julius K. Nyerere kwenda UNO 1955 iligharimiwa na Kanisa katoliki chini ya shirika la Maryknol Sisters, hivyo Idi Mafingo na TANU walimchangia hela ya juice tu...
Yericko,
Mimi sina tatizo na historia hiyo yako.

Mimi nina historia ya wazee wangu wala sichukii historia inayopingana
na hii ya wazee wangu hata kama utawakejeli.

Nijuacho mimi ni kuwa fedha zilitoka Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika
na michango mingine kutoka kwa wafadhili ambao sote tunawajua: Dossa
Aziz, John Rupia, Abdul
na Ally Sykes na Idd Faiz akenda kuchukua
fedha nyingine Tanga kwa Mwalimu Kihere, wakati anarudi akakamatwa
Turiani na Special Branch.

Kulikuwa na fedha pia kutoka kwa Rashid Ali Meli.
Soma kisa chake hapo chini:
Mohamed Said: KUTOKA JF: ALI MWINYI TAMBWE, RASHID ALI MELI NA IDD FAIZ MAFUNGO - SAFARI YA NYERERE UNO 1955

Mwalimu Nyerere 1955 aliokuwanao bega kwa bega ni hao hapo chini:

YPjBw3ccVPyt5LY4zm1c5zSY6NTGDQTeF5tcA9E9jqgmWCYyvb3JBscqwpxqdpdjonVZHhjr1bqGFALS62NFgBr65MHg5VrDNyymK2gk5ZtjX5ixO8o8PDPsWJJcSqPyxSvf0dmSIDSdVPc8tB8vLQsHkHYCtG_AaHoJekFtaapF1kzC_DUNF7FzGB5ecqLGyxFpes-5IYdmpdAnctBIp5FYwcyo6n0IlJqxB9Uah2E6q4Ea4UXhHJVoWr8medEeXKptYlNlxbvXzWHot1FXIMTMQ9h_gEgS8_DKvIA3Qimerpa1jE1WlJ32LfzRzuh167OGSpkCnIG-kVARE4StWqwq0bUHnBZgT752nCXmckSakafUwkx8XNditX-Xl6JkRmGUrN4wna6IXAqzuMQiYS4EDllNobSSbm_HaerX9LnXBVxf_KBuF9N2RqudHBU4ZF_nU7c2oPebYWNgGQwV-use0oS-WEkmIkISs-_OTscHt0q6sm_msxJgjYVOvHpTLwmwAGYIHIFDvF8MhsbinfYVLyPeA2gnxBOa0ZdCIJ7YnyXKa9f7k85aC10AwqH1y13soG54Ot4lQWOtH-rCNHqTje9i-BgFXprMJkkwilkSd_nwt8Uy=w1273-h483-no

Mkutano wa kwanza wa mwaka wa TANU Hindu Mandal Hall 24 Oktoba, 1955
 
Mzee Mohamed,

Hebu msome huyu hapa chini...

________________________________________________

Thank you for organizing this site.

I was a student at Arusha School in l955 for the January term. Being the only American at the time, I was called Hank.

My family lived only 12 miles east of Arusha in the heart of Meru country on the old German Lutheran mission estate at Makumira, so I was a day student, often riding my bike home on the tarmac after hockey practise.

My father, Anton Nelson, a Californian, was hired by Meru Cooperative Union, a group of some 4000 African coffee growers. This unusual arrangement came about at the instigation of Kirilo Japhet, one of these Meru farmers. He is mentioned elsewhere on the site in connection with the Meru Lands Case. My father had met Kirilo and his lawyer Earle Seaton at the United Nations in New York City.

Our European neighbors were the two with homes on the rim of Lake Duluti crater, the Fosbrookes and Gladys Rydon, both mentioned elsewhere on this site. Gladys was an Australian coffee estate owner and her home in view of Mt. Meru was ringed with a most beautiful flower garden. I have a photo her pouring tea on the veranda. I remember one tea in which Kirilo was in attendance. Kirilo by that time had become a rising star on the political firmament in Tanganyika. Both these strong personalities were the epitome of gracious interaction.

At Arusha School I remember fellow students Ian Fosbrooke, John Coutividis, Mary Wechsler and her brother Stephan, all mentioned in the l955 school magazine lists.

It would be fun to see a list of teachers, some of whom I've forgotten names. There was 'Lanky' Johnson, Nature Study, Mr. Morgan, algebra, Mr. Jones, French (taught this American to say 'Yes, sir'), a lovely young lady in music class who taught us to sing 'The British Grenadiers'.

I took piano lessons from Mrs. Brewster and played in the end of term recital with Carolyn Pearson.

I was on top of Mt. Meru with Mr. Morgan and the other Arusha School children.

I was in Tanganyika for 7 years, before independence.

After Arusha School I was at American schools for missionary children.
Yericko,
Ahsante nimemsoma.
Je kuna kitu chochote kipya ulitaka nijifunze hapo?
 
Yericko,
Mimi sina tatizo na historia hiyo yako.

Mimi nina historia ya wazee wangu wala sichukii historia inayopingana
na hii ya wazee wangu hata kama utawakejeli.

Nijuacho mimi ni kuwa fedha zilitoka Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika
na michango mingine kutoka kwa wafadhili ambao sote tunawajua: Dossa
Aziz, John Rupia, Abdul
na Ally Sykes na Idd Faiz akenda kuchukua
fedha nyingine Tanga kwa Mwalimu Kihere, wakati anarudi akakamatwa
Turiani na Special Branch.

Kulikuwa na fedha pia kutoka kwa Rashid Ali Meli.
Soma kisa chake hapo chini:
Mohamed Said: KUTOKA JF: ALI MWINYI TAMBWE, RASHID ALI MELI NA IDD FAIZ MAFUNGO - SAFARI YA NYERERE UNO 1955

Mwalimu Nyerere 1955 aliokuwanao bega kwa bega ni hao hapo chini:

YPjBw3ccVPyt5LY4zm1c5zSY6NTGDQTeF5tcA9E9jqgmWCYyvb3JBscqwpxqdpdjonVZHhjr1bqGFALS62NFgBr65MHg5VrDNyymK2gk5ZtjX5ixO8o8PDPsWJJcSqPyxSvf0dmSIDSdVPc8tB8vLQsHkHYCtG_AaHoJekFtaapF1kzC_DUNF7FzGB5ecqLGyxFpes-5IYdmpdAnctBIp5FYwcyo6n0IlJqxB9Uah2E6q4Ea4UXhHJVoWr8medEeXKptYlNlxbvXzWHot1FXIMTMQ9h_gEgS8_DKvIA3Qimerpa1jE1WlJ32LfzRzuh167OGSpkCnIG-kVARE4StWqwq0bUHnBZgT752nCXmckSakafUwkx8XNditX-Xl6JkRmGUrN4wna6IXAqzuMQiYS4EDllNobSSbm_HaerX9LnXBVxf_KBuF9N2RqudHBU4ZF_nU7c2oPebYWNgGQwV-use0oS-WEkmIkISs-_OTscHt0q6sm_msxJgjYVOvHpTLwmwAGYIHIFDvF8MhsbinfYVLyPeA2gnxBOa0ZdCIJ7YnyXKa9f7k85aC10AwqH1y13soG54Ot4lQWOtH-rCNHqTje9i-BgFXprMJkkwilkSd_nwt8Uy=w1273-h483-no

Mkutano wa kwanza wa mwaka wa TANU Hindu Mandal Hall 24 Oktoba, 1955
Hapo tu ndipo unapoonyesha udhaifu wako ulipo, yani unatuambia ni historia ya Tanganyika, tukikubana unasema ni historia ya wazee wako, na hapa tukikubana zaidi utasema ni historia ya uislamu, yote hayo ilimradi uungwe mkono na wadini wenzio...
 
Hapo tu ndipo unapoonyesha udhaifu wako ulipo, yani unatuambia ni historia ya Tanganyika, tukikubana unasema ni historia ya wazee wako, na hapa tukikubana zaidi utasema ni historia ya uislamu, yote hayo ilimradi uungwe mkono na wadini wenzio...
Yericko,
Hujawa na makamo wala elimu ya kunibana mimi kwa lolote.

Hao walioandika historia ya TANU Chuo Cha Kivukoni baadhi wako hai
lakini hakuna hata mmoja aliyethubutu kunisogelea.

Hebu achana na hii lugha kuwa unanibana katika historia ya hawa wazee
wangu.

Umetaka historia ya safari ya kwanza ya Baba wa Taifa UNO, 1955 kama
ulivyoamrisha niieleze, ''kinagaubaga,'' na nimekuwekea na zaidi.

Umerudi jamvini mstaarabu hukuwa na ujinga wa kushindwa kuuona ukweli
ambao wewe hukuwa unaujua na wala kushindwa kupita katikati ya mistari.

Sasa tuje katika, ''Historia wa wazee wangu,'' na ''Historia ya Tanganyika.''

Jina la kitabu changu ni: ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924
-1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism
in Tanganyika.''

Nadhani unakijua Kiingereza vizuri.

Hayo yote niliyoandika katika kitabu hicho yametokea, ''Tanganyika,''
na hao wahusika ni hawa, ''wazee,'' wangu.

Lakini jina lisikutaabishe.

What in a name?
"A rose by any other name would smell as sweet."

Huyo ni William Shakespeare katika, ''Romeo and Juliet.''
Anasema kwa jina lolote waridi harufu yake itabakia ile ile.

Ipe historia ya maisha ya Abdul Sykes jina lolote historia
yake itabakia ni ile ile ana kadi ya TANU No. 3 na nimeeleza
kaipataje.

Ally Sykes, mdogo wake atabaki na kadi ya TANU No.2 na
Nyerere kadi No. 1.

Vipi wazalendo hawa walikutana katika kupigania uhuru wa
Tanganyika, historia itabakia ni ile ile haiwezi kubadilika kwa
kubadili jina la historia.

Yericko,
Ngoja nikupe darsa kidogo.

Wewe si wa kwanza kutaabishwa na historia hii.

Wahariri wa, ''Daily News,'' na ''Uhuru,'' 1988 walipelekewa
kumbukumbu ya miaka 20 ya kifo cha Abdul Sykes na Ally
Sykes
ambae alinunua nafasi katika magazeti hayo.

Wahariri walitatazika wakasema inawawia tabu kuchapa
kumbukumbu kwa sababu walihoji maisha ya Abdul Sykes
yamegusa maisha ya kiongozi wajuu wa nchi na historia nzima
ya Tanganyika.

IN MEMORY OF ABDULWAHID SYKES (1924 - 1968)
Mohamed Said May 14, 2014 0

image+%252811%2529.jpg



Kutokana na Kiwanuka, mwandishi katika kumbukumbu ya miaka ishirini toka Abdulwahid afariki dunia, aliamua kuandika historia fupi ya maisha yake ili kukomesha upinzani wote kwa wakati ule na hapo baadae kuhusu nafasi ya Abdulwahid katika kuasisi TANU na kudai uhuru wa Tanganyika. Makala hii ilifuatiwa na kumbukumbu iliyotolewa na watoto wake katika gazeti la CCM - Uhuru (Oktoba 12, 1988), na gazeti la serikali Daily News (October 12, 1988) Wahariri wa magazeti ya Chama na serikali waliposoma wasifu wa Abdulwahid tayari wakawa wameshatatizwa na habari zilizokuwa katika kumbukumbu ile. Tatizo kubwa lilikuwa habari zilizoandikwa katika kumbukumbu ile zilizokuwa zinahusisha jina la Abdulwahid na matukio muhimu katika historia ya Tanganyika. Mhariri wa Daily News, Reginald Mhango, alimpigia simu mtoto wa Abdulwahid, Kleist na kumweleza kuwa hatoweza kuchapisha kumbukumbu ile hadi amepata idhini kutoka Dodoma, Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi. Hakijulikani kilichofanyika lakini kwa bahati nzuri kumbukumbu zote mbili zilichapishwa na kutokea katika magazeti yote, ya chama na serikali siku ya pili yake.

Tumeishia pale ambapo 1988 Africa Events ilipochapa kumbukumbu
ya Abdul Sykes kuadhimisha miaka 20 baada ya kifo chake mwaka
1968.

Kuna kisa cha bibi moja wa Kiingereza anaitwa Paula Parks.
Bibi huyu alikuwa mmoja wa waandishi wa Africa Events.

Kisa chake utakiona hapo chini.
Baada ya Africa Events kuchapa ile kumbukumbu...

Tuendelee.

Ukoo wa Sykes wakanunua nafasi katika magazeti ya Daily News
na Uhuru kuchapa kumbukumbu ya Abdul Sykes.

Hebu soma hapo chini nini kilitokea:

Kitu ambacho ningependa kueleza hapa ni kuwa ingawa kumbukumbu
zilichapwa lakini uhariri wake ulikuwa mkali sana.

Mambo muhimu katika maisha ya Abdul Sykes yalikatwa.

Wanajamvi,
Kitu cha kujiuliza ni hiki:

Ni kitu kipi kinasababisha hii hofu katika maisha ya Abdul Sykes?
 
kichwa sio cha kufugia nywele jibu hoja mwenyewe mudi anapita kam haon,km wewe huna hoja funga bakuli hilo!

Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
Sasa mtu kama wewe Sheikh Mohamed Said, kukujibu ni kujidhalilisha.

Hizo kauli sijui "funga bakuli" kwenye mnakasha kama huu ni aibu.

Toka mwanzo nakuambia bora kukaa kimya huu mnakasha unakuzidi kimo ungekuwa msomaji tu ungenifaika kuliko kujaza server za JF na copy and paste zako.

Halafu kingine mbona unakuja na maneno ya kizamani sana "funga bakuli hilo" hauna tusi jipya?
 
Sasa mtu kama wewe Sheikh Mohamed Said, kukujibu ni kujidhalilisha.

Hizo kauli sijui "funga bakuli" kwenye mnakasha kama huu ni aibu.

Toka mwanzo nakuambia bora kukaa kimya huu mnakasha unakuzidi kimo ungekuwa msomaji tu ungenifaika kuliko kujaza server za JF na copy and paste zako.

Halafu kingine mbona unakuja na maneno ya kizamani sana "funga bakuli hilo" hauna tusi jipya?
kwahiyo na wewe unarudia matusi?
sasa ikiwa neno la zamani halitumiki,kichwan mweupe mwenzako vifungo vimemfunguka kakimbia!


Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
 
Yericko,
Swali lako umelikosea kuuliza.
Ilitakiwa uulize hivi, ''Kwa nini hakwenda Abdul au Ally?''

Wala ndugu yangu hapana haja ya wewe kuuliza swali kisha
ukaweka na masharti ya kujibiwa kuwa iwe, ''kinagaubaga.''

Nitaanza na Abbas.

Abbas alikuwa mtoto mdogo wakati ule, mtoto wa kutumwa
na kaka zake fanya hili, kalete kile kiasi hata Nyerere alipokuja
kukaa kwao baada ya kuacha kazi ya ualimu, Abbas alitolewa
chumbani kwake kumpisha Nyerere na Nyerere akimtuma
Abbas kama mdogo wake sana.

Hata siku ile ya mkutano wa kuasisi TANU 1954 Abbas alikuwa
nje pale New Street akitumwa kazi ndogo ndogo na ni yeye
aliyeagizwa kumleta mpiga picha Gomes aliyepiga ile picha
mashuhuri ya waasisi wa TANU.

Kwa nini Abdul hakwenda yeye UNO?

Abdul hakwenda yeye UNO kwa kuwa aliyetakiwa kwenda ni
rais wa TANU, Julius Nyerere.

Sasa hili si swali ambalo mtu ungeuliza na umewachagua ndugu
hawa kuuliza kwa nini hawakwenda wao wakamwachia Nyerere.

Labda ningekufahamisha kitu kuwa mwaka wa 1954 ilipokuja
Kamati ya Udhamini ya UNO aliyetoa maoni ya Waafrika kuhusu
kujitawala hakuwa Nyerere bali alikuwa Said Chamwenyewe.

1953 Abdul Sykes alipata, ''admission,'' ya Princeton University,
New Jersey.

Earle Seaton alimwandikia barua Abdul akimwambia kuwa
akifika New Jersey awe anakwenda New York, UNO kusikiliza
majadiliano ya nchi zilizo chini ya udhamini wa Waingereza.

Kutoka New York kwenda New Jersey ni masafa ya Magomeni
Mapipa na Kariakoo.

Yericko,
Nataka nikupe kitu.

Hii safari ya UNO ilikuwa katika TAA siku nyingi hata kabla
Nyerere hajafika Dar es Salaam na kuingia katika uongozi.

Huyu Seaton mtu wa Bermuda alikuwa rafiki ya Abdul na
yeye ndiye aliyemuomba kwanza awasaidie TAA Political
Subcommittee katika kuliendea suala la Mandate Territories
UNO mwaka wa 1950 na 1952 ni yeye Abdul akiwa Kaimu Rais
wa TAA ndiye aliyemuomba Seaton atengeneze, ''petition,''
ya Meru Citizens Union katika Meru Land Case chini ya uongozi
wa Japhet Kirilo kwenda UNO.

Kirilo alipokwena kuzungumza UNO mkalimani wake alikuwa
Seaton.

Nakueleza haya yote ili nikujulishe historia ya safari ya Baba
wa Taifa
UNO.

Nahitimisha kwa kukueleza kuwa mratibu wa safari hii na
mkusanyaji wa fedha za safari alikuwa Idd Faiz Mafungo
mweka hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na pia
mweka hazina wa TANU.

Hii historia ndiyo iliyomvuruga akili Prof. Haroub Othman.

Hakuwa amepatapo kuyasikia majina haya wala kuijua historia
hii.

Aliona lazima azungumze na Baba wa Taifa apate kauli yake.

Ndiyo hivi sasa kinaandikwa kitabu kueleza maisha ya Mwalimu
Nyerere
na bila shaka watapita nilipowatangulia.

Nadhani nimejibu, ''kinagaubaga,'' kama ulivyoniamrisha.

Sijataka kueleza kuwa Seaton ndiye alisaidia sana kutengeneza
mapandekezo ya katiba yaliyopelekwa kwa Gavana Twining
1950 na ''document,'' hii ikajadiliwa katika mkutano wa kuasisi
TANU 1954 na mapendekezo yake yamo katika hotuba ya
Mwalimu Nyerere UNO.

Mimi ningeambiwa niongeze majina katika yale 17 ya waaisi
wa TANU ambayo hayapo lakini yalistahili yawepo ningemweka:
Hamza Mwapachu, Ali Migeyo na Earle Seaton.

Chembelecho Maalim Faiza: ''Elimu Bila Khiyana.''

K2qfFOWen76IkbZ5mFh_mwXMrmYEnGHBS0JIGO0lAfRadlUi8X5VPWMpheVvl9SwJPrGva5ysqgVATxhCHgui4D37h8z1xL97SH7goQ332QnACbntbwgSEPAkj_wgKJIaB2dKMoVwOdQ-POXlfbUuyFPYZORG0K-PsbEKNVsdf1Xbn_f8ljVs69biH1LHxGSoItbp8d6yHzq539e3dz4ze8VtEarR6dbwoOApOAQ7gyt-QME6TxHSA1QR4QiP4FwqKijNNbz2XT8-Gt2btihUtWUJRL9IgaBH4JXflAoatmzEGPvna1JX5UFEYN6UZlGcC__-Z_DKK7eGjo0Wv6pqJE-IhVZv3rgwPONX0vtCa0CFCzEPwPi-LZMWguu0ON2w-swht9WPq_nRNo-_sYrMNeedTacvrNo8ynlwnyaZbjtWkSA0MREzVp2UAFynt1bpeCenXazEMf0eoyFUeb-N3Cq3ANHhrXKQadrEIAlHXfvYYVoiabktZKOSVjNlVk3bxhwLVCJME9ihkT7LALtLDByAeZctzz0xZBxyknZ0BeQDN6-0VnHReQFkMoX-Pa2hafNlBdCSzhNYRfq1qRpewN7LxOD96Aolwk29RLsGyF6tIuXCLvdxw=w944-h629-no


Earle Seaton na Mwalimu Nyerere baada ya uhuru
Shukran sana kwa hii bayana Sheikh Mohamed Said.
 
kwahiyo na wewe unarudia matusi?
sasa ikiwa neno la zamani halitumiki,kichwan mweupe mwenzako vifungo vimemfunguka kakimbia!


Watu wengine wanasoma au wanasikiliza bila kujua kuna kitu kinaitwa critical thinking

Kuna hoja mbili kuhusu hili

1.Mohamed ameondoa ushiriki wa watu makusuadi katika historia anayosema ni ya Tanganyika, ingawa mambo yakibana husema ya wazee wake na ikiwa ngumu zaidi husema ya Waislam

Kosa ambalo Kivukoni walifanya kwa kutotambua michango mingine, kwake lina uhalali

2. Historia ina formula, kuieleza au kuiandika kwa mujibu wa matukio na wakati kama ilivyo
Jaribio la ku ''interject'' personal feelings or ideas, historia husota madole ya machoni dhahir shahir

Kwa waliosikiliza video, Mohamed anasema Kleist Sykes aliunda AA na kisha Jamii fil Islamiya 1933. Mohamed hakueleza chochote kuhusu Cecil Matola.

Kumtaja Cecil ni kumtaja Rais wa kwanza na hivyo hoja ya Kleist kuunda AA inakufa.
Katika maandishia anasema, Kleist aliunda kwasababu alikuwa na pesa na mashuhuri.

Mohamed haelezi Cecil Matola alikuwa msomi na 'immunity' dhidi ya Wakoloni kuliko Kleist
Tendo la kutomtaja Matola, historia haikukaa kimya imemnyooshea kidole

3. Mohamed anasema Abdul Aliunda TANU, Nyerere akiwa Rais wa TAA kabla ya 1954.

Kitendo cha kumuondoa Nyerere, historia inamzaba kibao Mohamed.
Huwezi kuwa Rais wa chama asiyejua transformation. Abdul hakuunda TANU, alishiriki

1929 cecil akiunda AA hadi uchaguzi katika miaka ya 1950 Abdul ni takribani miaka 23.
Kleist na Mwanawe Abdul walibaki na uana harakati kwa miaka 23.

Nyerere aliandika katiba ya TANU katika transformation ya chama kuwa ya kisiasa
Akafungua milango UN kwa kutumia usomi, na kupata Uhuru katika miaka 10

Mohamed hasemi hilo, lakini historia inamsuata bila mtu kuandika kitabu kingine

Miaka 23 Kleist na mwanae Abdul Sykes hawakuwa na wazo la kuandika katiba
Wazo amekuja nalo Nyerere. Ndio maana Mohamed hajibu hoja za nani aliandika katiba
Hataki kumsikia Nyerere mtu anayemchukia sana katika dunia hii

Mohamed anasema hotuba ya Nyerere UN iliandikwa na kamati ya watu watano.
Katika hao Mohamed hamtaji Nyerere aki back date kuandikwa kwake.

Historia inamshataki Mohamed, kama hotuba iliandikwa kabla ya Nyerere ni nani aliyetarajiwa kwenda UN?

Historia inasema kama kamati iliandika hotuba, kulikuwa na tatizo gani ikiwa lilikuwa suala la chama?
Kuna shida gani chama kuandika hotuba kubwa kama ya UN na kumkabidhi mhusika!

Mohamed anaingiza hoja kuonyesha Nyerere alisoma tu bila kujua maudhui ili kumdhalilisha.

Historia inamtetea Nyerere. Wakati hotuba inaandikwa yeye ni mmoja wa watu wachache sana waliokuwa na degree katika kiwango cha Master. Alishakuwa exposed katik siasa za dunia

Mohamed anaweza kumdhalilisha Nyerere atakavyo, wanaosoma kwa critical thinking watakuwa na rafiki yao mmoja anayeitwa Historia atakayewasaidia kuchambua chuki na ukweli
Teh teh teh teh! Kwi kwi kwi!
JF kuna vituko yaani hizo copy and paste zako ndiyo zimkimbize Sheikh Mohamed Said asitoe darsa JF daah!
 
Yericko,
Mimi sina tatizo na historia hiyo yako.

Mimi nina historia ya wazee wangu wala sichukii historia inayopingana
na hii ya wazee wangu hata kama utawakejeli.

Nijuacho mimi ni kuwa fedha zilitoka Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika
na michango mingine kutoka kwa wafadhili ambao sote tunawajua: Dossa
Aziz, John Rupia, Abdul
na Ally Sykes na Idd Faiz akenda kuchukua
fedha nyingine Tanga kwa Mwalimu Kihere, wakati anarudi akakamatwa
Turiani na Special Branch.

Kulikuwa na fedha pia kutoka kwa Rashid Ali Meli.
Soma kisa chake hapo chini:
Mohamed Said: KUTOKA JF: ALI MWINYI TAMBWE, RASHID ALI MELI NA IDD FAIZ MAFUNGO - SAFARI YA NYERERE UNO 1955

Mwalimu Nyerere 1955 aliokuwanao bega kwa bega ni hao hapo chini:

YPjBw3ccVPyt5LY4zm1c5zSY6NTGDQTeF5tcA9E9jqgmWCYyvb3JBscqwpxqdpdjonVZHhjr1bqGFALS62NFgBr65MHg5VrDNyymK2gk5ZtjX5ixO8o8PDPsWJJcSqPyxSvf0dmSIDSdVPc8tB8vLQsHkHYCtG_AaHoJekFtaapF1kzC_DUNF7FzGB5ecqLGyxFpes-5IYdmpdAnctBIp5FYwcyo6n0IlJqxB9Uah2E6q4Ea4UXhHJVoWr8medEeXKptYlNlxbvXzWHot1FXIMTMQ9h_gEgS8_DKvIA3Qimerpa1jE1WlJ32LfzRzuh167OGSpkCnIG-kVARE4StWqwq0bUHnBZgT752nCXmckSakafUwkx8XNditX-Xl6JkRmGUrN4wna6IXAqzuMQiYS4EDllNobSSbm_HaerX9LnXBVxf_KBuF9N2RqudHBU4ZF_nU7c2oPebYWNgGQwV-use0oS-WEkmIkISs-_OTscHt0q6sm_msxJgjYVOvHpTLwmwAGYIHIFDvF8MhsbinfYVLyPeA2gnxBOa0ZdCIJ7YnyXKa9f7k85aC10AwqH1y13soG54Ot4lQWOtH-rCNHqTje9i-BgFXprMJkkwilkSd_nwt8Uy=w1273-h483-no

Mkutano wa kwanza wa mwaka wa TANU Hindu Mandal Hall 24 Oktoba, 1955
Mzee Said kila siku tunasema umekosea kuandika historia ya "wazee wako" ( hasa watu wanapoleta facts ambazo mchango wake ni adhimu katika harakati za uhuru) unajitetea kuwa ulikuwa unaandika historia ya wazee wako tu!
Hapo hapo unadai ni historia ya TAA/TANU kudai uhuru! Usiogope kusema kuwa historia uliyoiandika imelenga kuwafanya watu wengine wapwaye(wasio wa imani yako) na kuwapaisha sana hao unaowaita wazee wako!*(wa imani yako) Ukitaka kuandika historia ya wazee wako usimguse Nyerere,Usimguse John Rupia,Usimguse,steve Mhando na wengine ambao hufanya maksudi kuwaepuka kwa sababu zako za kiimani tuone kama Historia ya wazee wako itasimama? You are missing something! I have never seen such a stubborn writer like you! Mr. Never Told.
 
Yericko,
Hujawa na makamo wala elimu ya kunibana mimi kwa lolote.

Hao walioandika historia ya TANU Chuo Cha Kivukoni baadhi wako hai
lakini hakuna hata mmoja aliyethubutu kunisogelea.

Hebu achana na hii lugha kuwa unanibana katika historia ya hawa wazee
wangu.

Umetaka historia ya safari ya kwanza ya Baba wa Taifa UNO, 1955 kama
ulivyoamrisha niieleze, ''kinagaubaga,'' na nimekuwekea na zaidi.

Umerudi jamvini mstaarabu hukuwa na ujinga wa kushindwa kuuona ukweli
ambao wewe hukuwa unaujua na wala kushindwa kupita katikati ya mistari.

Sasa tuje katika, ''Historia wa wazee wangu,'' na ''Historia ya Tanganyika.''

Jina la kitabu changu ni: ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924
-1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism
in Tanganyika.''

Nadhani unakijua Kiingereza vizuri.

Hayo yote niliyoandika katika kitabu hicho yametokea, ''Tanganyika,''
na hao wahusika ni hawa, ''wazee,'' wangu.

Lakini jina lisikutaabishe.

What in a name?
"A rose by any other name would smell as sweet."

Huyo ni William Shakespeare katika, ''Romeo and Juliet.''
Anasema kwa jina lolote waridi harufu yake itabakia ile ile.

Ipe historia ya maisha ya Abdul Sykes jina lolote historia
yake itabakia ni ile ile ana kadi ya TANU No. 3 na nimeeleza
kaipataje.

Ally Sykes, mdogo wake atabaki na kadi ya TANU No.2 na
Nyerere kadi No. 1.

Vipi wazalendo hawa walikutana katika kupigania uhuru wa
Tanganyika, historia itabakia ni ile ile haiwezi kubadilika kwa
kubadili jina la historia.

Yericko,
Ngoja nikupe darsa kidogo.

Wewe si wa kwanza kutaabishwa na historia hii.

Wahariri wa, ''Daily News,'' na ''Uhuru,'' 1988 walipelekewa
kumbukumbu ya miaka 20 ya kifo cha Abdul Sykes na Ally
Sykes
ambae alinunua nafasi katika magazeti hayo.

Wahariri walitatazika wakasema inawawia tabu kuchapa
kumbukumbu kwa sababu walihoji maisha ya Abdul Sykes
yamegusa maisha ya kiongozi wajuu wa nchi na historia nzima
ya Tanganyika.

IN MEMORY OF ABDULWAHID SYKES (1924 - 1968)
Mohamed Said May 14, 2014 0

image+%252811%2529.jpg



Kutokana na Kiwanuka, mwandishi katika kumbukumbu ya miaka ishirini toka Abdulwahid afariki dunia, aliamua kuandika historia fupi ya maisha yake ili kukomesha upinzani wote kwa wakati ule na hapo baadae kuhusu nafasi ya Abdulwahid katika kuasisi TANU na kudai uhuru wa Tanganyika. Makala hii ilifuatiwa na kumbukumbu iliyotolewa na watoto wake katika gazeti la CCM - Uhuru (Oktoba 12, 1988), na gazeti la serikali Daily News (October 12, 1988) Wahariri wa magazeti ya Chama na serikali waliposoma wasifu wa Abdulwahid tayari wakawa wameshatatizwa na habari zilizokuwa katika kumbukumbu ile. Tatizo kubwa lilikuwa habari zilizoandikwa katika kumbukumbu ile zilizokuwa zinahusisha jina la Abdulwahid na matukio muhimu katika historia ya Tanganyika. Mhariri wa Daily News, Reginald Mhango, alimpigia simu mtoto wa Abdulwahid, Kleist na kumweleza kuwa hatoweza kuchapisha kumbukumbu ile hadi amepata idhini kutoka Dodoma, Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi. Hakijulikani kilichofanyika lakini kwa bahati nzuri kumbukumbu zote mbili zilichapishwa na kutokea katika magazeti yote, ya chama na serikali siku ya pili yake.

Tumeishia pale ambapo 1988 Africa Events ilipochapa kumbukumbu
ya Abdul Sykes kuadhimisha miaka 20 baada ya kifo chake mwaka
1968.

Kuna kisa cha bibi moja wa Kiingereza anaitwa Paula Parks.
Bibi huyu alikuwa mmoja wa waandishi wa Africa Events.

Kisa chake utakiona hapo chini.
Baada ya Africa Events kuchapa ile kumbukumbu...

Tuendelee.

Ukoo wa Sykes wakanunua nafasi katika magazeti ya Daily News
na Uhuru kuchapa kumbukumbu ya Abdul Sykes.

Hebu soma hapo chini nini kilitokea:

Kitu ambacho ningependa kueleza hapa ni kuwa ingawa kumbukumbu
zilichapwa lakini uhariri wake ulikuwa mkali sana.

Mambo muhimu katika maisha ya Abdul Sykes yalikatwa.

Wanajamvi,
Kitu cha kujiuliza ni hiki:

Ni kitu kipi kinasababisha hii hofu katika maisha ya Abdul Sykes?

Usijifiche kwenye kichaka cha kuheshimiwa ama kugha ya staha... Hakuna tusi hapo ndugu, kwamba "ukibanwa" ni tusi?

Uzuri nikuwa chochote unacholeta kama utetezi wako kimeandikwa na Mohamed Said yuleyule tunayempinga juu ya historia ya wazee wake anayoifanya ni historia ya TANU, TANGANYIKA, na akibanwa kwa facts anasema ni historia ya waislamu.
 
Yericko,
Hilo jibu lako liko katika jina la kitabu changu na mara kadhaa nimekukumbusha, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism."

Nimesherehesha kwingi.
Ikiwa hutaki kuukubali ukweli mie sina tatizo.

Mwenye "facts," ni mimi.

Nimekuja na nyaraka na picha nyingi ambazo wengi mlikuwa hamjapatapo kuziona.

Picha ya Baraza la Wazee wa TANU na Baba wa Taifa, Baba wa Taifa na Mshume Kiyate, Mwinjuma Mwinyikambi na Max Mbwana na Mshume Kiyate na Baba wa Taifa 1964 baada ya maasi nk.

Nyaraka kutoka Tanzania National Archives (TNA) ikionyesha Tanganyika Standard la 1953 ikionyesha viongozi wa TAA nk.

Nimekuonyesheni Dictionary of African Biography wala mlikuwa hamjui kama kipo kitu kama hicho.

Nimekuonyesheni picha zangu nyingi nikiwa katika makongamano ndani na nje ya Tanzania.

Marekani, Ujerumani, Afrika ya Mashariki na Kusini, Afrika ya Magharibi, Switzerland nk.

Niko katika studio za VoA, BBC, Radio Kheri nk.

Nimekuwekeeni maisha ya babu yangu Salum Abdallah alivyoongoza mapambano dhidi ya Waingereza toka 1947 hadi uhuru 1961.

Nyie mmeleta nini kama ushahidi wenu?
Mmekuja na ghadhabu, kejeli na matusi.

Tumeishi miaka mingi na historia ya Chuo Cha Kivukoni na sijawatafuta kuwatukana.

Jibu langu kwao lilikuwa ni mimi kuandika kitabu.

Andikeni historia yenu ya African Association, TANU na uhuru kama mnayo.

Kejeli zenu hazitafuta historia ya wazee wetu wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika kwa hali na mali zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yericko,
Hilo jibu lako liko katika jina la kitabu changu na mara kadhaa nimekukumbusha, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism."

Nimesherehesha kwingi.
Ikiwa hutaki kuukubali ukweli mie sina tatizo.

Mwenye "facts," ni mimi.

Nimekuja na nyaraka na picha nyingi ambazo wengi mlikuwa hamjapatapo kuziona.

Picha ya Baraza la Wazee wa TANU na Baba wa Taifa, Baba wa Taifa na Mshume Kiyate, Mwinjuma Mwinyikambi na Max Mbwana na Mshume Kiyate na Baba wa Taifa 1964 baada ya maasi nk.

Nyaraka kutoka Tanzania National Archives (TNA) ikionyesha Tanganyika Standard la 1953 ikionyesha viongozi wa TAA nk.

Nimekuonyesheni Dictionary of African Biography wala mlikuwa hamjui kama kipo kitu kama hicho.

Nimekuonyesheni picha zangu nyingi nikiwa katika makongamano ndani na nje ya Tanzania.

Marekani, Ujerumani, Afrika ya Mashariki na Kusini, Afrika ya Magharibi, Switzerland nk.

Niko katika studio za VoA, BBC, Radio Kheri nk.

Nimekuwekeeni maisha ya babu yangu Salum Abdallah alivyoongoza mapambano dhidi ya Waingereza toka 1947 hadi uhuru 1961.

Nyie mmeleta nini kama ushahidi wenu?
Mmekuja na ghadhabu, kejeli na matusi.

Tumeishi miaka mingi na historia ya Chuo Cha Kivukoni na sijawatafuta kuwatukana.

Jibu langu kwao lilikuwa ni mimi kuandika kitabu.

Andikeni historia yenu ya African Association, TANU na uhuru kama mnayo.

Kejeli zenu hazitafuta historia ya wazee wetu wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika kwa hali na mali zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana Sheikh Mohamed Said kwa darsa murua.
 
Shukran sana kwa hii bayana Sheikh Mohamed Said.
Ritz,
Maalim wangu Sheikh Haruna Mola amrehemu alikuwa akitufunza
anasema.

Usilijibu swali lililokosewa hadi umelisahihisha kwanza.

Ndipo nikamwambia umekosea kuuliza na nikafanya masahihisho.

Maalim Haruna alikuwa akitufunza akisema, ''Kalamu ya mwanazuoni
haifedheheshi bali inasomesha.''

Maalim akisema,''Katika kusomesha kwanza unaelimisha na pili na
hii ni muhimu ni kuwa unamfahamisha aliye mbishi kuwa hajui.''

Ndiyo maana nikarejea kwenye miaka ya mwanzo ya 1950 na kueleza
chanzo cha safari ya UNO na nani walisimamia safari ile.

Ijaza ya wazee wetu ikawa ni kukejeliwa kuwa walichangishana fedha
za kununua, ''juice.''
Mzee Said kila siku tunasema umekosea kuandika historia ya "wazee wako" ( hasa watu wanapoleta facts ambazo mchango wake ni adhimu katika harakati za uhuru) unajitetea kuwa ulikuwa unaandika historia ya wazee wako tu!
Hapo hapo unadai ni historia ya TAA/TANU kudai uhuru! Usiogope kusema kuwa historia uliyoiandika imelenga kuwafanya watu wengine wapwaye(wasio wa imani yako) na kuwapaisha sana hao unaowaita wazee wako!*(wa imani yako) Ukitaka kuandika historia ya wazee wako usimguse Nyerere,Usimguse John Rupia,Usimguse,steve Mhando na wengine ambao hufanya maksudi kuwaepuka kwa sababu zako za kiimani tuone kama Historia ya wazee wako itasimama? You are missing something! I have never seen such a stubborn writer like you! Mr. Never Told.
Mnabudehe,
Hawa wazee wangu ni wazee wangu, ''in the real sense of the word,'' khasa
hawa waliokuwa Dar es Salaam.

Wengi sana wakijuana na babu na baba yangu kutoka miaka ya 1920s hadi
kufikia 1960 ''and beyond.''

Labda nijibu swali kwa kukuuliza swali.

Jopo la Chuo Cha Kivukoni lililoandika historia ya TANU walipoacha kuwataja
wazee wangu, je na wao lengo lao lilikuwa limejikita katika kuwatoa wale
ambao si katika imani yao?

Hilo unalosema kuwa niandike historia ya wazee wangu na nimtoe Nyerere
mimi sioni mantiki yake na nikifanya hivyo nitakuwa kama Chuo Cha Kivukoni.

Kwa nini nasema hivyo?

Babu yangu Salum Abdallah aliasisi Tanganyika Railway African Union (TRAU)
1955 akiwa Mwenyekiti na Katibu Christopher Kassanga Tumbo.

Kutomtaja Tumbo huu utakuwa muhali mkubwa sana katika uandishi wa historia
ya wazee wangu.

qw9LJWafZLyegFMjNe_uf2Y4bu5vMeBxru2Trwul7rtzPvKU8oGsZoBRuzKcpe78Q07Q8fmXRuYpMbv5hfDZ2-lgIwuVPozOy5t-As_AF6JoawWjbKrNppgbuxaBjnc6u4BXQe6jlKKsdPfWAY8QrYDe-VQJg_ffAhjvk-H4I0kTRd8GoC5Bt0VwNv2D9gyrboznPkEjeJByyJOcaiRBFxBUvxFgRnYHHy9TVQxM9735cL5Zh_3mTPgHejdmS69a3iV8a7DZwnk3xKtBDhaWKv2JeVwYpPGUu5KrwunjeumELq0Yj9mD9Mb8DQ_Inl3caKyzursWDbnTY_roexUfIXUegh211RmeT5UeOSjI-b442EUKDLFg63GEQDd1i1I-uS47WUQN1xWlo_unV6MfMdKh83KfZKMpUrVzfwWDllm5JQPcCz_4SaG881t7cmrKuT32_4jydCE4QnajOhtOZqXpMKqk2NJBFgj8I1OzhzIBy8AON4QDU7-JiKFjSW17ePrl5Tc6bHnGruprzFGeulYyhZWQ99TEc1QIaJpUm0YBQmuY5PaFuzVmv3DzNLkVMRQBC7TWTPVQyrxjg6rPH2lNCo8-dXGopzZNGRzS4h4wqrDAq5tX1g=w459-h258-no


H0_ANVFLp-rnWckgPXKG3Pq7LFyBSkn8CGbVyO5PQBoq5QogGUU5PcnSdWFHimLnGdl1QXfp18f1I4NwWahoRE-xiJ805dMmklDTilrwK-T8-vCY4FhEgY79nNn5DyGVqmsVxq-NwDlPK3v6CFCuR50G55S2kMjGZW9n2Jt8_mIgRrz-5fTGEjnaCxJ_JW42dPr7puZCHv7HkE3dMouaw0A6ATdTgRtCYt31cYSoNZtXaYhvvSC4gNprghdxtHeICgULn1zEBhtBxyHIvINWQjbuss3pppbDPw55rgBQ_mInG0ogytFU77NWQ9oJptYsvhVmnoMB3SF3q-itk65KhYqiMi4B5Ew_0sIt_my7-QK9sLFO5l58yvS1xgkU6G24w9E1nLmVWxC5BquI11wAOBfCEhQgN3e0c15hX0dR63O3mnjYOWZ5Hiqc5pNnNw95Id67oxVRUoAqriSaxRhmQXjsA1HZ1D815kJEZ3V2tyuH0nMvkszlv29NCnGyGLmVJVTQ6H-uAKr8QIIGDs6qMe2k8PT_yX4w0Cc7T6EmUFoiUU73rFGXZordicCbNYkscIKuDwMbQBhoN6AcmaAcf-q5peE4hMo_dtglX0aHn8DqYTQBDb1Eng=w354-h629-no

Guardian 13 October 2016
 
Shukrani sana Sheikh Mohamed Said kwa darsa murua.
Ritz,
Nimeingia Maktaba hebu angalia hapo chini nimeweka ''cutting'' na
picha niko na Peter Colmore, nyumbani kwake Muthaiga Nairobi
1995 wakati natafiti kitabu changu.

Peter Colmore ndiye aliyemtambulisha Judith Listowel kwa Ally
Sykes
na Ally Sykes akawa mwenyeji wake wakati huyu mama
anatafiti kitabu chake, ''The Making of Tanganyika.'':

1R89nohW2wxiYuZWKrZg361LZSAYg_L-vrMmsdahj8ZvUKH899BT39qnEova54Iz1-ALuCacAoDc2d4Jpn0xvnQG-qn_bbwxfPU8GWtScf9a_db6ZuV8hTczjhlOrQAh6kpPfeMkpmjJ1L2yU2twXBLJywYCIpO9HcO3d7GhWzaqcuARzErqgVqT9UQ7GbBbDxr34u6os_fBY5RH4yMlUsFdeP5OPmawjqUlSA4akLjJioVrIrq-MJb_JyUXqF1yshYDquGh-apiiHGoi3RPVNgY3QsF_j8asJ7wHgncpSHJaVYUmvmQdQKteLiU_e6xtsEpEIC3xroHghTxq7VFKdjjwgvaMSL1w1bjM_qwkM6lI3tXeRXIasEWUVAYHPsFiUVeq8P924wOeGW51uFdAENoZXMHgvHzSug9lzHyHYRbO6pr5_NmRqWwKd6qDA0p1kfjTjN4BKjXNdTu_-XsWv9t4Ofx9VvoVUK0xkUK9cKngsxIXSJP795kah6t2vtfQtJk_360yrUWZBJmjNBrN0fL9Dip4JQ16p3mrMU5567qBi8KpCAiPCfClxVUBf7lljUzgrek--a3SicoE_9oWj4pluREg0PV5iiKuZYv-nMMhfjTeqjDXg=w423-h629-no


PtgL3Jv89tsmtyBbtpAnYILnzJvWBfEq9ohApwCwAPeNAsYd0LF6PVeQ4w0lsy3tBJhfYyoyqFboDDjuLAY5ZS9tPlKdDn3r-HARzp2E5pOcGClPqcLzMBB1sw-AbJNlLUaybV4rPLTZ-G2DkvFnNryU9nek_LkH20kRCo36LDYiysRB1pg7yHCHSkw4lZb6m6oj1GOdnGEW3qcnhPmsVT_47RdC-YBtRunrqn8rdPruB7RxC8KwFJHKyS6Fjiy-IqueHci_bO8IkRTlrft3Jnr-TISATcSRcDn8slSwQVm3k57nm7cHY2UslnfNh8Vk8tXCH5AU1vOeM2LhQPzVPEXe2edF23dOcOyFSe_mXCmdTERoHx9dWXXza5V7_hNHrS4IgC-xBQOafYiYULDepJUMUd-mLbHeeH__CkyKmeyjTr8Q5pepWHm2zHIhdfZOSDlUVozAt2JotLtyrciRC2SJN-Er_LRa90ttF3VH3uzTaX4mydH4MSFM7BLM1Q9r7dtrnNV-87Qk5Dz-uEa7j7hZxhCRxeXkfdOiwsDFNg0eRYnfWipi2dlLndh6KNxe-sQ5T2dL4cHDXH33SJp6MccKogM_uNpuyrVaTHoedd2E2mlo1anU7w=w215-h629-no

Guardian 14 October 2016

lJNmBUKTpH2iNiof23RefQRI863__dOVNIKIcchR_TjHgbEz0-Uvm28vNndzA2MGDnyjGSJTZCeuDq4rfPqemnM5hspwxhczcIzxt51UZE8SAvsXeV5Kzv3FANVK7ePZQ4epIMET9sv-edxaoXaTt0Svm61otduGvlw7smVHeJkDJvHea5uJprB1625FX8ikYt7SkxSTIpymTk3MmoFIgCJ0xBBFRo0IbDsIqm27uR7CRT7YVeHWOJHZkeEKU9I9tRUfBDgtXuhQ7V4_ogtWL5e9BNs7tqmYoUIvUgOu14IRnseGuAtrxNqUpxFp2-Jlk7Du0-LE35WxN7pkcrrcQzHrmNjkApA0ET3kVe7P7fzu5Uk5obb20Cob6vZ7GTR1fooqzVUTdeyqsoY4zy9lcx_MBNUDRNRd2DEnRlm2pTEI1_cs9DjFsGjDEPX7EoBgZzIjlBTc3ASQO0pbsM_xSwgMf6uM50oEtVR8_cPFukb4V_if06Nzp4X6IDduzuJva2CNnJgIkbz_-fGeMlHT1uEfP44fJTfub34vxSipdWx82d4YJbWi4vMXS4QgknpwRy-DueN4dyXS6E5s4QOkKIYAHyAY5mpSlbzdpmZjAnf5JiAR9UrY=w839-h629-no
 
Back
Top Bottom