Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

mzee wa ujanja ujanja naona povu linakutoka
Hataki kujikita katika mada, analeta maneno maneno ili tuache mada, no way
Tupo naye tu mzee Cambridge. Povu ni kwasababu hana jibu na vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini. No tupo naye

Uwe tayari kutukanwa kama hivyo hapo juu.
Unayajua maneno hayo hapo?

Kweli hii ni kwa kuandika historia ya wazee wangu au lipo jingine?
Je nami nirejeshe matusi au nikae kimya?

Muungwana atakaa pembeni kuepusha shari maana huu si mjadala
bali ni kutukanana.
 
Ina maana umebanwa kwenye corner unataka kutupa taulo nyeupe??? sikutegemea hii turn of events

Hataki kujikita katika mada, analeta maneno maneno ili tuache mada, no way
Tupo naye tu mzee Cambridge. Povu ni kwasababu hana jibu na vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini. No tupo naye

Uwe tayari kutukanwa kama hivyo hapo juu.
Unayajua maneno hayo hapo?

Kweli hii ni kwa kuandika historia ya wazee wangu au lipo jingine?
Je nami nirejeshe matusi au nikae kimya?

Muungwana atakaa pembeni kuepusha shari maana huu si mjadala
bali ni kutukanana.
 
Bwana Yericko ninaheshimu sana maandiko yako na maoni yako mengi lakini kunawakati unapotoka vibaya sana.
Ninadhani unaelewa sana kuwa kuanzia afrika ya mashariki kwenda kusini[ukiondoa msumbij] hizi ni nchi aidha zilikuwa makoloni ya kingereza au zile zilizokuwa protectorates. kwa kipindi hicho haikuwa ajabu askari wa kiyao kuwa askari nchini malawi. kwenye public sector kulikuwa na muingiliano mkubwa kiasi kwamba ilikuwa inaonekana kuwa ni jambo la kawaida.
Unaposema kuwa 'Baba yake plantam kuwa ni mhamiaji haramu. jee kwa nini waingereza wasimrudishe kwao?
Hata hao wayao unaowasema wengi walikuwa wanatoka msumbiji jee hawakuwa haramu???? Tukianza kupena alama hizo, ndugu yangu inawezekana hata wewe wazee wako asili yao siyo tanganyika. Inawezekana una chuki fulani lakini siyo vizuri kuhamishia chuki yako kwa watu wengine. Mwalimu Nyerere alikuwa muumini mkubwa wa afrika ni moja na sisi sote ni ndugu. Ndiyo maana nchi yetu ilikuwa kimbilio la wengi afrika na walipofika hapa walipata elimu na kila stahili ambayo mwananchi alistahili kupata.
Ukisoma vizuri wote waasisi wa AA nimewapa utambulisho sahihi yaani ukabila wao na mahali... Mbona hujauliza kwanini nisema Ramadhani Ali mzaramo na nisiseme mtanganyika?
 
"Mohamed Said, post: 22765533, member: 12431"]Jackline,
Kuna tofauti kati ya mjadala wa heshima na ufedhuli.
Hakuna matusi, unajaribu kutafuta sababu
Tena wewe ndiye bingwa, mimi nikiwausia watu watumie lugha za stara haa vijana wako
Unatafuta sababu, lakini tupo pale pale, nani aliandika katiba ya TANU. Kabla ya hapo AA au TAA zilikuwa na katiba ipi zilitumika wapi na nani aliandika
Kuna mahali umesema Nyerere alipokea uongozi hivyo ni ushahidi vyama vilikuwa vya siasa

Well, pale Ilala katika ile kona kuna bango la Pepsi na chini kuna kuku. Tuna mkusanyiko wetu wa Arsenal na Man U. Hiyo haitoshi kuwa sisi ni klabu ya michezo! Tuna viongozi wetu lakini si ushahidi ni klabu
Mtu mwenye hasad katika roho yake huwa hajifichi vile vitu vinavyochoma
moyo wake huwa anavidhihirisha.
Hasad ni ile kwa nini neema hii kapewa yeye sikupata mie?
Kwa nini haimuondokei hii nema na yeye akawa kama watu wengine?
Mimi sikujui wala hatujuani, hasad ya nini? Napata riziki kwa njia zangu hasad ya nini?
Haya ni maneno ya kushindwa hoja sasa unatetwa na kugeuza jamvi kama eneo la mipasho.

No, turudi kwenye hoja
Jicho la husda linakausha hata mgomba uliokuwa unanawiri.
Watu kama hawa ukiwajua unawakimbia.
Wakimbie lakini usikimbie hoja. Umeleta mashtaka, umewasomea wahusika tunakuuliza ushahidi unasema Abdul kasema! whaat? Abdul ni kwako siyo international Unit.
Mimi toka utoto mama yangu akinitahadharisha kuhusu husda na athar zake.
Husda ni zaidi ya wivu.
Jibu hoja, hayo yako na mzazi wako ni huko nyumbani kwenu
Husda katika hii historia ilionekana tangu zamani sana.
Hakuna husda kuna matundu , kunauzushi. Hiyo haifanyi kuwa historia si kweli, ila hatuwezi kuruhusu kugeuzwa ndondocha hata kwa yale tunayojua. Jibu hoja
Nimeweka hapa jinsi gazeti la Africa Events lilivyokusanywa kwa kuwa tu
limemtaja Abdul Sykes kuwa alihusika sana katika kuunda TANU.
Haya hayajibu hoja yatafutie eneo
Nimeeleza kisa cha Paula Parks alivyofukuzwa nchini kwa kuandika makala
kuhusu TANU na historia ya uhuru wa Tanganyika baada ya kufanya mahojiano
na Ally Sykes.
Sawa sawa,. lakini hayajibu hoja zilizoko mbele.
Nimeeleza jinsi historia ya TANU ilivyoandikwa na Abdul Sykes jina lake likawa
halipo.
Hawakumtendea haki kwakweli. Turudi kwenye hoja
Kichekesho mimi nikae hapa nakejeliwa na mtu ambae wala sijui anakotokea wala
hajakuwa na ujasiri hata wa kujitokeza kwa jina lake dhahir awe kila kukicha ni
kejeli na ''Cambridge,'' haimtoki mdomoni.
Unatumia Cambridge ili sisi tuliofeli darsa la saba tukuogope.

Tumekuchukua na kukupeleka Cambridge, halafu tumekuweka stoo huko cambridge, ukirudi utakuwa umekwenda Cambridge. Nilikutahadharisha mapema, tunaojua vitoga na N'gonda ni sisi si Cmabridge

Jibu hoja tuache hayo. Nani aliandika katiba ya TANU, kabla ya hapo ni katiba ipi iliyokuwepo na iliandikwa na nani
Ninalolijua nalisema nisilojua nasema hili silijui.
La katiba unalijua au hulijui?
 
Hakuna matusi, unajaribu kutafuta sababu
Tena wewe ndiye bingwa, mimi nikiwausia watu watumie lugha za stara haa vijana wako
Unatafuta sababu, lakini tupo pale pale, nani aliandika katiba ya TANU. Kabla ya hapo AA au TAA zilikuwa na katiba ipi zilitumika wapi na nani aliandika
Kuna mahali umesema Nyerere alipokea uongozi hivyo ni ushahidi vyama vilikuwa vya siasa

Well, pale Ilala katika ile kona kuna bango la Pepsi na chini kuna kuku. Tuna mkusanyiko wetu wa Arsenal na Man U. Hiyo haitoshi kuwa sisi ni klabu ya michezo! Tuna viongozi wetu lakini si ushahidi ni klabu
Mimi sikujui wala hatujuani, hasad ya nini? Napata riziki kwa njia zangu hasad ya nini?
Haya ni maneno ya kushindwa hoja sasa unatetwa na kugeuza jamvi kama eneo la mipasho.

No, turudi kwenye hoja Wakimbie lakini usikimbie hoja. Umeleta mashtaka, umewasomea wahusika tunakuuliza ushahidi unasema Abdul kasema! whaat? Abdul ni kwako siyo international Unit. Jibu hoja, hayo yako na mzazi wako ni huko nyumbani kwenu
Hakuna husda kuna matundu , kunauzushi. Hiyo haifanyi kuwa historia si kweli, ila hatuwezi kuruhusu kugeuzwa ndondocha hata kwa yale tunayojua. Jibu hojaHaya hayajibu hoja yatafutie eneo Sawa sawa,. lakini hayajibu hoja zilizoko mbele.Hawakumtendea haki kwakweli. Turudi kwenye hoja Unatumia Cambridge ili sisi tuliofeli darsa la saba tukuogope.

Tumekuchukua na kukupeleka Cambridge, halafu tumekuweka stoo huko cambridge, ukirudi utakuwa umekwenda Cambridge. Nilikutahadharisha mapema, tunaojua vitoga na N'gonda ni sisi si Cmabridge

Jibu hoja tuache hayo. Nani aliandika katiba ya TANU, kabla ya hapo ni katiba ipi iliyokuwepo na iliandikwa na nani La katiba unalijua au hulijui?

vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
 
Hakuna matusi, unajaribu kutafuta sababu
Tena wewe ndiye bingwa, mimi nikiwausia watu watumie lugha za stara haa vijana wako
Unatafuta sababu, lakini tupo pale pale, nani aliandika katiba ya TANU. Kabla ya hapo AA au TAA zilikuwa na katiba ipi zilitumika wapi na nani aliandika
Kuna mahali umesema Nyerere alipokea uongozi hivyo ni ushahidi vyama vilikuwa vya siasa

Well, pale Ilala katika ile kona kuna bango la Pepsi na chini kuna kuku. Tuna mkusanyiko wetu wa Arsenal na Man U. Hiyo haitoshi kuwa sisi ni klabu ya michezo! Tuna viongozi wetu lakini si ushahidi ni klabu
Mimi sikujui wala hatujuani, hasad ya nini? Napata riziki kwa njia zangu hasad ya nini?
Haya ni maneno ya kushindwa hoja sasa unatetwa na kugeuza jamvi kama eneo la mipasho.

No, turudi kwenye hoja Wakimbie lakini usikimbie hoja. Umeleta mashtaka, umewasomea wahusika tunakuuliza ushahidi unasema Abdul kasema! whaat? Abdul ni kwako siyo international Unit. Jibu hoja, hayo yako na mzazi wako ni huko nyumbani kwenu
Hakuna husda kuna matundu , kunauzushi. Hiyo haifanyi kuwa historia si kweli, ila hatuwezi kuruhusu kugeuzwa ndondocha hata kwa yale tunayojua. Jibu hojaHaya hayajibu hoja yatafutie eneo Sawa sawa,. lakini hayajibu hoja zilizoko mbele.Hawakumtendea haki kwakweli. Turudi kwenye hoja Unatumia Cambridge ili sisi tuliofeli darsa la saba tukuogope.

Tumekuchukua na kukupeleka Cambridge, halafu tumekuweka stoo huko cambridge, ukirudi utakuwa umekwenda Cambridge. Nilikutahadharisha mapema, tunaojua vitoga na N'gonda ni sisi si Cmabridge

Jibu hoja tuache hayo. Nani aliandika katiba ya TANU, kabla ya hapo ni katiba ipi iliyokuwepo na iliandikwa na nani La katiba unalijua au hulijui?
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
 
H

Uwe tayari kutukanwa kama hivyo hapo juu.
Unayajua maneno hayo hapo?

Kweli hii ni kwa kuandika historia ya wazee wangu au lipo jingine?
Je nami nirejeshe matusi au nikae kimya?

Muungwana atakaa pembeni kuepusha shari maana huu si mjadala
bali ni kutukanana.
'...Pants down'' ni msemo si tusi. Wewe ni translator kumbuka?
Unaposema kuna husda ni ''ego'' haina maana ni tusi ndiyo maana sijalalamika kwa hilo

Jibu hoja
1. Nani aliandika katibna ya TANU
2. AA au TAA zilikuwa na katiba ipi, iliandikwa na nani na mwaka gani
3. Kabla ya Nyerere nani aliandika katiba ya chama

Huwezi kuwasomea watu mashtaka ya uongo ukiwa huna ushahidi
Jibu hoja, usikimbie kimbe kama huna kaa kimya

Nilikutahadrisha kuhusu kuweka watu wawili katika mizani, Nyerere na Abdul. Unaona unavyotaabika

Jibu hoja, usisubiri kurasa zisonge hoja zififie. Jibu hoja

Unatuletea picha ukiwa etudi ukidhani tutasahau hoja, no way. Jibu hoja
 
M


Mohamed Said ni mwalimu wangu, tatizo mi mdini tu
hivi ulishapataga bikra uliyekuwa unamtafuta, manake kwa mwanaume kutangaza kutafuta bikra ni ushamba wa hali ya juu kwasababu unaamini mwanamke bora ni bikra tu. halafu, wewe umesomea umeme, kuunganisha nyaya, unatunga kitabu ati cha ujasusi, umekopy na kupaste mambo ya wenzako au umetoa wapi hayo mambo? mwisho, kamnunulie mamako nguo nzuri, ile picha umepiga naye inakuaibisha mno. mkumbuke mamako kule iringa ndugu.
 
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
'pants down' ni msemo siyo tusi
Jibu hoja usitafute pa kutokea

1. Nani l aliandika katiba ya TANU
2. AA au TAA zilikuwa na katiba gani, nani aliandika na lini
3. Kabla ya Nyerere nani mwingine aliandika katiba
4. Wanaosema AA na TAA wanakosea wapi ikiwa Mohamed huna ushahidi kuwa vilikuwa vyama vya siasa na si vilabu na mikusanyiko yenye common interest

Hapo ndipo tulipo, utaweka kila wino. Jibu hoja, hutoki kwenye kona
 
'pants down' ni msemo siyo tusi
Jibu hoja usitafute pa kutokea

1. Nani l aliandika katiba ya TANU
2. AA au TAA zilikuwa na katiba gani, nani aliandika na lini
3. Kabla ya Nyerere nani mwingine aliandika katiba
4. Wanaosema AA na TAA wanakosea wapi ikiwa Mohamed huna ushahidi kuwa vilikuwa vyama vya siasa na si vilabu na mikusanyiko yenye common interest

Hapo ndipo tulipo, utaweka kila wino. Jibu hoja, hutoki kwenye kona
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
 
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
Utaandika na ku bold ili watu waondoke katika mjadala. Huo ni msemo niliotegemea mtu wa Cambridge na translator utauelewa
Kwamba pants down si tusi

Hakuna timeout, jibu hoja unakimbia ukidhani sote ni wasoma hadhithi
Unatutisha na Cmabridge, tumekupelea huko na sasa upo stoo , hutchomoki

Jibnu hoja

1. Nani aliandika katiba ya TANU

2. AA au TAA zilikuwa na katiba gani na nani aliandika katiba hizo

43. Kabla ya JKN nani mwingine aliwahi kuandika katiba.

Jibu hoja
 
isk na boywise njooni tujumuike
Yericko Nyerere umetuachia ugomvi ukatimka. Mtu akipigwa konde utakuwa shahidi ati!
Nguruvi3
Tupo kaka japo matumizi ya maneno kama 'tupo' au 'hatuna' yanakupa shida bila kujua kwamba hiyo ni lugha na ina maana yake pale mtu mmoja anapotumia nafsi ya wingi, huo ni mlango mwingine tuuache

Unaonekana kukosa raha pale jina ABDUL linapotajwa kabla ya jina NYERERE, japo unauliza maswali ili upate kujua kutoka kwa Mzee Mohamed lakini unaonesha wazi kuwa umejipa upande kunako maelezo ya Mzee Mohamed kunako mjadala huu, na hii itakuchelewesha sana kumuelewa.

ntarejea
 
Haikutoi kwenye kona. Huo ni msemo na wala sitabadili 'pants down'

Jibu hoja, umebanwa na hatukuachi , unawasema wenzako wameandika uongo wakati huwezi kukanusha uongo kwa ushahidi.

Jibu hoja
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
 
vifungo vya suruali vimekatika , inakwenda magotini.
Font ni ndogo, weka 40
Haiondoi ukweli kuwa unataka kukimbia hoja. Yes '..pants down'

Mzee wa Cambridge, jibu hoja zilizoko mbele yako

Asilimia 98 ya halmashauri kuu ya TANU ilikuwa Waislam(mzee Mwanakijiji). Nini kilitokea asilimia 2 ikashinda asilimia 98?

Kleruu, Nyerere na wana kivukoni walisema 'kuhusu TAA ni vyama vya starehe'
Tukubali kuwa hawakuwa na ushahidi

Turudi upande wa pili, ushahidi wako kwamba vilikuwa vyama vya siasa na katiba uko wapi?

Tuanzie hao. Halafu twende kwenye AA na TAA. Kulikuwa na katiba gani na iliandikwa na nani

Kisha tumalizie kwa TANU. Nani aliandika katiba ya TANU

Mimi ni mwema sana, nilikutahadharisha mapema, kumweka Abdul Sykes na Nyerere katika mizani si jambo jema. Hawa ni watu tofauti waliotusaidia kwa namna tofauti

Abdul anasimama bila Nyerere, na ndivyo Nyerere anasimama bila Abdul

Mzee Said vijana wanafyonza elimu(spike lee), wape vitu vya kunururisha bongo zao
Jibu hoja
 
Back
Top Bottom