Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Umar Mukhtar alifika katika kijiji ambacho askari wa Kitaliani walikivamia kuua na kufanya ufisadi ulio vuka mipaka nje ya kanuni za vita. Akasema ni nani awezae kupigana na adui mshenzi kama huyu asiyechunga mipaka? Si kama jeshi lake halikuwa na uwezo wa kulipiza la hasha, kwake yeye kufanya hivyo kungemshusha na yeye kuingia katika ushenzi. Hapa nawasoma watu wasiochunga ndimi zao na inakuwa tabu kujibu matusi kwa matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeriko katika historia ya AA hadi TAA na kufikia TANU hizi ndizo sehemu zilipo nyaraka zake yaani vyanzo vya kupata historia yake.

Kwanza ni Nyaraka za Sykes ambazo hadi leo wenyewe hawajazitoa kwa umma ukiacha kipindi kifupi Abdul Sykes alipokuwa yu hai na akampatia bint yake Daisy mwisho ya miaka ya 1960 ili amuonyeshe John Iliffe wa History Department Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Pili ni Maktaba ya CCM Dodoma.

Tatu Tanzania National Archives (TNA) na,

Nne kwa watu binafsi waliokuwa katika uongozi wa TAA na TANU na wengi wao wameshatangulia mbele ya haki.

Mimi kote huko nimepita na nimegundua mengi kiasi nimeandika paper, "Lost Documents."

Hii paper naitafuta maktaba sijaipata ilichapwa na Africa Events miaka ya 1980.

Hebu nifahamishe hizo "source," zako ni zipi tupate kulinganisha, "notes."

Lakini kote huko hakuna kulikokuwa na nyaraka za maana kushinda nilizoziona kwa akina Sykes.

Yericko hebu soma tena kipande hicho hapo
chini msikilize mdogo wake Abdul Sykes, Ally mwenye kadi ya TANU No. 2 akizungumza:

‘’I got in touch with Makatta Mwinyi Mtwana one of very influential and rich African businessmen in Tanga who had been a friend of my father. Makatta had established his business in Tanga. He was an importer of khanga and was competing with Indians.

Every weekend I used to travel to Tanga to visit him.

At that time Tanga was the seat of the settler community. Almost all the sisal estates in Tanganyika were in Tanga Province.

During weekends the settlers, almost all of them members of the Sisal Growers Association of Tanganyika, would drive to town from their estates and meet at Planters Hotel, which was exclusive to Europeans to discuss politics of the day. When nationalist politics began they met at the same hotel to plot against TANU.

I got in touch with Mwalimu Kihere to see if we could open a branch in Tanga but unfortunately there was not much I could do there because at that time Tanga was involved in its own internal social conflicts, which prevented the formation of a political party. One day I received a message from Makatta that on Friday at 5 p.m. the Tanga police would come to my house to search me for TANU documents.

I put whatever TANU papers I had in a box and went to hide them at a place where no one would think of searching. I hid the papers at Akena’s house. When a white police officer and three black policemen raided my house that day they found nothing.

They tore my mattresses and pillows, they combed the room but they could not find any paper to incriminate me.

How was Makatta informed of the raid against my house?

TANU had sympathisers in many places in the colonial administration. One of them tipped him off.

I stayed at Korogwe for eight months until when I became sick with a serious kidney ailment as a result of polluted water. I was referred to Dar es Salaam Sewa Haji Hospital for treatment. I needed an operation but there was no qualified kidney expert in Tanganyika to perform the operation. I was put on medication to relieve the pain.

The operation came to be performed in Dar es Salaam 1962 after independence by one Dr. Lean from Britain.

I did not return to Korogwe after getting well as I was transferred to Moshi Labour Office. I immediately began to organise for TANU. By then TANU had sent Nyerere to the United Nations in New York to plead for Tanganyika’s independence.

At the United Nations, Nyerere was not articulating anything new since his speech was from the very recommendations of the memorandum which the TAA Political Subcommittee had prepared and submitted to the Constitutional Development Committee of Governor Edward Twining in 1950 which were however ignored by the Governor.

Twining instead pursued a multiracial representation in the Legislative Council and to keep up with its stand, the government sent a multiracial delegation composed of I.C. Chopra, an Asian, Sir Charles Phillips a European, and Liwali Yustino Mponda, an African member of the Legislative Council for Newala, to oppose TANU at the United Nations.

We were determined to show the government that TANU had clout.’’

(Alphonce Akena alikuwa katika Jeshi la Polisi na baada ya uhuru akawa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai).

Nani leo hata hapo Maktaba ya CCM Dodoma anaeweza kukupa taarifa hizi.

Mimi nina sauti ya Ally Sykes akieleza haya katika tapes.
alichoeleza 'ally' sio alfa na omega;wala kuwa kwenye tape haijustify ndo ukweli!

>>sawa na soga na ngano unazopiga hapa na kwenye vijiwe vya kahawa kkoo halafu atokee 'mpuuzi' mmoja tu aseme,mzee mudi alisema na aliandika uzi jf hiyo bado haijustify ukweli na usahihi wa jambo!
 
Yericko,
Unazungumza na mtu ambae maisha yake yote toka udogoni alikuwa
analala na vitabu mchagoni.

Huwezi kunifunza kitu katika uwanja huu.
Ngoja nikupe mchapo.

Siku moja sasa tushakuwa wakubwa tulikuwa Saigon Club tunazungumza.

Mimi nikawa nasikitika kuwa sikuweza kutimiza ndoto yangu ya kucheza
''competitive football,'' Simba na kisha Timu ya Taifa.

Jumanne Masimenti ambae alikuwa mchezaji wa Cosmopolitan, Simba
na Timu ya Taifa akaangua kicheko kile cha kebehi akasema, ''Hivi wewe
Eusobio (zamani sote tukijipa majina ya wachezaji wakubwa wa Ulaya wa
wakati wetu nami nilichagua jina hili) ungecheza mpira gani wewe.

Mazoezini sisi tukipiga danadana kabla ya mazoezi uko pembeni na vitabu
vyako unasoma.''

Tulikuwa tukicheza mpira hapo Mnazi Mmoja.
Hii ni miaka ya mwanzo ya 1960.

Jamaa wote kwa kuwa walikuwa wanaijua hii tabia yangu na ikiwaudhi sana
wakaangua kicheko.

Hivi ndivyo nilivyokuwa... Shakespeare to Irving Wallace na wengine wengi.
Ujasusi

Tafsiri nyingi zinaainisha mengi juu ya dhanna ya Ujasusi. Lakini, wanataaluma wote wanaafikiana na ainisho jepesi kuwa ujasusi ni mama wa upelelezi, ukachero na ushushu. Aabidiyn H. Kifea, katika kitabu chake kiitwacho, Mitandao ya Kijasusi Duniani akinukuu katika kitabu cha Spy Counter Spy anasema kuwa: “Ujasusi ni utendaji wa siri chini ya mtandao wa siri uliosukwa kwa namna ya usiri ndani ya taasisi au vitengo maalumu vya siri vinavyochunga ulinzi na usalama wa dola, watu, taasisi au biashara kwa njia za siri.” Ni shughuli iliyozungukwa na mazingira ya usiri inayogusa maeneo yote ya jamii. Ni mtandao wenye malengo ya kulinda maslahi ya dola, biashara, raia na mali zao dhidi ya mipango na njama za wahalifu au maadui.
Ujasusi ni utafutaji wa habari au taarifu muhimu na motomoto, kwa njia za siri, juu ya na/au dhidi ya shughuli, biashara au maslahi ya kundi, jumuiya, taasisi au kampuni. Kwa minajili hiyo, ujasusi kama fani, una mielekeo tofauti ambapo dhanna yake kuu ni ulinzi wa kiuchunguzi. Katika kizazi cha usasa na usasaleo, naweza sema ujasusi ni sawa na mtandao wa Google au Wikipedia ambako chochote ukitakacho, kizuri na kibaya utakipata. Jambo la kwanza kabisa unapoanza mafunzo ya ujasusi, hufundishwa kuipenda kwanza nchi yako na pili kuipenda bunduki. Hayo ni mambo unayotakiwa kuwa nayo daima dawamu tangu ujiunge na ujasusi hadi kifo chako kitakapokukumba kwa namna yoyote ile hapa duniani.
Uelekeo wa ujasusi kwa upande wa Mashariki (ukiongozwa na Urusi), zama za Vita Baridi, ulikuwa wa kulinda watawala, vyama na itikadi za dola kwa maslahi ya wachache wenye mamlaka. Kutokana na uelekeo huo, lililokuwa Shirika la Ujasusi la Urusi (KGB), lilivuma kwa mbinu za kudhibiti njama zote dhidi ya iliyokuwa serikali ya Kikomunisti nchini humo. Ama uelekeo wowote wa ujasusi wa Magharibi (ukiongozwa na Marekani) unaelezwa kuwa una shabaha ya kulinda watu na mali zao, nchi na maslahi yake dhidi ya wanaokiuka amani na demokrasia ndani na nje ya mipaka ya dola husika. Kwa ajili hiyo, Marekani ikilitumia shirika lake la ujasusi la Central Intelligence Agency, au kwa kifupi, CIA, imekuwa na inaendelea kuchunguza, kudukua na kuchukua hatua dhidi ya inaowatuhumu au kuwashuku kulihujumu taifa hilo kabla hawajafanya madhara.
Mielekeo yote miwili inasisitiza kuwa wajibu wa msingi wa ujasusi (ushushushu, upelelezi na ukachero) ni kuchunguza, kuyachimba, kuyachambua, kuyanyambua na kuyatathimini mambo kimyakimya, kwa utaalamu na ufundi wa hali ya juu. Shughuli hiyo hufanyika ndani na nje ya mipaka ya dola au biashara fulani, hatimaye kushauri hatua kwa ajili ya maslahi ya dola husika na raia wake au biashara husika na wadau wake. Wachambuzi wa mielekeo yote, wanazingatia Ujasusi wa Kiushindani na zimeanzishwa taratibu tofauti kwa minajili ya kuleta ushindani katika shughuli za kijasusi baina ya shirika na shirika au baina ya nchi na nchi.
Nafasi ya ujasusi katika ushindani wa kibiashara ni kubwa na kwa sasa ndio unaotawala uwanda wa biashara ulimwenguni. Makampuni makubwa kama Motorola yamekuwa na mifumo ya ujasusi katika kuendesha shughuli zao kwa ushindani na makampuni mengine. Ujasusi huo, mbali ya kutumika katika kutafuta na kutengeneza masoko, pia umetumika katika kunusa taarifu za ndani ya makampuni mengine. Mbali ya makampuni binafsi, mashirika makubwa kama vile Shirika la Fedha duniani (IMF), Shirika la Biashara duniani (WTO) na hata Benki ya Dunia (WB) nayo pia ndani mwake, yamegubikwa na dhanna ya ujasusi. Ujasusi ndio unaoamua nani akae wapi, na nani awe nani katika mashirika hayo. Ujasusi ndio unaokusanya taarifu zote zinazohitajika katika mashirika hayo. Bali, kwa taswira ya nje huwezi kuona wala kujua kama watumishi na wajumbe wa mashirika hayo ni majasusi.
Mara zote wajumbe hao huonekana kwa haiba au jazanda ya wataalamu. Taarifu zote za mataifa na mashirika yenye uanachama wa mashirika hayo hukusanywa na vitengo vya kijasusi na kuchakatwa ili ziingie katika vyombo vya maamuzi vya mashirika hayo na mashirika dugu kama MOSSAD, CIA, M16 na mengineyo. Hiyo ni kwa upande wa biashara na Uchumi. Lakini hata katika vyama vya kisiasa na vinginevyo vipo vitengo vya kijasusi, ni jambo linalofahamika kuwa Mashirika ya Kimataifa na Umoja wa Mataifa wenyewe ambao una mashirika yake kama vile Shirika la Chakula (FAO), Afya (WHO), Wakimbizi (UNHCR), watoto (UNICEF), elimu, utamadun na Sayansi (UNESCO), Msalaba Mwekundu (Red Cross), TUME ya Nguvu za Atomiki na kadhalika, yote huendeshwa na mitandao ya ujasusi ndani mwake. Taswira au jazanda ya nje huwa ni ya wataalamu au watumishi wa mashirika wanaozunguka huku na kule duniani lakini jazanda ya ndani inaficha nguvu ya ujasusi inayoendesha mashirika hayo. Hali kadhalika, katika nyanja za kidiplomasia, baadhi ya nchi huwa na wawakilishi wa kimataifa waliobobea katika mambo ya ujasusi. Marekani, Israel, Urusi na Uchina wanaongoza katika Utumishi wa Mabalozi majasusi. Sio ubalozi tu. Bali, hata Serikali kuu zinaendeshwa kijasusi zaidi.
Mnamo mwaka 2015, kiongozi wa Shrikisho la Ujerumani, Bi. Angella Merkel, alijitokeza hadharani peupe kulalama kuwa Marekani ilifanya udukuzi wa kimtandao kuhusu taarifu nyeti zinazomuhusu yeye binafsi na taifa lake. Udukuzi wa Kimtandao ni utaratibu wa kuingilia mawasiliano ya mtu anayelengwa kuchukua taarifu kutokana na sababu mbalimbali. Hiyo ni mbinu ya kung’amua siri za Ikulu ya Taifa ya Ujerumani. Sina uhakika wa moja kwa moja kuwa Ikulu ya Tanzania pia inadukuliwa taarifu zake kwa mtindo huo japo kuna tetesi hizo! Huu ni upeo wa juu na wa hatari zaidi wa kijasusi ambapo taifa moja huwa uchi kabisa machoni mwa taifa jingine. Kimsingi, kelele za kiongozi wa Ujerumani zahitaji kuungwa mkono na mataifa mengine ili mchezo huo mchafu wa Marekani ukome, kama mtoto anavyokoma kunyonya ziwa la mamake. Kiongozi mwingine aliyefanyiwa udukuzi ni Rais Dilma wa Brazil!
Hapo zamani, ujasusi ulihusu vita zaidi lakini sasa ujasusi unahusu kila eneo la maisha ya mwanadamu. Na kwa kweli tupu, kimaumbile, ujasusi ni sehemu ya maisha ya mtu mmoja mmoja, jamii na taifa kwa ujumla. Vitendo vya watu kutafuta habari za wenzao mitaani ni ujasusi, japo kwa lugha za mitaani ni umbeya na unywanywa. Kuishi kijasusi kuna umuhimu wake katika maisha ya kila siku. Unapokuwa na wastani mkubwa wa taarifu zinazokuhusu, unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuchukua tahadhari au kujiandaa kwa lolote na kwa vyovyote.
Kama hiyo haitoshi, unapokuwa na wastani mkubwa wa taarifu zinazohusu watu na jamii, unakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kusoma alama za nyakati, kusoma matukio, na hata kutegua mitego, na kuepuka hatari ama idhara inayoweza kukukumba. Usalama umeambatana mno na ujasusi hata kwa wanyama. Tabia ya kunusa-nusa ya mbwa ni tabia ya kijasusi. Karibu wanyama wengi kama si wote wana tabia hii ambapo kabla ya kula kile wanachotaka kula, huwa wananusa kwanza. Na pua zikikataa, basi nao huacha kula. Kwa kuijua tabia hii ya wanyama, binadamu nao hutumia neno kunusa katika upekuzi wa taarifu zinazowahusu wengine. Dhanna ya ujasusi kwa binadamu ina sehemu kubwa katika Vyombo Maalumu vya Usalama, Polisi ni jeshi linalotegemea zaidi dhanna ya ujasusi ili kukusanya, kuchuja na kuzifanyia kazi taarifu mbalimbali.
Katika ngazi ya kitaifa, mara zote, nchi inahitaji vyombo vya usalama ili kuendesheka. Serikali inayoshinda au kuanguka katika ujasusi ni serikali iliyo katika lindi la hatari. Kila uchao, serikali lazima iwe na taarifu za ndani ya nchi na nje za matukio yanayotukia usiku na mchana. Na, ufanisi huwa mkubwa zaidi pale Vyombo vya Usalama vinaponusa mambo yanayopangwa hasa yale yasiyofaa ili kuyapangua kabla hayajaleta madhara.
 

Kwa hakika Allaah ametia Nuru katika kifua chako, Nuru hii hatujapata kuikuta kwa yeyote ispokuwa mzee wa Kimanyema Mohammed Said. Ikiwa ewe ndugu yetu mkarimu unafahamu Tanzania ilikotoka huoni umefika wakati tunahitaji kusikia kutoka kwako Uelekeo au Mustakbali wa Tanzania yasasa? Pia unijibu swali ewe ndugu mkarimu juu ya ufanano na utofauti wa dira ya siasa za Nyerere na siasa za Magufuli. Mohamed Said
 
Kwa hakika Allaah ametia Nuru katika kifua chako, Nuru hii hatujapata kuikuta kwa yeyote ispokuwa mzee wa Kimanyema Mohammed Said. Ikiwa ewe nduIIgu yetu mkarimu unafahamu Tanzania ilikotoka huoni umefika wakati tunahitaji kusikia kutoka kwako Uelekeo au Mustakbali wa Tanzania yasasa? Pia unijibu swali ewe ndugu mkarimu juu ya ufanano na utofauti wa dira ya siasa za Nyerere na siasa za Magufuli. Mohamed Said
Ndugu yangu Faru John II,
Ahsante kwa kuniadhimisha kiasi hiki.

Hili linawezekana sana kufanyika lakini ili uchambuzi uwe wa kuaminika
inabidi tulipe muda suala hili.
 
Ujasusi

Tafsiri nyingi zinaainisha mengi juu ya dhanna ya Ujasusi. Lakini, wanataaluma wote wanaafikiana na ainisho jepesi kuwa ujasusi ni mama wa upelelezi, ukachero na ushushu. Aabidiyn H. Kifea, katika kitabu chake kiitwacho, Mitandao ya Kijasusi Duniani akinukuu katika kitabu cha Spy Counter Spy anasema kuwa: “Ujasusi ni utendaji wa siri chini ya mtandao wa siri uliosukwa kwa namna ya usiri ndani ya taasisi au vitengo maalumu vya siri vinavyochunga ulinzi na usalama wa dola, watu, taasisi au biashara kwa njia za siri.” Ni shughuli iliyozungukwa na mazingira ya usiri inayogusa maeneo yote ya jamii. Ni mtandao wenye malengo ya kulinda maslahi ya dola, biashara, raia na mali zao dhidi ya mipango na njama za wahalifu au maadui.
Ujasusi ni utafutaji wa habari au taarifu muhimu na motomoto, kwa njia za siri, juu ya na/au dhidi ya shughuli, biashara au maslahi ya kundi, jumuiya, taasisi au kampuni. Kwa minajili hiyo, ujasusi kama fani, una mielekeo tofauti ambapo dhanna yake kuu ni ulinzi wa kiuchunguzi. Katika kizazi cha usasa na usasaleo, naweza sema ujasusi ni sawa na mtandao wa Google au Wikipedia ambako chochote ukitakacho, kizuri na kibaya utakipata. Jambo la kwanza kabisa unapoanza mafunzo ya ujasusi, hufundishwa kuipenda kwanza nchi yako na pili kuipenda bunduki. Hayo ni mambo unayotakiwa kuwa nayo daima dawamu tangu ujiunge na ujasusi hadi kifo chako kitakapokukumba kwa namna yoyote ile hapa duniani.
Uelekeo wa ujasusi kwa upande wa Mashariki (ukiongozwa na Urusi), zama za Vita Baridi, ulikuwa wa kulinda watawala, vyama na itikadi za dola kwa maslahi ya wachache wenye mamlaka. Kutokana na uelekeo huo, lililokuwa Shirika la Ujasusi la Urusi (KGB), lilivuma kwa mbinu za kudhibiti njama zote dhidi ya iliyokuwa serikali ya Kikomunisti nchini humo. Ama uelekeo wowote wa ujasusi wa Magharibi (ukiongozwa na Marekani) unaelezwa kuwa una shabaha ya kulinda watu na mali zao, nchi na maslahi yake dhidi ya wanaokiuka amani na demokrasia ndani na nje ya mipaka ya dola husika. Kwa ajili hiyo, Marekani ikilitumia shirika lake la ujasusi la Central Intelligence Agency, au kwa kifupi, CIA, imekuwa na inaendelea kuchunguza, kudukua na kuchukua hatua dhidi ya inaowatuhumu au kuwashuku kulihujumu taifa hilo kabla hawajafanya madhara.
Mielekeo yote miwili inasisitiza kuwa wajibu wa msingi wa ujasusi (ushushushu, upelelezi na ukachero) ni kuchunguza, kuyachimba, kuyachambua, kuyanyambua na kuyatathimini mambo kimyakimya, kwa utaalamu na ufundi wa hali ya juu. Shughuli hiyo hufanyika ndani na nje ya mipaka ya dola au biashara fulani, hatimaye kushauri hatua kwa ajili ya maslahi ya dola husika na raia wake au biashara husika na wadau wake. Wachambuzi wa mielekeo yote, wanazingatia Ujasusi wa Kiushindani na zimeanzishwa taratibu tofauti kwa minajili ya kuleta ushindani katika shughuli za kijasusi baina ya shirika na shirika au baina ya nchi na nchi.
Nafasi ya ujasusi katika ushindani wa kibiashara ni kubwa na kwa sasa ndio unaotawala uwanda wa biashara ulimwenguni. Makampuni makubwa kama Motorola yamekuwa na mifumo ya ujasusi katika kuendesha shughuli zao kwa ushindani na makampuni mengine. Ujasusi huo, mbali ya kutumika katika kutafuta na kutengeneza masoko, pia umetumika katika kunusa taarifu za ndani ya makampuni mengine. Mbali ya makampuni binafsi, mashirika makubwa kama vile Shirika la Fedha duniani (IMF), Shirika la Biashara duniani (WTO) na hata Benki ya Dunia (WB) nayo pia ndani mwake, yamegubikwa na dhanna ya ujasusi. Ujasusi ndio unaoamua nani akae wapi, na nani awe nani katika mashirika hayo. Ujasusi ndio unaokusanya taarifu zote zinazohitajika katika mashirika hayo. Bali, kwa taswira ya nje huwezi kuona wala kujua kama watumishi na wajumbe wa mashirika hayo ni majasusi.
Mara zote wajumbe hao huonekana kwa haiba au jazanda ya wataalamu. Taarifu zote za mataifa na mashirika yenye uanachama wa mashirika hayo hukusanywa na vitengo vya kijasusi na kuchakatwa ili ziingie katika vyombo vya maamuzi vya mashirika hayo na mashirika dugu kama MOSSAD, CIA, M16 na mengineyo. Hiyo ni kwa upande wa biashara na Uchumi. Lakini hata katika vyama vya kisiasa na vinginevyo vipo vitengo vya kijasusi, ni jambo linalofahamika kuwa Mashirika ya Kimataifa na Umoja wa Mataifa wenyewe ambao una mashirika yake kama vile Shirika la Chakula (FAO), Afya (WHO), Wakimbizi (UNHCR), watoto (UNICEF), elimu, utamadun na Sayansi (UNESCO), Msalaba Mwekundu (Red Cross), TUME ya Nguvu za Atomiki na kadhalika, yote huendeshwa na mitandao ya ujasusi ndani mwake. Taswira au jazanda ya nje huwa ni ya wataalamu au watumishi wa mashirika wanaozunguka huku na kule duniani lakini jazanda ya ndani inaficha nguvu ya ujasusi inayoendesha mashirika hayo. Hali kadhalika, katika nyanja za kidiplomasia, baadhi ya nchi huwa na wawakilishi wa kimataifa waliobobea katika mambo ya ujasusi. Marekani, Israel, Urusi na Uchina wanaongoza katika Utumishi wa Mabalozi majasusi. Sio ubalozi tu. Bali, hata Serikali kuu zinaendeshwa kijasusi zaidi.
Mnamo mwaka 2015, kiongozi wa Shrikisho la Ujerumani, Bi. Angella Merkel, alijitokeza hadharani peupe kulalama kuwa Marekani ilifanya udukuzi wa kimtandao kuhusu taarifu nyeti zinazomuhusu yeye binafsi na taifa lake. Udukuzi wa Kimtandao ni utaratibu wa kuingilia mawasiliano ya mtu anayelengwa kuchukua taarifu kutokana na sababu mbalimbali. Hiyo ni mbinu ya kung’amua siri za Ikulu ya Taifa ya Ujerumani. Sina uhakika wa moja kwa moja kuwa Ikulu ya Tanzania pia inadukuliwa taarifu zake kwa mtindo huo japo kuna tetesi hizo! Huu ni upeo wa juu na wa hatari zaidi wa kijasusi ambapo taifa moja huwa uchi kabisa machoni mwa taifa jingine. Kimsingi, kelele za kiongozi wa Ujerumani zahitaji kuungwa mkono na mataifa mengine ili mchezo huo mchafu wa Marekani ukome, kama mtoto anavyokoma kunyonya ziwa la mamake. Kiongozi mwingine aliyefanyiwa udukuzi ni Rais Dilma wa Brazil!
Hapo zamani, ujasusi ulihusu vita zaidi lakini sasa ujasusi unahusu kila eneo la maisha ya mwanadamu. Na kwa kweli tupu, kimaumbile, ujasusi ni sehemu ya maisha ya mtu mmoja mmoja, jamii na taifa kwa ujumla. Vitendo vya watu kutafuta habari za wenzao mitaani ni ujasusi, japo kwa lugha za mitaani ni umbeya na unywanywa. Kuishi kijasusi kuna umuhimu wake katika maisha ya kila siku. Unapokuwa na wastani mkubwa wa taarifu zinazokuhusu, unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuchukua tahadhari au kujiandaa kwa lolote na kwa vyovyote.
Kama hiyo haitoshi, unapokuwa na wastani mkubwa wa taarifu zinazohusu watu na jamii, unakuwa na nafasi nzuri zaidi ya kusoma alama za nyakati, kusoma matukio, na hata kutegua mitego, na kuepuka hatari ama idhara inayoweza kukukumba. Usalama umeambatana mno na ujasusi hata kwa wanyama. Tabia ya kunusa-nusa ya mbwa ni tabia ya kijasusi. Karibu wanyama wengi kama si wote wana tabia hii ambapo kabla ya kula kile wanachotaka kula, huwa wananusa kwanza. Na pua zikikataa, basi nao huacha kula. Kwa kuijua tabia hii ya wanyama, binadamu nao hutumia neno kunusa katika upekuzi wa taarifu zinazowahusu wengine. Dhanna ya ujasusi kwa binadamu ina sehemu kubwa katika Vyombo Maalumu vya Usalama, Polisi ni jeshi linalotegemea zaidi dhanna ya ujasusi ili kukusanya, kuchuja na kuzifanyia kazi taarifu mbalimbali.
Katika ngazi ya kitaifa, mara zote, nchi inahitaji vyombo vya usalama ili kuendesheka. Serikali inayoshinda au kuanguka katika ujasusi ni serikali iliyo katika lindi la hatari. Kila uchao, serikali lazima iwe na taarifu za ndani ya nchi na nje za matukio yanayotukia usiku na mchana. Na, ufanisi huwa mkubwa zaidi pale Vyombo vya Usalama vinaponusa mambo yanayopangwa hasa yale yasiyofaa ili kuyapangua kabla hayajaleta madhara.
Yericko,
Ahsante kwa hii taarifa.
Tafadhali nipatie, ''bibliography,'' nizidi kupata mengi.
 
Umar Mukhtar alifika katika kijiji ambacho askari wa Kitaliani walikivamia kuua na kufanya ufisadi ulio vuka mipaka nje ya kanuni za vita. Akasema ni nani awezae kupigana na adui mshenzi kama huyu asiyechunga mipaka? Si kama jeshi lake halikuwa na uwezo wa kulipiza la hasha, kwake yeye kufanya hivyo kungemshusha na yeye kuingia katika ushenzi. Hapa nawasoma watu wasiochunga ndimi zao na inakuwa tabu kujibu matusi kwa matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu wana Majlis,
Uzuri wa JF ni huu ni kuwa unaweza umemkusudia mtu fulani maelezo
akaja mtu mwingine akakujibu.

Lakini kwa kuwa hapa ni uwanja wazi mpata mpatae huwezi kumwambia
kuwa sikukusudia wewe.

Ikiwa unataka kumkwepa labda kwa kuwa unajua hana moja la maana na
hakuna tija kufanyanae mjadala njia nyepesi ni ''shifting,'' yaani unahama.

Maalim Haruna sheikh wangu aliyenisomesha adab za mnakasha, yaani
majadiliano alinifunza namna ya ''kumfunza mjinga,'' na hili ndilo neno
alilokuwa akitumia - ''mjinga.''

Maalim Haruna Allah amrehemu alikuwa anaanza mhadhara wake
kwa nukuu ya Imam Shafi inayosema kuwa Imam Shafi amesema
kuwa yeye anaweza kusimama hata na watu mia moja kwa hoja lakini
akashindwa na mjinga mmoja.

Hili neno ''mjinga,'' likawa linanipa shida sana siku moja nikamuuliza
sheikh hili neno naweza kulitumia hadharani si tusi?

Maalim Haruna alikuwa na hulka moja.

Ukiuliza swali la kijinga huwa ananyamaza kimya kwa dakika mbili tatu
hivi hasemi kitu anakutazama.

Akakaa kimya...
''Kesho mie nitakuwa sipo utakwenda kumuuliza nani swali kama hilo?
Sasa mimi nakuuliza wewe mjukuu wa Sheikh Mohamed Mvamila,
wewe akili yako inakutuma vipi hili neno, ''mjinga,'' ni tusi?''

Pale pale nikajua kosa langu.
Huyu mzee Allah atamlipa.

Akitufunza kutumia akili zetu.

Sasa nikawa jibu lishakuja na nikataka nijibu katika njia Maalim
Haruna
afurahi.

''Mjinga ni ''jahil,'' na hilo neno sikuzote tunalisema ndani ya masjid
na katika madrasa na hafla zetu haliwezi likawa tusi.''

Jibu langu lilimfurahisha sana Maalim Haruna.

Basi alitufunza namna ya kumsomesha mtu mjinga.

Anasema sheikh, ikiwa umeleta ushahidi mmoja katika kujibu masaala
na mwenzio bila ya kuja na hoja akaja na maneno matupu kukupinga,
unakuja na ushahidi mwingine na mwingine na mwingine na mwingine.

Sheikh akamaliza kwa kusema ukifanya hivi utakuwa unamsaidie yeye
kwa vitu viwili.

Kwanza kumpa elimu asiyokuwanayo na pili unamdhihirishia ule ujinga
wake.

Nimeweka hapa historia ya Ally Sykes katika siku za mwanzo baada ya
kuundwa TANU akapewa adhabu ya uhamisho akapelekwa Korogwe na
jinsi alivyovamiwa na makachero nyumbani kwake na vipi Mzee Makatta
Mwinyimtwana
alivyomnusuru.

Sasa soma alipopelekwa uhamisho Moshi baada ya kutolewa Korogwe
nini kilitokea:

''I was able to convince Hamza Aziz and Iddi Mwajasho to attend the Machame meeting in which Nyerere spoke. Hamza Aziz and Mwajasho were young police officers stationed at the Police Training College. After this meeting the two were reprimanded by the government for getting involved in politics contrary to service regulations. In organising the Machame meeting I had earned for myself the wrath of the colonial administration.

Soon after this meeting I was arrested for allegedly taking bribes. One day a white officer and an African Inspector walked into my office and arrested me. There was no evidence to back the allegations. I was suspended and taken to court on trumped up corruption charges. One of the people who was used by the government to frame me was Joseph Kimalando, one of the TANU founding members from Northern Province. I had crossed swords with Kimalando when we were transforming TAA into TANU at the headquarters. I had backed Yusuf Olotu and other patriots and advised them to sideline him and register the new party. Although among the founders of TANU in Dar es Salaam, once back in Moshi Kimalando refused to register the party in Kilimanjaro.

Reports reaching TANU headquarters were that Kimalando was collaborating with the colonial government to frustrate registration of the party. He was ousted from the party and he joined UTP.

Kimalando was a seasoned politician having been in politics since the early days of the African Association. He claimed to be among the founder members of the Association together with Sheikh Hussein Juma who was later to be Vice President of the United Tanganyika Party, UTP, an opposition party formed by the British to oppose TANU. When I was transferred to Moshi from Korogwe in 1957 Kimalando, then outside the mainstream of the struggle and a member of the UTP, framed me against the government.

My mother and Abdulwahid contacted Annur Kassum recently returned from studies in Britain where he had studied law to defend me. Our parents had known each other in Dar es Salaam for many years. My father in his early business career had tried to join the Chamber of Commerce, which was dominated by Indians at that time. My father could not fit in that all Indian organisation and left to form his own African Traders Association, which was shortlived. It is during that period at the Chamber of Commerce that he came to be acquainted with Annur Kassums’s father.

Annur Kassum flew to Moshi by a Dakota plane of the East African Airways and appeared in court the following day. The two policemen who had arrested me did not appear in court but the magistrate asked the prosecutor to proceed with the case. Kassum objected and insisted that the two police officers who had made the arrest must appear as witnesses. For some unknown reasons the prosecution was not very keen to have the two policemen interrogated by my defence council and the magistrate had no choice but to dismiss the case. By then I had been suspended from work for six months. I was given four months leave from work and I used this opportunity to go to Accra to attend Ghana’s independence celebrations in 1957.''
Kutoka, ''Under the Shadow of British Colonialism.'' (Hakijachapwa)
 
Yericko,
Ahsante kwa hii taarifa.
Tafadhali nipatie, ''bibliography,'' nizidi kupata mengi.

Ujasusi wa Kiuchumi:

Ujasusi wa Kiuchumi ni taaluma mtambuka katika uga huu wa kijasusi. Katika dunia ya leo, ujasusi huu ndio unaoishi na kutawala ulimwengu wa ushindani kiuchumi bila kuruhusu kuathiriwa kisiasa. Ujasusi wa Kiuchumi ni ujasusi unaoshughulika zaidi na harakati za kibiashara ambao unatofautiana kidogo na ule wa kiserikali. Ujasusi huu hufuata taratibu na maadili ya biashara ambayo hayafuatwi na taasisi za ujasusi unaohami serikali. Pia, ieleweke kuwa Ujasusi huu wa Kiuchumi haufanywi chini ya kinga ya kidiplomasia bali una lengo zaidi la kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kuimarisha huduma na kukabili mikikimikiki ya ulimwengu kwa minajili ya kujipatia faida na ufanisi wa shughuli husika. Ujasusi wa Kiuchumi, kadhalika, unatofautiana na ukachero wa kiserikali ambao huweza kukiuka au kupuuza sheria na taratibu za wengine.


Kutoka: Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi
 
Ujasusi wa Kiuchumi:

Ujasusi wa Kiuchumi ni taaluma mtambuka katika uga huu wa kijasusi. Katika dunia ya leo, ujasusi huu ndio unaoishi na kutawala ulimwengu wa ushindani kiuchumi bila kuruhusu kuathiriwa kisiasa. Ujasusi wa Kiuchumi ni ujasusi unaoshughulika zaidi na harakati za kibiashara ambao unatofautiana kidogo na ule wa kiserikali. Ujasusi huu hufuata taratibu na maadili ya biashara ambayo hayafuatwi na taasisi za ujasusi unaohami serikali. Pia, ieleweke kuwa Ujasusi huu wa Kiuchumi haufanywi chini ya kinga ya kidiplomasia bali una lengo zaidi la kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kuimarisha huduma na kukabili mikikimikiki ya ulimwengu kwa minajili ya kujipatia faida na ufanisi wa shughuli husika. Ujasusi wa Kiuchumi, kadhalika, unatofautiana na ukachero wa kiserikali ambao huweza kukiuka au kupuuza sheria na taratibu za wengine.


Kutoka: Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi
Yericko,
Ikiwa huna ''bibliography,'' si neno.
Ninaelewa.
 
Yeriko katika historia ya AA hadi TAA na kufikia TANU hizi ndizo sehemu zilipo nyaraka zake yaani vyanzo vya kupata historia yake.

Kwanza ni Nyaraka za Sykes ambazo hadi leo wenyewe hawajazitoa kwa umma ukiacha kipindi kifupi Abdul Sykes alipokuwa yu hai na akampatia bint yake Daisy mwisho ya miaka ya 1960 ili amuonyeshe John Iliffe wa History Department Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Pili ni Maktaba ya CCM Dodoma.

Tatu Tanzania National Archives (TNA) na,

Nne kwa watu binafsi waliokuwa katika uongozi wa TAA na TANU na wengi wao wameshatangulia mbele ya haki.

Mimi kote huko nimepita na nimegundua mengi kiasi nimeandika paper, "Lost Documents."

Hii paper naitafuta maktaba sijaipata ilichapwa na Africa Events miaka ya 1980.

Hebu nifahamishe hizo "source," zako ni zipi tupate kulinganisha, "notes."

Lakini kote huko hakuna kulikokuwa na nyaraka za maana kushinda nilizoziona kwa akina Sykes.

Yericko hebu soma tena kipande hicho hapo
chini msikilize mdogo wake Abdul Sykes, Ally mwenye kadi ya TANU No. 2 akizungumza:

‘’I got in touch with Makatta Mwinyi Mtwana one of very influential and rich African businessmen in Tanga who had been a friend of my father. Makatta had established his business in Tanga. He was an importer of khanga and was competing with Indians.

Every weekend I used to travel to Tanga to visit him.

At that time Tanga was the seat of the settler community. Almost all the sisal estates in Tanganyika were in Tanga Province.

During weekends the settlers, almost all of them members of the Sisal Growers Association of Tanganyika, would drive to town from their estates and meet at Planters Hotel, which was exclusive to Europeans to discuss politics of the day. When nationalist politics began they met at the same hotel to plot against TANU.

I got in touch with Mwalimu Kihere to see if we could open a branch in Tanga but unfortunately there was not much I could do there because at that time Tanga was involved in its own internal social conflicts, which prevented the formation of a political party. One day I received a message from Makatta that on Friday at 5 p.m. the Tanga police would come to my house to search me for TANU documents.

I put whatever TANU papers I had in a box and went to hide them at a place where no one would think of searching. I hid the papers at Akena’s house. When a white police officer and three black policemen raided my house that day they found nothing.

They tore my mattresses and pillows, they combed the room but they could not find any paper to incriminate me.

How was Makatta informed of the raid against my house?

TANU had sympathisers in many places in the colonial administration. One of them tipped him off.

I stayed at Korogwe for eight months until when I became sick with a serious kidney ailment as a result of polluted water. I was referred to Dar es Salaam Sewa Haji Hospital for treatment. I needed an operation but there was no qualified kidney expert in Tanganyika to perform the operation. I was put on medication to relieve the pain.

The operation came to be performed in Dar es Salaam 1962 after independence by one Dr. Lean from Britain.

I did not return to Korogwe after getting well as I was transferred to Moshi Labour Office. I immediately began to organise for TANU. By then TANU had sent Nyerere to the United Nations in New York to plead for Tanganyika’s independence.

At the United Nations, Nyerere was not articulating anything new since his speech was from the very recommendations of the memorandum which the TAA Political Subcommittee had prepared and submitted to the Constitutional Development Committee of Governor Edward Twining in 1950 which were however ignored by the Governor.

Twining instead pursued a multiracial representation in the Legislative Council and to keep up with its stand, the government sent a multiracial delegation composed of I.C. Chopra, an Asian, Sir Charles Phillips a European, and Liwali Yustino Mponda, an African member of the Legislative Council for Newala, to oppose TANU at the United Nations.

We were determined to show the government that TANU had clout.’’

(Alphonce Akena alikuwa katika Jeshi la Polisi na baada ya uhuru akawa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai).

Nani leo hata hapo Maktaba ya CCM Dodoma anaeweza kukupa taarifa hizi.

Mimi nina sauti ya Ally Sykes akieleza haya katika tapes.
Ndugu zangu,
Vipi mtu ataniita mimi muongo wakati nimeandika mengi kutokana na utafiti
niliofanya kwa miaka mingi:

1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

6. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

7. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

8. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

9. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

10. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

11. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

12. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

13. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

14. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

15. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

16. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

17. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

18. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

19. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

20.Awards: Several Awards.

21. Visiting Scholar: (2011)

22. University of Iowa, Iowa City, USA

23. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

24. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

25. OTHER COUNTRIES VISITED

26. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
 
Mohamed, nilikushauri ushirikishe vijana, wakipiga kelele hoja mbele yako zinasahaulika, umeona eeh!

Mohamed anasema alieunda TANU ni Abdul syskes. Kwa maana hakukuwa na kitu hicho
Ni kweli hakukuwa na TANU kama jina lakini wanachama wa TANU walitoka TAA

Hoja ya Abdul kuunda TANU ilikusudia kumweka Nyerere kando si ''mzee wake''

Baada ya uchaguzi wa TAA kwa mujibu wa Mohamed, Rais alikuwa Nyerere VP akawa Abdul sykes
Kwamba, TANU iliundwa na VP wakati President hana habari!

Ndipo hoja ikaja, nani aliandika katiba ya kwanza ya TANU
Kabla ya hapo TAA na AA zilikuwa na katiba gani na iliandikwa na nani

Mag3 wasomaji wanaoingia ili waelewe hoja ya Umanyema ningewashauri warudi bandiko 116-145

Kwanza, Mohamed alikana uwepo wa kabila na lugha ya Kimanyema ingawa ni Mmanyema
Alipobanwa akakubali uwepo wa lugha na utamaduni wa Kimanyema

Hata hivyo aliukana utamaduni kwa kusema wake ni ule wa Nabii Ibrahim

Akasema '' Wamanyema lugha yao ilikuwa Kilungwana, kiswahili kilichotokana na mwingiliano na Waarabu. Hivyo Wamanyema walikuja kama Waislam kwanza''

Kwamba kuna kabila linaitwa Waislam lililotokana na Wamanyema

Fikra kidogo tu
Kwani mchakato wa Nyerere kutangazwa mtakatifu umefikia wapi? wana JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujasusi wa Kiuchumi:

Ujasusi wa Kiuchumi ni taaluma mtambuka katika uga huu wa kijasusi. Katika dunia ya leo, ujasusi huu ndio unaoishi na kutawala ulimwengu wa ushindani kiuchumi bila kuruhusu kuathiriwa kisiasa. Ujasusi wa Kiuchumi ni ujasusi unaoshughulika zaidi na harakati za kibiashara ambao unatofautiana kidogo na ule wa kiserikali. Ujasusi huu hufuata taratibu na maadili ya biashara ambayo hayafuatwi na taasisi za ujasusi unaohami serikali. Pia, ieleweke kuwa Ujasusi huu wa Kiuchumi haufanywi chini ya kinga ya kidiplomasia bali una lengo zaidi la kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kuimarisha huduma na kukabili mikikimikiki ya ulimwengu kwa minajili ya kujipatia faida na ufanisi wa shughuli husika. Ujasusi wa Kiuchumi, kadhalika, unatofautiana na ukachero wa kiserikali ambao huweza kukiuka au kupuuza sheria na taratibu za wengine.


Kutoka: Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi

Yericko,
Unazo katika kitabu chako taarifa za kijasusi zinazomuhusu Abdul Sykes?

CIMG2281.JPG

Abdul Sykes akiwa KAR Burma Infantry 1942 - 1945

Ukipitia Tanganyika Intelligence Gazette kuanzia 1950 kuna taarifa
za kikachero za Waingereza zikiandikwa na Special Branch, utaona
habari za Abdul akiwa Dar es Salaam na mikoani alikokuwa akipita
kuongea na viongozi wa TAA kuhusu hali ya baadae ya Tanganyika.

Moja ya taarifa hizi ambazo mimi ninayo ni ni safari ya Abdul Sykes
ya Kanda ya Ziwa aliyofanya mwaka wa 1952 akiwa Katibu na Kaimu
Rais wa TAA kukutana na Paul Bomani na kisha kuelekea Uganda.

Lakini kabla ya hapa mwaka wa 1950 Abdul Sykes alifanya mkutano
na Jomo Kenyatta na akina Paul Ngei, Kungu Karumba, Bildad
Kaggia
na wengine Nairobi agenda kuu ikiwa kuunganisha nguvu
za Waafrika wa Tanganyika na Kenya kupambana na Waingereza.

Katika mkutano huu Ahmed Rashad Ali alikuwapo lakini hakushiriki
yeye alibaki nje na walinzi wa Kenyatta.

Huu ulikuwa wakati wa Mau Mau.
Nimeeleza habari hizi kwa kirefu kwenye kitabu cha Abdul Sykes.
 
Katika tafiti zangu nyingi sijaona panapothibitisha kuwa pale palikuwa pa Kleist Sykes au Cecil Matola au Ramadhan Ali au mweusi yoyote, lakini bado ushahidi toka vyanzo vingi nilivyovibaini unaonyesha Sir Cameron kama serikali ndie aliyetoa jengo na eneo hilo litumiwe na Cecil Matola na watu wake katika AA, hii ni baada ya miezi kadhaa ya kuanzishwa AA ikiwa inafanyia shughuli zake nyumbani kwa Matola, zingatia kwa Matola rais wa AA sio Kleist Sykes wala Plantan na wahamiaji haramu wengine...
Siyo Sesilia Matola?

Eti tafiti. Hivi wewe unaweza tafiti ipi zaidi ya uongo? Umesahau? Nikukumbushe?
 
Yericko,
Unazo katika kitabu chako taarifa za kijasusi zinazomuhusu Abdul Sykes?

CIMG2281.JPG

Abdul Sykes akiwa KAR Burma Infantry 1942 - 1945

Ukipitia Tanganyika Intelligence Gazette kuanzia 1950 kuna taarifa
za kikachero za Waingereza zikiandikwa na Special Branch, utaona
habari za Abdul akiwa Dar es Salaam na mikoani alikokuwa akipita
kuongea na viongozi wa TAA kuhusu hali ya baadae ya Tanganyika.

Moja ya taarifa hizi ambazo mimi ninayo ni ni safari ya Abdul Sykes
ya Kanda ya Ziwa aliyofanya mwaka wa 1952 akiwa Katibu na Kaimu
Rais wa TAA kukutana na Paul Bomani na kisha kuelekea Uganda.

Lakini kabla ya hapa mwaka wa 1950 Abdul Sykes alifanya mkutano
na Jomo Kenyatta na akina Paul Ngei, Kungu Karumba, Bildad
Kaggia
na wengine Nairobi agenda kuu ikiwa kuunganisha nguvu
za Waafrika wa Tanganyika na Kenya kupambana na Waingereza.

Katika mkutano huu Ahmed Rashad Ali alikuwapo lakini hakushiriki
yeye alibaki nje na walinzi wa Kenyatta.

Huu ulikuwa wakati wa Mau Mau.
Nimeeleza habari hizi kwa kirefu kwenye kitabu cha Abdul Sykes.
Azitowe wapi.
 
alichoeleza 'ally' sio alfa na omega;wala kuwa kwenye tape haijustify ndo ukweli!

>>sawa na soga na ngano unazopiga hapa na kwenye vijiwe vya kahawa kkoo halafu atokee 'mpuuzi' mmoja tu aseme,mzee mudi alisema na aliandika uzi jf hiyo bado haijustify ukweli na usahihi wa jambo!
Si uje na historia mbadala? Ikiwa ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
 
Ndugu zangu wana Majlis,
Uzuri wa JF ni huu ni kuwa unaweza umemkusudia mtu fulani maelezo
akaja mtu mwingine akakujibu.

Lakini kwa kuwa hapa ni uwanja wazi mpata mpatae huwezi kumwambia
kuwa sikukusudia wewe.

Ikiwa unataka kumkwepa labda kwa kuwa unajua hana moja la maana na
hakuna tija kufanyanae mjadala njia nyepesi ni ''shifting,'' yaani unahama.

Maalim Haruna sheikh wangu aliyenisomesha adab za mnakasha, yaani
majadiliano alinifunza namna ya ''kumfunza mjinga,'' na hili ndilo neno
alilokuwa akitumia - ''mjinga.''

Maalim Haruna Allah amrehemu alikuwa anaanza mhadhara wake
kwa nukuu ya Imam Shafi inayosema kuwa Imam Shafi amesema
kuwa yeye anaweza kusimama hata na watu mia moja kwa hoja lakini
akashindwa na mjinga mmoja.

Hili neno ''mjinga,'' likawa linanipa shida sana siku moja nikamuuliza
sheikh hili neno naweza kulitumia hadharani si tusi?

Maalim Haruna alikuwa na hulka moja.

Ukiuliza swali la kijinga huwa ananyamaza kimya kwa dakika mbili tatu
hivi hasemi kitu anakutazama.

Akakaa kimya...
''Kesho mie nitakuwa sipo utakwenda kumuuliza nani swali kama hilo?
Sasa mimi nakuuliza wewe mjukuu wa Sheikh Mohamed Mvamila,
wewe akili yako inakutuma vipi hili neno, ''mjinga,'' ni tusi?''

Pale pale nikajua kosa langu.
Huyu mzee Allah atamlipa.

Akitufunza kutumia akili zetu.

Sasa nikawa jibu lishakuja na nikataka nijibu katika njia Maalim
Haruna
afurahi.

''Mjinga ni ''jahil,'' na hilo neno sikuzote tunalisema ndani ya masjid
na katika madrasa na hafla zetu haliwezi likawa tusi.''

Jibu langu lilimfurahisha sana Maalim Haruna.

Basi alitufunza namna ya kumsomesha mtu mjinga.

Anasema sheikh, ikiwa umeleta ushahidi mmoja katika kujibu masaala
na mwenzio bila ya kuja na hoja akaja na maneno matupu kukupinga,
unakuja na ushahidi mwingine na mwingine na mwingine na mwingine.

Sheikh akamaliza kwa kusema ukifanya hivi utakuwa unamsaidie yeye
kwa vitu viwili.

Kwanza kumpa elimu asiyokuwanayo na pili unamdhihirishia ule ujinga
wake.

Nimeweka hapa historia ya Ally Sykes katika siku za mwanzo baada ya
kuundwa TANU akapewa adhabu ya uhamisho akapelekwa Korogwe na
jinsi alivyovamiwa na makachero nyumbani kwake na vipi Mzee Makatta
Mwinyimtwana
alivyomnusuru.

Sasa soma alipopelekwa uhamisho Moshi baada ya kutolewa Korogwe
nini kilitokea:

''I was able to convince Hamza Aziz and Iddi Mwajasho to attend the Machame meeting in which Nyerere spoke. Hamza Aziz and Mwajasho were young police officers stationed at the Police Training College. After this meeting the two were reprimanded by the government for getting involved in politics contrary to service regulations. In organising the Machame meeting I had earned for myself the wrath of the colonial administration.

Soon after this meeting I was arrested for allegedly taking bribes. One day a white officer and an African Inspector walked into my office and arrested me. There was no evidence to back the allegations. I was suspended and taken to court on trumped up corruption charges. One of the people who was used by the government to frame me was Joseph Kimalando, one of the TANU founding members from Northern Province. I had crossed swords with Kimalando when we were transforming TAA into TANU at the headquarters. I had backed Yusuf Olotu and other patriots and advised them to sideline him and register the new party. Although among the founders of TANU in Dar es Salaam, once back in Moshi Kimalando refused to register the party in Kilimanjaro.

Reports reaching TANU headquarters were that Kimalando was collaborating with the colonial government to frustrate registration of the party. He was ousted from the party and he joined UTP.

Kimalando was a seasoned politician having been in politics since the early days of the African Association. He claimed to be among the founder members of the Association together with Sheikh Hussein Juma who was later to be Vice President of the United Tanganyika Party, UTP, an opposition party formed by the British to oppose TANU. When I was transferred to Moshi from Korogwe in 1957 Kimalando, then outside the mainstream of the struggle and a member of the UTP, framed me against the government.

My mother and Abdulwahid contacted Annur Kassum recently returned from studies in Britain where he had studied law to defend me. Our parents had known each other in Dar es Salaam for many years. My father in his early business career had tried to join the Chamber of Commerce, which was dominated by Indians at that time. My father could not fit in that all Indian organisation and left to form his own African Traders Association, which was shortlived. It is during that period at the Chamber of Commerce that he came to be acquainted with Annur Kassums’s father.

Annur Kassum flew to Moshi by a Dakota plane of the East African Airways and appeared in court the following day. The two policemen who had arrested me did not appear in court but the magistrate asked the prosecutor to proceed with the case. Kassum objected and insisted that the two police officers who had made the arrest must appear as witnesses. For some unknown reasons the prosecution was not very keen to have the two policemen interrogated by my defence council and the magistrate had no choice but to dismiss the case. By then I had been suspended from work for six months. I was given four months leave from work and I used this opportunity to go to Accra to attend Ghana’s independence celebrations in 1957.''
Kutoka, ''Under the Shadow of British Colonialism.'' (Hakijachapwa)

Naam, Ilm bila khiyana.
 
Ndugu zangu,
Vipi mtu ataniita mimi muongo wakati nimeandika mengi kutokana na utafiti
niliofanya kwa miaka mingi:

1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

6. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

7. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

8. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

9. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

10. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

11. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

12. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

13. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

14. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

15. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

16. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

17. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

18. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

19. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

20.Awards: Several Awards.

21. Visiting Scholar: (2011)

22. University of Iowa, Iowa City, USA

23. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

24. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

25. OTHER COUNTRIES VISITED

26. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
SURA YA PILI

MASHIRIKA YA KIJASUSI

MOSSAD ‖ ISRAELI

Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu wa Wakristu na Wayahudi), Kitabu cha Kwanza cha Nabii Musa kiitwacho Mwanzo (sura ya 12), kinaonesha jinsi Ibrahim alivyoitwa na Mwenyezi Mungu ili kumtumikia. Eneo hilo la Palestina ambalo zamani lilijulikana kama Kaanani, ndipo chimbuko la dini tatu kuu zenye msingi wa Ibrahim zilibuka. Dini hizo ni Uyahudi, Ukristu na baadaye Uislamu. Dini ya Wayahudi yenye misingi ya Biblia ya Agano la Kale, likianza na vitabu vitano vya Musa: Mwanzo, Kutoka, Hesabu, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu la Torati. Ukristu ukianzia misingi kwenye Agano la Kale hadi Agano Jipya na Uislamu ukishika vitabu vinne vya Tourat ya Nabii Musa (a.s), Zabur ya Nabii Dawood (a.s), Injili ya Issa bin Mariam (a.s.) au Yesu na Kurani ya Muhamad (s.a.w).

Ibrahim, mwenyeji wa Uru wa Ulkadayo (Mesopotamia), leo Iraq, wa kabila la Waebrania anahama kutoka Iraq na kwenda Haran, Syria, na baadaye kuingia Kaanani (Uyahudi), ambapo Mwenyezi Mungu anamtokea katika njozi na kumwapia Ibrahimu kuwa, ardhi yote hiyo amepewa yeye na uzao wake na kuahidiwa Baraka. Yaani, kubarikiwa kwa kila atakaye mbariki na kwamba jamaa zote za dunia zitajibarikia. Pamoja na ahadi hiyo, Mungu anamwambia nabii Ibrahimu kuwa uzao wake utakwenda utumwani, Misri, kwa miaka mia nne (400) hadi kizazi cha nne, ndipo watakapookolewa na kupandishwa Kaanani.

Mizizi ya ugomvi huo inaanzia mnamo Karne ya Kumi na Tisa (19), wakati wa vuguvugu la utaifa la Uzayuni na Uarabu.

.....................,...........
Kutoka kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi, Sura ya Kwanza, ukurasa 12.

https://www.amazon.com/gp/aw/d/9976...ds=yericko&dpPl=1&dpID=51wy-+exFYL&ref=plSrch
 
Back
Top Bottom