Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Mzee Said Mohamed! wakati wa kupigania Uhuru wa Nchi hii hakuna Mtu aliyewaza kuhusu Imani yake na nafasi ya Imani yake katika kulikomboa taifa Hili! waislam,wakristo,wapagani,wahindu,wachawi walisimama pamoja kudai uhuru wa nchi hii.
Ungelijua UAMUZI WA BUSARA WA TABORA Ulifanyikia Wapi? usinge litaja abadani suala la Udini ulioung'ang'ania.
Mnabaduhe,
Umesema kweli lakini huwezi kuondoa ukweli kuwa Uislam ulitumika sana.

Mkutano wa Kura Tatu ulifanyika Parish Hall lakini hiyo ni 1958 TANU ina
nguvu kila mtu anaifata sasa kwani walijua uhuru uko njiani.

Uliza ilikuwaje kabla ya hapo nikuwekee historia nzima kama nilivyoieleza
katika kitabu cha Abdul Sykes.
 
Historia yoyote inayoandikwa kutokana na simulizi ni historia ya mapokeo. Sisi wapenda simulizi, hupenda sana kusoma hadithi nzuri zinazosimuliwa na wasimulizi mahiri kama wewe Mkuu Maalim Mohamed Said, kiukweli simulizi zako ni mzuri. Kule mwanzo nilikuita mrongo, nikidhani urongo katika simulizi zako umeutunga wewe, but as days goes by, nimekuja ku realize, kumbe enda ikawa urongo hukutunga wewe, bali aliyekusimulia simulizi za urongo, hivyo wewe umeandika kile ulichosimuliwa ukidhani ndio ukweli, kumbe ulitanganywa na hao waliokusimulia.

Kwa vile wewe ni mzuri katika kufuatilia documentary evidence ya hicho ulichosimuliwa na ukweli unaujua, kwa vile maandishi yako ni maandishi ya a man with a mission, ( reffer
Jinamizi la Udini Tanzania: Utabiri wa Sheikh Suleiman Takadir ...
) then nakuunga mkono endelea kuandika vile vile unavuoandika ili ile mission iwe accomplished. Naunga mkono kuandika kwa malengo na sio kujiandikia tuu, na nakiri mimi ni mmoja wa wafuasi wako wakubwa humu jf kwa vile natambua you have "the powers", kitu ambacho ninakiheshimu sana.

Endelea kutulisha kile ulicholishwa kwenye hizo simulizi, ingawa kuna urongo mwingi, lakini pia kuna ukweli mwingi, na kitu kikubwa kwangu sio urongo au ukweli wa makala zako, bali ni ilmu iliyomo ambayo kama sio wewe kutuandikia humu, akina sisi kama tusinge vifahamu visa vingi.

Asante kwa simulizi zako za hadith njoo, uwongo njoo utamu kolea.

Paskali.
Ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnabaduhe,
Umesema kweli lakini huwezi kuondoa ukweli kuwa Uislam ulitumika sana.

Mkutano wa Kura Tatu ulifanyika Parish Hall lakini hiyo ni 1958 TANU ina
nguvu kila mtu anaifata sasa kwani walijua uhuru uko njiani.

Uliza ilikuwaje kabla ya hapo nikuwekee historia nzima kama nilivyoieleza
katika kitabu cha Abdul Sykes.

Mzee Mohamed Said! Hao unaodai ni wazee wako! ni wazee wetu pia! Ni Wazalendo wa taifa hili! wewe sio wa Kwanza kuandika 'Oral History' Prof. Israel Katoke aliwahi kuandika The Karagwe Kingdom: A history of the Abanyambo of North Western Tanzania c.1400-1915 ! Haikuleta shida ndio maana mpaka leo,kitabu chake kinatumika University ! aliandika historia ya wazee wake pia( historia hiyo haijawahi kuwagawa watu) Ila Unachoaandika wewe kinahatari kubwa ya Kuwagawa watanzania kwa minajiri ya Udini.
Every Great Historian Knows that! Including You Sheikh Mohamed Said.
 
Kituko ushauri katika nini? Mimi nimeandika historia ya wazee wangu walivyounda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika sasa wewe unipe ushauri katika lipi? Kwanini msiwashauri Chuo Cha Kivukoni walipoandika historia yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni kwamba, hao unaowaita wazee wako, utakuta ni ndugu zako katika dini.

Kama kivukoni walipotoka kwa kuandika uongo, ilikuwa ni busara kutambua wakichokifanya ili tuwe na kitu halisi.

Anyway, najaribu kutafakari mfumo wa:-

1. Thesis-kivukoni
2. Ant-thesis-Mohamed Said and the like
3. Synthesis-Perhaps Yerico Nyerere, Nguruv nk.

Tunahitaji wa kubalance story, isionekane historia ya uhuru ni one sided movement, wakati wamekufa wengi sana bila kujali itikadi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Mohamed Said! Hao unaodai ni wazee wako! ni wazee wetu pia! Ni Wazalendo wa taifa hili! wewe sio wa Kwanza kuandika 'Oral History' Prof. Israel Katoke aliwahi kuandika The Karagwe Kingdom: A history of the Abanyambo of North Western Tanzania c.1400-1915 ! Haikuleta shida ndio maana mpaka leo,kitabu chake kinatumika University ! aliandika historia ya wazee wake pia( historia hiyo haijawahi kuwagawa watu) Ila Unachoaandika wewe kinahatari kubwa ya Kuwagawa watanzania kwa minajiri ya Udini.
Every Great Historian Knows that! Including You Sheikh Mohamed Said.
Mnababuduhe,
Huko katika kuwagawa watu wala tusiende.
Nyakati hizi ni ngumu kidogo lakini soma kitabu cha Abdul Sykes.

Prof. Haroub Othman ndipo alipotaabika.
Hilo ulilogusia ni mojawapo ya yaliyomtaabisha.

Ndipo walipoamua kuwapa kazi Prof. Shivji na wataalamu wenzake
waje na kitabu kingine labda kinaweza kurekebisha historia niliyoandika
na ndiyo maana wakajakunihoji.

r0WDJxXSiqWEVNv6cpI7Dn5c-_hHVCU2m5rG894ZhIcWyCxSnGJx7_IwEkxiZvxJSn8zz_SIuXTFWJLV08lU1-PDDCa5neBObmKHwix2D1E5y-uV_pNoLkNCz4rAkSPUfDiE4LPj683AbHtMJHfRzesAZe0o8enxGCHmrno-xZl6IVrel-FSSHsRMAjLTuKJJPJiFM43BuQ3VJeyGP3cImoc6IGA7O9s8DizWWqm2WOB_eNMFbGWk154lxwglMuszGM0iKCrnhk9EpuD5WamPDWi6smSIEGgsT1z2HMu0f_kUfZkCHQcxdSTaiSq8eQ1CFLxF2oQctsA8ShtmLpicIDNrYm43EaUQbHuYwZSDsNAu9vH9JaFM_hJfF3r1VbLVP8nLIeOJ162KYn5DJCeMcORbBUr3QFD5u85ODtcff_Eo9sFNw34O3NHtXJfGSLtiV8sKn4bs5kyP7sfrjqo2szLScPo0NhOEp9Y1X5i8Y3F5kKVJYVQ1JCVMndIY8v8cg2IxJdlHGcn2d4yuvj4ib4egcGEoYfJLo1-DtYNuEvdVoIqT5Nb8ZuBv8_pfOzfwVb3D9NVDbaOVPLqXFL8Ds6dzqEtsA47RKMW2hLEVbtm3AQk5Nbr=w800-h534-no

Kulia: Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman aliyekaa chini Mohamed Said

Huko kwa kuwagawa Watanzania wala tusiguse ndugu yangu.
Inaelekea wewe mgeni katika mambo haya.
 
Shida ni kwamba, hao unaowaita wazee wako, utakuta ni ndugu zako katika dini.

Kama kivukoni walipotoka kwa kuandika uongo, ilikuwa ni busara kutambua wakichokifanya ili tuwe na kitu halisi.

Anyway, najaribu kutafakari mfumo wa:-

1. Thesis-kivukoni
2. Ant-thesis-Mohamed Said and the like
3. Synthesis-Perhaps Yerico Nyerere, Nguruv nk.

Tunahitaji wa kubalance story, isionekane historia ya uhuru ni one sided movement, wakati wamekufa wengi sana bila kujali itikadi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ntamaholo,
Historia ndivyo ilivyokuwa na hayo yote yalifanywa na watu hao.

Kuwa historia iliwasahau ndiyo maana nimeandika habari zao na
leo mko hapa mmetatazika sana.

Akili inakataa kuamini.
Hilo la kuweka mizani hakuna anaekuzuia.
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, hapa tatizo ni lugha tuu na tafsiri kati watu wanaoitwa waasisi na waanzilishi viongozi na mashujaa.

Kama AA iliasisiwa mwaka 1927 na rais wa kwanza ni Cecil Matola, Sykes akaupokea urais baada ya kifo cha Matola, kumtaja Skykes kuwa ndio mwasisi wa AA bila kumtaja Matola, huu ni urongo!.

Kama Mwaka 1948, AA iligeuka, kuwa TAA chini ya rais Dr. Vedastus Kyaruzi, Skykes kumtaja alikaimu tuu baada ya Dr. Kyaruzi kuhamishwa na 1953 aligombea na Mwl. Julius Nyerere akambwagwa vibaya, ni Nyerere ndie aliyeibadili TAA kuigeuza TANU, hivyo kama ni ushujaa, shujaa wa TAA ni Dr. Kyaruzi, chini ya hapo ni urongo!. Na shujaa wa TANU ni Nyerere, chini ya hapo ni urongo na shujaa wa Uhuru wa Tanganyika ni Nyerere, chini ya hapo ni urongo.

Kama lengo ni kutaja waasisi wa wazo, au mashujaa wa uhuru, then wote waliouhusika tangu wazo, watakuwa ni wanachama waanzishilishi na mashujaa, ila kila mahali shujaa mkuu ni mmoja tuu na sii Sykes popote tangu AA, TAA, TANU hadi Uhuru.

Ukiahadithiwa kisa cha urongo katika fasihi simulizi, na wewe ukauandika urongo ule katika fasihi andishi, mrongo ni sii wewe uliyeandika urongo, bali yule aliyekusimulia urongo!.

Ukweli na urongo katika fasihi simulizi ni very relative kama ilivyo imani ya dini za watu, watu wakiaminishwa dini fulani ndio dini ya ukweli dini nyingine zote ni za urongo, hivyo katika kujenga religious tolerance, tunafunza tuhubiri dini zetu tuu tunazoziamini bila kuwaeleza wengine wenye dini zao kuwa ni dini za urongo, hivyo ingekuwa hayo unayoyaandika kuhusu historia ya uhuru, ingekuwa unaandika juzuu, tusingesema lolote, lakini maadamu ni historia na sio dini, huwezi kuandika urongo, halafu kuna wanaoujua ukweli wakanyamaza, ila pia pia kuna kundi la akina sisi wapenda hadithi, hata kama tunajua tunadanganywa, maadam msimulizi ni hodari wa kusimulia, tunaona raha kusoma simulizi zake, tunajifunza mengi tusiyoyajua kuhusu simulizi hizo, japo simulizi nyingine ni za urongo, lakini watu humu tunaelimika,

Hivyo Maalim Mohamed Said endelea na simulizi za hadithi hadithi, uwongo njoo utamu kolea, tunafurahia!.

Paskali
Ha ha ha yaani dharau za kisukuma zipo dhahiri shahiri. Aksante Mayala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, unapenda sana madua, kila kitu unahalalisha kwa dua. Kiwe heri au shari, unatanguliza dua kuhalalisha mbofu yako hiyo.

Mfano, umetangaza wazi kuwa walikuombea dua ili uoneshe historia inayowapendelea waislam. Kila kitu dua mzee hata kama haramu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ntamaholo,
Mikutano ya kwanza ya TANU Sheikh Suleiman alikuwa anaomba dua
kisha ndiyo Nyerere anapanda jukwaani kuhutubia.

Huu ni katika utamaduni wa Waislam.
Wewe huwezi kuelewa haya.

Dua inafuta Qadar.
 
Soma kisha useme walioachwa ni akina nani na utupe historia yao ya Uhuru. Halafu pia ukiona watu wametajwa au kuwekwa ambao hawakustahili basi utupe historia yao mbadala.

Yanini unaandikia mate na wino upo?
Great woman wa JF Faiza

1. Thesis.
Tuseme tu kuwa ndo historia ya kwanza ya uhuru kuandikwa na watu wa kivukoni. Sijawahi kuiona hivyo sina cha kusema. Kama imepotoshwa, tunatarajia kuletwa story ambayo ni dhahiri. Lakini badala yake, tumeletewa habari ya kupinga kila kitu na kuletewa kitu kipya.

2. Antithesis. Badala ya kutuletea ukweli, sasa tunalazimishwa kuoneshwa kuwa ni waislam pekee waliohusika. Ni kama MH anakataa kila kitu cha kivukoni, analeta jambo jipya kabisa. Sasa hapa tutahitaji atakaye kuwa mkweli.

3. Synthesis-Tunahitaji mtu wa kutuunganisha sasa mara baada ya kivukoni kuharibu, mohamed naye akaharibu, sasa Nyerere labda atuunganishe.

Mi naamini hostoria ya tanganyika, siyo single sided movement, bali ni mult-side movement.

Kama Mohamed Said kila kitu anakibariki kwa dua ya kiislam, hata wapigania uhuru walibariki kwa dua za kiislam, kikristo na kijadi.

Kijadi ng'ombe na mbuzi zilikufa just kuwatakia heri wapigania uhuru.

Tunahitaji mtafiti wa kutuunganisha sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ntamaholo,
Ikiwa unayo historia ya AICT katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa
Tanganyika iweke hapa Majlis tuisome.

Hapo chini nakuwekea namna wazee wangu walivyoliendea jambo hili la
kupigania uhuru.

Kila palipokuwa na ugumu walikaa kitako na kuomba dua:
''Nyerere na Kissenge walichukuliwa hadi Mnyanjani na tawaswil ikasomwa. Waliohudhuria kisomo hicho walikuwa Abdallah Rashid Sembe, Sheikh Dhikr bin Said, Mzee Zonga, Hemed Anzwan, Salehe Kibwana aliyekuwa mshairi maarufu, Akida Boramimi bin Dai na Mmaka Omari. Aliyechaguliwa kusoma Quran Tukufu alikuwa mjomba wa Mwalimu Kihere, Sheikh Ali Kombora.''

Katika majiia hayo hapo juu nilifanya mahojiano na Sheikh Rashid Sembe na Mmaka Omari na hayo ndiyo waliyonieleza walipopanga mkakati wa Kura Tatu.

Ikiwa wewe una historia nyingine ya TANU na uhuru usisite kutuletea hapa ili sote tunufaike.
Soma historia ya Sheikh Rashid Sembe hapo chini:
Mohamed Said: SHEIKH ABDALLAH RASHID SEMBE: SHUJAA WA KURA TATU NA UAMUZI WA BUSARA WA TABORA
Eti, nani aliasisi kuandika katiba ya TANU?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Maalim Mohamed Said, hapa tatizo ni lugha tuu na tafsiri kati watu wanaoitwa waasisi na waanzilishi viongozi na mashujaa.

Kama AA iliasisiwa mwaka 1927 na rais wa kwanza ni Cecil Matola, Sykes akaupokea urais baada ya kifo cha Matola, kumtaja Skykes kuwa ndio mwasisi wa AA bila kumtaja Matola, huu ni urongo!.

Kama Mwaka 1948, AA iligeuka, kuwa TAA chini ya rais Dr. Vedastus Kyaruzi, Skykes kumtaja alikaimu tuu baada ya Dr. Kyaruzi kuhamishwa na 1953 aligombea na Mwl. Julius Nyerere akambwagwa vibaya, ni Nyerere ndie aliyeibadili TAA kuigeuza TANU, hivyo kama ni ushujaa, shujaa wa TAA ni Dr. Kyaruzi, chini ya hapo ni urongo!. Na shujaa wa TANU ni Nyerere, chini ya hapo ni urongo na shujaa wa Uhuru wa Tanganyika ni Nyerere, chini ya hapo ni urongo.

Kama lengo ni kutaja waasisi wa wazo, au mashujaa wa uhuru, then wote waliouhusika tangu wazo, watakuwa ni wanachama waanzishilishi na mashujaa, ila kila mahali shujaa mkuu ni mmoja tuu na sii Sykes popote tangu AA, TAA, TANU hadi Uhuru.

Ukiahadithiwa kisa cha urongo katika fasihi simulizi, na wewe ukauandika urongo ule katika fasihi andishi, mrongo ni sii wewe uliyeandika urongo, bali yule aliyekusimulia urongo!.

Ukweli na urongo katika fasihi simulizi ni very relative kama ilivyo imani ya dini za watu, watu wakiaminishwa dini fulani ndio dini ya ukweli dini nyingine zote ni za urongo, hivyo katika kujenga religious tolerance, tunafunza tuhubiri dini zetu tuu tunazoziamini bila kuwaeleza wengine wenye dini zao kuwa ni dini za urongo, hivyo ingekuwa hayo unayoyaandika kuhusu historia ya uhuru, ingekuwa unaandika juzuu, tusingesema lolote, lakini maadamu ni historia na sio dini, huwezi kuandika urongo, halafu kuna wanaoujua ukweli wakanyamaza, ila pia pia kuna kundi la akina sisi wapenda hadithi, hata kama tunajua tunadanganywa, maadam msimulizi ni hodari wa kusimulia, tunaona raha kusoma simulizi zake, tunajifunza mengi tusiyoyajua kuhusu simulizi hizo, japo simulizi nyingine ni za urongo, lakini watu humu tunaelimika,

Hivyo Maalim Mohamed Said endelea na simulizi za hadithi hadithi, uwongo njoo utamu kolea, tunafurahia!.

Paskali
Paskali,
Soma kitabu cha Abdul Sykes.
Mengi hapo juu umeyakosea.

Nyerere hakushinda kwa kura nyingi na hapa napuuza lugha yako
isiyopendeza.

Msome Judith Listowel kaeleza uchaguzi ule kwa kirefu sana.
Dr. Kyaruzi nishaeleza mara nyingi historia yake hapa nk. nk.

Abdul aliingia TAA katika uongozi baada ya sakata la makuli.

Nimekuwekeeni historia yote labda hukuioma na kama umeisoma
unakaa kimya basi imekutisha kama ilivyomtisha John Iliffe.

AA iliasisiwa 1929.

Msome Kleist anaeleza kila kitu vipi aliasisi AA 1929 baada ya kukutana
na Dr. Aggrey 1924.

Cecil Matola hakukaa sana katika AA alifariki 1933 na President akawa
Mzee bin Sudi.

Lakini hii isitukwamishe mnaweza kuendelea kuamini hivyo hakuna shida.

Naona hii imekuumeni sana ya Kleist kuasisi AA na wanae TANU.
Inachoma kweli kweli.

Prof. Haroub Othman alitaka kupata wazimu kwa historia hii mji
mzima anapita anauliza nani huyu Abdulwahid Sykes?

Mwishowe akaenda kwa Nyerere.
Allah muweza.

Angalia hizi rejea ndani ya kitabu cha Sykes:

...written with the help of a paper by Aisha Daisy Sykes presented as seminar paper at the University of Dar es Salaam in 1968. Daisy wrote this paper with the assistance of her father Abdulwahid Sykes, from an original manuscript written by Kleist Sykes. Other information on Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika is from Tewa Said Tewa’s unpublished manuscript, ‘A Probe In the History of Islam in Tanganyika’. Other information is from Ali Mwinyi Tambwe, secretary Al Jamiatul Islamiyya in the early 1940s.

Daisy Sykes Buruku, ‘The Townsman: Kleist Sykes’, in Iliffe (ed) Modern Tanzanians, Nairobi, 1973, pp. 95-114.
 
Maalim Faiza,
Waandike kutoka kwenye, ''source,'' ipi?
Hawana picha wala nyaraka hata moja.

Kwani pana ugumu gani?

Hawa hawana historia ndiyo maana wanaumwa sana ninapowaeleza
habari za wazee wangu na nini walifanya katika kuunda TANU na
kupigania uhuru wa Tanganyika.

Toka lini mtu akaeleza habari za babu yake wakaja watu wakakasirika?
Na wewe si ueleze habari za babu yako?

Hapo chini ni Dome Okochi Budohi ambae akinifahamu mimi toka
udogoni wakati yuko Dar es Salaam kabla hajakamatwa 1955 kwa
shutuma za kuwa Mau Mau.

96Z-yldbxU3wkwKW-VOSC4H5rH9VcgPIamELvVfu0AUMNXtYExovUVDD_rmTvoT2rexvUNF6qWYbMy-_CFe9fe_MsqAkBqkhMqqpujvvwAMVAxCD7-emWbgVFkQQjjXT_XfeBVdpNWKsyeWsJ14Uk6vKTglMadYtILJGstm-xv2U7vTlqsfErtPKCz8ehqj3Ph2ukNS-K1pTDDZX8JuTdpeUQTqaxJ9Uukv7tgucJJClidgmrjsUUHq9Kh79gfuyigNvp2u18m2ZwVcdhVkEdQs7sT62TTi-tC14ZMTi3q_NaWE7aFqfhZgQ0orLCQu3AA9CbdWOIev7oB7Tt0RJsORWkTP9kOjDFVWYLDhM6zTHHVkTUVzTRfFao-Ot_I44rshOG4uajI24TOge9hNPwBH5AJw6B5t6b4g7hP3DJYLIh-LFwfF_ClBOa3Mw5K6kwllNblgDkTdf-tNvzrf_xhoZHWB1L5RQ7abzpAReb9KiMIApuuUQUQx9maTJexmEvbJ1nSI4Q4yB7Dk0T3kcrQJGVDUFDr0aCpLG2VC_kc4tEXjRxrIGgCZM-WIk-y0JcetXHpEQqLJQnYSnGSAKXhMrxmN8NNEIrQBZueRfpr8BkTSaY9IF=w675-h629-no


Wamtazame hapa chini Budohi nini ilikuwa nafasi yake katika uongozi
wa TAA:

In June, TAA headquarters announced its executive committee with J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias and Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer and Ally K. Sykes as Assistant Treasurer. Committee members were Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo and Patrick Aoko.[1]

Budohi kadi yake ya TANU ni No. 6
Historia nzima ya Dome Budohi iko katika kitabu cha Abdul Sykes.

[1] Tanganyika Standard, 19 th June 1953.
Ungekuwa unaeleza hivi usingepingwa. Maana hapa ni zaidi ya wazee wako.

Kaswali kingine kalikoulizwa hujakajibu, ni kuwa, Historia ya babu zako, kwa nini hukumtafta na Nyerere na yeye akatoa yake na uzoefu wake?

Au yeye siyo mzee wako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great woman wa JF Faiza

1. Thesis.
Tuseme tu kuwa ndo historia ya kwanza ya uhuru kuandikwa na watu wa kivukoni. Sijawahi kuiona hivyo sina cha kusema. Kama imepotoshwa, tunatarajia kuletwa story ambayo ni dhahiri. Lakini badala yake, tumeletewa habari ya kupinga kila kitu na kuletewa kitu kipya.

2. Antithesis. Badala ya kutuletea ukweli, sasa tunalazimishwa kuoneshwa kuwa ni waislam pekee waliohusika. Ni kama MH anakataa kila kitu cha kivukoni, analeta jambo jipya kabisa. Sasa hapa tutahitaji atakaye kuwa mkweli.

3. Synthesis-Tunahitaji mtu wa kutuunganisha sasa mara baada ya kivukoni kuharibu, mohamed naye akaharibu, sasa Nyerere labda atuunganishe.

Mi naamini hostoria ya tanganyika, siyo single sided movement, bali ni mult-side movement.

Kama Mohamed Said kila kitu anakibariki kwa dua ya kiislam, hata wapigania uhuru walibariki kwa dua za kiislam, kikristo na kijadi.

Kijadi ng'ombe na mbuzi zilikufa just kuwatakia heri wapigania uhuru.

Tunahitaji mtafiti wa kutuunganisha sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Namba mbili si kweli.

Umekisoma kitabu cha Mohamed Said?

Hukumsoma humo Nyerere? Hukumsoma humo John Rupia? Hukumsoma Chief Kidaha Mwakaiah? Hukumsoma humo Dr Michael Lugazia, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, Patrick Aoko na wengi wengine? Hao nao ni Waislam?

Historia ya kivukoni imeshindwa kumuweka hata mtu aliyempokea na kumpa makazi na malazi Nyerere.

Hivi Nyerere alikuwa hana watu kule mission quarter?
 
Mzee Said Mohamed! wakati wa kupigania Uhuru wa Nchi hii hakuna Mtu aliyewaza kuhusu Imani yake na nafasi ya Imani yake katika kulikomboa taifa Hili! waislam,wakristo,wapagani,wahindu,wachawi walisimama pamoja kudai uhuru wa nchi hii.
Ungelijua UAMUZI WA BUSARA WA TABORA Ulifanyikia Wapi? usinge litaja abadani suala la Udini ulioung'ang'ania.
Mzee wa dua ya kiislam pekee. Hajui kama na dua za Kristo zilihusika. Hataki kukiri hata dua za mizimu zilizohitaji damu ya mafahari wa mbuzi, kuku, kondoo na ng'ombe nazo zilikuwa sehem ya harakati.

Yeye na uislam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa unaeleza hivi usingepingwa. Maana hapa ni zaidi ya wazee wako.

Kaswali kingine kalikoulizwa hujakajibu, ni kuwa, Historia ya babu zako, kwa nini hukumtafta na Nyerere na yeye akatoa yake na uzoefu wake?

Au yeye siyo mzee wako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ntamaholo,
Majibu yote hayo ninayo na zaidi.

Kasome kitabu cha Abdul Sykes nimeeleza tatizo lililomfika Abdul
katika mradi wa TANU wa kuandika historia yake mara tu baada
ya uhuru.

Jibu lake lipo hapo.
Lakini hebu kwanza ingia hapo chini:
Mohamed Said: KUTOKA JF: MAREHEMU HASSAN UPEKA (TANU INTELLIGENCE 1956) NA UANDISHI WA HISTORIA YA TANU
 
Mzee wa dua ya kiislam pekee. Hajui kama na dua za Kristo zilihusika. Hataki kukiri hata dua za mizimu zilizohitaji damu ya mafahari wa mbuzi, kuku, kondoo na ng'ombe nazo zilikuwa sehem ya harakati.

Yeye na uislam

Sent using Jamii Forums mobile app
Ntamaholo,
Hili nilishalieleza.

Ile dua ya kwa Mzee Tambaza ilikuwa dua ya Kiislam na kule kuchinja
ni katika dua.

Dua yoyote nzito hufuatiliwa na kuchinja na nyama ikagawiwa sadaka.

Nyerere yeye hakuwa mweledi katika mila hizi za Kiislam ndipo aliposema
aliyosema.

Nikimjua vyema Mzee Tambaza na wanae na wajukuu zake hivi sasa.
Na nawajua kuwa dini wanaifahamu vizuri.

Hawawezi kuabudu mizimu.

Hawa wazee wengi wao walikuwa chini ya Sheikh Hassan bin Amir
aliyekuwa Mufti wa Tanganyika.
 
Mzee wa dua ya kiislam pekee. Hajui kama na dua za Kristo zilihusika. Hataki kukiri hata dua za mizimu zilizohitaji damu ya mafahari wa mbuzi, kuku, kondoo na ng'ombe nazo zilikuwa sehem ya harakati.

Yeye na uislam

Sent using Jamii Forums mobile app
Ntamahalo kwani nani kakupingia hilo?
Mimi nimeeleza hizo dua nawe eleza wapi zilifanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom