Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Nimesahihisha kwakukuletea kitabu hiki kinachotambua na kusisitiza kuwa mwasisi wa AA ni Cecil Matola badala ya historia yako isemayo ni Kleist Sykes.

Mwasisi wa TAA ni Daktari Vedasto Kyaruzi badala ya historia yako isemayo ni Abdulwahid Sykes.

Mwasisi wa TANU ni Julius Nyerere, badala ya historia yako isemayo ni Abdulwahid Sykes.

Hivi ndivyo njia nzuri na salama ya kusahihisha upotoshaji wa historia yoyote ile.
Yericko,
Kleist Sykes
ndiye aliyesema kuwa yeye ndiye aliyeasisi African Asociation
1929 si Mohamed Said.

Wala Mohamed Said asingelijua kuwa Kleist ndiye yeye aliyeasisi AA kama
yeye mwenyewe asingesema maneno hayo.

Ushahidi wa haya uko hapa:
Daisy Sykes Buruku, ‘’The Townsman: Kleist Sykes,’’ katika Iliffe (ed) Modern
Tanzanians, Nairobi, 1973, uk. 95-114.

Angalia A.D. Sykes, ‘’The Life of Kleist Sykes,’’ University of Dar es Salaam
Ref. No. JAN/HIST/143/15.

Kutokana na rejea hizi ndipo mimi nikaandika, ''Kleist Sykes, Pioneer and Man
of Ideas: 1894-1949,'' katika kitabu cha maisha ya mwanae Abdulwahid Kleist
Sykes
.

oR10egYePLiOyIPgKV9A0-sJFGpe5NRbDj0xkoi3H5PzY_W8cZdp_umcSb9oEz4kplvjLhPXM7j4Wd6EMdZYQfAa20mLi954ntWnvygL6ygmnPnT_VY2sMj1kQfKk0hnZWzWHF5xq98ctnOEfG_48ET1UkRwAYFvtP0C7y-TQyCOMaj_i9FlvgFAi9ePNBp_2pBDqW8G9nQHakTK1BXxKOtqXr0c32RSZTbAKygp8IsnmT4ALRmxivbcBzuLSLuT1hq8iXeVzfMZYZupHdaf0QWdfsn7m07zT_29GckX0oe3dr2kf3JeEfffkxbhw7zVkK0IE48PCsSeura9w2eoOb4H2bF9XS4Uhv8KUd0KfNX-1maHOGysfM9Pew2SSaBPLTH7zMzv9DqZdZ_U6I2-lcrxf6_2NF3zSQKRo4kMjCrvxOjU6o8hWXGKimZV0SIqj1n20NaL5JCeV3ziGnWlyGZVYtSDv5aFt5JEd1iI8NmE2xwcYiQCy6io4-2Knuen3-3h3DDp-mXadqJ7P6WrnFLF12oDoBjNrCNKf7dJMqALEHQfNiZekoctXNNAIOaRaWvdFXBnUrwfKhLb8dqikf9iwqy3nJY1_elPsImJyHLtKRNRiicVXA=w488-h629-no

Kushoto ni Ali Juma Ponda

Mimi sitakuomba utoe ushahidi kwa kuwa najua huwezi kuupata popote katika
historia ya African Association kwani ni watu watatu tu ndiyo walioelezwa historia
ya African Association - Kleist Sykes, Hassan Taufiq Suleiman na Ali Juma
Ponda.

Angalia hapo chini kwa ushahidi:
Georges G. Hadjivayanis, The Politicians Ali Ponda and Hassan
Suleiman
, katika Modern Tanzanians, Iliffe (ed), uk. 227-253.

Mimi nilifanya mahojiano na Hassan Suleiman nyumbani kwake Dodoma wakati
wa utafiti wa kitabu cha Abdul Sykes na unaweza kumsoma hapo chini:

''Hassan Suleiman anawalaumu wanahistoria kwa kukosekana kuandikwa historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika kwa kuwapuuza wazalendo wengine na badala yake kuandika historia ya Tanganyika kwa kuegemeza historia hiyo kwa Nyerere. Kabla hajafariki, Hassan Suleiman alichukua nyaraka zake zote binafsi za African Association wakati alipokuwa kiongozi na kuzikabidhi kwa Katibu Mkuu wa CCM wakati ule Rashid Kawawa katika sherehe mahsusi iliyofanyika Makao Makuu ya CCM, Dodoma.''

Sasa Yericko, Mohamed Said si aliyesema kuwa AA iliasisiwa na Kleist Sykes bali ni
yeye mwenyewe ndiyo aliyesema maneno hayo na hakuna aliyemkatalia.

Na hii haiwezi kuwa kitu cha ajabu kwani Kleist kaacha alama na nyayo zake katika
historia ya Tanganyika si yeye peke yake bali yeye na wanae.

Sasa hebu tuje katika uasisi wa TAA.

TAA haikuasisiwa bali ilipofika mwaka wa 1948 Zanzibar walipoasisi African Asociation
yao ndipo AA ikabadili jina na kujiita Tanganyika African Association kujitofautisha AA
ya Zanzibar na Dr. Kyaruzi hakuwa katika uongozi hadi 1950 alipoingia katika uongozi
na Abdul Sykes.

Hebu soma historia ya Dr. Kyaruzi hapo chini:
Mohamed Said: KUTOKA JF: HISTORIA YA TANU - DK. VEDASTO KYARUZI, KASELLA BANTU NA JULIUS NYERERE

Hilo la Abdul Sykes nimeliacha kwa makusudi.

Mhariri wa kitabu cha Abdul Sykes alimwambia, ''publisher,'' wangu kuwa wote wale
walioandika historia ya TANU walikuwa hawaijui.

Yericko,
Huwezi kusahihisha somo usilolijua.
Meza kiburi, kejeli na jeuri yako nikusomeshe.

Hakuna njia mkato katika elimu ila kusoma.
Elimu bila khiyana chembelecho Maalim Faiza.

Sheikh Haruna mwalimu yangu alikuwa akisema, ''Kalamu ya mwanazuoni haifedheheshi
bali inasomesha.''
 
Ndugu zanguni publisher mmoja wa vitabu katika African History kaniomba nimpe mswada title: Facts, Denial and Acceptance in History kuna mtu hapa JF anaweza kazi hii nimuunganishe? Inahusu historia ya TANU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nikupongeze kwa kutupa taarifa hii, uwanja ni mpana bila shaka watajitokeza wadau hapa...
 
Yericko,
Kleist Sykes
ndiye aliyesema kuwa yeye ndiye aliyeasisi African Asociation
1929 si Mohamed Said.

Wala Mohamed Said asingelijua kuwa Kleist ndiye yeye aliyeasisi AA kama
yeye mwenyewe asingesema maneno hayo.

Ushahidi wa haya uko hapa:
Daisy Sykes Buruku, ‘’The Townsman: Kleist Sykes,’’ katika Iliffe (ed) Modern
Tanzanians, Nairobi, 1973, uk. 95-114.

Angalia A.D. Sykes, ‘’The Life of Kleist Sykes,’’ University of Dar es Salaam
Ref. No. JAN/HIST/143/15.

Kutokana na rejea hizi ndipo mimi nikaandika, Kleist Sykes, Pioneer and Man
of Ideas: 1894-1949 katika kitabu cha maisha ya mwanae Abdulwahid Kleist
Sykes
.

Mimi sitakuomba utoe ushahidi kwa kuwa najua huwezi kuupata popote katika
historia ya African Asociation kwani ni watu watatu tu ndiyo walioelezwa historia
ya African Association - Kleist Sykes, Hassan Taufiq Suleiman na Ali Juma
Ponda.

Angalia hapo chini kwa ushahidi:
Georges G. Hadjivayanis, The Politicians Ali Ponda and Hassan
Suleiman
, katika Modern Tanzanians, Iliffe (ed), uk. 227-253.

Mimi nilifanya mahojiano na Hassan Suleiman nyumbani kwake Dodoma wakati
wa utafiti wa kitabu cha Abdul Sykes na unaweza kumsoma hapo chini:

''Hassan Suleiman anawalaumu wanahistoria kwa kukosekana kuandikwa historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika kwa kuwapuuza wazalendo wengine na badala yake kuandika historia ya Tanganyika kwa kuegemeza historia hiyo kwa Nyerere. Kabla hajafariki, Hassan Suleiman alichukua nyaraka zake zote binafsi za African Association wakati alipokuwa kiongozi na kuzikabidhi kwa Katibu Mkuu wa CCM wakati ule Rashid Kawawa katika sherehe mahsusi iliyofanyika Makao Makuu ya CCM, Dodoma.''

Sasa Yericko, Mohamed Said si aliyesema kuwa AA iliasisiwa na Kleist Sykes bali ni
yeye mwenyewe ndiyo aliyesema maneno hayo na hakuna aliyemkatalia.

Na hii haiwezi kuwa kitu cha ajabu kwani Kleist kaacha alama na nyayo zake katika
historia ya Tanganyika si yeye peke yake bali yeye na wanae.

Sasa hebu tuje katika uasisi wa TAA.

TAA haikuasisiwa bali ilipofika mwaka wa 1948 Zanzibar walipoasisi African Asociation
yao ndipo AA ikabadili jina na kujiita Tanganyika African Association kujitofautisha AA
ya Zanzibar na Dr. Kyaruzi hakuwa katika uongozi hadi 1950 alipoingia katika uongozi
na Abdul Sykes.

Hebu soma historia ya Dr. Kyaruzi hapo chini:
Mohamed Said: KUTOKA JF: HISTORIA YA TANU - DK. VEDASTO KYARUZI, KASELLA BANTU NA JULIUS NYERERE

Hilo la Abdul Sykes nimeliacha kwa makusudi.

Mhariri wa kitabu cha Abdul Sykes alimwambia, ''publisher,'' wangu kuwa wote wale
walioandika historia ya TANU walikuwa hawaijui.

Yericko,
Huwezi kusahihisha somo usilolijua.
Meza kiburi, kejeli na jeuri yako nikusomeshe.

Hakuna njia mkato katika elimu ila kusoma.
Elimu bila khiyana chembelecho Maalim Faiza.

Sheikh Haruna mwalimu yangu alikuwa akisema, ''Kalamu ya mwanazuoni haifedheheshi
bali inasomesha.''
Unakiri kuwa si wewe uliyempa uasisi wa AA bali mjukuu wake Kleist Sykes aitwaye Daisy Abdulwahid Sykes, huyu ni mtoto wa Abdulwahid Sykes ambae moyo wako umeweka hazina kwake.

Mjukuu huyu ndie pia aliyempa taarifa John Illife ambae kimsingi walikuwa ni marafiki walipshibana wakikutana katicha chuo, ambako John Illife akiwa mwalimu wa Daisy Sykes...


Naendendelea kukupa chain hii ya historia yako ili uone kuwa 99.9% ni ya mtu mmoja tu aitwa Daisy Sykes...

Mohamed Said ukaja kuandika kitabu cha historia ya Tanganyika ambayo 1000% ni rejea y Daisy Sykes, John Illife, Abdulwahid Sykes, Ali Sykes nk, bila kumhusisha Julius Nyerere, Dr Kyaruzi, John Lupia, Mwapachu ambao wengi wao walikuwa hai unapoandika kitabu chako...

Mpaka hapo unapata picha gani ya historia yako mkuu japo umekiri kuwa historia hiyo sio yako ni ya Daisy Sykes mjukuu wa Kleist Sykes.
 
Unakiri kuwa si wewe uliyempa uasisi wa AA bali mjukuu wake Kleist Sykes aitwaye Daisy Abdulwahid Sykes, huyu ni mtoto wa Abdulwahid Sykes ambae moyo wako umeweka hazina kwake.

Mjukuu huyu ndie pia aliyempa taarifa John Illife ambae kimsingi walikuwa ni marafiki walipshibana wakikutana katicha chuo, ambako John Illife akiwa mwalimu wa Daisy Sykes...


Naendendelea kukupa chain hii ya historia yako ili uone kuwa 99.9% ni ya mtu mmoja tu aitwa Daisy Sykes...

Mohamed Said ukaja kuandika kitabu cha historia ya Tanganyika ambayo 1000% ni rejea y Daisy Sykes, John Illife, Abdulwahid Sykes, Ali Sykes nk, bila kumhusisha Julius Nyerere, Dr Kyaruzi, John Lupia, Mwapachu ambao wengi wao walikuwa hai unapoandika kitabu chako...

Mpaka hapo unapata picha gani ya historia yako mkuu japo umekiri kuwa historia hiyo sio yako ni ya Daisy Sykes mjukuu wa Kleist Sykes.

Yericko,
Ulikusudia, ''Rupia.''
 
Kaka kuna kitu umeandika, Kitu kizuri sana japo kina mapungufu makubwa pia, kuna mambo ya vijiweni na kuna vitu halisia, hao wote uliowaandika ni kweli walikuwepo, lakini kuna ukweli unaoukataa na kujaribu kulazimisha baadhi ya mambo, lakini bahati mbaya facts zinakataa, TABIA KUBWA YA UKWELI NI KUJISIMAMIA WENYEWE, maana kila unapoandika mwisho unajikuta unajitia kitanzi mwenyewe miguuni na unaanguka
[B]Kituko[/B], niruhusu ninukuu moja ya majibu ya [B]Mohamed Said[/B], yaliyotufanya tujiulize maswali mengi sana nini hasa kengo lake, nanukuu;

Nyerere na Nkrumah hawakupata kukutana masomoni. Wazee wangu hawahadithii porojo. Walichokijua kuhusu Nyerere si siri kwa watu walioishi miaka ile ni vitu ambavyo vikijulikana na kila mtu. Kusema kuwa TANU ilianzishwa na Abdulwahid Sykes hili kwa wakati ule wala halikuwa jambo nyeti wala haikuwa jambo nyeti kusema kuwa Al Jamiatul Islamiyya ilitoa fedha kuchangia safari ya Nyerere UNO. Haya yote yalikuwa mambo ya kawaida na watu wakiyajua. Kamati ya ndani ya TAA ilikuwa ikiwajua "intellectuals" wake wa ni Abdu, Steven Mhando, Mwapachu, Sheikh Hassan bin Amir... Siku hizo Nyerere hajafika Dar es Salaam na hizo nyaraka zipo na ndizo nilizotumia kuandika kitabu.

Sasa tuje Tabora. Nyerere hakuasisi African Association Tabora na wala sitokuita muongo kwa kusema hivyo najua ni kosa la kawaida hukuwa na nia mbaya na hujui kwa undani historia ya Tanganyika. Hebu soma hii hapa chini:

"Tarehe 3 Machi, 1945 African Association mjini Tabora ilifungua ofisi yake ikiwa na na viongozi wafuatao: Hamisi Simbe (Rais), Ramadhani Nasibu (Makamu waRais), M. K. Hemed (katibu), Chamngíanda Usingizi (Mwenyekiti), Fimbo Mtwana(Mweka Hazina) na Rashidi Mussa (Mkaguzi wa Hesabu). African Association, kamailivyokuwa asili ya kilabu iliyotokana nayo, ilishikwa na Wamanyema. Hivyindivyo Wamanyema walivyokuja kuongoza siasa Tanganyika. Julius Nyerere, wakatihuo akifundisha St. Maryís School, alishuhudia sherehe za uzinduzi wa AfricanAssociation.[1]Nyerere hakutambua hata kidogo wakati huo kuwa alikuwa akishuhudia sehemu yahistoria kazi yake mwenyewe ikijifungua mbele ya macho yake."

Mwaka 1947 palitokea mgomo mkubwa hapo Tabora na Nyerere hakuoenekana popote. Viongozi hawa wa mgomo huu wengi walikuwa katika AA na babu yangu, Salum Abdallah ndiye aliyeongoza huo mgomo. Sasa hapa uongo uko wapi? Uongo utakuja tu kama mtu atasema Nyerere alijihusisha na harakati hizi za wananchi na aliongoza mgomo dhidi ya wakoloni."


[B]Kituko[/B] hebu linganisha simulizi hiyo na hii ya kiongozi wa dini aliyeitwa Father Arthur H. Wille, alivyokutana na kumfahamu Mwalimu Nyerere. Sababu yangu ya kutoa ushuhuda huu ni kwamba huyu alikuwa na bahati ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na baadhi ya Wazee wa Mohamed Said. Hebu jaribu kutafakari maneno anayosema yalitamkwa na Abdul Sykes pamoja na Abbas Sykes wakimwelezea Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika hayo mazungumzo. (Natanguliza samahani kwa kutoweza kuyatafsiri katika Kiswahili)

Within three months of returning to Dar es Salaam Julius joined the Tanganyikan African Association. He had been a member of this organization when he was at Makerere. A much respected British Governor, Sir Donald Cameron, had established the Tanganyikan African Association as a social club for civil servants.

It continued to be involved in this way, but never with the purpose of seeking independence. As Julius got to know TAA better, he found that it was merely a social club interested mainly in giving tea parties for expatriates who were going on leave.

As a newcomer to Dar es Salaam Julius was seen as one with the people. He was in contrast to Chief David Makwaia, who was the favorite politician of the then Governor Edward Twining. Chief David Makwaia was a university graduate. Like many Africans with university education at this time, they became sophisticated. Chief Makwaia preferred to be with the Europeans. He was elected to the Legislative Council of the governor.

Julius quickly gained leadership and was elected president of TAA. He began by educating his followers to think about independence. Chief Patrick Kunambi who knew him well said that his leadership was not based on what Julius promised “because Julius practically never promised anything.”

Another associate of his, Abdul Sykes, once said, “Nyerere made us start to think: all we wanted was independence.” Because of this goal of independence Nyerere and his colleagues reorganized TAA as a political party, the Tanganyika African National Union, on July 7, 1954. It became better known as TANU and the date of it founding, the seventh day of the seventh month became Saba Saba (in Swahili “seven-seven”).

His colleagues unanimously elected Julius as president of TANU. He was 32 years old at the time. One of the founding members of TANU, Abbas Sykes said, “"He came at the right time. Usually if a man went away to university when he came back he would not be one with us; he would be very sophisticated. But here was a man who had the same kind of education — higher in fact, because he had an M.A. instead of a B.A. — who was willing to be with his people.This humility— ‘I’m willing to serve you’— made everyone forget that he was from up-country and that he wasn’t a Muslim.”

There are as many Christians as Muslims in Tanganyika (now Tanzania) as a whole, but the coastal region is heavily Muslim.

[B]Kituko[/B], [B]Mohamed Said[/B] anatutaka tusiamini haya yaliyoandikwa kwenye diary wakati yanatendekea ila tuziamini hadithi na porojo alizokuwa akisimuliwa utotoni barazani na wazee wake wahamiaji waliokuwa na kinyongo na Mwalimu Nyerere.

 
[B]Kituko[/B], niruhusu ninukuu moja ya majibu ya [B]Mohamed Said[/B], yaliyotufanya tujiulize maswali mengi sana nini hasa kengo lake, nanukuu;

Nyerere na Nkrumah hawakupata kukutana masomoni. Wazee wangu hawahadithii porojo. Walichokijua kuhusu Nyerere si siri kwa watu walioishi miaka ile ni vitu ambavyo vikijulikana na kila mtu. Kusema kuwa TANU ilianzishwa na Abdulwahid Sykes hili kwa wakati ule wala halikuwa jambo nyeti wala haikuwa jambo nyeti kusema kuwa Al Jamiatul Islamiyya ilitoa fedha kuchangia safari ya Nyerere UNO. Haya yote yalikuwa mambo ya kawaida na watu wakiyajua. Kamati ya ndani ya TAA ilikuwa ikiwajua "intellectuals" wake wa ni Abdu, Steven Mhando, Mwapachu, Sheikh Hassan bin Amir... Siku hizo Nyerere hajafika Dar es Salaam na hizo nyaraka zipo na ndizo nilizotumia kuandika kitabu.

Sasa tuje Tabora. Nyerere hakuasisi African Association Tabora na wala sitokuita muongo kwa kusema hivyo najua ni kosa la kawaida hukuwa na nia mbaya na hujui kwa undani historia ya Tanganyika. Hebu soma hii hapa chini:

"Tarehe 3 Machi, 1945 African Association mjini Tabora ilifungua ofisi yake ikiwa na na viongozi wafuatao: Hamisi Simbe (Rais), Ramadhani Nasibu (Makamu waRais), M. K. Hemed (katibu), Chamngíanda Usingizi (Mwenyekiti), Fimbo Mtwana(Mweka Hazina) na Rashidi Mussa (Mkaguzi wa Hesabu). African Association, kamailivyokuwa asili ya kilabu iliyotokana nayo, ilishikwa na Wamanyema. Hivyindivyo Wamanyema walivyokuja kuongoza siasa Tanganyika. Julius Nyerere, wakatihuo akifundisha St. Maryís School, alishuhudia sherehe za uzinduzi wa AfricanAssociation.[1]Nyerere hakutambua hata kidogo wakati huo kuwa alikuwa akishuhudia sehemu yahistoria kazi yake mwenyewe ikijifungua mbele ya macho yake."

Mwaka 1947 palitokea mgomo mkubwa hapo Tabora na Nyerere hakuoenekana popote. Viongozi hawa wa mgomo huu wengi walikuwa katika AA na babu yangu, Salum Abdallah ndiye aliyeongoza huo mgomo. Sasa hapa uongo uko wapi? Uongo utakuja tu kama mtu atasema Nyerere alijihusisha na harakati hizi za wananchi na aliongoza mgomo dhidi ya wakoloni."


[B]Kituko[/B] hebu linganisha simulizi hiyo na hii ya kiongozi wa dini aliyeitwa Father Arthur H. Wille, alivyokutana na kumfahamu Mwalimu Nyerere. Sababu yangu ya kutoa ushuhuda huu ni kwamba huyu alikuwa na bahati ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na baadhi ya Wazee wa Mohamed Said. Hebu jaribu kutafakari maneno anayosema yalitamkwa na Abdul Sykes pamoja na Abbas Sykes wakimwelezea Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika hayo mazungumzo. (Natanguliza samahani kwa kutoweza kuyatafsiri katika Kiswahili)

Within three months of returning to Dar es Salaam Julius joined the Tanganyikan African Association. He had been a member of this organization when he was at Makerere. A much respected British Governor, Sir Donald Cameron, had established the Tanganyikan African Association as a social club for civil servants.

It continued to be involved in this way, but never with the purpose of seeking independence. As Julius got to know TAA better, he found that it was merely a social club interested mainly in giving tea parties for expatriates who were going on leave.

As a newcomer to Dar es Salaam Julius was seen as one with the people. He was in contrast to Chief David Makwaia, who was the favorite politician of the then Governor Edward Twining. Chief David Makwaia was a university graduate. Like many Africans with university education at this time, they became sophisticated. Chief Makwaia preferred to be with the Europeans. He was elected to the Legislative Council of the governor.

Julius quickly gained leadership and was elected president of TAA. He began by educating his followers to think about independence. Chief Patrick Kunambi who knew him well said that his leadership was not based on what Julius promised “because Julius practically never promised anything.”

Another associate of his, Abdul Sykes, once said, “Nyerere made us start to think: all we wanted was independence.” Because of this goal of independence Nyerere and his colleagues reorganized TAA as a political party, the Tanganyika African National Union, on July 7, 1954. It became better known as TANU and the date of it founding, the seventh day of the seventh month became Saba Saba (in Swahili “seven-seven”).

His colleagues unanimously elected Julius as president of TANU. He was 32 years old at the time. One of the founding members of TANU, Abbas Sykes said, “"He came at the right time. Usually if a man went away to university when he came back he would not be one with us; he would be very sophisticated. But here was a man who had the same kind of education — higher in fact, because he had an M.A. instead of a B.A. — who was willing to be with his people.This humility— ‘I’m willing to serve you’— made everyone forget that he was from up-country and that he wasn’t a Muslim.”

There are as many Christians as Muslims in Tanganyika (now Tanzania) as a whole, but the coastal region is heavily Muslim.

[B]Kituko[/B], [B]Mohamed Said[/B] anatutaka tusiamini haya yaliyoandikwa kwenye diary wakati yanatendekea ila tuziamini hadithi na porojo alizokuwa akisimuliwa utotoni barazani na wazee wake wahamiaji waliokuwa na kinyongo na Mwalimu Nyerere.
Mag3.
Unaandika umeghadhibika.

Kama nimeelewa unasema mimi nimesema kuwa Nkrumah na Nyerere
walikutana masomoni.

Hili sijapatapo kusema na haiwezekani kabisa nikasema hivyo kwani
naijua vyema historia ya Nkrumah.

Kusema kuwa TANU ilianzishwa na Abdul Sykes halikuwa jambo la kukera
inaonyesha kuwa huujui mkasa huu.

Siwezi kukuorodheshea yote hapa lakini nitakupa mifano michache.

Alipokufa Abdul mwaka wa 1968 magazeti yote ya chama na serikali ''Uhuru,''
na ''Nationalist,'' hayakumpa heshima anayostahili.

Ilikuwa Brendon Grimshaw Mhariri wa Tanganyika Standard ndiye aliyemwandikia
taazia inayostahili (Sunday News, 20 th October, 1968).

Hebu soma hiyo hapo chini:
''When Abdulwahid died the Ministry of Information issued a press release announcing that the President had attended the funeral of Abdulwahid Sykes.[1] Surprisingly the press release gave few details of his government service, completely eclipsing his checkered political career. It was an Englishman, Brendon Grimshaw, the editor of Tanganyika Standard, who published a fitting obituary to Abdulwahid describing him as: ‘one of the architects of the independence movement and one of the men who helped launch President Nyerere on his political carrier...’


[1] See Press Release A/2746/68 IT/1.322 of 13 th October, 1968. East Africana, University of Dar es Salaam.

Nadhani pia unazo taarifa za Africa Events (London) yaliyokusanywa na kutolewa
katika mzunguko yasiuzwe baada ya kuchapa makala iliyomtaja Abdul Sykes (Angalia:
In Praise of Ancestors,'' (1988) Africa Events, London.

Unganisha haya na hiyo hapo chini:
Mohamed Said: KUTOKA JF: MAREHEMU HASSAN UPEKA (TANU INTELLIGENCE 1956) NA UANDISHI WA HISTORIA YA TANU

Sasa tuje na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na safari ya Nyerere UNO 1955.
Msome Idd Faiz Mafungo hapo chini:
Mohamed Said: Idd Faiz Mafongo Mweka Hazina wa Safari ya Nyerere UNO 1955

Labda nikuulize kuhusu ''intellectuals,'' wa TAA wewe umewasoma wapi
katika historia ya TANU?

Hawakutajwa popote wala historia ya Chuo Cha Kivukoni haikuwataja.

Utakuwata kwa Judith Listowel, ''The Making of Tanganyika.''
Nakuwekea hapa nilichosema kuhusu Makerere Intellectuals:

''When some of the Makerere graduates such as Mwapachu were thinking about effecting political change in Tanganyika through TAA, Abdulwahid had already built his own political power base in the politics of Dar es Salaam.

Makerere graduates were coming to Dar es Salaam, some of them for the first time, to take up appointments within the civil service in their different professions.

Most of them were Christians and mission-trained.
These young men were cautious about politics.

They were far from home and were just beginning life.

They had their own ideas about what they stood to benefit from the colonial government as civil servants; a loan to purchase a car, and good accommodation in African government quarters.

These were better than the mud and grass thatched houses of the locals; and for the lucky ones there was a trip to Britain for a course.

They believed that to indulge in politics was to rebelling against the state and this could jeopardise their careers.

Many were of the opinion that to harbour such ideas was to tread on very dangerous ground. They were the educated young Christian graduates of Makerere who had come to Dar es Salaam to work for some time and then to be transferred to other places for other appointments.

They were mission-trained to be faithful to the church and loyal to the colonial state. The Makerere intellectuals were not expected to bite the hand that fed them. For an educated African civil servant it was not easy to feel directly the nature of colonial oppression and therefore to want to engage in politics against the colonial state and the status quo.

Abdulwahid, on the other hand, was a person of charisma, integrity, and selflessness, who soon won the confidence of the Makerere intellectuals and slowly integrated them in the politics of the municipality.

With his war experience behind him, the family name and his proximity to the TAA leadership, Abdulwahid became one of the budding politicians.''

Tuhitimishe na kipande hiki Abdul Sykes alipozungumza na Judith Listowel
ili upate kujua hali ilikuwaje kuhusu historia ya TANU:

''When Judith Listowel came to Tanganyika in 1962 to research for her book, The Making of Tanganyika, she wanted to interview Abdulwahid. However, knowing the controversy which had surrounded the first attempt to research the subject, Abdulwahid avoided her. When Listowel finally caught up with him, Abdulwahid remained reserved and did not give any meaningful details about his own political career or that of his father. However Listowel was able to get little information from Abdulwahid on the formation of TANU from which she wrote: Abdul Sykes, Ally’s brother, said that they had to awaken the political consciousness of the people and form a political organisation.'’ [1]

Mag3,
Unaweza kuendelea kumwamini Father Wille kuwa yeye anaijua historia ya
TANU kuliko babu yangu Salum Abdallah siwezi kukuzuia.

Lakini na mimi naijua historia ya wazee wangu walioasisi TANU hata kama
atatokea mtu akawebeza.

[1] Listowel, op. cit. p. 121.
 
[B]Kituko[/B], niruhusu ninukuu moja ya majibu ya [B]Mohamed Said[/B], yaliyotufanya tujiulize maswali mengi sana nini hasa kengo lake, nanukuu;

Nyerere na Nkrumah hawakupata kukutana masomoni. Wazee wangu hawahadithii porojo. Walichokijua kuhusu Nyerere si siri kwa watu walioishi miaka ile ni vitu ambavyo vikijulikana na kila mtu. Kusema kuwa TANU ilianzishwa na Abdulwahid Sykes hili kwa wakati ule wala halikuwa jambo nyeti wala haikuwa jambo nyeti kusema kuwa Al Jamiatul Islamiyya ilitoa fedha kuchangia safari ya Nyerere UNO. Haya yote yalikuwa mambo ya kawaida na watu wakiyajua. Kamati ya ndani ya TAA ilikuwa ikiwajua "intellectuals" wake wa ni Abdu, Steven Mhando, Mwapachu, Sheikh Hassan bin Amir... Siku hizo Nyerere hajafika Dar es Salaam na hizo nyaraka zipo na ndizo nilizotumia kuandika kitabu.

Sasa tuje Tabora. Nyerere hakuasisi African Association Tabora na wala sitokuita muongo kwa kusema hivyo najua ni kosa la kawaida hukuwa na nia mbaya na hujui kwa undani historia ya Tanganyika. Hebu soma hii hapa chini:

"Tarehe 3 Machi, 1945 African Association mjini Tabora ilifungua ofisi yake ikiwa na na viongozi wafuatao: Hamisi Simbe (Rais), Ramadhani Nasibu (Makamu waRais), M. K. Hemed (katibu), Chamngíanda Usingizi (Mwenyekiti), Fimbo Mtwana(Mweka Hazina) na Rashidi Mussa (Mkaguzi wa Hesabu). African Association, kamailivyokuwa asili ya kilabu iliyotokana nayo, ilishikwa na Wamanyema. Hivyindivyo Wamanyema walivyokuja kuongoza siasa Tanganyika. Julius Nyerere, wakatihuo akifundisha St. Maryís School, alishuhudia sherehe za uzinduzi wa AfricanAssociation.[1]Nyerere hakutambua hata kidogo wakati huo kuwa alikuwa akishuhudia sehemu yahistoria kazi yake mwenyewe ikijifungua mbele ya macho yake."

Mwaka 1947 palitokea mgomo mkubwa hapo Tabora na Nyerere hakuoenekana popote. Viongozi hawa wa mgomo huu wengi walikuwa katika AA na babu yangu, Salum Abdallah ndiye aliyeongoza huo mgomo. Sasa hapa uongo uko wapi? Uongo utakuja tu kama mtu atasema Nyerere alijihusisha na harakati hizi za wananchi na aliongoza mgomo dhidi ya wakoloni."


[B]Kituko[/B] hebu linganisha simulizi hiyo na hii ya kiongozi wa dini aliyeitwa Father Arthur H. Wille, alivyokutana na kumfahamu Mwalimu Nyerere. Sababu yangu ya kutoa ushuhuda huu ni kwamba huyu alikuwa na bahati ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na baadhi ya Wazee wa Mohamed Said. Hebu jaribu kutafakari maneno anayosema yalitamkwa na Abdul Sykes pamoja na Abbas Sykes wakimwelezea Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika hayo mazungumzo. (Natanguliza samahani kwa kutoweza kuyatafsiri katika Kiswahili)

Within three months of returning to Dar es Salaam Julius joined the Tanganyikan African Association. He had been a member of this organization when he was at Makerere. A much respected British Governor, Sir Donald Cameron, had established the Tanganyikan African Association as a social club for civil servants.

It continued to be involved in this way, but never with the purpose of seeking independence. As Julius got to know TAA better, he found that it was merely a social club interested mainly in giving tea parties for expatriates who were going on leave.

As a newcomer to Dar es Salaam Julius was seen as one with the people. He was in contrast to Chief David Makwaia, who was the favorite politician of the then Governor Edward Twining. Chief David Makwaia was a university graduate. Like many Africans with university education at this time, they became sophisticated. Chief Makwaia preferred to be with the Europeans. He was elected to the Legislative Council of the governor.

Julius quickly gained leadership and was elected president of TAA. He began by educating his followers to think about independence. Chief Patrick Kunambi who knew him well said that his leadership was not based on what Julius promised “because Julius practically never promised anything.”

Another associate of his, Abdul Sykes, once said, “Nyerere made us start to think: all we wanted was independence.” Because of this goal of independence Nyerere and his colleagues reorganized TAA as a political party, the Tanganyika African National Union, on July 7, 1954. It became better known as TANU and the date of it founding, the seventh day of the seventh month became Saba Saba (in Swahili “seven-seven”).

His colleagues unanimously elected Julius as president of TANU. He was 32 years old at the time. One of the founding members of TANU, Abbas Sykes said, “"He came at the right time. Usually if a man went away to university when he came back he would not be one with us; he would be very sophisticated. But here was a man who had the same kind of education — higher in fact, because he had an M.A. instead of a B.A. — who was willing to be with his people.This humility— ‘I’m willing to serve you’— made everyone forget that he was from up-country and that he wasn’t a Muslim.”

There are as many Christians as Muslims in Tanganyika (now Tanzania) as a whole, but the coastal region is heavily Muslim.

[B]Kituko[/B], [B]Mohamed Said[/B] anatutaka tusiamini haya yaliyoandikwa kwenye diary wakati yanatendekea ila tuziamini hadithi na porojo alizokuwa akisimuliwa utotoni barazani na wazee wake wahamiaji waliokuwa na kinyongo na Mwalimu Nyerere.
Mkuu umemzungumzia mtu muhimu sana katika maisha ya Julius Nyerere na katika Uhuru wa Tanganyika,

Na kwa wasiojua kasisi Arthur Wills alikuwa chini ya Marykinol Sister, shirik tanzu la Jeisuti la Katoliki, kasisi huyu ndie aliyemwibua Nyerere na kumlea kama mwanaye mpaka uhuru na kuwa rais... Jeisuti ndio injini ya uhuru wa Tanganyika, laiti hili Mohamed angelijua mapema asingeendelea na ngano zake...

Kwenye kitabu nimeeleza kwa undani sana
 
Mkuu Pascal Mayalla

Kwanza nisamehe sana kwa kuchanganya baadhi ya dondoo katika andiko langu, nakiri nimejichanganya tu na tayari nimesharekebisha hasa jina la Cecil Matola,


Naomba nikujibu kwenye hizo baadhi rejea ulizoweka sawa na nilivyomjibu Mzee wangu Mohamed Said katika barza letu huko viunga vingine...

Nanukuu:



"Unasema tufanye rejea kwakusoma wapi???

Sasa ngoja tuwasaidie wasomajo kwamba hizo zako ni ngano za masika,

Kwasababu kuu hizi,

John Iliffe alikuwa ni mwalimu wa Daisy Sykes mtoto wa Abdul Sykes, mjukuu wa Kleist Sykes,

Hivyo John huyu kitabu chake kwa sehemu kubwa ni simulizi za familia ya akina Sykes yani familia zilezile zenye chuki na Mwalimu baada ya visa vile nilivyowasimulia kule mwanzo ambavyo vilizaa uhaini na kuwekwa kizuizini kwa mabwana hao wa ukombozi, hivyo msingi wa kitabu cha Modern Tanzanians ni chuki ile ile iliyomuandama Mohamed Said Salum leo.

Pili unasema tusome kitabu cha Kleist Sykes The Townsman kilichoandikwa na mjukuu wa Kleist Sykes yuleule na mnyororo ni ule ule,

Na mwisho unasema tukusome wewe, tyuuuuupu wacha niteme mate kwanza, wewe ambaye umejaza chuki kifuani kwako mpaka kitabuni? Unayepinga waziwazi kwamba Julius Nyerere hakuasisi Tanu kisha unakubaliana kuwa kadi namba moja ni ya Julius Nyerere? Kitabu chako nimekisomo chote sio niekewe bali nikupinge kwa jambo ninalolijua... Kwaujumla umeeneza chuki tu,

Hoja nyingine ni hii ya AA unaipotosha bila sababu za msingi, mimi nimeeleza kuwa iliasisiwa 1927 nyumbani kwa Rais wake Mwalimu Cesil Matola na vikao vyote vya mwanzo vikifanyika kwake, lakini wewe hapo unanilisha maneno kwamba nimesema iliasisiwa Lumumba(Stanley). Huo ni uongo wa kutupwa..."
Nichangie kidogo,yoote tutazunguka ila kubwa linaachwa kwamba tangu awali kulikuwa na mpango wa kumtumia Mwalimu kama ngazi ili baadaye hao waliompokea waitie nchi kwenye Udini na mwalimu aling'amua hili na kukibadilisha chama kwenda TANU na hatimaye Uhuru.

Hii kusema Serikali haina Dini ila watu wake ndiyo wana Dini ni njia ya Mwalimu kuwadhibiti "Wadini" ,kiukweli kuna upotoshaji mkubwa kwa waandishi wa vitabu vya kina Sykes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli Watanzania tunaaminishwa kuwa Mwalimu JK hakupenda au aliibadilisha historia ya Tanganyika kwa sababu tu ya Udini.

Kwa Wanafunzi wote waliosoma shule za Msingi kuanzia miaka ya 1970 mpk 1990 haya majina ya kina Sykes,John Rupia,Bibi Titi,Mwapachu baba yao kina Juma&Harith,DrKyaruzi,Cecil Matola,Max Mbwana,J.Tambaza,Schneider(Sheneda) Plantan nk tumeanza kuyajua huko mpaka picha zao tena na mengine tumekuja kumsikia Mwl.JK anayatamka ktk hotuba zake kuwa aliwahi "kufungishwa" huko Bagamoyo na kina Mzee Ramia na kurukishwa Shimo kipindi cha kudai Uhuru.

Shida iliyopo ni kwamba Mzee Mohamed na wengine wapo katika mtazamo wa Kidini kuwa ni dini yao ndiyo ilileta Uhuru,Mwalimu aliwakumbatia karibu watu wote waliopigania Uhuru mpaka kuwabeba na Watoto zao,hao kina Sykes ukiondoa kuwa walikuwa Wakimbizi lakini bado huo ukimbizi wao hauwekwi wazi ulikuwa mwema au la, pia wanashindwa kujua kuwa TANU kama chama kilihitaji kupata support kutoka vyanzo vingine mfano Migomo ya Wakulima na Wafanyakazi kipindi cha Ukoloni ilikuja kufanikiwa baada ya Mwalimu kutafuta suluhu na Chama cha Wafanyakazi kilichoanzishwa na Michael Kamaliza(baada ya Uhuru akawa Waziri wa Kazi),Maynard Mpangala(akawa mwandamizi Reli),Rashid Kawawa(akawa WaziriMkuu),Fredrick Mutafurwa(akawa mfanyabiashara) nk, hawa ndiyo walikuwa vinara wa kuitisha migomo na walisumbuana mno na Mkoloni,pia Umoja wa Machifu, hapa pana historia kubwa ya chifu Mareale wa Wachaga akiwa Mwenyekiti na Katibu chifu Abdallah Fundikira,ikumbukwe UNO(UN wakati huo)walitegemea Machifu ndiyo watatoa kauli ya kuwa watu wao Wameendelea na wanahitaji kuwa Huru (na ndiyo sababu Mkoloni alianza kuelimisha watoto wa Machifu ili kuwa na Machifu Walioelimika) na siyo wanasiasa hapa palikuja kuzaa hitilafu baada ya Uhuru kati ya Chifu Mareale na Mwl.

Kuna Askofu mzungu Mkatoliki aliyefanikisha "Mwalimu wao Kijana JK" aache Ualimu na kujiunga na harakati za Uhuru akiitwa Edgar Marantha na pia walikuwa wanampa mazoezi ya confidence kusimama mbele ya Maaskofu walioteuliwa Wazungu kuelezea ni kwa nini Watanganyika wanataka Uhuru hivi vitu vikifanyika ktk eneo la Msimbazi Kanisani ambako ilikuja kufanyika Misa ya Uhuru,kusaidia ni kwamba hotuba ya Mwalimu U.N iliandaliwa kiufundi siyo na hao ambao inatakiwa ionekane hasa walifanya kazi hiyo.Hapa hukuti Wakristo wanalalamika au kujiweka mbele.

Baadaye tutaangalia hasa kwa nini Mwalimu alionekana tofauti na hao "Wadini" akina Marehem Takadir.

Kiukweli historia haikubagua kama mnavyotaka iaminike.Tuna vitabu vikiitwa "Who is Who in Tanganyika" na "Who is Who in East Africa " vya enzi hizo tuko Huru,hao watu wote historia zao zipo humo.Kuhusu Vyama vya Wafanyakazi tafuta kitabu cha "Historia ya Vyama vya Wafanyakazi " Cha Maynard Mpangala na ambacho Prof:Isa Shivj kakitumia katika maandishi yake mengi.Wachapaji ni University Press Daressalaam.

Mchuano wa Umeya miaka ya 90 nakumbuka Mzee Abas Sykes (km sijachanganya jina) aliongea na Kitwana Kondo kuwa alikuwa ana nia ya kugombea na kutaka KK ampishe wakakubaliana lakini baadae KK akabadili mawazo huyu Sykes akajitoa na hakugombea Udiwani alipohojiwa alimponda sana KK ..kwa kusema kuwa kipindi cha Ukoloni alikuwa anawachunguza na kupeleka siri kwa Watawala na kukataa kuwa sio kweli alipigania Uhuru.Hapo Clip ya Mzee Mohamed kaanza na historia ya kuambiwa na KK siri ambayo ukiisikiliza mbele hasemi tena alichoambiwa zaidi na KK bali akayaongeza yake mengi tu..KK hakuwa Secret Service ya Mkoloni alikuwa Polisi na akivaa Magwanda.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nichangie kidogo,yoote tutazunguka ila kubwa linaachwa kwamba tangu awali kulikuwa na mpango wa kumtumia Mwalimu kama ngazi ili baadaye hao waliompokea waitie nchi kwenye Udini na mwalimu aling'amua hili na kukibadilisha chama kwenda TANU na hatimaye Uhuru.

Hii kusema Serikali haina Dini ila watu wake ndiyo wana Dini ni njia ya Mwalimu kuwadhibiti "Wadini" ,kiukweli kuna upotoshaji mkubwa kwa waandishi wa vitabu vya kina Sykes.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ligema274,
Unazungumza jambo ambalo hulifahamu.

TANU toka awali iliweka wazi kuwa haitamvumilia yeyote ambae
atachanganya dini na siasa.

Nimelieleza tatizo la dini katika TANU katika kitabu cha Abdul Sykes:
''The transition from TAA to TANU at the headquarters was smooth. There were no problems of personality clashes at the headquarters apart from a small faction of radical Muslims who were plotting to oust Nyerere from Party leadership for being a Christian.

This was the second time the issue of religion had cropped up since Nyerere assumed leadership of the movement for the first time in 1953.

A meeting was called to clarify the status of Christianity in TANU and to establish a nationalist-secularist ideology as a way of preserving national unity.

This meeting was held in a house in Pemba Street and its resolution was supported by Mufti Sheikh Hassan Bin Amir, Sheikh Nurdin Hussein from Lindi and Sheikh Abdallah Chaurembo of Dar es Salaam.

This meeting coined the name ‘Yuda’ which was to be the label of any member of TANU who discriminated his fellow African because of his faith. [1]

The name Yuda coined by TANU had direct relationship with Judas Iscariot of the Bible, the traitor who betrayed Jesus for thirty pieces of silver.

The problems which TANU encountered were mainly from colonial government or those inspired by it using fellow Africans as puppets to try to derail the movement.''

[1] Rajab Diwani, 'TANU Ilipambana na Misukosuko Mingi' UHURU 3rd July, 1974.

Mwaka wa 1958 swali la hali ya Waislam katika Tanganyika huru lilipoletwa
na Sheikh Suleiman Takadir kufuatia Uchaguzi wa Kura Tatu, sheikh alipingwa
sana na akafukuzwa chama.

Halikadhalika wanachama wa TANU waliotoka chama kwa ajili ya Kura Tatu na
kuunda chama cha Waislam All Muslim National Union of Tanganyika (AMNUT)
Waislam walikipiga vita na hakikuweza kupata wanachama.

Ndipo niliposema unazungumza jambo ambalo hulijui.

gdz_v-0A6pRMFQI2TviE0qStjx-NjSnR2ukwpa3RjMNojfTfiBERsQajrBoTAG2sVOoDt6HU_Op8aei_yYw0XjRiv4JMv9r2E0p96TXhzVv4j_kxJVo3dqrBnWqONLRD91Vg427uffTa_7gxIKksLQZRB8P8qHPSHnAmLFo8cY4TZvW7LMKqGQp8hwpT-ddOol30tXpoMC618L7EgB-3fF7uwww544d23EVTG9s8ido-0VXQw1CYBTf82JmJMJSRtH_VhzBjB3CdNI8L2tri_tL4q8K1GCT0226GE180-FbO7ndFtlY1JqKdlOhxiHyd9NBXr2TYWBor8Z6TnR5iENANfkbm2r5jlpUVYRXPO6osFEdXiXfaL8GwBOqfx7KAYEqryDXOLkiGJTnuQuNCxmbSHPQzolvjXhFAxK9rtdpYEraPAJ1n85WX9tf5fzHjPd8rfx_xM-U_VxvoeM34SG16EQtb6pFEdzx7lm_De-xc1y_sUKXXzKBJmvSLFdbkU3UDNO82kpgOE1lrZWvEQ2nV6ThPZjPwoaObdT2u3S1WbkZ0KMYEUjv1HMXwKnCz8UbDfeWZHmNSY3Y72OlE7LsOU6Mr5bzLJrZzokAqifZ5YViaddz1=w735-h630-no
 
Ndugu zangu mbona mimi ninapokujibuni nakujibuni kiungwana? Iweje nyie kunitusi?
Kipi kinachokukasirisheni?

Sent using Jamii Forums mobile app

Jeisuiti Katika Mwelekeo wa Dunia:

Maamuzi yoyote ya mwelekeo wa dunia hutokea baada ya kukubaliwa ama kuratibiwa na Kanisa kupitia shirika la Jeisuiti ambalo utendaji wake ni wa siri zaidi. Karne ya Kumi na Sabaa (17), kanisa lilikuja na mpango madhubuti wa kuisaka haki ya kibinadamu katika ulimwengu wa kikoloni. Ijapokuwa, mpango huo ulikuwa ukibadilika malengo kila nyakati kulingana na mahitaji ya Karne. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Shirika la Wajeisuiti lilikuwa na nguvu na lilikuwa tayari sehemu ya tawala nyingi duniani, hivyo kufanya kisiwepo kitakachofanyika bila majasusi hawa kujua ama kuhusika, hasa juu ya mstakabali wa dunia ijayo. Walikuwa na bado wanauoni mkubwa wa mambo yajayo.
Wazo la kuwa na Shirikisho la Mataifa lilitolewa kwa mara ya kwanza, na mwanafalsafa Mjerumani Immanuel Kant, mnamo mwaka 1795. Wazo la Kant lilirudiwa na wanafalsafa mbalimbali. Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza Ya Dunia, rais wa Marekani, Woodrow Wilson, alipendekeza hatua za kuanzisha shirikisho hili kwa kusudi la kuzuia vita za wakati ujao baada ya mwisho wa vita ile. Kant alikuwa wakala wa ujasusi wa Wajeisuiti akiripoti kwa Karl Theodor von Dalberg. Karnt alizaliwa mjini Königsberg (sasa: Kaliningrad), mnamo tar. 22 Aprili, mwaka 1724, akiwa mtoto wa fundi. Mamake alimsomesha kweye shule ya sekondari, akaendelea kusoma theolojia, falsafa, sayansi, fizikia na hisabati. Tasnifu yake ya kwanza haikupokelewa na Profesa Msimamizi wake, mwaka 1746. Ndipo, akageukia kufanya kazi ya ualimu kwenye nyumba ya matajiri na makabaila mbalimbali kwenye mazingira ya Königsberg. Mwaka 1754, alirudi Chuo Kikuu, akamalizia masomo yake. Tangu mwaka 1755, alikuwa mwalimu na ilipofika mwaka 1804, akawa profesa kamili kwenye Chuo Kikuu cha Königsberg. Hakuoa. Aliishi na mtumishi wa nyumbani tu hadi kifo chake kilipomfika, akiwa na umri wa miaka themanini kamili (80). Kaburi lake ni kando ya Kanisa Kuu la Königsberg. Limetunzwa, hata baada ya kufukuzwa kwa Wajerumani na kuwa sehemu ya Urusi.

Katiba ya Shirikisho la Mataifa, ilikuwa sehemu ya mkataba wa Versailles ya mwaka 1919. Nchi washindi au mataifa ya ushirikiano zilijiunga na umoja huo mpya. Baada ya kukubaliwa na nchi za kutosha, shirikisho lilianza rasmi tarehe 10 Januari, mwaka 1920. Katiba hiyo, ilikuwa na madhumuni yafuatavo:
Fitina zote kati ya nchi, zitasuluhishwa kwa njia ya amani kwa maazimio ya kamati au mahakama ya kimataifa
Nchi wanachama, zote zitaungana dhidi ya nchi yoyote itakayoanzisha vita mpya au kukataa azimio la mahakama ya kimataifa
Nchi kupunguza jeshi yao na idadi ya silaha zilizopo
Mkutano mkuu wa wawakalishi wa nchi zote wanachama, itakuwa Bunge la Shirikisho
Kamati kuu au halmashauri ya nchi wanachama nne (baadaye sita) na nafasi nne (baadaye 9) za nchi zinazobadilishana kwa zamu
Ofisi kuu inayoongozwa na Katibu Mkuu
Mahakama ya kimataifa itaundwa (ilishaundwa), ya kutoa azimio katika matatizo kati ya madola
Mkataba wa Versailles ulianzisha aina mpya ya maeneo yaliyowahi kuwa ama koloni au majimbo ya nchi zilizoshindwa katika vita. Koloni zote za Ujerumani pamoja na sehemu kubwa ya majimbo ya Milki ya Osmani ya awali, ziliwekwa chini ya mamlaka ya Shirikisho la Mataifa na kukabidhiwa kwa nchi washindi wa vita. Zilipewa hali ya pekee kama maeneo ya kudhaminiwa. Tofauti na koloni za kawaida, nchi wadhamini hazikupewa mamlaka yote jinsi iliyokuwa katika koloni zao za kawaida bali zilipokea maeneo ya kudhaminiwa chini ya masharti fulani pamoja na kulinda haki kadhaa za wenyeji na kuziandaa nchi hizi kwa uhuru. Hapo mwanzoni tofauti kati ya koloni na eneo la kudhaminiwa haikuwa kubwa lakini baadaye masharti ya udhamini yalikuwa muhimu.

Kwa mfano, hali ya Tanganyika kuwa eneo ka kudhaminiwa, ilisababisha Uingereza kutokubali walowezi wengi kuja hapa. Vivyo hivyo, hali ya Afrika ya Kusini Magharibi kuwa eneo la kudhaminiwa, ilizuia sehemu hii kuwa jimbo la Afrika Kusini kuwa msingi kwa uhuru wake kama nchi ya Namibia.

Jukumu la kuandaa nchi hizo kupata uhuru liliratibiwa na shirika hilo la kijasusi (Jeisuiti) kwa ustadi mkubwa bila baadhi ya makoloni kujua. Lakini, lilikumbana na kiunzi/ukinzani hasa kufuatia mnyumbuliko wa kiimani ndani ya Ukristu, kufuatia nguvu ya Cambrige (Anglikana). Mgogoro huo ulikuzwa kwa kuwa Anglikana nao tayari walikuwa wameaandaa shirika lao la kijasusi la Fabian Sociaty, maalumu kwa minajili ya kuwaandaa Vijana katika makoloni Uingereza hususani barani Afrika, kukabidhiwa nchi zao. Barani Afrika, Jeisuiti ilibadili mbinu kwa kuwa dola la Kiingereza, lilikuwa kikwazo kwa sehemu fulani. Haikujikita kwenye dola, bali ilisimama katika muundo wa shirika likifanya shughuli zake ndani ya Kanisa. Dhamiri shahiri, ilikuwa lazima itimie, kama ilivyoelezwa mwanzoni kuwa hawa ndio wabobevu wa elimu ya juu kwa kila nyanja na ndio wanaotawala ulimwengu. Kwa hiyo, hivyo vikwazo havikukwamisha wao kufikia malengo.
Katika Tanganyika, chini ya Udhamini wa Shirikisho la Kimataifa, kulikuwa na harakati za hapa na pale za kudai haki za kiraia kwa wenyeji. Ifahamike kuwa vyama vya harakati Tanganyika vilikuwa vingi sana, na vipo vilivyokuwa vikipingana vyenyewe kwa vyenyewe.
Mwaka 1927 hadi 1929, kanisa Katoliki nchini, chini Joseph Gabriel Zelger, lilibainika kuingiza siasa katika utendaji kazi wake, kitendo hiki kiliwakwaza wakuu wa mamlaka ya kikoloni na kupelekea majasusi wakikoloni wapendekeze aachishwe uongozi wa kanisa nchini. Ni kweli. Tar. 12 Februari, mwaka 1929, Zelger alistaafu wadhifa wake kwa lazima. Ni mwaka huohuo wa 1927, ndio Chama cha African Assosiotion (AA) kilianzishwa na Gavana Sir David Cameron, maalumu kwa minajili ya kuratibu mambo ya sherehe za watu weusi pembeni ya mji, huko mtaa wa Stanley (leo Lumumba) na akawapa jingo la ofisi mahali leo wanapojiita TANU ilizaliwa. Lakini, historia ya Tanganyika haiwataji waasisi wa AA: Rais wa kwanza, Mwalimu, Cesil Matola (msomi wa mwanzo kabisa enzi za Mjerumani kutoka kabila la Wayao), Katibu Mkuu wa kwanza, Klest Sykes (Mzulu, Baba yake alikuwa mateka wa kikoloni kutoka Afrika Kusini), Mwekahazina, Ali Ramadhan (Mzaramo na mvuvi maarufu wa pwani la Azania leo bahari ya Hindi). Hawa ndio mwaka 1927, waliounda Chama cha kwanza kabisa cha kutetea maslahi ya weusi Tanganyika na shughuli zake zilikuwa ni kuratibu sherehe za waafrika tu. (Chama cha walevi kwa lugha nyingine). Mwaka 1933, Mwalimu Cesil Matola alifariki na nafasi yake ikakaimiwa na katibu mkuu wa chama hicho, Bw. Klest, mpaka ilipofika mwaka 1948, yakatokea mapinduzi yaliyoongozwa na mtoto wa Klest, aliyeitwa Abdulwahid Sykes.
Abdulwahid Sykes alitoka kupigana Vita Kuu ya Pili ya Dunia, huko Burma. Aliporudi, alikuwa na mawazo ya ujana kutoka vitani, akampindua baba yake kwa vurugu na ngumi. Mapinduzi yaliyoitwa ‘ondoa wazee’. Kisha chama cha AA kikabadilishwa jina na kuitwa TAA ambapo Rais wake wa Kwanza, akawa Daktari wa binadamu Vedasto Kyaruzi (Mhaya), aliyekuwa anafanya kazi Kingolwila Mkoani Morogoro. Huyu ndie daktari wa binadamu wa kwanza kabisa wa Kiafrika, Tanganyika. Katibu Mkuu, akawa Abdulwahid Sykes mwenyewe na Mweka Hazina akawa Dosa Azizi. Miaka miwili tu ya chama kipya, yaani 1950, Daktari Vedasto Kyaruzi, kwa ghiriba za wakoloni, alihamishiwa Sengerema Mwanza, kama sehemu ya kumuondoa jijini Mzizima leo Dar es Salaam awe mbali na harakati.
Nafasi ya rais wa TAA ikakaimiwa na Bw. Adbulwahid, mpaka mwaka 1953, uchaguzi ulipofanyika na Julius Nyerere akashinda pale kwenye ukumbi wa Anautoglo (Mnazimoja ya leo). Mwaka 1954, Mwl. Nyerere akabadili jina la chama cha TAA na kuwa TANU, jina ambalo lilibuniwa na Abdulwahid Sykes. TANU ilikwenda mpaka mwaka 1977 na kisha kikazaliwa chama kiitwacho CCM (Chama cha Mapinduzi), baada ya Muungano wa ASP na TANU.
Moja ya kisa cha kukumbukwa ni kile cha kufukuzwa kwa Kasisi Zelger kinanachosema, Kanisa lilianzisha mafundisho yenye kuchochea fikra za kimaasi, na lilifanikiwa kuandaa wakufunzi maalumu kwenda katika majimbo yote ya kihuduma Tanganyika. Hilo lilipelekea kuleta mtafaruku na dola ya mkoloni wa Kiingereza ambapo ilimgharimu kiongozi huyu wa kiroho kuachia madaraka yake. Alipoingia askofu Edger Aristide Maranta, mwaka 1930, ikiwa kama vile mwendelezo wa mtangulizi wake, Askofu Maranta alianzisha harakati za kuwashawishi viongozi wengine wa majimbo kuendeleza kutoa mafundisho yenye kumfanya Mtanganyika ajitambue na adai uhuru wake. Mathalani mnamo tar. 23 Mei, mwaka 1938, wakati makanisa sabaa ya Kilutheri, yakiwa kwenye hatua za mwanzo za mchakato wa kuungana, Askofu Maranta aliomba kuhudhuria kikao cha tar. 8 mwezi Juni kilichofanyika Mjini Arusha. Askofu Maranta aliudokeza mpango ule wa siri wa katoliki katika kikao hicho, japokuwa kulikuwa na hofu ya kutoaminiana. Bali, uthabiti wa malengo hayo ulijipembua baadae na kuwa wamanufaa (ushahidi wa nyaraka za kumbukumbu za mkutano huo unaeleza).
Juhudi za kanisa kupigania mkataba wa Versailles ziliendelea kushika kasi huku zikiendeshwa kwa siri sana, kwa mfumo wa neno la kiroho, na ilipofikia miaka ya 1950s, kanisa sasa lilikuwa tayari lina nguvu ya ushawishi kufuatia mafanikio ya harakati za kanisa katika nyanja za ukombozi barani afrika. Wakati hayo yakiendelea, tayari kanisa kupitia Shirika lake la Kijasusi (Jeisuiti), lilikuwa limewekeza kwa nguvu kubwa kumtafuta mtu imara mwenye weledi na vipawa kimkemu, atakayejengwa ili aje kuongoza nchi. Mtihani mkubwa kwa kanisa ilikuwa ni namna gani linaweza kuingia rasmi kudai uhuru wa Tanganyika. Katika kipindi hiki, tangu harakati za kanisa zianze, Askofu Maranta pamoja na makasisi wa baadhi ya mikoa, walikuwa tayari ameshafanya juhudi kadhaa za kukutana na Ma-sheikh waliokuwa na ushawishi mkubwa. Mathalani tar. 5 Feb., mwaka 1948, Askofu Maranta alikutana na Sheikh Issa bin Amir, kiongozi wa kiroho katika Msikiti wa Ilala-Mchikichini.
Sheikh Issa Bin Amir, alizaliwa mwaka 1846 katika viunga vya Mzizima, Mchikichini, na kuhudumu katika wadhifa (k.m. Sheikh) katika msikiti uliokuwa hapohapo viwanja vya nyumbani kwake na alifariki mwaka 1953 akiwa na umri wa miaka mia moja na sabaa (107). Sheikh Issa Bin Amir, kwa kabila, alikuwa Mzaramo. Wakati wa uhai wake hadi kifo kilipomfika, aliishi Mchikichini, nyuma ya kilipo kiwanda cha bia leo (TBL). Sheikh Issa Bin Amir, rafiki kipenzi wa Padre Maranta, na mzee wa hekima za kilele cha zama hizo, mtu aliyekuwa kiungo muhimu kati ya Uislamu na Ukristu, Mtu ambaye watu (Mwalimu Cesil Matola rais wa kwanza wa AA na Klest Sykes katibu mkuu wakwanza wa AA, na wanachama wengine waliokuwa AA) walimheshimu sana kwa hekima zake, akiwa mmoja wa wasisi wa Jumuiko la Uislamu Afrika Mashariki (EAMWS) ambapo Mazungumzo mengi ya Jumuiko la Uislamu, yalihusu harakati za ukombozi. Shekh Issa alimshauri Askofu Maranta kuwa ikiwa makanisa na misikiti yanapigwa marufuku na mkoloni kujihusisha na siasa za ukombozi, basi watafute baadhi ya vyama vya harakati za ukombozi na waviunge mkono. Wazo hilo lilimvutia Askofu lakini akajenga hofu kama je ndani ya vyama hivyo watapata vijana wasomi?
Siku chache baada ya makutano yake na Sheikh Issa, Askofu Maranta aliletewa mapendekezo kutoka kwa Attilio Beltramino, kasisi wa katoliki aliyehudumu kule Iringa. Mapendekezo ya kasisi huyu yalikuwa ni: “Umishonari makao makuu uruhusu udurufu wa Biblia zisomeke kwa makabila ya wahusika wa eneo. Halafu, ndani ya Biblia hizo yaongezwe mafundisho ya haki ya kujitambua na kujitawala wenyewe.” Pendekezo hilo lilimvutia sana Askofu Maranta, hivyo akalipa baraka zake zote. Kwa hakika, pendekezo hilo lilifanikiwa na ndilo lilizaa hisia kali za mwamko wa kudai uhuru. Mathalani Biblia ya lugha ya Kihehe, ilieleza wazi athari za kutawaliwa.
Harakati za Ukombozi za Mwl. Nyerere, akiwa na nguvu mpya ya kifikra kutoka Chuo kikuu, zililivutia kanisa na uungaji mkono ukachagizwa. Mfano, mwaka 1953, wakati TAA kikiwa chama chenye nguvu kufuatia mabadiliko ya 1948 kutoka AA kwenda TAA. Askofu Maranta alimwalika Mwl. Nyerere ofisini pake. Walipokutana, walizungumza mengi lakini kubwa ni kuwa, alimsifu Mwl. Nyerere kwa juhudi za kujipambanua bila kuwaogopa wakoloni. Ndipo, akamweleza jinsi kanisa linavyounga mkono juhudi za ukombozi wa Tanganyika, kisha akamshauri kuwa ajaribu kuvishawishi baadhi ya vyama vya harakati za kiraia viungane ili kuvipa nguvu ya kudai uhuru, na kanisa litasaidia kwa hali na mali.
Wazo la Askofu Maranta lilimkaa Mwl. Nyerere kisawasawa. Ndipo, mwaka 1954, alianza juhudi za kuwaunganisha vijana wenzake wa Kariakoo ambao walikuwa ndani ya TAA na wenye nguvu ya ushawishi huku wakikabiliwa na matatizo makubwa mawili katika lengo lao ambayo ni Elimu na Woga. Ikumbukwe kuwa mwaka 1953, baada ya harakati za ukombozi kupamba moto na kamata kamata ya wanaukombozi, Askofu Edger Aristide Maranta alihamishiwa Zanzibar na nafasi yake ikachukuliwa na Vicar Apostolic, lakini bado aliendelea kuwa mshauri imara wa Mwl. Nyerere. Jambo la kushangaza kama si kufurahisha, mwaka huohuo mwezi wa 8, Edger Aristide Maranta alirudishwa tena, Dar es Saalam, na sasa mbinyo dhidi ya ukoloni ukashika mkondo wake.
Mnamo tar. 7 Julai, mwaka 1954, Vijana (wazee wa Kariakoo) wakiongozwa na Mwl. Nyerere, walikubaliana wazo la kuhuisha chama kutoka TAA kwenda TANU, chini ya uratibu wa karibu wa Wajeisuiti (Askofu Maranta) na Waislamu (Sheikh Issa bin Amir) ijapokuwa alikuwa amefariki mwaka mmoja nyuma, hekima za Sheikh huyu ziliendelea kusaidia. Na zaidi ni kuwa safari ya kwanza ya Mwl. Nyerere ya kwenda UNO tar. 5 Machi, mwaka 1955, kanisa Katoliki lilitoa msaada kwa chama cha TANU wa tikiti ya ndege ya kwenda na kurudi. Lilifanya hivyo kupitia shirika lake la Maryknoll Sisters la New York Marekani.
Si hivyo tu, bali katika moja ya utani wa Mwl. Nyerere wenye ukweli ndani yake, aliwahi kusema kuwa makasisi Walsh na Art Wille wa Shirika la Maryknoll ni mabosi wake, akikumbuka malipo ya Shilingi mia sita (600/=) angali ameacha kazi ya ualimu, akiwa kijijini Butiama. Kuna ushahidi wa kihistoria pia unaochagiza habari hizi kwamba majasusi wa Kanisa walimuandaa Mwalimu Nyerere kuja kuiongoza Tanganyika mpya. Barua ya lugha ya Kilatini, ya kitume, Tot Tangaeque, ya Papa wa Roma, ya tar. 8 Novemba, mwaka 1984, kwenda kwa Kanisa Katoliki Tanzania, inautangazia ulimwengu kwamba Tanzania itakuwa chini ya himaya ya kanisa kwa mwavuli wa Bikira Maria Imakulata.
Miaka thelethini na mbili (32) baadae, Kanisa Katoliki Tanzania chini ya Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa, linaijibu barua hiyo kwa barua yenye kumbukumbu nambari TEC/PR/1 ya tar. 10 Novemba, mwaka 2016, likikubaliana na kuitangazia dunia kuwa siku ya Uhuru wa Tanganyika, tar. 9, mwezi 12 ya kila mwaka itakuwa pia siku ya kuadhimisha Sikukuu ya Bikira Maria Imakulata. MSIMAMIZI wa JAMHURI ya MUUNGANO wa TANZANIA........


Kutoka katika Kitabu: Ujasusi wa Kidola na kiuchumi.
Mwandishi: Yericko Nyerere
Sura ya pili: Uk 461-465. (Mashirika ya Kijasusi)
 
"Mohamed Said, post: 22888649, member: 12431"]Mag3.Alipokufa Abdul mwaka wa 1968 magazeti yote ya chama na serikali ''Uhuru,'' na ''Nationalist,'' hayakumpa heshima anayostahili.
Mohamed, historia ya Abdul unayoeleza ni kati ya miaka ya 40 na 53. Baada ya Nyerere kuchukua ukanda huna cha kueleza hadi unapofikia kifo chake 1968

Huko nyuma nilikueleza kuhusu AMNUT. Nawe unajua wazi kabisa nani walikuwa behind AMNUT iliyoshindwa
Abdul alikuwepo , umaarufu unaosema ulipingwa na wananchi ndiyo maana AMNUT haikuwa na mafanikio

Unakwepa kueleza hilo ukijua litafifisha sifa za Abdul kama architect wa harakati za uhuru. Swali litakalojitokeza ikiwa alikuwa nguli nini kilitokea na AMNUT?

Yes Familia ya Sykes ilikuwa maarufu, hakuna mjadala kuhusu hilo. Walikuwa watu wa mjini, hakuna mjadala
Walishiriki katika harakati, ni kweli. Hata hivyo kila kitabu na zama zake.

Nyerere ndiye alifanya transformation na modernization ya harakati za uhuru. Ukweli unapatikana katika maandiko yako kuwa Kleist alianzisha TAA 1929 ingawa ukweli ni kuwa alishirikiana na Mw. Matola

Hadi kufikia 1953 ni takribani miaka 23 ya Kleist na Abdul ,ilichukua miaka 10 tu ya Nyerere 'to move the needle'

Unachokifanya ni kumdhalilisha Nyerere kwanza, halafu kuondoa mchango wake.

Hukubali kuwa chini ya uongozi wake katiba ya TANU iliandikwa.
Wewe unasema alinukuu kutoka kwa Nkrumah, sawa! Aliyeonukuu Abdul au Kleist ipo wapi?
Kwasasa unabadili gia na kusema katiba iliandikwa na sub committee!

Waeleze wanajamvi nini kilitokea 1953 hadi 1960 na hasa mchango wa AMNUT iliyokuwa na akina Abdul Sykes
 
Nichangie kidogo,yoote tutazunguka ila kubwa linaachwa kwamba tangu awali kulikuwa na mpango wa kumtumia Mwalimu kama ngazi ili baadaye hao waliompokea waitie nchi kwenye Udini na mwalimu aling'amua hili na kukibadilisha chama kwenda TANU na hatimaye Uhuru.

Hii kusema Serikali haina Dini ila watu wake ndiyo wana Dini ni njia ya Mwalimu kuwadhibiti "Wadini" ,kiukweli kuna upotoshaji mkubwa kwa waandishi wa vitabu vya kina Sykes.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jeisuiti Katika Mwelekeo wa Dunia:

Maamuzi yoyote ya mwelekeo wa dunia hutokea baada ya kukubaliwa ama kuratibiwa na Kanisa kupitia shirika la Jeisuiti ambalo utendaji wake ni wa siri zaidi. Karne ya Kumi na Sabaa (17), kanisa lilikuja na mpango madhubuti wa kuisaka haki ya kibinadamu katika ulimwengu wa kikoloni. Ijapokuwa, mpango huo ulikuwa ukibadilika malengo kila nyakati kulingana na mahitaji ya Karne. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Shirika la Wajeisuiti lilikuwa na nguvu na lilikuwa tayari sehemu ya tawala nyingi duniani, hivyo kufanya kisiwepo kitakachofanyika bila majasusi hawa kujua ama kuhusika, hasa juu ya mstakabali wa dunia ijayo. Walikuwa na bado wanauoni mkubwa wa mambo yajayo.
Wazo la kuwa na Shirikisho la Mataifa lilitolewa kwa mara ya kwanza, na mwanafalsafa Mjerumani Immanuel Kant, mnamo mwaka 1795. Wazo la Kant lilirudiwa na wanafalsafa mbalimbali. Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza Ya Dunia, rais wa Marekani, Woodrow Wilson, alipendekeza hatua za kuanzisha shirikisho hili kwa kusudi la kuzuia vita za wakati ujao baada ya mwisho wa vita ile. Kant alikuwa wakala wa ujasusi wa Wajeisuiti akiripoti kwa Karl Theodor von Dalberg. Karnt alizaliwa mjini Königsberg (sasa: Kaliningrad), mnamo tar. 22 Aprili, mwaka 1724, akiwa mtoto wa fundi. Mamake alimsomesha kweye shule ya sekondari, akaendelea kusoma theolojia, falsafa, sayansi, fizikia na hisabati. Tasnifu yake ya kwanza haikupokelewa na Profesa Msimamizi wake, mwaka 1746. Ndipo, akageukia kufanya kazi ya ualimu kwenye nyumba ya matajiri na makabaila mbalimbali kwenye mazingira ya Königsberg. Mwaka 1754, alirudi Chuo Kikuu, akamalizia masomo yake. Tangu mwaka 1755, alikuwa mwalimu na ilipofika mwaka 1804, akawa profesa kamili kwenye Chuo Kikuu cha Königsberg. Hakuoa. Aliishi na mtumishi wa nyumbani tu hadi kifo chake kilipomfika, akiwa na umri wa miaka themanini kamili (80). Kaburi lake ni kando ya Kanisa Kuu la Königsberg. Limetunzwa, hata baada ya kufukuzwa kwa Wajerumani na kuwa sehemu ya Urusi.

Katiba ya Shirikisho la Mataifa, ilikuwa sehemu ya mkataba wa Versailles ya mwaka 1919. Nchi washindi au mataifa ya ushirikiano zilijiunga na umoja huo mpya. Baada ya kukubaliwa na nchi za kutosha, shirikisho lilianza rasmi tarehe 10 Januari, mwaka 1920. Katiba hiyo, ilikuwa na madhumuni yafuatavo:
Fitina zote kati ya nchi, zitasuluhishwa kwa njia ya amani kwa maazimio ya kamati au mahakama ya kimataifa
Nchi wanachama, zote zitaungana dhidi ya nchi yoyote itakayoanzisha vita mpya au kukataa azimio la mahakama ya kimataifa
Nchi kupunguza jeshi yao na idadi ya silaha zilizopo
Mkutano mkuu wa wawakalishi wa nchi zote wanachama, itakuwa Bunge la Shirikisho
Kamati kuu au halmashauri ya nchi wanachama nne (baadaye sita) na nafasi nne (baadaye 9) za nchi zinazobadilishana kwa zamu
Ofisi kuu inayoongozwa na Katibu Mkuu
Mahakama ya kimataifa itaundwa (ilishaundwa), ya kutoa azimio katika matatizo kati ya madola
Mkataba wa Versailles ulianzisha aina mpya ya maeneo yaliyowahi kuwa ama koloni au majimbo ya nchi zilizoshindwa katika vita. Koloni zote za Ujerumani pamoja na sehemu kubwa ya majimbo ya Milki ya Osmani ya awali, ziliwekwa chini ya mamlaka ya Shirikisho la Mataifa na kukabidhiwa kwa nchi washindi wa vita. Zilipewa hali ya pekee kama maeneo ya kudhaminiwa. Tofauti na koloni za kawaida, nchi wadhamini hazikupewa mamlaka yote jinsi iliyokuwa katika koloni zao za kawaida bali zilipokea maeneo ya kudhaminiwa chini ya masharti fulani pamoja na kulinda haki kadhaa za wenyeji na kuziandaa nchi hizi kwa uhuru. Hapo mwanzoni tofauti kati ya koloni na eneo la kudhaminiwa haikuwa kubwa lakini baadaye masharti ya udhamini yalikuwa muhimu.

Kwa mfano, hali ya Tanganyika kuwa eneo ka kudhaminiwa, ilisababisha Uingereza kutokubali walowezi wengi kuja hapa. Vivyo hivyo, hali ya Afrika ya Kusini Magharibi kuwa eneo la kudhaminiwa, ilizuia sehemu hii kuwa jimbo la Afrika Kusini kuwa msingi kwa uhuru wake kama nchi ya Namibia.

Jukumu la kuandaa nchi hizo kupata uhuru liliratibiwa na shirika hilo la kijasusi (Jeisuiti) kwa ustadi mkubwa bila baadhi ya makoloni kujua. Lakini, lilikumbana na kiunzi/ukinzani hasa kufuatia mnyumbuliko wa kiimani ndani ya Ukristu, kufuatia nguvu ya Cambrige (Anglikana). Mgogoro huo ulikuzwa kwa kuwa Anglikana nao tayari walikuwa wameaandaa shirika lao la kijasusi la Fabian Sociaty, maalumu kwa minajili ya kuwaandaa Vijana katika makoloni Uingereza hususani barani Afrika, kukabidhiwa nchi zao. Barani Afrika, Jeisuiti ilibadili mbinu kwa kuwa dola la Kiingereza, lilikuwa kikwazo kwa sehemu fulani. Haikujikita kwenye dola, bali ilisimama katika muundo wa shirika likifanya shughuli zake ndani ya Kanisa. Dhamiri shahiri, ilikuwa lazima itimie, kama ilivyoelezwa mwanzoni kuwa hawa ndio wabobevu wa elimu ya juu kwa kila nyanja na ndio wanaotawala ulimwengu. Kwa hiyo, hivyo vikwazo havikukwamisha wao kufikia malengo.
Katika Tanganyika, chini ya Udhamini wa Shirikisho la Kimataifa, kulikuwa na harakati za hapa na pale za kudai haki za kiraia kwa wenyeji. Ifahamike kuwa vyama vya harakati Tanganyika vilikuwa vingi sana, na vipo vilivyokuwa vikipingana vyenyewe kwa vyenyewe.
Mwaka 1927 hadi 1929, kanisa Katoliki nchini, chini Joseph Gabriel Zelger, lilibainika kuingiza siasa katika utendaji kazi wake, kitendo hiki kiliwakwaza wakuu wa mamlaka ya kikoloni na kupelekea majasusi wakikoloni wapendekeze aachishwe uongozi wa kanisa nchini. Ni kweli. Tar. 12 Februari, mwaka 1929, Zelger alistaafu wadhifa wake kwa lazima. Ni mwaka huohuo wa 1927, ndio Chama cha African Assosiotion (AA) kilianzishwa na Gavana Sir David Cameron, maalumu kwa minajili ya kuratibu mambo ya sherehe za watu weusi pembeni ya mji, huko mtaa wa Stanley (leo Lumumba) na akawapa jingo la ofisi mahali leo wanapojiita TANU ilizaliwa. Lakini, historia ya Tanganyika haiwataji waasisi wa AA: Rais wa kwanza, Mwalimu, Cesil Matola (msomi wa mwanzo kabisa enzi za Mjerumani kutoka kabila la Wayao), Katibu Mkuu wa kwanza, Klest Sykes (Mzulu, Baba yake alikuwa mateka wa kikoloni kutoka Afrika Kusini), Mwekahazina, Ali Ramadhan (Mzaramo na mvuvi maarufu wa pwani la Azania leo bahari ya Hindi). Hawa ndio mwaka 1927, waliounda Chama cha kwanza kabisa cha kutetea maslahi ya weusi Tanganyika na shughuli zake zilikuwa ni kuratibu sherehe za waafrika tu. (Chama cha walevi kwa lugha nyingine). Mwaka 1933, Mwalimu Cesil Matola alifariki na nafasi yake ikakaimiwa na katibu mkuu wa chama hicho, Bw. Klest, mpaka ilipofika mwaka 1948, yakatokea mapinduzi yaliyoongozwa na mtoto wa Klest, aliyeitwa Abdulwahid Sykes.
Abdulwahid Sykes alitoka kupigana Vita Kuu ya Pili ya Dunia, huko Burma. Aliporudi, alikuwa na mawazo ya ujana kutoka vitani, akampindua baba yake kwa vurugu na ngumi. Mapinduzi yaliyoitwa ‘ondoa wazee’. Kisha chama cha AA kikabadilishwa jina na kuitwa TAA ambapo Rais wake wa Kwanza, akawa Daktari wa binadamu Vedasto Kyaruzi (Mhaya), aliyekuwa anafanya kazi Kingolwila Mkoani Morogoro. Huyu ndie daktari wa binadamu wa kwanza kabisa wa Kiafrika, Tanganyika. Katibu Mkuu, akawa Abdulwahid Sykes mwenyewe na Mweka Hazina akawa Dosa Azizi. Miaka miwili tu ya chama kipya, yaani 1950, Daktari Vedasto Kyaruzi, kwa ghiriba za wakoloni, alihamishiwa Sengerema Mwanza, kama sehemu ya kumuondoa jijini Mzizima leo Dar es Salaam awe mbali na harakati.
Nafasi ya rais wa TAA ikakaimiwa na Bw. Adbulwahid, mpaka mwaka 1953, uchaguzi ulipofanyika na Julius Nyerere akashinda pale kwenye ukumbi wa Anautoglo (Mnazimoja ya leo). Mwaka 1954, Mwl. Nyerere akabadili jina la chama cha TAA na kuwa TANU, jina ambalo lilibuniwa na Abdulwahid Sykes. TANU ilikwenda mpaka mwaka 1977 na kisha kikazaliwa chama kiitwacho CCM (Chama cha Mapinduzi), baada ya Muungano wa ASP na TANU.
Moja ya kisa cha kukumbukwa ni kile cha kufukuzwa kwa Kasisi Zelger kinanachosema, Kanisa lilianzisha mafundisho yenye kuchochea fikra za kimaasi, na lilifanikiwa kuandaa wakufunzi maalumu kwenda katika majimbo yote ya kihuduma Tanganyika. Hilo lilipelekea kuleta mtafaruku na dola ya mkoloni wa Kiingereza ambapo ilimgharimu kiongozi huyu wa kiroho kuachia madaraka yake. Alipoingia askofu Edger Aristide Maranta, mwaka 1930, ikiwa kama vile mwendelezo wa mtangulizi wake, Askofu Maranta alianzisha harakati za kuwashawishi viongozi wengine wa majimbo kuendeleza kutoa mafundisho yenye kumfanya Mtanganyika ajitambue na adai uhuru wake. Mathalani mnamo tar. 23 Mei, mwaka 1938, wakati makanisa sabaa ya Kilutheri, yakiwa kwenye hatua za mwanzo za mchakato wa kuungana, Askofu Maranta aliomba kuhudhuria kikao cha tar. 8 mwezi Juni kilichofanyika Mjini Arusha. Askofu Maranta aliudokeza mpango ule wa siri wa katoliki katika kikao hicho, japokuwa kulikuwa na hofu ya kutoaminiana. Bali, uthabiti wa malengo hayo ulijipembua baadae na kuwa wamanufaa (ushahidi wa nyaraka za kumbukumbu za mkutano huo unaeleza).
Juhudi za kanisa kupigania mkataba wa Versailles ziliendelea kushika kasi huku zikiendeshwa kwa siri sana, kwa mfumo wa neno la kiroho, na ilipofikia miaka ya 1950s, kanisa sasa lilikuwa tayari lina nguvu ya ushawishi kufuatia mafanikio ya harakati za kanisa katika nyanja za ukombozi barani afrika. Wakati hayo yakiendelea, tayari kanisa kupitia Shirika lake la Kijasusi (Jeisuiti), lilikuwa limewekeza kwa nguvu kubwa kumtafuta mtu imara mwenye weledi na vipawa kimkemu, atakayejengwa ili aje kuongoza nchi. Mtihani mkubwa kwa kanisa ilikuwa ni namna gani linaweza kuingia rasmi kudai uhuru wa Tanganyika. Katika kipindi hiki, tangu harakati za kanisa zianze, Askofu Maranta pamoja na makasisi wa baadhi ya mikoa, walikuwa tayari ameshafanya juhudi kadhaa za kukutana na Ma-sheikh waliokuwa na ushawishi mkubwa. Mathalani tar. 5 Feb., mwaka 1948, Askofu Maranta alikutana na Sheikh Issa bin Amir, kiongozi wa kiroho katika Msikiti wa Ilala-Mchikichini.
Sheikh Issa Bin Amir, alizaliwa mwaka 1846 katika viunga vya Mzizima, Mchikichini, na kuhudumu katika wadhifa (k.m. Sheikh) katika msikiti uliokuwa hapohapo viwanja vya nyumbani kwake na alifariki mwaka 1953 akiwa na umri wa miaka mia moja na sabaa (107). Sheikh Issa Bin Amir, kwa kabila, alikuwa Mzaramo. Wakati wa uhai wake hadi kifo kilipomfika, aliishi Mchikichini, nyuma ya kilipo kiwanda cha bia leo (TBL). Sheikh Issa Bin Amir, rafiki kipenzi wa Padre Maranta, na mzee wa hekima za kilele cha zama hizo, mtu aliyekuwa kiungo muhimu kati ya Uislamu na Ukristu, Mtu ambaye watu (Mwalimu Cesil Matola rais wa kwanza wa AA na Klest Sykes katibu mkuu wakwanza wa AA, na wanachama wengine waliokuwa AA) walimheshimu sana kwa hekima zake, akiwa mmoja wa wasisi wa Jumuiko la Uislamu Afrika Mashariki (EAMWS) ambapo Mazungumzo mengi ya Jumuiko la Uislamu, yalihusu harakati za ukombozi. Shekh Issa alimshauri Askofu Maranta kuwa ikiwa makanisa na misikiti yanapigwa marufuku na mkoloni kujihusisha na siasa za ukombozi, basi watafute baadhi ya vyama vya harakati za ukombozi na waviunge mkono. Wazo hilo lilimvutia Askofu lakini akajenga hofu kama je ndani ya vyama hivyo watapata vijana wasomi?
Siku chache baada ya makutano yake na Sheikh Issa, Askofu Maranta aliletewa mapendekezo kutoka kwa Attilio Beltramino, kasisi wa katoliki aliyehudumu kule Iringa. Mapendekezo ya kasisi huyu yalikuwa ni: “Umishonari makao makuu uruhusu udurufu wa Biblia zisomeke kwa makabila ya wahusika wa eneo. Halafu, ndani ya Biblia hizo yaongezwe mafundisho ya haki ya kujitambua na kujitawala wenyewe.” Pendekezo hilo lilimvutia sana Askofu Maranta, hivyo akalipa baraka zake zote. Kwa hakika, pendekezo hilo lilifanikiwa na ndilo lilizaa hisia kali za mwamko wa kudai uhuru. Mathalani Biblia ya lugha ya Kihehe, ilieleza wazi athari za kutawaliwa.
Harakati za Ukombozi za Mwl. Nyerere, akiwa na nguvu mpya ya kifikra kutoka Chuo kikuu, zililivutia kanisa na uungaji mkono ukachagizwa. Mfano, mwaka 1953, wakati TAA kikiwa chama chenye nguvu kufuatia mabadiliko ya 1948 kutoka AA kwenda TAA. Askofu Maranta alimwalika Mwl. Nyerere ofisini pake. Walipokutana, walizungumza mengi lakini kubwa ni kuwa, alimsifu Mwl. Nyerere kwa juhudi za kujipambanua bila kuwaogopa wakoloni. Ndipo, akamweleza jinsi kanisa linavyounga mkono juhudi za ukombozi wa Tanganyika, kisha akamshauri kuwa ajaribu kuvishawishi baadhi ya vyama vya harakati za kiraia viungane ili kuvipa nguvu ya kudai uhuru, na kanisa litasaidia kwa hali na mali.
Wazo la Askofu Maranta lilimkaa Mwl. Nyerere kisawasawa. Ndipo, mwaka 1954, alianza juhudi za kuwaunganisha vijana wenzake wa Kariakoo ambao walikuwa ndani ya TAA na wenye nguvu ya ushawishi huku wakikabiliwa na matatizo makubwa mawili katika lengo lao ambayo ni Elimu na Woga. Ikumbukwe kuwa mwaka 1953, baada ya harakati za ukombozi kupamba moto na kamata kamata ya wanaukombozi, Askofu Edger Aristide Maranta alihamishiwa Zanzibar na nafasi yake ikachukuliwa na Vicar Apostolic, lakini bado aliendelea kuwa mshauri imara wa Mwl. Nyerere. Jambo la kushangaza kama si kufurahisha, mwaka huohuo mwezi wa 8, Edger Aristide Maranta alirudishwa tena, Dar es Saalam, na sasa mbinyo dhidi ya ukoloni ukashika mkondo wake.
Mnamo tar. 7 Julai, mwaka 1954, Vijana (wazee wa Kariakoo) wakiongozwa na Mwl. Nyerere, walikubaliana wazo la kuhuisha chama kutoka TAA kwenda TANU, chini ya uratibu wa karibu wa Wajeisuiti (Askofu Maranta) na Waislamu (Sheikh Issa bin Amir) ijapokuwa alikuwa amefariki mwaka mmoja nyuma, hekima za Sheikh huyu ziliendelea kusaidia. Na zaidi ni kuwa safari ya kwanza ya Mwl. Nyerere ya kwenda UNO tar. 5 Machi, mwaka 1955, kanisa Katoliki lilitoa msaada kwa chama cha TANU wa tikiti ya ndege ya kwenda na kurudi. Lilifanya hivyo kupitia shirika lake la Maryknoll Sisters la New York Marekani.
Si hivyo tu, bali katika moja ya utani wa Mwl. Nyerere wenye ukweli ndani yake, aliwahi kusema kuwa makasisi Walsh na Art Wille wa Shirika la Maryknoll ni mabosi wake, akikumbuka malipo ya Shilingi mia sita (600/=) angali ameacha kazi ya ualimu, akiwa kijijini Butiama. Kuna ushahidi wa kihistoria pia unaochagiza habari hizi kwamba majasusi wa Kanisa walimuandaa Mwalimu Nyerere kuja kuiongoza Tanganyika mpya. Barua ya lugha ya Kilatini, ya kitume, Tot Tangaeque, ya Papa wa Roma, ya tar. 8 Novemba, mwaka 1984, kwenda kwa Kanisa Katoliki Tanzania, inautangazia ulimwengu kwamba Tanzania itakuwa chini ya himaya ya kanisa kwa mwavuli wa Bikira Maria Imakulata.
Miaka thelethini na mbili (32) baadae, Kanisa Katoliki Tanzania chini ya Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa, linaijibu barua hiyo kwa barua yenye kumbukumbu nambari TEC/PR/1 ya tar. 10 Novemba, mwaka 2016, likikubaliana na kuitangazia dunia kuwa siku ya Uhuru wa Tanganyika, tar. 9, mwezi 12 ya kila mwaka itakuwa pia siku ya kuadhimisha Sikukuu ya Bikira Maria Imakulata. MSIMAMIZI wa JAMHURI ya MUUNGANO wa TANZANIA........


Kutoka katika Kitabu: Ujasusi wa Kidola na kiuchumi.
Mwandishi: Yericko Nyerere
Sura ya pili: Uk 461-465. (Mashirika ya Kijasusi)
 
Mag3.
Unaandika umeghadhibika.

Kama nimeelewa unasema mimi nimesema kuwa Nkrumah na Nyerere
walikutana masomoni.

Hili sijapatapo kusema na haiwezekani kabisa nikasema hivyo kwani
naijua vyema historia ya Nkrumah.

Kusema kuwa TANU ilianzishwa na Abdul Sykes halikuwa jambo la kukera
inaonyesha kuwa huujui mkasa huu.

Siwezi kukuorodheshea yote hapa lakini nitakupa mifano michache.

Alipokufa Abdul mwaka wa 1968 magazeti yote ya chama na serikali ''Uhuru,''
na ''Nationalist,'' hayakumpa heshima anayostahili.

Ilikuwa Brendon Grimshaw Mhariri wa Tanganyika Standard ndiye aliyemwandikia
taazia inayostahili (Sunday News, 20 th October, 1968).

Hebu soma hiyo hapo chini:
''When Abdulwahid died the Ministry of Information issued a press release announcing that the President had attended the funeral of Abdulwahid Sykes.[1] Surprisingly the press release gave few details of his government service, completely eclipsing his checkered political career. It was an Englishman, Brendon Grimshaw, the editor of Tanganyika Standard, who published a fitting obituary to Abdulwahid describing him as: ‘one of the architects of the independence movement and one of the men who helped launch President Nyerere on his political carrier...’


[1] See Press Release A/2746/68 IT/1.322 of 13 th October, 1968. East Africana, University of Dar es Salaam.

Nadhani pia unazo taarifa za Africa Events (London) yaliyokusanywa na kutolewa
katika mzunguko yasiuzwe baada ya kuchapa makala iliyomtaja Abdul Sykes (Angalia:
In Praise of Ancestors,'' (1988) Africa Events, London.

Unganisha haya na hiyo hapo chini:
Mohamed Said: KUTOKA JF: MAREHEMU HASSAN UPEKA (TANU INTELLIGENCE 1956) NA UANDISHI WA HISTORIA YA TANU

Sasa tuje na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na safari ya Nyerere UNO 1955.
Msome Idd Faiz Mafungo hapo chini:
Mohamed Said: Idd Faiz Mafongo Mweka Hazina wa Safari ya Nyerere UNO 1955

Labda nikuulize kuhusu ''intellectuals,'' wa TAA wewe umewasoma wapi
katika historia ya TANU?

Hawakutajwa popote wala historia ya Chuo Cha Kivukoni haikuwataja.

Utakuwata kwa Judith Listowel, ''The Making of Tanganyika.''
Nakuwekea hapa nilichosema kuhusu Makerere Intellectuals:

''When some of the Makerere graduates such as Mwapachu were thinking about effecting political change in Tanganyika through TAA, Abdulwahid had already built his own political power base in the politics of Dar es Salaam.

Makerere graduates were coming to Dar es Salaam, some of them for the first time, to take up appointments within the civil service in their different professions.

Most of them were Christians and mission-trained.
These young men were cautious about politics.

They were far from home and were just beginning life.

They had their own ideas about what they stood to benefit from the colonial government as civil servants; a loan to purchase a car, and good accommodation in African government quarters.

These were better than the mud and grass thatched houses of the locals; and for the lucky ones there was a trip to Britain for a course.

They believed that to indulge in politics was to rebelling against the state and this could jeopardise their careers.

Many were of the opinion that to harbour such ideas was to tread on very dangerous ground. They were the educated young Christian graduates of Makerere who had come to Dar es Salaam to work for some time and then to be transferred to other places for other appointments.

They were mission-trained to be faithful to the church and loyal to the colonial state. The Makerere intellectuals were not expected to bite the hand that fed them. For an educated African civil servant it was not easy to feel directly the nature of colonial oppression and therefore to want to engage in politics against the colonial state and the status quo.

Abdulwahid, on the other hand, was a person of charisma, integrity, and selflessness, who soon won the confidence of the Makerere intellectuals and slowly integrated them in the politics of the municipality.

With his war experience behind him, the family name and his proximity to the TAA leadership, Abdulwahid became one of the budding politicians.''

Tuhitimishe na kipande hiki Abdul Sykes alipozungumza na Judith Listowel
ili upate kujua hali ilikuwaje kuhusu historia ya TANU:

''When Judith Listowel came to Tanganyika in 1962 to research for her book, The Making of Tanganyika, she wanted to interview Abdulwahid. However, knowing the controversy which had surrounded the first attempt to research the subject, Abdulwahid avoided her. When Listowel finally caught up with him, Abdulwahid remained reserved and did not give any meaningful details about his own political career or that of his father. However Listowel was able to get little information from Abdulwahid on the formation of TANU from which she wrote: Abdul Sykes, Ally’s brother, said that they had to awaken the political consciousness of the people and form a political organisation.'’ [1]

Mag3,
Unaweza kuendelea kumwamini Father Wille kuwa yeye anaijua historia ya
TANU kuliko babu yangu Salum Abdallah siwezi kukuzuia.

Lakini na mimi naijua historia ya wazee wangu walioasisi TANU hata kama
atatokea mtu akawebeza.

[1] Listowel, op. cit. p. 121.
Sheikh Mohamed Said,

Kwanza nizidi kukupa pongeza kwa darsa lako hapa ukumbini JF.

Hamna jambo baya watu wazima kulishana maneno nimeshtuka kiduchu.

Mag3 anasema kuwa wewe ulipata kusema Mwalimu Nyerere, alikutana na Nkrumah, masomoni daaah huu msiba.
 
Back
Top Bottom